Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 31
    1. #1
      Omutwale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2008
      Location : Kanyigo
      Posts : 1,138
      Rep Power : 812
      Likes Received
      579
      Likes Given
      496

      Default Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      Watu hufikiri kuwa, labda jinsi pekee ya kummaliza mwanasiasa ni kwa kumhonga pesa/kumnunua au kumtoa uhai, LA HASHA. Hakuna njia nzuri kabisa, yenye matokeo bora yasiyo na ghalama kubwa katika kummaliza mpinzani wako kisiasa kama:

      KUJUA VEMA udhaifu wake na kuufanya kuwa FAIDA kwako. Kila mwanadamu ANA udhaifu wake. Kanuni hii pia inayofanya kazi katika Nyanja mbalimbali za maisha mfano katika Biashara.


      Wapinzani wa Nape wameujua vema udhaifu wake. Na nampa heko aliyewasaidia kuubaini. Udhaifu wa Nape ni mkubwa katika wepesi wa matamshi/maandishi mazito anayotoa katika hadhi yake kama Katibu Mwenezi. Hapa ndiko wapinzani wake ndani na nje ya CCM wanapojizolea maksi za ushindi vitani. Ukiishagundua huu udhaifu na kubaini kuwa kila tamshi la adui yako ni tata, lisilo na hadhi, lenye kejeli, na kuudhi hadhira, na wakati mwingine ujumbe anaotoa siyo wake kazi unayobaki nayo ni rahisi sana. Utamtengenezea misururu ya waandishi wa habari na kumuandalia matukio na hadhira ili ahutubu. Maana unajua kila baada ya tukio, ujumbe wake ukifika kwa hadhira, heshima na mvuto wa mtoa ujumbe vinashuka.

      Awali watu walipomwita Nape vuvuzela ilinipa taabu kuelewa walimaanisha nini. Wajua wakati mwingine kama huna kamusi na umekutana na neno jipya katikati ya sentensi, inabidi utumie uelewa wa maneno yale mengine kupata maana ya sentensi. Sasa naweza kupata maana yake kama bomba tupu linalopitisha upepo wa mpulizaji na kutokea upande wa pili kwa sauti pana. Vuvuzela halipitishi ujumbe wake lenyewe na wala halichuji kinachopitishwa. Matamshi na maandishi ya Nape yanampa sifa ya kulichukua jina hili.

      Kuna mambo Nape anabolonga kama vuvuzela na kuna mengine mengi anaharibu kutokana udhaifu wake wa kuanzisha ama kuchangia mijadala kwa kutoa hoja nyepesi kwenye masuala mazito. Na mbaya ni kwamba, yeye kila akiletewa MIC anakuwa kama mtoto kaletewa vanilla ice cream, lazima alambe! Akipigiwa simu na mwandishi anahisi yeye ni Encyclopedia Britannica, majibu yote anayo na ni sahihi! Na kwa sababu ya kuwa pitishio la ujumbe asio uasisi, kuendelea kuonyeshaa udhaifu wa Nape pia ni kuanika udhaifu wa anayepitisha ujumbe kwa Nape.

      Angalia hii mifano halisi:
      • Kauli za Nape juu ya msimamo wa kujivua gamba
      • Hotuba ya Nape kwenye Mkutano wa Mwanza juzi - “Nawashukuru Lusinde na Mwigulu kwa utangulizi wenu. …..mmenisaidia kuwabana wagonjwa pua ili mimi niwape dawa”
      • Nape kukana maandishi yake mwenyewe juu ya matokeo ya Igunga kwenye ukuta wake FB na ID yake JF
      • Kutowajua hata wapinzani wake nje ya CCM (Dr. Slaa na Mbowe-hii bado mbishi kabisa)
      • Kauli tata katika midahalo – Ujamaa wa ki-sayansi umepitwa na wakati. Ukiachana na sayansi unashikana na arts (sanaa). Hivyo anamaanisha ccm iko kwenye zama mpya ya ujamaa wa ki-sanii-GOOD! -ccm bado inayaenzi yote aliyoyaanzisha Baba wa Taifa ikiwemo Azimio la Arusha.

