Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwanahalisi lafungiwa na Serikali

    Report Post
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 118
    1. #1
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,067
      Rep Power : 9501
      Likes Received
      3186
      Likes Given
      1237

      Default Mwanahalisi lafungiwa na Serikali

      Nimepata habari hivi punde imekuja ikiwa imevunjia vunjika gazeti la Mwanahalisi limefungiwa miezi 3 stay tuned...
      Last edited by PainKiller; 13th October 2008 at 23:12. Reason: prefix removed
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    2. Miaka 50

    3. #41
      Moelex23's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2006
      Posts : 519
      Rep Power : 1157
      Likes Received
      83
      Likes Given
      12

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      Haya wakuu tumsubiri Presida wetu JK tuone kama anajua kucheza chess!! Mkuchika ni mtu wake, lakini hapa JK anaweza kumlazimisha kutengua huo uamuzi kama kweli anataka wananchi tuamini kuwa yeye ni mpenda haki.

      Mwanahalisi wao wamesema tu kuwa kuna habari za kutaka kumtoa JK, all the govt had to do ni kutoa habari kuwa mwanahalisi habari zao si za kweli na hakuna mpango huo. Simple as that.

      Sasa kama kila habari ya uongo mtafungia magazeti si itakuwa wazimu??

    4. #42
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,518
      Rep Power : 46714
      Likes Received
      16434
      Likes Given
      8469

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      Quote By moelex23
      Haya wakuu tumsubiri Presida wetu JK tuone kama anajua kucheza chess!! Mkuchika ni mtu wake, lakini hapa JK anaweza kumlazimisha kutengua huo uamuzi kama kweli anataka wananchi tuamini kuwa yeye ni mpenda haki.

      Mwanahalisi wao wamesema tu kuwa kuna habari za kutaka kumtoa JK, all the govt had to do ni kutoa habari kuwa mwanahalisi habari zao si za kweli na hakuna mpango huo. Simple as that.

      Sasa kama kila habari ya uongo mtafungia magazeti si itakuwa wazimu??
      JK hatotengua uamuzi huo kwani katoa baraka zake. Akitengua ataonekana amekubali kushindwa.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    5. #43
      Mambo Jambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2008
      Posts : 1,043
      Rep Power : 763
      Likes Received
      16
      Likes Given
      1

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      Quote By Mpita Njia
      naamini kuwa hali halisi Publishers walisajili gazeti zaidi ya moja.



      Dont know if Saed Kubenea = michael scofield (prison break)

    6. #44
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,329
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      4990
      Likes Given
      5766

      Default

      Na inasomeka hivi:

      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    7. #45
      Mambo Jambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2008
      Posts : 1,043
      Rep Power : 763
      Likes Received
      16
      Likes Given
      1

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      Quote By Invincible
      Na hasira za kushindwa uchaguzi wa tarime humo humo.
      Kwani haya matokeo mmeyatoa wapi, mbona rais hajatangaza bado? hii si ni kazi ya rais....kwi..kwi..kwi

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      Mambo Jambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2008
      Posts : 1,043
      Rep Power : 763
      Likes Received
      16
      Likes Given
      1

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      Quote By FairPlayer
      I love this country!
      Which part exactly of this LOVE?

    10. #47
      Mambo Jambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2008
      Posts : 1,043
      Rep Power : 763
      Likes Received
      16
      Likes Given
      1

      Default Re: Mwanahalisi yafungiwa

      Quote By Azimio Jipya
      Inashangaza!

      Why only three months?

      Because after three months US election will be done by then, na rais atakuwa amekwisha apishwa na hapo Mwanahalisi halitaweza kuharibu mambo ya uchaguzi na siasa za marekani.

      Kazi ipo

    11. #48
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,283
      Rep Power : 3443
      Likes Received
      1322
      Likes Given
      855

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      wamefungia kimwanahalisi na kuzaliwa wanahalisi wengi tu

      waanze kufungia huu uchafu hapo chini

      gazeti la uhuru

      CCM YAONGOZA UCHAGUZI TARIME

      nakulikazia zaidi hili hapo chini

      ccm wapeta tarime
      source: darleo; alasiri

    12. #49
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,117
      Rep Power : 5479
      Likes Received
      3525
      Likes Given
      1949

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      Hii font balaaa...

