Akiongea na waandishi wa habari leo spika amesema wameongeza posho kutoka 70,000 hadi laki 2 kwa siku.
Akiongea na waandishi wa habari leo spika amesema wameongeza posho kutoka 70,000 hadi laki 2 kwa siku.
Angejua wananchi walivyo na hasira nao.
If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu
Wanajichanganya sana hawa magamba.
Katibu wa bunge alipinga, sasa sijui tumwamini nani?
Mh Anne Makinda,Spika wa Bunge La Tanzania ameweka wazi kwamba Posho za wabunge zimepanda,analalamika upotoshwaji wa makusudi kwamba posho zimepanda toka Tsh 70,000 hadi Tshs 200,000.Hata hivyo hajaweka wazi zimepanda hadi Shs ngapi.Makinda ametoa maelezo haya ikiwa si zaidi ya siku mbili tangu Kashilila aseme kwamba posho hazijapanda.
Source: Clouds Radio 1800 hours News
Bila shaka sasa watashiriki vizuri kwenye misiba kama alivyodai Shibuda!
"Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."
Bunge limekanusha posho hazijaongezwa, Bi Kiroboto anasema Zimeongezwa![]()
The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.
Hili tatizo la kupinga pinga, linazidi kukomaa miongoni mwa magamba, Wabunge walisema zimeongezwa, katibu akapinga, leo Maddam speaker anakiri zimeongezwa! sasa yule Kashilila sijui anajiskiaje huko alipo, maana hatutarajii Dr. mzima kudanganya kitoto toto namna hiyo
Kuwa na msimamo katika kile unachoamini ndio utu wako na kwa hivyo utakumbukwa
Yaani nchi hii kila mmoja anaesema lake angalia swala la kenya kuwashambulia Al-shabaab Kikwete kawaunga mkono Kenya waziri wake Membe anawalaani.....kuhusu kulipwa Dowans Waziri alisema tunawalipa baada ya siku chache raisi akagoma...haya ya bunge katibu anasema posho haijaongezwa spika anasema imeongezwa....yaani hii serikali ni masaburi fulllllllllllllllll
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X
Hivi nyie mwenye wabunge haya huwa mnapisha nao mitaa maana ingekuwa Arusha wanao shadadia posho tungesha warushia mawe....
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X
watanzania tulio wengi kupata mlo mmoja kwa siku ni bahati wao wanajiongezea posho na bado wanapandisha mafuta umeme kila kitu, dah! Amakweli
hawana aibu
"Behind every great fortune there is a crime."- Honore de Balzac (1799-1850)
Halafu amewasemea wabunge kuwa mshahara wanaopokea ni mdogo sana ukilinganisha na majukumu wanayofanya. Hivi huyu mama ana ndugu nyumbani kwao au ndiyo wale waliokimbia kijijini kwa kukataa kuolewa?
yaaani hii nchi bana ni kama fuko la mavi
Endeleeni kukamua sana wananchi Siunajua tena hii ni nchi ya Wazembeee....!!
KaMA NI KWELI NI MATAAHIRA.
Follow Us Here