Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 21
    1. #1
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1177
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA

      Naitizama hali ilivyo. Nalazimika kuona kuwa kuna kila haja ya kujadili mapema, ni nani anayefaa kuwa rais wa awamu ijayo. Kwa upande wa CDM sina mashaka, hata nikiweka hawa watatu wanatosha kuwa na uzani wa kutosha

      1. Dk SLAA
      2. FREEMAN MBOWE
      3. TUNDU LISSU. Kwa upande wa CCM, Hapa ntaweka wengi kwani nina mashaka kidogo.

      1. JOHN MAGUFULI
      2.EDWARD LOWASA
      3. MARC MWANDOSYA.
      4. BERNARD MEMBE
      5. WASIRA
      6. IBRAHIMU LIPUMBA (CCM B) 2. HAMAD RASHID (CCM B) hawa wa chini nimewaweka kwa makusudi katika mkumbo kutokana na msimamo wa chama chao. Kama wameridhiana visiwani, hawashindwi kuungana hata bara. Hayo ni majina ya wanasiasa wanaosikika zaidi.

      Ni nani hapa anafaa kuingia magogoni awamu ijayo?

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Daffi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2011
      Location : Arachuga
      Posts : 2,935
      Rep Power : 987
      Likes Received
      516
      Likes Given
      239

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA.

      Too early to judge,but you deserved this because you played fouls
      Walk your talk

    4. #3
      HISIA KALI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Location : Mjini kwa mjomba
      Posts : 643
      Rep Power : 563
      Likes Received
      80
      Likes Given
      1

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA.

      Uchaguzi ni mwaka 2015. Huku ni mbali sana kwani lolote linaweza kutokea kuanzia sasa hivi mpaka 2015.

    5. #4
      Wakurogwa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 190
      Rep Power : 0
      Likes Received
      37
      Likes Given
      44

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA.

      Du kaka mbona mapema sana kutabiri rais ndiyo kwanza mwaka wa kwanza umefika tangu tutoke uchaguzi mkuu!!Vp bwana mbona una haraka.

    6. #5
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2449
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA.

      Ahahahahah!

    7. Miaka 50

    8. #6
      Washawasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : jo'burg
      Posts : 4,004
      Rep Power : 1455
      Likes Received
      456
      Likes Given
      891

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA.

      kuchukua nchi unafikiri ni lele mama?kwa yeyote anayetaka ajipanga vizuri wote waliogombania chaguzi zilizopita hutawataki.Nalog off

      shuka halina mfuko



    9. #7
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1177
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By Daffi
      Too early to judge,but you deserved this because you played fouls
      Naona kama kijiti kinaweza kumponyoka kaka wa magogoni kabla ya uchaguzi! Manake mbio ni kali mno.

    10. #8
      Mlengo wa Kati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2011
      Posts : 1,301
      Rep Power : 0
      Likes Received
      188
      Likes Given
      11

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA.

      Hoja ya kichadema chadema!

    11. #9
      mafiakisiwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2011
      Location : Kilindoni
      Posts : 363
      Rep Power : 490
      Likes Received
      29
      Likes Given
      84

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA.

      Ibrahimu Lipumba ndiye anayefaa
      Kuchamba kwingi mwishowe hushika ma*i

    12. #10
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,340
      Rep Power : 872
      Likes Received
      382
      Likes Given
      304

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA.