      Nape anamalizia pumzi yake ya mwisho ya uhai kisiasa. Namshauri ayapokee maoni yangu kama changamoto na yanaweza kumsaidia. Mimi si wa kwanza kumwambia juu ya suala hili. Radio Producer (member JF) naye amewahi kumshauri. Na tunafanya hivi kwa sababu tunamtaka arudi kwenye mstari kwa manufaa ya anachofikiri anakipigania.
      Kijana, litumikie Taifa lako kwa moyo wako woote, akili zako zoote na nguvu zako zoote.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kabwela's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th February 2008
      Posts : 77
      Rep Power : 591
      Likes Received
      4
      Likes Given
      2

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      Mkuu, sikio la kufa haliskii dawa na asiyejua kuwa hajui ni mgumu kukubali kuliko aneyafahamu kuwa hajui. Sijui Nape atakuwa upande upi, tusubiri tuone iwapo atakusikia

    4. #3
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,207
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      3000
      Likes Given
      13654

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      Quote By Omutwale
      Watu hufikiri kuwa, labda jinsi pekee ya kummaliza mwanasiasa ni kwa kumhonga pesa/kumnunua au kumtoa uhai, LA HASHA. Hakuna njia nzuri kabisa, yenye matokeo bora yasiyo na ghalama kubwa katika kummaliza mpinzani wako kisiasa kama:

      KUJUA VEMA udhaifu wake na kuufanya kuwa FAIDA kwako. Kila mwanadamu ANA udhaifu wake. Kanuni hii pia inayofanya kazi katika Nyanja mbalimbali za maisha mfano katika Biashara.


      Wapinzani wa Nape wameujua vema udhaifu wake. Na nampa heko aliyewasaidia kuubaini. Udhaifu wa Nape ni mkubwa katika wepesi wa matamshi/maandishi mazito anayotoa katika hadhi yake kama Katibu Mwenezi. Hapa ndiko wapinzani wake ndani na nje ya CCM wanapojizolea maksi za ushindi vitani. Ukiishagundua huu udhaifu na kubaini kuwa kila tamshi la adui yako ni tata, lisilo na hadhi, lenye kejeli, na kuudhi hadhira, na wakati mwingine ujumbe anaotoa siyo wake kazi unayobaki nayo ni rahisi sana. Utamtengenezea misururu ya waandishi wa habari na kumuandalia matukio na hadhira ili ahutubu. Maana unajua kila baada ya tukio, ujumbe wake ukifika kwa hadhira, heshima na mvuto wa mtoa ujumbe vinashuka.

      Awali watu walipomwita Nape vuvuzela ilinipa taabu kuelewa walimaanisha nini. Wajua wakati mwingine kama huna kamusi na umekutana na neno jipya katikati ya sentensi, inabidi utumie uelewa wa maneno yale mengine kupata maana ya sentensi. Sasa naweza kupata maana yake kama bomba tupu linalopitisha upepo wa mpulizaji na kutokea upande wa pili kwa sauti pana. Vuvuzela halipitishi ujumbe wake lenyewe na wala halichuji kinachopitishwa. Matamshi na maandishi ya Nape yanampa sifa ya kulichukua jina hili.

      Kuna mambo Nape anabolonga kama vuvuzela na kuna mengine mengi anaharibu kutokana udhaifu wake wa kuanzisha ama kuchangia mijadala kwa kutoa hoja nyepesi kwenye masuala mazito. Na mbaya ni kwamba, yeye kila akiletewa MIC anakuwa kama mtoto kaletewa vanilla ice cream, lazima alambe! Akipigiwa simu na mwandishi anahisi yeye ni Encyclopedia Britannica, majibu yote anayo na ni sahihi! Na kwa sababu ya kuwa pitishio la ujumbe asio uasisi, kuendelea kuonyeshaa udhaifu wa Nape pia ni kuanika udhaifu wa anayepitisha ujumbe kwa Nape.

