Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tundu Lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 67
    1. #1
      Joblube's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2011
      Posts : 270
      Rep Power : 474
      Likes Received
      98
      Likes Given
      0

      Default Tundu Lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      Kwa kazi inayofanywa CHADEMA kwa kwa kweli mnapaswa kupongezwa. Lakini nachukua nafasi kumpongeza Tundu Lisu hakika umeonyesha uajasiri mkubwa na sio mwoga pamoja na kushambuliwa kila upande na Magamba na washirika wao kutoka bara hadi visiwani huajalegeza msimamamo wala kutetereka. Umeonyesha kuwa wananchi waliokuchagua hawakufanya makosa pia umedhiirisha kuwa wabunge wote wa CCM hawajakaribia hata kidogo uwezo wako wa kuona mambo. Kilichonifurahisha ni kuwa wewe si mnafiki kama baadhi ya wabunge wengine sisi wapenda amani na usawa tunakuombea maisha kwani pia tunajua uanahatarisha maisha yako mbele ya Magamba.

      Nimekumbuka ule msemo wa JK kwenye kampeni kuliko Tundu Lisu awe mbunge heri Dr Slaa awe rais, hakika wewe ni kisiki cha mpingo


    2. #2
      sulphadoxine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 2,190
      Rep Power : 942
      Likes Received
      565
      Likes Given
      2058

      Default Re: Tundu lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      Tundu Lissu ni katapila,magamba baada ya kuuchambua muswada wa katiba wanamshambulia lissu baada ya kusema ukweli,mungu akubariki na kukulinda.
      CHUKI NA UADUI NI MATOKEO YA UPUMBAVU:

    3. #3
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 1,008
      Rep Power : 2463
      Likes Received
      196
      Likes Given
      17

      Default Re: Tundu lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      Hakika 2tamuunga mkono ktk hali zote.

    4. #4
      Sordo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Location : Siringet Olemuta
      Posts : 397
      Rep Power : 467
      Likes Received
      119
      Likes Given
      108

      Default Re: Tundu lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      Mungu amwongezee uhai, hekima, busara, nguvu na ujasiri
      Borakufa likes this.

    5. #5
      WILSON MWIJAGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2011
      Posts : 271
      Rep Power : 537
      Likes Received
      69
      Likes Given
      0

      Post Re: Tundu lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      Quote By Sordo View Post
      Mungu amwongezee uhai, hekima, busara, nguvu na ujasiri

      Kweli Mungu awe pamoja naye (Kamanda wa ukweli) lakini ninapoangalia picha iliyopo ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwananchi la leo (18.11.2011) naogopa
      sana


    6. #6
      Micro E coli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 552
      Rep Power : 496
      Likes Received
      103
      Likes Given
      88

      Default Re: Tundu Lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      Kamanda LISSU kaza kamba uzi uleule hatutaki usanii wa magamba wala usiwe na wasiwasi tuponyuma yako mpaka sasa wabunge wa CCM sijaona aliye jibu hoja zako za nguvu bomu ulilopiga limewasambaratisha magamba wamebaki kulalamika na kulaumu wengine wanaomba tuwasikilize wakati tunawasikia lakini hatuoni hoja wako pale kwa ajili ya matumbo yao.

    7. #7
      MtamaMchungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 1,553
      Rep Power : 813
      Likes Received
      715
      Likes Given
      64

      Default Re: Tundu Lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      Lissu for president 2015

    8. #8
      tanira1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2011
      Posts : 667
      Rep Power : 516
      Likes Received
      114
      Likes Given
      102

      Default Re: Tundu lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      huwa bado napata shida kujua mfumo wanaotumia cdm kupata viongozi kwani ukiondoa shibuda waliobaki wote wako smart, nawaona wote hawaimbi ''mungu ibariki'', hawa wanaimba'' nilalapo nakuota wewe niamkapo ni heri mama wee'' maana wapiganaji wa ukweli kama lissu, dr slaa, lema, na yule iringa ccm anaitwa fulunjombe sijui vizuri jina lake wanaimba hiyo nyimbo ya pili lakini mtu kama shibuda, mrema lyatonga na wasira, na magamba wote wanaimba mungu ibariki ukiimba hiyo ya pili nilalapo nakuota wewe uwezi kubaka uchumi wa tanzania hata kidogo kila dhuruma utakayotaka kufanya utahisi mungu anakunyoshea kidole