      Quote By Jumakidogo
      Naitizama hali ilivyo. Nalazimika kuona kuwa kuna kila haja ya kujadili mapema, ni nani anayefaa kuwa rais wa awamu ijayo. Kwa upande wa CDM sina mashaka, hata nikiweka hawa watatu wanatosha kuwa na uzani wa kutosha

      1. Dk SLAA
      2. FREEMAN MBOWE
      3. TUNDU LISSU. Kwa upande wa CCM, Hapa ntaweka wengi kwani nina mashaka kidogo.

      1. JOHN MAGUFULI
      2.EDWARD LOWASA
      3. MARC MWANDOSYA.
      4. BERNARD MEMBE
      5. WASIRA
      6. IBRAHIMU LIPUMBA (CCM B) 2. HAMAD RASHID (CCM B) hawa wa chini nimewaweka kwa makusudi katika mkumbo kutokana na msimamo wa chama chao. Kama wameridhiana visiwani, hawashindwi kuungana hata bara. Hayo ni majina ya wanasiasa wanaosikika zaidi.

      Ni nani hapa anafaa kuingia magogoni awamu ijayo?
      Huyu ni bora tukamwombea apone haraka na tusimtie majaribuni "" AMENI""
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    13. #11
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,703
      Rep Power : 3255
      Likes Received
      980
      Likes Given
      754

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA.

      Ingekuwa vema zaidi kama tungejadili sifa za mtu anayefaa kuwa rais wa tanzania katika maqzingira tulimo, halafu ndo tutajua nani anatufaa
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    14. #12
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,019
      Rep Power : 2561
      Likes Received
      787
      Likes Given
      28

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA.

      Quote By Jumakidogo
      Naitizama hali ilivyo. Nalazimika kuona kuwa kuna kila haja ya kujadili mapema, ni nani anayefaa kuwa rais wa awamu ijayo. Kwa upande wa CDM sina mashaka, hata nikiweka hawa watatu wanatosha kuwa na uzani wa kutosha

      1. Dk SLAA
      2. FREEMAN MBOWE
      3. TUNDU LISSU. Kwa upande wa CCM, Hapa ntaweka wengi kwani nina mashaka kidogo.

      1. JOHN MAGUFULI
      2.EDWARD LOWASA
      3. MARC MWANDOSYA.
      4. BERNARD MEMBE
      5. WASIRA
      6. IBRAHIMU LIPUMBA (CCM B) 2. HAMAD RASHID (CCM B) hawa wa chini nimewaweka kwa makusudi katika mkumbo kutokana na msimamo wa chama chao. Kama wameridhiana visiwani, hawashindwi kuungana hata bara. Hayo ni majina ya wanasiasa wanaosikika zaidi.

      Ni nani hapa anafaa kuingia magogoni awamu ijayo?
      JF tumevamiwa hakika si kawaida hii
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    15. #13
      CUF Ngangari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 257
      Rep Power : 444
      Likes Received
      37
      Likes Given
      0

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA

      hapo ninaye muona ni LIPUMBA peke yake kama tukiacha ushabiki na UDINI.

    16. #14
      kapotolo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 2,407
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      392

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA

      Ukiona watu wanazungumzia urais mapema hivi ujue aliyeko madarakani ameshindwa kuongoza na watu wanatamani miaka yake iishe kesho.
      Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu

    17. #15
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1177
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By Lunyungu
      JF tumevamiwa hakika si kawaida hii
      Jf hatujavamiwa hakika. Ni kawaida hii.
      Last edited by Jumakidogo; 19th November 2011 at 19:25.

    18. #16
      Gosbertgoodluck's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 2,863
      Rep Power : 1149
      Likes Received
      334
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Mpita Njia
      Ingekuwa vema zaidi kama tungejadili sifa za mtu anayefaa kuwa rais wa tanzania katika maqzingira tulimo, halafu ndo tutajua nani anatufaa
      Naunga mkono hoja.