      Angalia hii mifano halisi:
      • Kauli za Nape juu ya msimamo wa kujivua gamba
      • Hotuba ya Nape kwenye Mkutano wa Mwanza juzi - “Nawashukuru Lusinde na Mwigulu kwa utangulizi wenu. …..mmenisaidia kuwabana wagonjwa pua ili mimi niwape dawa”
      • Nape kukana maandishi yake mwenyewe juu ya matokeo ya Igunga kwenye ukuta wake FB na ID yake JF
      • Kutowajua hata wapinzani wake nje ya CCM (Dr. Slaa na Mbowe-hii bado mbishi kabisa)
      • Kauli tata katika midahalo – Ujamaa wa ki-sayansi umepitwa na wakati. Ukiachana na sayansi unashikana na arts (sanaa). Hivyo anamaanisha ccm iko kwenye zama mpya ya ujamaa wa ki-sanii-GOOD! -ccm bado inayaenzi yote aliyoyaanzisha Baba wa Taifa ikiwemo Azimio la Arusha.

      Nape anamalizia pumzi yake ya mwisho ya uhai kisiasa. Namshauri ayapokee maoni yangu kama changamoto na yanaweza kumsaidia. Mimi si wa kwanza kumwambia juu ya suala hili. Radio Producer (member JF) naye amewahi kumshauri. Na tunafanya hivi kwa sababu tunamtaka arudi kwenye mstari kwa manufaa ya anachofikiri anakipigania.

      Ukiamua kumuua mbwa wako unayemfuga huna haja ya kukimbizana naye, waambie majirani kuwa huyu ni mbwa mwizi anakula kuku pia mbwa huyo anakichaa pia waambie majirani kuwa mbwa wako ni koko anakula mpaka kinyesi, baasi majirani wataokota mawe watampiga na kumuua mbwa huyo bila ya wewe mfugaji kumtupia hata jiwe moja Mbwa. Nape amesema yeye ni mbwa na mfuga mbwa ni CCM.
      Kaa la Moto and Excellent like this.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    5. #4
      Omutwale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2008
      Location : Kanyigo
      Posts : 1,138
      Rep Power : 812
      Likes Received
      579
      Likes Given
      496

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      Quote By Daudi mchambuzi

      Ukiamua kumuua mbwa wako unayemfuga huna haja ya kukimbizana naye, waambie majirani kuwa huyu ni mbwa mwizi anakula kuku pia mbwa huyo anakichaa pia waambie majirani kuwa mbwa wako ni koko anakula mpaka kinyesi, baasi majirani wataokota mawe watampiga na kumuua mbwa huyo bila ya wewe mfugaji kumtupia hata jiwe moja Mbwa. Nape amesema yeye ni mbwa na mfuga mbwa ni CCM.
      Daudi,
      Umesema vema. Ila nyongeza ya hapo, Nape kama mbwa kwanza wamembatiza jina baya a kisha wamemuharibu pua yake hivi sasa hanusi tena. Anabweka kwa kumkimbia adui anayedai kutomjua huku akiwa anaficha mkia na shingo imepinda kuangalia anakotoka hasijue majaaliwa ya aendako! Kazi ya kumalizia kutoa uhai wa mbwa wa sifa hizi ni nyepesi kama kupuliza sufi.
      Kijana, litumikie Taifa lako kwa moyo wako woote, akili zako zoote na nguvu zako zoote.

    6. #5
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,207
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      3000
      Likes Given
      13654

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      Mdahalo na Nape ni easy kama kumpapasa maiti, At the first word u need to shake his credibility na jamaa hana political maturity atapanic kama kawaida yake atatema yale maneno yake machafu alafu mwisho wa siku atajichoresha na kila mtaa atakaopita Mbwa huyu raia watamfukuza kwa mawe coz wamengundua ni Mbwa koko na mwenye Mbwa ambaye ni CCM anapita kando kama sio mliki wa mbwa huyo.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Caroline Danzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,723
      Rep Power : 1076
      Likes Received
      652
      Likes Given
      214

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      [QUOTE=Daudi mchambuzi;2667547]
      Ukiamua kumuua mbwa wako unayemfuga huna haja ya kukimbizana naye, waambie majirani kuwa huyu ni mbwa mwizi anakula kuku pia mbwa huyo anakichaa pia waambie majirani kuwa mbwa wako ni koko anakula mpaka kinyesi, baasi majirani wataokota mawe watampiga na kumuua mbwa huyo bila ya wewe mfugaji kumtupia hata jiwe moja Mbwa. Nape amesema yeye ni mbwa na mfuga mbwa ni CCM.
      [/QUOTE

      Uongo uliotumika kwa majirani kuhusu mbwako ni wazi kwamba wewe ndiyo umeemua. Bila wewe kutangaza wajirani wangejuaje? I dont get the point here! nisaidieni.

