Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: President George Bush to visit Ethiopia, Tanzania and Zambia

    Report Post
    Page 1 of 7 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 128
    1. #1
      tedo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,479
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1259
      Likes Given
      880

      Default President George Bush to visit Ethiopia, Tanzania and Zambia

      wakuu!!
      leo rais mstaafu wa marekani anawasili Tanzania. lakini cha kushangaza ziara hii imekuwa ni siri mno hakuna chombo cha habari hata kimoja kilicho tangaza hii ziara ya huyu muheshimiwa.
      mimi ni mwanafunzi wa Muhimbili kwa sasa niko ocean road kwa clinical studies na inasemekana atakuja kutembelea leo hospitali ya ocean road.
      kinacho nisikitisha ni kwamba hapa ocean road wagonjwa huwa wanalala nje kutokana na ukosefu wa vitanda na maanisha hata wodi hazitoshi. leo hakuna mgonjwa nje sasa sielewi wagonjwa wamepelekwa wapi. nachoona leo ni bendera za Tanzania tu na mauwa ndo yameshamiri huku ocean road.
      je nini kilichomleta huyu rais mstaafu wa usa? au anekuja kuangalua maedeleo ya freemasons na ile miradi yake ya kigamboni?

      naomba niwasilishe mwenye kujua zaidi kuhusu ziara ya siri ya huyu mueshimiwa atujuze.
      jmushi1, TIMING, Ndahani and 5 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      MWANALUGALI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Posts : 601
      Rep Power : 593
      Likes Received
      30
      Likes Given
      38

      Default Re: ujio wa Bush.soma hii

      yuko nchini tangu week iliyopita!

    4. #3
      Sordo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Location : Siringet Olemuta
      Posts : 397
      Rep Power : 463
      Likes Received
      119
      Likes Given
      108

      Default Re: ujio wa Bush.soma hii

      Labda anataka kupanua mradi wa chandarua za maleria
      Mwenye njaa hana masikio

    5. #4
      MWANALUGALI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Posts : 601
      Rep Power : 593
      Likes Received
      30
      Likes Given
      38

      Default Re: ujio wa Bush.soma hii

      yuko nchini tangu week iliyopita, anatembelea miradi yake kule kanda ya ziwa

    6. #5
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,396
      Rep Power : 960
      Likes Received
      583
      Likes Given
      143

      Default Re: ujio wa Bush.soma hii

      vyandarua vyake vinapitisha nzi. over

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,011
      Rep Power : 2560
      Likes Received
      784
      Likes Given
      28

      Default Re: ujio wa Bush.soma hii

      Kanunua Kigamboni yote na kule Pemba Billy Gate kisha weka makazi kwisha kazi
      Ndahani and Daudi Mchambuzi like this.
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    9. #7
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,477
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3045
      Likes Given
      1017

      Default Re: ujio wa Bush.soma hii

      Quote By MWANALUGALI
      yuko nchini tangu week iliyopita, anatembelea miradi yake kule kanda ya ziwa
      Mkuu huyu jamaa ana miradi gani kanda ya Ziwa?
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    10. #8
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,669
      Rep Power : 975
      Likes Received
      580
      Likes Given
      10

      Default Re: ujio wa Bush.soma hii

      Karibu sana Tanzania. Huyu jamaa alifanya kazi nzuri sana kwa masuhala ya usalama wa dunia. Kata funua wahuni,magaidi na wafadhili wao!
      Majimoto likes this.

    11. #9
      mikatabafeki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 4,840
      Rep Power : 1397
      Likes Received
      766
      Likes Given
      1463

      Default Re: ujio wa Bush.soma hii

      na ataenda kwenye wilaya yake KIGAMBONI
      when love goes wrong,nothing goes right.

    12. #10
      Join Date : 14th August 2011
      Posts : 385
      Rep Power : 470
      Likes Received
      47
      Likes Given
      4

      Default Re: ujio wa Bush.soma hii

      Alshabab wako wapi waniondolee taka taka hiyo

    13. #11
      Mvaa Tai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2009
      Location : Ngudu, Mwanza
      Posts : 3,416
      Rep Power : 1181
      Likes Received
      1399
      Likes Given
      915

      Default Re: ujio wa Bush.soma hii

      Quote By tedo
      wakuu!!
      leo rais mstaafu wa marekani anawasili Tanzania. lakini cha kushangaza ziara hii imekuwa ni siri mno hakuna chombo cha habari hata kimoja kilicho tangaza hii ziara ya huyu muheshimiwa.
      mimi ni mwanafunzi wa Muhimbili kwa sasa niko ocean road kwa clinical studies na inasemekana atakuja kutembelea leo hospitali ya ocean road.
      kinacho nisikitisha ni kwamba hapa ocean road wagonjwa huwa wanalala nje kutokana na ukosefu wa vitanda na maanisha hata wodi hazitoshi. leo hakuna mgonjwa nje sasa sielewi wagonjwa wamepelekwa wapi. nachoona leo ni bendera za Tanzania tu na mauwa ndo yameshamiri huku ocean road.
      je nini kilichomleta huyu rais mstaafu wa usa? au anekuja kuangalua maedeleo ya freemasons na ile miradi yake ya kigamboni?

      naomba niwasilishe mwenye kujua zaidi kuhusu ziara ya siri ya huyu mueshimiwa atujuze.
      Hata mkapa hivi majuzi alikuwa Uingereza hakuna aliyejua pale uingereza zaidi ya wenyeji wake
      Mnang'oa meno ya Tembo ili mukayauze, mnang'oa meno na Kucha za Watanzania wasio na hatia ili iweje?