    19. #17
      Gracious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Location : Republic of Tanganyika
      Posts : 643
      Rep Power : 597
      Likes Received
      303
      Likes Given
      405

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA

      Quote By Jumakidogo
      Naitizama hali ilivyo. Nalazimika kuona kuwa kuna kila haja ya kujadili mapema, ni nani anayefaa kuwa rais wa awamu ijayo. Kwa upande wa CDM sina mashaka, hata nikiweka hawa watatu wanatosha kuwa na uzani wa kutosha

      1. Dk SLAA
      2. FREEMAN MBOWE
      3. TUNDU LISSU. Kwa upande wa CCM, Hapa ntaweka wengi kwani nina mashaka kidogo.

      1. JOHN MAGUFULI
      2.EDWARD LOWASA
      3. MARC MWANDOSYA.
      4. BERNARD MEMBE
      5. WASIRA
      6. IBRAHIMU LIPUMBA (CCM B) 2. HAMAD RASHID (CCM B) hawa wa chini nimewaweka kwa makusudi katika mkumbo kutokana na msimamo wa chama chao. Kama wameridhiana visiwani, hawashindwi kuungana hata bara. Hayo ni majina ya wanasiasa wanaosikika zaidi.

      Ni nani hapa anafaa kuingia magogoni awamu ijayo?
      January Makamba is so smart,he deserves

    20. #18
      Wababa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st July 2011
      Posts : 160
      Rep Power : 428
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA

      Hahahahaha dr slaa anafaa kuliko wote hapo.

    21. #19
      Mponjori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2011
      Posts : 1,181
      Rep Power : 654
      Likes Received
      257
      Likes Given
      4

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA

      Lazma 2anze mbali kutabili,mnataka tutabiri wakat bado cku 7?ila najckia kichefuchefu jina la wasira

    22. #20
      Indume Yene's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Chumbani
      Posts : 2,144
      Rep Power : 4952
      Likes Received
      334
      Likes Given
      310

      Default Re: Nani anayefaa kuwa rais ajaye kati ya makada hawa wa CCM, CHADEMA

      Quote By Jumakidogo
      Naitizama hali ilivyo. Nalazimika kuona kuwa kuna kila haja ya kujadili mapema, ni nani anayefaa kuwa rais wa awamu ijayo. Kwa upande wa CDM sina mashaka, hata nikiweka hawa watatu wanatosha kuwa na uzani wa kutosha

      1. Dk SLAA
      2. FREEMAN MBOWE
      3. TUNDU LISSU. Kwa upande wa CCM, Hapa ntaweka wengi kwani nina mashaka kidogo.

      1. JOHN MAGUFULI
      2.EDWARD LOWASA
      3. MARC MWANDOSYA.
      4. BERNARD MEMBE
      5. WASIRA
      6. IBRAHIMU LIPUMBA (CCM B) 2. HAMAD RASHID (CCM B) hawa wa chini nimewaweka kwa makusudi katika mkumbo kutokana na msimamo wa chama chao. Kama wameridhiana visiwani, hawashindwi kuungana hata bara. Hayo ni majina ya wanasiasa wanaosikika zaidi.

      Ni nani hapa anafaa kuingia magogoni awamu ijayo?
      Una miaka 2 tangu umejiunga na JF, tuna miaka 3 kabla hatajafika kwenye uchaguzi mkuu. Tangu umejiunga na JF hadi sasa hatujapata KATIBA HALALI. Hatujui nani atafika huko 2015 kama katiba halali ya wananchi inayotokana na matakwa yao itakuwa haijapatikana. Kama hakutakuwa na katiba halali..that means no uchaguzi unaouzungumzia.
      Kwa kifupi ni kuwa sasa hivi hatuna muda wa kuzungumzia mgombea 2015 wakati hatuna KATIBA YA WANANCHI.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Ungependa nani awe rais wako kati ya hawa?
      By Eiyer in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 90
      Last Post: 29th August 2012, 14:45
    2. Wewe ni nani kati ya hawa?
      By Jaguar in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 20
      Last Post: 6th October 2011, 12:21
    3. Mke yupi anayefaa kati ya hawa?
      By Bujibuji in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 20
      Last Post: 3rd August 2010, 16:43
    4. Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??
      By Konaball in forum Sports
      Replies: 21
      Last Post: 26th November 2009, 17:00

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...