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    13. #50
      Companero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2008
      Posts : 4,755
      Rep Power : 6504
      Likes Received
      955
      Likes Given
      1107

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      Quote By Invisible
      Na inasomeka hivi:

      Sheria ya Magazeti haimbani Waziri kuandika sababu ya kufungia gazeti au iko kwenye ukurasa wa pili wa hicho kigazeti cha Serikali?
      "Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon

    14. #51
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,329
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      4990
      Likes Given
      5766

      Default

      Quote By Companero
      Sheria ya Magazeti haimbani Waziri kuandika sababu ya kufungia gazeti au iko kwenye ukurasa wa pili wa hicho kigazeti cha Serikali?
      Oh,

      Well, kuna statement yake. Working on it...
      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    15. #52
      Kuhani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2008
      Posts : 2,985
      Rep Power : 1989
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      Quote By Companero

      Sheria ya Magazeti haimbani Waziri kuandika sababu ya kufungia gazeti au iko kwenye ukurasa wa pili wa hicho kigazeti cha Serikali?
      Hatakiwi kutoa sababu za kufungia chombo cha habari!

      Nakwambia kuna ma evil genius walishaona hivyo vitu wakavipangilia ki dikteta dikteka long time ago!

      THE TANZANIA NEWS AGENCY ACT, 1976
      PART III Section 7, Section 2

      Provide that the Agency may, without assigning reasons therefor, refuse to issue any authorization under this subsection or suspend or revoke any authorization issued by it.


      Habari ndio hiyo!

    16. #53
      kela72's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th May 2008
      Posts : 170
      Rep Power : 598
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      Yaani ndio nazidi kugundua unafiki wa viongozi wetu, inatakiwa Rai pia lifungiwe! Wanatuachia gazeti gani sasa lenye uhuru maana meengi yameingiziwa virusi vya mafisadi! No, hili jamani tujitahidi hata kuandamana kulipinga. Kama Rais wetu hakumkataza mwanae kutaka madaraka CCM wakati huu yeye akiwa Rais, ajue hizi ndizo gharama zake. Kweli jina la mwanae limetajwa mara nyingi tu kweye kumharibia JK ikiwa ni pamoja na kujihusha na Ufisadi!!

    17. #54
      Utamaduni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Home
      Posts : 744
      Rep Power : 744
      Likes Received
      82
      Likes Given
      53

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      Quote By FairPlayer
      I love this country!
      yeah,

      hate the leaders
      JK Ni Rais wa watu mil.5 kwenye nchi ya watu mil.50 (By vote)

    18. #55
      Utamaduni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Home
      Posts : 744
      Rep Power : 744
      Likes Received
      82
      Likes Given
      53

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      Quote By ochu
      hatimae mafisadi wameshinda...
      Temea mate chni mkuu,,,, maneno huumba
      JK Ni Rais wa watu mil.5 kwenye nchi ya watu mil.50 (By vote)

    19. #56
      Halisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2007
      Posts : 3,037
      Rep Power : 2178
      Likes Received
      455
      Likes Given
      243

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      Editors forum wanakutana, kabla ya kutoa statement maana Mkuchika amewasema vibaya editors forums akisema kuna editors forums mbili moja ikiwa ni ya Sakina Datoo ambayo yeye haitambui na ingine ni ya Yassin Sadiki wa gazeti la Hoja (la Usalama).

      Kisasi cha Mkuchika kimetokana na wahariri kumsusia kikao chake wiki iliyopita. Mkuchika aliawataka Editors forum wamuite, wakamuita wakamwambia wakutane katika ukumbi walipanga. Mkuchika akakataa akasema yeye ni Waziri hawezi kwenda, bali wao ndio wamfuate. Wahariri wakamwacha, akawaalika, akawaita ofisini kwake, hawakwenda. Alikaa ukumbi ukawa na wapiga picha wa TBC1 pekee, maana hata wahariri wa vyombo vya serikali hawakwenda. Alikasirika sana na sasa ndio anasema hawatambui. Alipowaita aliwatambua, Mwanyika, IGP walipokwenda, waliwatambua, Waziri Mkuu Pinda naye anaelezwa kukubali kukutana nao, aliwatambua, leo Mkuchika anasema hawatambui. Nadhani na yeye ameingia KUNDINI.