    9. #7
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,026
      Rep Power : 2563
      Likes Received
      788
      Likes Given
      28

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      [QUOTE=Caroline Danzi;2668586]
      Quote By Daudi mchambuzi

      Ukiamua kumuua mbwa wako unayemfuga huna haja ya kukimbizana naye, waambie majirani kuwa huyu ni mbwa mwizi anakula kuku pia mbwa huyo anakichaa pia waambie majirani kuwa mbwa wako ni koko anakula mpaka kinyesi, baasi majirani wataokota mawe watampiga na kumuua mbwa huyo bila ya wewe mfugaji kumtupia hata jiwe moja Mbwa. Nape amesema yeye ni mbwa na mfuga mbwa ni CCM.
      [/QUOTE

      Uongo uliotumika kwa majirani kuhusu mbwako ni wazi kwamba wewe ndiyo umeemua. Bila wewe kutangaza wajirani wangejuaje? I dont get the point here! nisaidieni.
      You don't the point rudia kusoma tuliza akili acha kusoma huku unatokwa povu umejiandaa kupinga kabla hujajua maana kama ulivyo fanya hapo juu .
      Daudi Mchambuzi and Nivea like this.
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    10. #8
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,569
      Rep Power : 858
      Likes Received
      452
      Likes Given
      2908

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      Ni kweli nape kwa sasa anapoteza credibility yake kama kijana na ya chama kwa ujumla kwa mambo yake na matamshi yasiyo mashiko. jambo moja baya simwoni kama wa kujifunza/kusikiliza lolote toka kwa yeyote lenye maana ya ushauri, nadhani kwa vile ameshazoea kutumwa obvious na JK kumsemea basi anaona hakuna wa kumkanya maana,so hana heshima kwa wana ccm wenyewe wala wapinzani. thats bad, acha tusubiri na kuona!
      Daudi Mchambuzi likes this.
      Who Jah bless, No one Curse!

    11. #9
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,860
      Rep Power : 2333
      Likes Received
      2869
      Likes Given
      5535

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      Hahahaaa, tangu jana nacheka mwenyewe mara nikikumbuka "Ntawashikisha ukuta......."

      Naanza kuamini maneno niliyoyasema mwenyewe baada ya kuona hii picha jinsi anavyochekelea kugawa kanga kwa wanaume.

      Angalia vizuri utaona mama mmoja tu kasimama anasubiri mgawo wa khanga, ila Nnape yeye na WASHIKA UKUTA.

      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    12. #10
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,207
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      3000
      Likes Given
      13654

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      [QUOTE=Caroline Danzi;2668586]
      Quote By Daudi mchambuzi

      Ukiamua kumuua mbwa wako unayemfuga huna haja ya kukimbizana naye, waambie majirani kuwa huyu ni mbwa mwizi anakula kuku pia mbwa huyo anakichaa pia waambie majirani kuwa mbwa wako ni koko anakula mpaka kinyesi, baasi majirani wataokota mawe watampiga na kumuua mbwa huyo bila ya wewe mfugaji kumtupia hata jiwe moja Mbwa. Nape amesema yeye ni mbwa na mfuga mbwa ni CCM.
      [/QUOTE

