Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 30
    1. #1
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1176
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua

      Ni jambo unaloweza kulitizama kwa mashaka na wepesi. Lakini kutokana na upepo wa kisiasa ulivyo hili si jambo la kushangaza kwani linaweza kutokea. Harakati za CDM zinaweza kufikia hatua ya kuundwa kwa serikali ya mseto katika chaguzi za usoni zijazo.

      Bora hili litokee mapema ili kuleta chachu ya kuchochea maendeleo ya nchi hii. Naamini wale wanachama wa CDM wanaweza kuliona jambo hili kama upuuzi.

      Hata kwa upande wa wale wa CCM wanaweza kuchukulia kuwa ni jambo gumu kwao. Lakini linaweza kutokea kutokana na nguvu na misigino ya kisiasa. Bora serikali ya mseto itokee kwanza kuliko CCM kuendelea kubaki madarakani milele.

      CCM yenye watendaji wachache waadilifu inaweza kuwa na changamoto motomoto iwapo itaongezewa nguvu na watendaji kutoka CDM katika mseto. Hii inaweza kuwa tiba, au nusu tiba kwa Tanzania inayougua.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mkwe21's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 912
      Rep Power : 759
      Likes Received
      212
      Likes Given
      165

      Default Re: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua.

      Naona Magamba Wamekutuma Kutafuta Suluhu Ya Hatima Yenu!! Ila katika Hali ya Kawaida Huwezi Kuishi Na nyoka katika Tundu Moja!! Lazima Mmojawapo Atoke!! Sasa Kama ni Magamba wamekutuma Kuomba suluhu ili waweze kuendelea Kufilisi nchi hii kawambie Nafasi Hiyo Milango imefungwa!!

    4. #3
      N series's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th July 2011
      Posts : 171
      Rep Power : 431
      Likes Received
      14
      Likes Given
      159

      Default

      Wewe nawe hujaachaga tu kutumia firigisi kufikiri? Unadhani hii ni R. Odinga or Tsvangirai?

      Hapa lazma nyie magamba muachie ngazi, mtoke nasis tujue tuna anzia wapi kuwasweka rumande mkachukue mvua zenu,haiwezekani mtu fool all the time, keko mtaenda otherwise mtaani tunawapofoa mawe, wezi wakubwa,vibaka ninyi.

    5. #4
      kamimbi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 140
      Rep Power : 439
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua

      Tukubali au tukatae ukweli ndiyo huu, ikumbukwe tanzania siyo ya CCM wala CDM, ni ya watanzania wenyewe. Hivi vyama vya kisiasa tumevituma vikatuwakilishe tu Bungeni, Ndani ya bunge hukaa wabunge wa vyama vyote, wanajadiri pamoja mambo mbalimbali yahusuyo maendeleo ya tz na wanafikia mwafaka, iweje leo tuseme serikali ya mseto mshangae? kwa hapo ni kufikiri kidogo.
      Chatumkali likes this.

    6. #5
      harakat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 1,253
      Rep Power : 784
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2

      Default Re: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua

      Hi ikitokea naona Tz kutakua hamana upinzani tena
      maana hamna altenative yoyote

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,024
      Rep Power : 0
      Likes Received
      227
      Likes Given
      1

      Default Re: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua

      kwanza hiyo serikali mseto itoke wapi.mimi sina chama lakini hakuna chama cha upinzani kinachoweza kuingia kwenye mseto huku bara,chama ambacho kilianza kuonyesha njia kimejaa ubinafsi,ukabila,kufukuza wanachama na element za ukanisa...hii haiwezekani hata kidogo...vyama vijijenge viwe vya kitaifa ndio tutaviamini kuvipa mamlaka...kumbuka kushika dola sio sawa na kumpa mtu uenyekiti wa kamati ya maandalizi ya harusi au kipaimara.

    9. #7
      Barubaru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : Doha, Qatar
      Posts : 5,740
      Rep Power : 1919
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      962

      Default Re: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua

      Hakuna mseto wala msange wala kande. kazi moja tu.
      Ukiwa mchoyo, usiwe mroho.

      Man Sharaf naf'sahu, fahuwa rasul

    10. #8
      Mkuu wa chuo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Kibada
      Posts : 1,769
      Rep Power : 841
      Likes Received
      340
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By katikati
      kwanza hiyo serikali mseto itoke wapi.mimi sina chama lakini hakuna chama cha upinzani kinachoweza kuingia kwenye mseto huku bara,chama ambacho kilianza kuonyesha njia kimejaa ubinafsi,ukabila,kufukuza wanachama na element za ukanisa...hii haiwezekani hata kidogo...vyama vijijenge viwe vya kitaifa ndio tutaviamini kuvipa mamlaka...kumbuka kushika dola sio sawa na kumpa mtu uenyekiti wa kamati ya maandalizi ya harusi au kipaimara.
      mbona povu linakutoka kiasi hicho hebu nithibitishie hayo madai yako, inamaana hicho chama huwa wanafanya na ibada za kikanisa!?

    11. #9
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,856
      Rep Power : 3633
      Likes Received
      1114
      Likes Given
      283

      Default Re: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua

      Siku CDM ikiingia mseto na CCM namrudishia Slaa kadi ya Uanachama, maana CDM siyo Mama wala Baba yangu!

    12. #10
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,944
      Rep Power : 2602
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1615

      Default Re: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua

      Mseto no.CDM komaeni hivyo hivyo.

