Hivi hawa watoto wanasoma shule nzuri na maisha mazuri iweje wanajaza nafasi za balozi zetu nje?
inamaana hawawezi kusurvive kwenye private sector ambako hakuna patronage kama hizi balozi au vipi?
tazama list ya staff wa New York na DC ndio mtakoma!
kweli hawa watu wametubana

Reply With Quote


Follow Us Here