    9. #9
      Rejao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 8,776
      Rep Power : 25659
      Likes Received
      3353
      Likes Given
      2882

      Default Re: Tundu Lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      Quote By MtamaMchungu View Post
      Lissu for president 2015
      Slaa vipi?
      Kitilya naye je?
      If you can't convince them, confuse them.
      M-4-C - Movement for Chagaz

    10. #10
      lemberwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th March 2011
      Posts : 21
      Rep Power : 421
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: Tundu Lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      GENERAL
      Salutation Honourable Member picture
      First Name: Tundu
      Middle Name: Antiphas Mughwai
      Last Name: Lissu
      Member Type: Constituency Member
      Constituent: Singida Mashariki
      Political Party: CHADEMA
      Office Location: Box 21746, Dar Es Salaam
      Office Phone: +255 22 2780859/+255 754 447323/+255 786 572 571
      Ext.:
      Office Fax:
      Office E-mail:
      Member Status:
      Date of Birth
      EDUCATIONS
      School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
      Mahambe Primary School Primary Education 1976 1982 PRIMARY
      Ilboru Secondary School O-Level Education 1983 1986 SECONDARY
      Galanos Secondary School A-Level Education 1987 1989 HIGH SCHOOL
      University of Dar Es Salaam LLB 1991 1994 GRADUATE
      University of Warwick, UK LLM 1995 1996 MASTERS DEGREE
      CERTIFICATIONS
      Certification Name or Type Certification No. Issued Expires
      EMPLOYMENT HISTORY
      Company Name Position From Date To Date
      The Parliament of Tanzania Member - Singida West Constituency 2010 2015
      Lawyers' Environmental Action Team (LEAT) Director of Researcher 2003 2008
      The World Resources Institute (WRI), USA Researcher 1999 2002
      Lawyers' Environmental Action Team (LEAT) Researcher 1998 1999
      D'Souza Chambers Advocates 1994 1997
      Bondeni Secondary School Teacher 1990 1991
      POLITICAL EXPERIENCE
      Ministry/Political Party/Location Position From To
      CHADEMA Director of Law 2004
      NCCR-Mageuzi Member of Parliament Candidate 1995

    11. #11
      MtamaMchungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 1,553
      Rep Power : 813
      Likes Received
      715
      Likes Given
      64

      Default

      Quote By Rejao View Post
      Slaa vipi?
      Kitilya naye je?
      Basi awe Ridhiwani au Mama Salma.

    12. #12
      king kong's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 107
      Rep Power : 416
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Tundu Lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      hapo mpiganaji tunae

    13. #13
      Daffi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2011
      Location : Arachuga
      Posts : 2,949
      Rep Power : 993
      Likes Received
      517
      Likes Given
      239

      Default

      Quote By Rejao View Post
      Slaa vipi?
      Kitilya naye je?
      Kijambo tena yenye harufu kali!!

    14. #14
      Daffi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2011
      Location : Arachuga
      Posts : 2,949
      Rep Power : 993
      Likes Received
      517
      Likes Given
      239

      Default Re: Tundu Lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      Big up Lissu,mungu azidi kukubariki na akupe hekima na ujasiri zaidi!!

    15. #15
      Tuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Posts : 5,080
      Rep Power : 13995
      Likes Received
      2582
      Likes Given
      2485

      Default Re: Tundu Lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      Quote By Joblube View Post
      Kwa kazi inayofanywa CHADEMA kwa kwa kweli mnapaswa kupongezwa. Lakini nachukua nafasi kumpongeza Tundu Lisu hakika umeonyesha uajasiri mkubwa na sio mwoga pamoja na kushambuliwa kila upande na Magamba na washirika wao kutoka bara hadi visiwani huajalegeza msimamamo wala kutetereka. Umeonyesha kuwa wananchi waliokuchagua hawakufanya makosa pia umedhiirisha kuwa wabunge wote wa CCM hawajakaribia hata kidogo uwezo wako wa kuona mambo. Kilichonifurahisha ni kuwa wewe si mnafiki kama baadhi ya wabunge wengine sisi wapenda amani na usawa tunakuombea maisha kwani pia tunajua uanahatarisha maisha yako mbele ya Magamba.