    13. #11
      Mwita25's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2011
      Posts : 3,852
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      1119
      Likes Given
      43

      Default Re: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua

      Chadema should agree with the idea of coalition government or else face the prospect of remaining as the opposition party indefinitely. With the ongoing process of constitution composition being held hostage by the governing CCM in order to dictate the process for the sake of entrenching their presence in power, CHADEMA should rule out any possibility of winning any one of the coming elections.

      They have indeed no option but to inhume their own interests by coming to terms with CCM and set up a unity government for the good of the whole country.

    14. #12
      Mkuu wa chuo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Kibada
      Posts : 1,769
      Rep Power : 841
      Likes Received
      340
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By Barubaru
      Hakuna mseto wala msange wala kande. kazi moja tu.
      Exactly!

    15. #13
      isuto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 131
      Rep Power : 413
      Likes Received
      18
      Likes Given
      4

      Default Re: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua

      Kamwe CDM haiwezi kuolewa kama ccm B(i mean siyuef)

    16. #14
      Chatumkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Location : DOM
      Posts : 1,384
      Rep Power : 974
      Likes Received
      184
      Likes Given
      166

      Default Re: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua.

      Quote By Mkwe21
      Naona Magamba Wamekutuma Kutafuta Suluhu Ya Hatima Yenu!! Ila katika Hali ya Kawaida Huwezi Kuishi Na nyoka katika Tundu Moja!! Lazima Mmojawapo Atoke!! Sasa Kama ni Magamba wamekutuma Kuomba suluhu ili waweze kuendelea Kufilisi nchi hii kawambie Nafasi Hiyo Milango imefungwa!!
      Nadhani fikra kwamba kila mwenye mtizamo tofauti na sisi ametumwa na magamba ni fikra mufilisi na tuziache.Tujadili hoja jamani!

    17. #15
      Cha Moto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Location : Kijijini
      Posts : 937
      Rep Power : 586
      Likes Received
      131
      Likes Given
      247

      Default Re: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua

      Jumakidogo,
      Naona umeamua kuunganisha kila kitu,
      Umeanza na muungano wa Lowassa na Sitta, hapa unaleta CCM na CDM,
      Ok, nasubiri thread nyingine, nahisi itakuwa kuungana kwa Dr. Kikwete na Dr. Slaa

    18. #16
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1674
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua

      Quote By Cha Moto
      Jumakidogo,
      Naona umeamua kuunganisha kila kitu,
      Umeanza na muungano wa Lowassa na Sitta, hapa unaleta CCM na CDM,
      Ok, nasubiri thread nyingine, nahisi itakuwa kuungana kwa Dr. Kikwete na Dr. Slaa
      kwenye bold unapomtaja Dr. Salaa acha kumwita JK dr because hazifanani bwana!
      NA KUHUSU KUUNGANA MIMI MWENYEWE SIAFIKI, WOOTE WATAKUWA MAGAMBA TUU!
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    19. #17
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1176
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default Re: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua

      Hoja hupingwa na hoja. Kuna tofauti kubwa kati ya hoja za viongozi wa CDM na wafuasi wao. Inawezekana chama kikawa na viongozi makini kwa kujenga hoja lakini nyuma yao kukawa na kundi kubwa la watu wanaotumia milima nyama iliyo chini ya migongo yao kufikiri badala ya kichwa. Serikali mseto hulazimishwa na mazingira ya kisiasa kama ilivyotokea Kenya na Zimbabwe. Hayo yanaweza kutokea hapa pia. Mnadhani ikiwa hivyo wanachadema mtafanya nini? Achane kupiga picha hatua 2 mbele badala yake tumieni darubini kuona kilichopo kilomita nyingi mbele.

    20. #18
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,258
      Rep Power : 12576
      Likes Received
      5806
      Likes Given
      767

      Default

      Quote By TUMBIRI
      Siku CDM ikiingia mseto na CCM namrudishia Slaa kadi ya Uanachama, maana CDM siyo Mama wala Baba yangu!
      Hata nafasi ya serikali ya mseto Chadema hawawezi kuipata!

    21. #19
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1176
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By Cha Moto
      Jumakidogo,
      Naona umeamua kuunganisha kila kitu,
      Umeanza na muungano wa Lowassa na Sitta, hapa unaleta CCM na CDM,
      Ok, nasubiri thread nyingine, nahisi itakuwa kuungana kwa Dr. Kikwete na Dr. Slaa
      Unajua wengi hasa wanachadema wanasoma thread kwa kukurupuka. Sikusema waungane, wale sijashauri waungane. Nilisema kutokana na upepo wa kisiasa ulivyo hilo linaweza kutokea. Tumeona Kenya na Zimbabwe.

    22. #20
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,844
      Rep Power : 2970
      Likes Received
      479
      Likes Given
      318

      Default Re: Serikali ya mseto kati ya CHADEMA na CCM ndiyo tiba ya TANZANIA inayougua

      Mbona zanzibar wana serikali ya mseto kwani kuna nini walilobadilisha, usitake kuniaminisha kuwa serikali za mseto ndo suruhusho la matatizo yetu

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. CHADEMA yakataa serikali ya mseto.- Ijifunze Ugiriki
      By Zawadi Ngoda in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 9
      Last Post: 8th November 2011, 14:04
    2. Replies: 20
      Last Post: 24th April 2011, 12:51
    3. Serikali ya mseto tanzania?
      By Kadogoo in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 3
      Last Post: 7th November 2010, 20:24
    4. Serikali ya mseto tanzania?
      By Kadogoo in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 7th November 2010, 18:40
    5. Serikali Ya Mseto Tanzania?
      By Kadogoo in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 12
      Last Post: 8th February 2008, 04:17

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...