    20. #57
      Eeka Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2008
      Posts : 2,691
      Rep Power : 1095
      Likes Received
      281
      Likes Given
      173

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      Quote By Mambo Jambo
      Kwani haya matokeo mmeyatoa wapi, mbona rais hajatangaza bado? hii si ni kazi ya rais....kwi..kwi..kwi
      Du! Hii kali,,,, yaani mkuu Rais ndo mwenye kutangaza matokeo ya ubunge na udiwani,,,, ama umeamua kutuchekesha,,,, hapo ni msimamizi wa uchaguzi mzee. hata hivyo nashukuru nimecheka kidogo kwa post yako. Asante mkuu

    21. #58
      LazyDog's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2008
      Posts : 2,186
      Rep Power : 21022
      Likes Received
      16
      Likes Given
      33

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa

      Quote By Halisi
      Editors forum wanakutana, kabla ya kutoa statement maana Mkuchika amewasema vibaya editors forums akisema kuna editors forums mbili moja ikiwa ni ya Sakina Datoo ambayo yeye haitambui na ingine ni ya Yassin Sadiki wa gazeti la Hoja (la Usalama).

      Kisasi cha Mkuchika kimetokana na wahariri kumsusia kikao chake wiki iliyopita. Mkuchika aliawataka Editors forum wamuite, wakamuita wakamwambia wakutane katika ukumbi walipanga. Mkuchika akakataa akasema yeye ni Waziri hawezi kwenda, bali wao ndio wamfuate. Wahariri wakamwacha, akawaalika, akawaita ofisini kwake, hawakwenda. Alikaa ukumbi ukawa na wapiga picha wa TBC1 pekee, maana hata wahariri wa vyombo vya serikali hawakwenda. Alikasirika sana na sasa ndio anasema hawatambui. Alipowaita aliwatambua, Mwanyika, IGP walipokwenda, waliwatambua, Waziri Mkuu Pinda naye anaelezwa kukubali kukutana nao, aliwatambua, leo Mkuchika anasema hawatambui. Nadhani na yeye ameingia KUNDINI.



      Saafi sana kwa kumuadabisha!
      Hii mijitu haiwezi kujifunza kabisa. Tusubiri tu nusu ya kizazi/rika lao litakapoondoka kwenye "system".




      .
      A person who won't read has no advantage over one who can't read. -Mark Twain

    22. #59
      Kithuku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2006
      Posts : 1,406
      Rep Power : 921
      Likes Received
      25
      Likes Given
      11

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa na Serikali ya Rais Kikwete

      Kwa hiyo ule uvumi kuwa Kubenea anafanya kazi akiungwa mkono na JK au ndio kamdomo ka JK kumbe ilikuwa fiksi, magirini au nini?
      "Those who cannot remember the past are condemned to repeat it." George Santayana(1863-1952), U.S Philosopher and Poet. Life of Reason, 'Reason in Common Sense', Scribners, 1905, page 284

    23. BAK
      #60
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,633
      Rep Power : 44971
      Likes Received
      8385
      Likes Given
      8363

      Default Re: Mwanahalisi lafungiwa na Serikali ya Rais Kikwete

      DCI summons MwanaHALISI managing editor

      2008-10-13 11:12:17
      By Guardian Reporter

      The Director of Criminal Investigations yesterday summoned MwanaHalisi editor Saeed Kubenea for reasons which could not be immediately established.

      Kubenea was expected at the DCI`s office yesterday afternoon.

      On Wednesday, Kubenea`s weekly newspaper, MwanaHalisi, carried a story on its front page, saying there was a plot to oust President Jakaya Kikwete, a move said to be spearheaded by some senior leaders in his party and his own son.

      The tabloid reported that schemers were working to bar the president from vying for the presidency in 2010.

      In response, the State House through its Director of Communications Salva Rweyemamu, said the story was a total fabrication and a tale of a century.

      The Editors Forum, through its chairperson Sakina Datoo, last week appealed to the government to give Kubenea a fair chance to prove his case. She also said that time for banning of newspapers was long gone.

      SOURCE: Guardian

      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast

    LinkBacks (?)

    1. 13th October 2008, 18:40

    Similar Topics

    1. Replies: 86
      Last Post: 22nd December 2011, 16:24
    2. mwanahalisi
      By Kadamfu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 6
      Last Post: 21st November 2011, 18:53
    3. Serikali yatishia Kulifungia Gazeti la MwanaHalisi
      By Halisi in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 24
      Last Post: 3rd August 2011, 18:47
    4. serikali imenywea - Mwanahalisi!
      By Nyambala in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 12
      Last Post: 26th February 2009, 18:11
    5. Replies: 301
      Last Post: 13th October 2008, 11:06

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...