    14. #12
      harakat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 1,253
      Rep Power : 784
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2

      Default Re: ujio wa Bush.soma hii

      Hapa naona mambo ni motomoto maana haieleweki anakuja kufanya nini
      ila hawezi kuja bure tu kuna kitu anataka kufanya utatujuza hapa jamvini.

    15. #13
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 3,985
      Rep Power : 1213
      Likes Received
      972
      Likes Given
      247

      Default George bush atua kimyakimya

      Taarifa ambazo zinapewa nguvu ya usahihi na helicopter iliyo jk airport ni kuwa george bush ametua nchini leo asubuhi. kuna wafanyakazi airport wameweza kuthibitisha hili.

    16. #14
      mooduke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Posts : 354
      Rep Power : 504
      Likes Received
      39
      Likes Given
      739

      Default Re: ujio wa Bush.soma hii

      We nafikiri ni Mwehu sijui umeingiaje Jamvini



      Quote By timbilimu
      Karibu sana Tanzania. Huyu jamaa alifanya kazi nzuri sana kwa masuhala ya usalama wa dunia. Kata funua wahuni,magaidi na wafadhili wao!

    17. #15
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 3,985
      Rep Power : 1213
      Likes Received
      972
      Likes Given
      247

      Default Re: Ujio wa Bush, soma hii

      Keshatua leo asubuhi

    18. #16
      hashimuhehwa's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 30th November 2011
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Ujio wa Bush, soma hii

      Kama mambo yapo hivi ****** kwanini hatutaki kutoa! Wanaume wenzangu tuanze kutembea na sabuni ili maumivu yasiwe makari! Ndio tunasema tanzania amani ipo na viongozi wanajinadi vifua mbele!? Amakweli ukipenda dezo wanakudezo kwa raha zao! Harafu eti tunajiita vidume kifua mbele!

    19. #17
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Ujio wa Bush, soma hii

      Mtakoma kupenda vya bure. Mpaka chandarua iwe kwa hisani ya watu wa marekani?
      Jasusi and Kamakabuzi like this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    20. #18
      Chiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2008
      Posts : 419
      Rep Power : 649
      Likes Received
      75
      Likes Given
      126

      Default Re: Ujio wa Bush, soma hii

      unauma lakini ndo ukweli hatuana chetu

    21. #19
      FairPlayer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2006
      Location : UK
      Posts : 4,383
      Rep Power : 1551
      Likes Received
      456
      Likes Given
      205

      Default Re: Ujio wa Bush, soma hii

      Quote By tedo
      kinacho nisikitisha ni kwamba hapa ocean road wagonjwa huwa wanalala nje kutokana na ukosefu wa vitanda na maanisha hata wodi hazitoshi. leo hakuna mgonjwa nje sasa sielewi wagonjwa wamepelekwa wapi.
      .
      That was the main point bandugu, the whole Bush arrival is a BS.

      Thanks
      A positive thinker!

    22. #20
      marejesho's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : MULA
      Posts : 3,364
      Rep Power : 13046
      Likes Received
      1553
      Likes Given
      1137

      Default Re: Ujio wa Bush, soma hii

      Quote By jogi
      Keshatua leo asubuhi
      Naomba nikusahihishe... Bado hajatua na anategemewa kutua muda wowote kutoka sasa hapa Dar Terminal 1... Pia amekuwa nchini tangu tarehe 27 Nov,alishukia huko Serengeti eneo mashuhuri kwa kupokea VIP's (Grumeti Reserves - Sasakwa Lodge)..Leo atakula Lunch na JK.....
      Source: Mimi mwenyewe

    Page 1 of 7 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. The Back Story Of Bush's Visit To Tanzania
      By Kibanga Ampiga Mkoloni in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 4
      Last Post: 20th February 2012, 00:13
    2. PHOTOS: George W Bush in Tanzania
      By Invisible in forum Jamii Photos
      Replies: 37
      Last Post: 12th December 2011, 08:56
    3. Replies: 0
      Last Post: 6th February 2011, 16:56
    4. Goodbye President George W. Bush!
      By Zakumi in forum International Forum
      Replies: 40
      Last Post: 29th January 2009, 07:12
    5. An appeal of faith to President George W. Bush
      By Shy in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 0
      Last Post: 2nd November 2006, 15:07

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...