Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Spika wa bunge (Anne Makinda) akiri posho kuongezwa!

    Report Post
    Page 1 of 19 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 365
    1. #1
      EasyFit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 840
      Rep Power : 571
      Likes Received
      575
      Likes Given
      196

      Default Spika wa bunge (Anne Makinda) akiri posho kuongezwa!

      Akiongea na waandishi wa habari leo spika amesema wameongeza posho kutoka 70,000 hadi laki 2 kwa siku.
      Daudi Mchambuzi likes this.


    2. #2
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,097
      Rep Power : 1092
      Likes Received
      697
      Likes Given
      480

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa

      Angejua wananchi walivyo na hasira nao.
      Shine likes this.
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    3. #3
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,136
      Rep Power : 9519
      Likes Received
      3234
      Likes Given
      1264

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa

      Wanajichanganya sana hawa magamba.

    4. #4
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,929
      Rep Power : 16838
      Likes Received
      2640
      Likes Given
      2033

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa

      Katibu wa bunge alipinga, sasa sijui tumwamini nani?
      Chakunyuma likes this.

    5. #5
      Gracious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Location : Republic of Tanganyika
      Posts : 643
      Rep Power : 601
      Likes Received
      304
      Likes Given
      405

      Default He; Makinda amkanusha katibu wa Bunge (Kashilila)-Posho Za Wabunge Zimepanda

      Mh Anne Makinda,Spika wa Bunge La Tanzania ameweka wazi kwamba Posho za wabunge zimepanda,analalamika upotoshwaji wa makusudi kwamba posho zimepanda toka Tsh 70,000 hadi Tshs 200,000.Hata hivyo hajaweka wazi zimepanda hadi Shs ngapi.Makinda ametoa maelezo haya ikiwa si zaidi ya siku mbili tangu Kashilila aseme kwamba posho hazijapanda.

      Source: Clouds Radio 1800 hours News


    6. #6
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,518
      Rep Power : 37787
      Likes Received
      4928
      Likes Given
      2342

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa

      Bila shaka sasa watashiriki vizuri kwenye misiba kama alivyodai Shibuda!
      Eliza wa Tegeta likes this.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    7. #7
      Mzalendo80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Magogoni, Tanganyika
      Posts : 2,280
      Rep Power : 964
      Likes Received
      821
      Likes Given
      1589

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa

      Bunge limekanusha posho hazijaongezwa, Bi Kiroboto anasema Zimeongezwa
      mgaagaanaupwa likes this.
      The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.

    8. #8
      The Hunter's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Location : Lubumbashi
      Posts : 910
      Rep Power : 612
      Likes Received
      233
      Likes Given
      128

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa

      Hili tatizo la kupinga pinga, linazidi kukomaa miongoni mwa magamba, Wabunge walisema zimeongezwa, katibu akapinga, leo Maddam speaker anakiri zimeongezwa! sasa yule Kashilila sijui anajiskiaje huko alipo, maana hatutarajii Dr. mzima kudanganya kitoto toto namna hiyo
      sam2000 likes this.
      Kuwa na msimamo katika kile unachoamini ndio utu wako na kwa hivyo utakumbukwa

    9. #9
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,468
      Rep Power : 19243
      Likes Received
      4188
      Likes Given
      3368

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa

      Quote By Katavi View Post
      Katibu wa bunge alipinga, sasa sijui tumwamini nani?
      Yaani nchi hii kila mmoja anaesema lake angalia swala la kenya kuwashambulia Al-shabaab Kikwete kawaunga mkono Kenya waziri wake Membe anawalaani.....kuhusu kulipwa Dowans Waziri alisema tunawalipa baada ya siku chache raisi akagoma...haya ya bunge katibu anasema posho haijaongezwa spika anasema imeongezwa....yaani hii serikali ni masaburi fulllllllllllllllll
      Rogate, Daudi Mchambuzi and Sordo like this.
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X





    10. #10
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,518
      Rep Power : 37787
      Likes Received
      4928
      Likes Given
      2342