      Uongo uliotumika kwa majirani kuhusu mbwako ni wazi kwamba wewe ndiyo umeemua. Bila wewe kutangaza wajirani wangejuaje? I dont get the point here! nisaidieni.
      CCM ni wenye Mbwa, Nape ndo Mbwa mwenyewe. CCM imemtoa Nape kafara ambapo ni sawa na mwenye mbwa kumtelekeza mbwa wake apigwe mawe na majirani kwa kumsema ni mbwa koko, then jaribu kuwa makini unaporepy with quote.
      BizNaughty likes this.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    13. #11
      Omutwale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2008
      Location : Kanyigo
      Posts : 1,138
      Rep Power : 812
      Likes Received
      579
      Likes Given
      496

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      James Millya naye anasema Nape vuvuze

      b) Nape Nnauye, Katibu Mwenezi wa CCM (Kundi fulani linalowania Urais 2015)

      Kijana huyu namfananisha na saratani ndani ya mwili. Hivyo sintakosea nikisema ni “Saratani na Janga kwa CCM”. Badala ya kueneza sera za CCM ameamua kueneza sera za upande mmoja na kujaribu kuutukana upande ambao hakubaliani nao kisiasa. Siamini kama anaeneza chochote kinachohusu au kitakachosaidia CCM kukubalika na wananchi na wana-CCM. Amekuwa vuvuzela la baadhi ya watu.
      Ngoma ikilia sana.......
      Kijana, litumikie Taifa lako kwa moyo wako woote, akili zako zoote na nguvu zako zoote.

    14. #12
      mpigilie's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 229
      Rep Power : 434
      Likes Received
      57
      Likes Given
      26

      Default

      Quote By Sikonge
      Hahahaaa, tangu jana nacheka mwenyewe mara nikikumbuka "Ntawashikisha ukuta......."

      Naanza kuamini maneno niliyoyasema mwenyewe baada ya kuona hii picha jinsi anavyochekelea kugawa kanga kwa wanaume.

      Angalia vizuri utaona mama mmoja tu kasimama anasubiri mgawo wa khanga, ila Nnape yeye na WASHIKA UKUTA.

      Ona alivyokenua meno....angalia body laungage yake...naogopa kumfananisha na shoga ila inaniwia vigumu kutomfananisha na shoga

    15. #13
      makoye2009's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Posts : 1,425
      Rep Power : 799
      Likes Received
      384
      Likes Given
      266

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      Quote By Sikonge
      Hahahaaa, tangu jana nacheka mwenyewe mara nikikumbuka "Ntawashikisha ukuta......."

      Naanza kuamini maneno niliyoyasema mwenyewe baada ya kuona hii picha jinsi anavyochekelea kugawa kanga kwa wanaume.

      Angalia vizuri utaona mama mmoja tu kasimama anasubiri mgawo wa khanga, ila Nnape yeye na WASHIKA UKUTA.

      Hivi TAKUKURU walikuwa wapi hapa? Maana hii inaonyesha kuwa ni rushwa ya KHANGA na KOFIA kwa kwenda mbele.

      Nawasikitikia sana CCM.

      Na saana namskitikia sana huyu jamaa kwa kupewa azi hii ya Ukatibu Mwenezi. Hakika viatu vya ofisi hii vimempwaya na tayari vilishachomoka miguuni na sasa anatembea pekupeku!!!

      CCM watajutia upuuzi wao huu wa kumweka mtu asiye na hekima na busara kwenye nafasi hii. Ni ukweli na uwazi kuwa NAPE anaisambaratisha CCM na kuiandalia mazishi katika kaburi la 6x6.

      Sijajua hasa kama kweli Mwenyekiti wake Kiwete haoni huu UJINGA unaofanywa na NAPE NAUYE. Hata kama M/kiti hajaona Katibu Mkuu naye yuko wapi??? Kweli SIKU YA KUFA NYANI MITI YOTE HUTELEZA.

      CCM kwishneeeeeeeeee!

    16. #14
      kweleakwelea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2010
      Posts : 1,301
      Rep Power : 706
      Likes Received
      237
      Likes Given
      496

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      Quote By Omutwale
      Watu hufikiri kuwa, labda jinsi pekee ya kummaliza mwanasiasa ni kwa kumhonga pesa/kumnunua au kumtoa uhai, LA HASHA. Hakuna njia nzuri kabisa, yenye matokeo bora yasiyo na ghalama kubwa katika kummaliza mpinzani wako kisiasa kama:

      KUJUA VEMA udhaifu wake na kuufanya kuwa FAIDA kwako. Kila mwanadamu ANA udhaifu wake. Kanuni hii pia inayofanya kazi katika Nyanja mbalimbali za maisha mfano katika Biashara.


