Sina comment kuhusu aliyoongea Nape, sikiliza.
Sina comment kuhusu aliyoongea Nape, sikiliza.
The link you have provided does not respond. Unaweza turekebishie tuskie?
Anambomoa kivipi, kwani Lowassa ni kibanda? Kwanini aende kuongelea vichochoroni kama kweli amedhamiria anachokiongea. Kuna runinga ya TBC 1 na redio ya TBC Taifa zinasikika nchi nzima hakuziona hadi aende kujifungia maliwatoni na kuongea? Kama amekutuma mwambie aache unafiki.
''CCM ni sawa na UKOO WA PANYA, baba Mwizi, Mama Mwizi, Mtoto Mwizi, Kaka Mwizi, Dada Mwizi, Babu Mwizi, Bibi Mwizi, Shemeji Mwizi, Mkwe Mwizi'' By Joshua Nassari
Mbona hajavaa manguo yale ya kijani, au kwakuwa yale Manguo ni ishara ya ufisadi anaogopa FBI wakimuona na yale manguo watamdaka? Hana lolote zaidi ya kujiongezea kipato kwa kukamata Per Diems ndefu za ughaibuni...
''CCM ni sawa na UKOO WA PANYA, baba Mwizi, Mama Mwizi, Mtoto Mwizi, Kaka Mwizi, Dada Mwizi, Babu Mwizi, Bibi Mwizi, Shemeji Mwizi, Mkwe Mwizi'' By Joshua Nassari
Mmh mtotokoto......yetu macho na masikio.
Hizi interview za kufanyia sebuleni kwa watu ni kujitia aibu kama katibu mwenezi wa chama kinachopoteza umaarufu kwa kasi kuliko vyote duniani.
''CCM ni sawa na UKOO WA PANYA, baba Mwizi, Mama Mwizi, Mtoto Mwizi, Kaka Mwizi, Dada Mwizi, Babu Mwizi, Bibi Mwizi, Shemeji Mwizi, Mkwe Mwizi'' By Joshua Nassari
link iko wapi jamani
I'm Naturaly Evasive..
Eti anadai mimba ya kumzaa yeye Nape ilitungwa wakati CCM inaanzishwa...
Eti atasema ukweli daima FITINA KWAKE MWIKO...
Ina maana siku ile mlipotuhonga hela kuhudhuria mkutano wenu wa Mwanza sio fitina? Kusema utashikisha watu ukuta sio fitna hiyo?
''CCM ni sawa na UKOO WA PANYA, baba Mwizi, Mama Mwizi, Mtoto Mwizi, Kaka Mwizi, Dada Mwizi, Babu Mwizi, Bibi Mwizi, Shemeji Mwizi, Mkwe Mwizi'' By Joshua Nassari
Eti wameinua kioo watu wajiangalie na kulala mbele wenyewe...
Kamnyima kazi mzee wa propaganda kwa kukifuta kitengo cha propaganda. Huyo jamaa ana roho mbaya sana, sasa Tambwe Hizza atakula wapi?
Mkianzisha vyuo vidogo vya chama wilayani, nani atahudhuria hivyo vyuo na kuvaa yale manguo ya kijani?
''CCM ni sawa na UKOO WA PANYA, baba Mwizi, Mama Mwizi, Mtoto Mwizi, Kaka Mwizi, Dada Mwizi, Babu Mwizi, Bibi Mwizi, Shemeji Mwizi, Mkwe Mwizi'' By Joshua Nassari
Lowasa na CCM hawakukutana mitaani. Sasa asije akawa anabomoa CCM ili akimbilie CCJ
Vita vya Magamba.......,furaha kwa CHADEMA.Viva CHADEMA!
Yote anayoyaongelea ni kama hayatekelezeki na alivyo kichekesho anashindwa kuwataja watu majina kwa hiyo mleta mada nawe umetumia vibaya jina la Lowassa kwa vile Nape ameogopa kutaja hilo jina kuwa linatakiwa kujivua gamba
''CCM ni sawa na UKOO WA PANYA, baba Mwizi, Mama Mwizi, Mtoto Mwizi, Kaka Mwizi, Dada Mwizi, Babu Mwizi, Bibi Mwizi, Shemeji Mwizi, Mkwe Mwizi'' By Joshua Nassari
hebu elezea inagoma mkuu
when love goes wrong,nothing goes right.
Nani anahusika na Rada watu watataja jina, Richmond ni ya nani watu watataja jina... Sasa wewe Nape mbona hautaji?? Mfitini mkubwa, kama uko serious na kujivua gamba taja kabisa sema Lowassa jivue gamba, Chenge jivue gamba. Sio kusema kwa mafumbo. Anaongelea usaliti wa chama wakati naye alianzisha CCJ...
''CCM ni sawa na UKOO WA PANYA, baba Mwizi, Mama Mwizi, Mtoto Mwizi, Kaka Mwizi, Dada Mwizi, Babu Mwizi, Bibi Mwizi, Shemeji Mwizi, Mkwe Mwizi'' By Joshua Nassari
Sijasikia hiyo interview, lakini basing on the headline, naomba Nape afahamu kuwa Lowassa ni mmoja wa watu wenye nguvu kubwa ndani ya CCM. Kwa hakika, hata Kikwete hana nguvu ndani ya CCM kulinganisha na Lowassa. kwa hiyo, jitihada zozote za kutaka kumbomoa Lowassa ndani ya CCM, ni kuibomoa CCM yenyewe
I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.
Eti Nape akipita watu wanatetemeka... NI akina nani hao???
''CCM ni sawa na UKOO WA PANYA, baba Mwizi, Mama Mwizi, Mtoto Mwizi, Kaka Mwizi, Dada Mwizi, Babu Mwizi, Bibi Mwizi, Shemeji Mwizi, Mkwe Mwizi'' By Joshua Nassari
Follow Us Here