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa

      Quote By Mzalendo80 View Post
      Bunge limekanusha posho hazijaongezwa, Bi Kiroboto anasema Zimeongezwa
      Kati yao mmoja utasikia ali overlook!
      Mzalendo80 likes this.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    11. #11
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,468
      Rep Power : 19243
      Likes Received
      4188
      Likes Given
      3368

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa

      Quote By The Hunter View Post
      Hili tatizo la kupinga pinga, linazidi kukomaa miongoni mwa magamba, Wabunge walisema zimeongezwa, katibu akapinga, leo Maddam speaker anakiri zimeongezwa! sasa yule Kashilila sijui anajiskiaje huko alipo, maana hatutarajii Dr. mzima kudanganya kitoto toto namna hiyo
      Ingekuwa nchi zingene angefanya maamzi mzito lakini kwa bongo...poa tu na maisha yanaendelea
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X





    12. #12
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,468
      Rep Power : 19243
      Likes Received
      4188
      Likes Given
      3368

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa

      Hivi nyie mwenye wabunge haya huwa mnapisha nao mitaa maana ingekuwa Arusha wanao shadadia posho tungesha warushia mawe....
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X





    13. #13
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,358
      Rep Power : 1848
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      0

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa

      watanzania tulio wengi kupata mlo mmoja kwa siku ni bahati wao wanajiongezea posho na bado wanapandisha mafuta umeme kila kitu, dah! Amakweli

    14. #14
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,136
      Rep Power : 9519
      Likes Received
      3234
      Likes Given
      1264

      Default

      Quote By Mungi View Post
      Kati yao mmoja utasikia ali overlook!
      Hawakawii kusema mlininukuu vibaya.
      Mungi and Rajabu kiama like this.

    15. #15
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,833
      Rep Power : 5673
      Likes Received
      6319
      Likes Given
      2417

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa

      hawana aibu
      Rajabu kiama likes this.
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    16. #16
      Mwita25's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2011
      Posts : 3,852
      Rep Power : 1321
      Likes Received
      1120
      Likes Given
      43

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa

      Halafu amewasemea wabunge kuwa mshahara wanaopokea ni mdogo sana ukilinganisha na majukumu wanayofanya. Hivi huyu mama ana ndugu nyumbani kwao au ndiyo wale waliokimbia kijijini kwa kukataa kuolewa?
      Chauro, Mungi, engmtolera and 2 others like this.

    17. #17
      MASIKITIKO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Posts : 205
      Rep Power : 482
      Likes Received
      28
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By EasyFit View Post
      Akiongea na waandishi wa habari leo spika amesema wameongeza posho kutoka 70,000 hadi laki 2 kwa siku.
      SIWALIKANU KUPITIA KATIBU WA BUNGE!LEO WAMEKUBARI !KWELI NCHI HII INAENDESHWA ......MTAMALIZI .Masikitiko log out

    18. #18
      Kigogo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,484
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1302
      Likes Given
      318

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa!

      yaaani hii nchi bana ni kama fuko la mavi

    19. #19
      goodlucksanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 142
      Rep Power : 413
      Likes Received
      28
      Likes Given
      0

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa!

      Endeleeni kukamua sana wananchi Siunajua tena hii ni nchi ya Wazembeee....!!

    20. #20
      King2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 1,280
      Rep Power : 639
      Likes Received
      160
      Likes Given
      0

      Default Re: Spika wa bunge akiri posho kuongezwa!

      KaMA NI KWELI NI MATAAHIRA.

    Page 1 of 19 12311 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Sakata la posho: Spika Anne Makinda alichemsha
      By maggid in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 27
      Last Post: 14th December 2011, 12:04
    2. Replies: 22
      Last Post: 14th December 2011, 08:00
    3. Wabunge kumng'oa Spika Anne Makinda?
      By AMARIDONG in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 63
      Last Post: 23rd June 2011, 18:05
    4. Naomba kujua CV ya Spika wa Bunge la MuunganoTanzania (Bi Anne Makinda)
      By Barubaru in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 3
      Last Post: 15th June 2011, 12:56

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...