      Wapinzani wa Nape wameujua vema udhaifu wake. Na nampa heko aliyewasaidia kuubaini. Udhaifu wa Nape ni mkubwa katika wepesi wa matamshi/maandishi mazito anayotoa katika hadhi yake kama Katibu Mwenezi. Hapa ndiko wapinzani wake ndani na nje ya CCM wanapojizolea maksi za ushindi vitani. Ukiishagundua huu udhaifu na kubaini kuwa kila tamshi la adui yako ni tata, lisilo na hadhi, lenye kejeli, na kuudhi hadhira, na wakati mwingine ujumbe anaotoa siyo wake kazi unayobaki nayo ni rahisi sana. Utamtengenezea misururu ya waandishi wa habari na kumuandalia matukio na hadhira ili ahutubu. Maana unajua kila baada ya tukio, ujumbe wake ukifika kwa hadhira, heshima na mvuto wa mtoa ujumbe vinashuka.

      Awali watu walipomwita Nape vuvuzela ilinipa taabu kuelewa walimaanisha nini. Wajua wakati mwingine kama huna kamusi na umekutana na neno jipya katikati ya sentensi, inabidi utumie uelewa wa maneno yale mengine kupata maana ya sentensi. Sasa naweza kupata maana yake kama bomba tupu linalopitisha upepo wa mpulizaji na kutokea upande wa pili kwa sauti pana. Vuvuzela halipitishi ujumbe wake lenyewe na wala halichuji kinachopitishwa. Matamshi na maandishi ya Nape yanampa sifa ya kulichukua jina hili.

      Kuna mambo Nape anabolonga kama vuvuzela na kuna mengine mengi anaharibu kutokana udhaifu wake wa kuanzisha ama kuchangia mijadala kwa kutoa hoja nyepesi kwenye masuala mazito. Na mbaya ni kwamba, yeye kila akiletewa MIC anakuwa kama mtoto kaletewa vanilla ice cream, lazima alambe! Akipigiwa simu na mwandishi anahisi yeye ni Encyclopedia Britannica, majibu yote anayo na ni sahihi! Na kwa sababu ya kuwa pitishio la ujumbe asio uasisi, kuendelea kuonyeshaa udhaifu wa Nape pia ni kuanika udhaifu wa anayepitisha ujumbe kwa Nape.

      Angalia hii mifano halisi:
      • Kauli za Nape juu ya msimamo wa kujivua gamba
      • Hotuba ya Nape kwenye Mkutano wa Mwanza juzi - “Nawashukuru Lusinde na Mwigulu kwa utangulizi wenu. …..mmenisaidia kuwabana wagonjwa pua ili mimi niwape dawa”
      • Nape kukana maandishi yake mwenyewe juu ya matokeo ya Igunga kwenye ukuta wake FB na ID yake JF
      • Kutowajua hata wapinzani wake nje ya CCM (Dr. Slaa na Mbowe-hii bado mbishi kabisa)
      • Kauli tata katika midahalo – Ujamaa wa ki-sayansi umepitwa na wakati. Ukiachana na sayansi unashikana na arts (sanaa). Hivyo anamaanisha ccm iko kwenye zama mpya ya ujamaa wa ki-sanii-GOOD! -ccm bado inayaenzi yote aliyoyaanzisha Baba wa Taifa ikiwemo Azimio la Arusha.

      Nape anamalizia pumzi yake ya mwisho ya uhai kisiasa. Namshauri ayapokee maoni yangu kama changamoto na yanaweza kumsaidia. Mimi si wa kwanza kumwambia juu ya suala hili. Radio Producer (member JF) naye amewahi kumshauri. Na tunafanya hivi kwa sababu tunamtaka arudi kwenye mstari kwa manufaa ya anachofikiri anakipigania.
      naongeza:

      hashauriki pamoja na kupigwa msasa hapa jf.......

      hana tofauti na wana mipasho .......

      ni mhuni na mwenye lugha za matusi...

      hajui anachokifanya....

      kiufupi hana tabia njema na callibre ya uongozi!