      Nimekumbuka ule msemo wa JK kwenye kampeni kuliko Tundu Lisu awe mbunge heri Dr Slaa awe rais, hakika wewe ni kisiki cha mpingo
      Kuna usemi kuwa ukimuota mtu kafa, then ni ishara ya huyo mtu kufanikiwa mambo fulani. Sio siri, juzi niliota Lissu na Slaa wamekufa, na maelfu ya watu walikuwa wanashiriki mazishi yao yaliyofanywa kwa pamoja...

    16. #16
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,181
      Rep Power : 949
      Likes Received
      889
      Likes Given
      1

      Default Re: Tundu Lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      Mbona Sitta (at least anafahamu sheria among magamba) amekimbia na kwenda India kumsalimia
      Dr. Mwakyembe, kwanini hakua ahirisha akabaki kuitetea serikali yake ktk
      kipindi hiki tete?

    17. #17
      Glucky's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th December 2009
      Location : Anywhere where Oxygen is available
      Posts : 90
      Rep Power : 502
      Likes Received
      13
      Likes Given
      1

      Default Re: Tundu Lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      huyu jamaa huwa ananifurahisha natamani tungekuwa na wabunge kama hawa 10 bungeni pasingetosha hao wajingawajinga wangeacha kutoa hoja zao za kijinga.

    18. #18
      kikahe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd May 2009
      Location : Kanyi ko Ruwa
      Posts : 1,202
      Rep Power : 832
      Likes Received
      178
      Likes Given
      134

      Default Re: Tundu Lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      Lissu anasema wajibu hoja na sio kumshambulia yeye.
      If Life gives you lemon, change it to Lemonade.

    19. #19
      Mawenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 714
      Rep Power : 586
      Likes Received
      144
      Likes Given
      820

      Default Re: Tundu lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      Quote By tanira1 View Post
      huwa bado napata shida kujua mfumo wanaotumia cdm kupata viongozi kwani ukiondoa shibuda waliobaki wote wako smart, nawaona wote hawaimbi ''mungu ibariki'', hawa wanaimba'' nilalapo nakuota wewe niamkapo ni heri mama wee'' maana wapiganaji wa ukweli kama lissu, dr slaa, lema, na yule iringa ccm anaitwa fulunjombe sijui vizuri jina lake wanaimba hiyo nyimbo ya pili lakini mtu kama shibuda, mrema lyatonga na wasira, na magamba wote wanaimba mungu ibariki ukiimba hiyo ya pili nilalapo nakuota wewe uwezi kubaka uchumi wa tanzania hata kidogo kila dhuruma utakayotaka kufanya utahisi mungu anakunyoshea kidole
      Thanx Mkuu. Lkn Filikunjombe ni wa magamba ingawa ni kimanda wa ukweli!!

    20. #20
      Maganga Mkweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2009
      Posts : 1,242
      Rep Power : 754
      Likes Received
      398
      Likes Given
      1024

      Default Re: Tundu Lisu ni kisiki cha mpingo wapenda haki tunakukubali endeleza tupo nyuma yako

      Lissu ni jembe ........................ Anajua kilichompeleka mjengoni sio kama wale magamba
      LIKE NOTHING HAPPENED.... AND LIFE GOES ON...
      MHANDISI WA MFUMO WA UMEME /POWER SYSTEM ENGINEER -ANY ELECTRICAL ENGINEERING ISSUE YOU CAN CONSULT ME..

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Tundu lisu na chanel ten
      By Plato in forum JF Chit-Chat
      Replies: 1
      Last Post: 17th April 2011, 21:12
    2. Tucta tupo nyuma yenu
      By BENSON MSEMWA in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 1
      Last Post: 11th August 2010, 18:46

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...