    17. #15
      Omutwale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2008
      Location : Kanyigo
      Posts : 1,138
      Rep Power : 812
      Likes Received
      579
      Likes Given
      496

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      Kijana, litumikie Taifa lako kwa moyo wako woote, akili zako zoote na nguvu zako zoote.

    18. #16
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,706
      Rep Power : 16252
      Likes Received
      3150
      Likes Given
      4076

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      [QUOTE=Lunyungu;2668608]
      Quote By Caroline Danzi

      You don't the point rudia kusoma tuliza akili acha kusoma huku unatokwa povu umejiandaa kupinga kabla hujajua maana kama ulivyo fanya hapo juu .
      mkuu Caroline Danzi -waswahili husema fumbo mfumbie mjinga werevu walingamue ,wacha waerevu tuendelee kusoma uzi huo
      Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.

    19. #17
      Mwakalinga Y. R's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd October 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 2,170
      Rep Power : 974
      Likes Received
      924
      Likes Given
      2289

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      Umeandika ukweli mtupu kuhusu huyu jamaa ,pia juzi wakati anajitetea humu javini kuhusu tamko la vijana wa Bukoba ,alijichanganya akaandika "Marehemu nilikuwa namheshimu kama baba yangu mzazi" .Ikashangaza kama mtu alikuwa kama baba yake mzazi (alikuwa rafiki wa baba yake mzazi) iweje alienda kufanya shughuli za chama (kueneza itikadi za chama) kwenye msiba ili hali unajua baba(rafiki mkubwa wa baba yake) yake anazikwa kipindi hicho!!!?
      “Even the smallest person can change the course of the future.”-Galadriel


    20. #18
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,396
      Rep Power : 960
      Likes Received
      583
      Likes Given
      143

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      kamba hukatika pembamba.

    21. #19
      isotope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 501
      Rep Power : 460
      Likes Received
      150
      Likes Given
      129

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      Nasikitika yanayomkuda huyu dogo. Nepi ni sawa na mchwa aliyeoteshwa mabawa kuwa kumbikumbi. yeye alipoona mabawa akafurahi kuwa sasa anaweza kuruka. akaruka kutoka ndani ya kichuguu, matokeo yake anaanza kuliwa na ndege; binadamu wanamuokota wakamkaange. Kwisha kazi!

    22. FJM
      #20
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,181
      Rep Power : 2570
      Likes Received
      5331
      Likes Given
      4587

      Default Re: Nape: Kamba Hukatika Pembeni!

      Quote By Sikonge
      Hahahaaa, tangu jana nacheka mwenyewe mara nikikumbuka "Ntawashikisha ukuta......."

      Naanza kuamini maneno niliyoyasema mwenyewe baada ya kuona hii picha jinsi anavyochekelea kugawa kanga kwa wanaume.

      Angalia vizuri utaona mama mmoja tu kasimama anasubiri mgawo wa khanga, ila Nnape yeye na WASHIKA UKUTA.

      Hii picha inadhalilisha utu wa mtanzania. Hakuna namna ya kueleza lakini ni jambo la kusikitisha.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Kamba shingoni mwa chadema
      By Taifa_Kwanza in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 5
      Last Post: 8th February 2011, 17:40
    2. Kamba hukatikia pabovu
      By Sonara in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 9
      Last Post: 1st September 2010, 12:46
    3. Nina kamba mguuni...
      By Sn2139 in forum Utambulisho (Member Intro Forum)
      Replies: 6
      Last Post: 12th April 2010, 16:38
    4. Kitanda cha kamba
      By GAMBLER in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 5
      Last Post: 16th December 2009, 17:02
    5. Hivi kweli TEF ipo au kamba?
      By Mkandara in forum Business & Economic Forum
      Replies: 1
      Last Post: 19th October 2006, 12:02

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...