Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 21
    1. #1
      Mngendalyasota's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Posts : 138
      Rep Power : 449
      Likes Received
      40
      Likes Given
      0

      Default Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      WanaJF,
      Ktk hali ya vuta ni kuvute hatimaye kambi ya Luhanjo yenye madiwani 6 (kata 6) wa tarafa ya Wanging'ombe (total population 53,000)waliokuwa wanapendekeza makao makuu ya wilaya mpya ya Wanging'ombe yawe kijijini kwa Luhanjo (Wanging'ombe) wameshindwa kwa mbinde dhidi ya madiwani 11 (kata 11) wa tarafa ya Mdandu na Imalinyi (total population 200,000+) waliokuwa wanapendekeza makao makuu yawe kijiji cha Igwachanya ambacho kipo ktkt ya wilaya hiyo mpya. Katika kikao hicho cha baraza la madiwani wilayani Njombe nusura kivunjike hasa baada ya baadhi ya madiwani kutaka kurushiana makonde kutokana na kupingana kimtizamo. Tofauti hii ilitokana na kwamba wapambe wa Luhanjo wakiongozwa na mkurugenzi wa halmashauri ndg Mohammed Mkupete walitaka kupendelea kijiji cha Wanging'ombe ambacho wengi wanasema hakikidhi kuwa makao makuu ya wilaya hasa kwa kuwa si ktkt ya wilaya hiyo mpya.

    2. Study Abroad

    3. #2
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,613
      Rep Power : 10154
      Likes Received
      5641
      Likes Given
      12664

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      hayo majina ya hivyo vijiji ni Tanzania?
      Nyambala likes this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    4. #3
      Mtego wa Noti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Location : kichakani
      Posts : 2,077
      Rep Power : 845
      Likes Received
      327
      Likes Given
      580

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      huu upumbavu wa kuongeza wilaya mpya unanikera kuliko kitu chochote. wilaya zilizopo wameshindwa kuziboresha wanazidi kutuongezea mzigo wa kuhudumia mijitu ambayo haina hata tija kwa taifa. just imagine hapo lzm kuwe na dc na mijitu kibao ya kisiasa for nothing. We have to make changes so as to avoid such daily nonsenses of JK regime. Sata has started by switching off such DCs and RCs titles!
      Ncha ya mkuki haipigwi ngumi, na kina cha maji hakipimwi kwa kutia miguu yote kwenye maji!!!

    5. #4
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Quote By Mtego wa Noti
      huu upumbavu wa kuongeza wilaya mpya unanikera kuliko kitu chochote. wilaya zilizopo wameshindwa kuziboresha wanazidi kutuongezea mzigo wa kuhudumia mijitu ambayo haina hata tija kwa taifa. just imagine hapo lzm kuwe na dc na mijitu kibao ya kisiasa for nothing. We have to make changes so as to avoid such daily nonsenses of JK regime. Sata has started by switching off such DCs and RCs titles!
      Na mwingine wa kuongezea majimbo. Nadhani ingependeza za serikal iistopshe kuongeza majimbo na wilaya kwa miaka japo 10.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    6. #5
      Mtego wa Noti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Location : kichakani
      Posts : 2,077
      Rep Power : 845
      Likes Received
      327
      Likes Given
      580

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Quote By Mtazamaji
      Na mwingine wa kuongezea majimbo. Nadhani ingependeza za serikal iistopshe kuongeza majimbo na wilaya kwa miaka japo 10.
      kweli kabisa...hii nchi haitaendelea kwa kigawa vipandevipande. hata kama itaamuliwa eti ukubwa wa kila wilaya iwe sawa na vijiji viwili bila dhamira ya kweli kwa hao wanaojiita watawala wetu hatutaweza kupata maendeleo. mnazidi kugawa wilaya na mikoa na majimbo ili kupatiana vyeo kama takrima kwa kufanikisha wizi wenu. shame on u!!!!!!
      Ncha ya mkuki haipigwi ngumi, na kina cha maji hakipimwi kwa kutia miguu yote kwenye maji!!!

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      mikatabafeki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1396
      Likes Received
      765
      Likes Given
      1463

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Luhanjo.................???

    9. #7
      Nyambala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2007
      Location : Tahiti
      Posts : 4,402
      Rep Power : 1517
      Likes Received
      1019
      Likes Given
      938

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Quote By Saint Ivuga
      hayo majina ya hivyo vijiji ni Tanzania?
      Mkuu umenifanya nicheka sanaa!
      Saint Ivuga likes this.

    10. #8
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,601
      Rep Power : 15259
      Likes Received
      3726
      Likes Given
      2861

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Luhanjo kumbe mwenyeji wa kijiji karibu na makambako? Maana nilipoenda Mbeya baada ya makamboko kwenda Mbeya niliona mahala kama kuna ukame vile wakaniambie ni Wanging'ombe.

    11. #9
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,465
      Rep Power : 6166
      Likes Received
      3031
      Likes Given
      1012

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Quote By Saint Ivuga
      hayo majina ya hivyo vijiji ni Tanzania?
      Mkuu ni hii hii Tanzania unayoijua!!!Mkuu mbona umebadili Avatar?
      Saint Ivuga likes this.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    12. #10
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,465
      Rep Power : 6166
      Likes Received
      3031
      Likes Given
      1012

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Quote By Candid Scope
      Luhanjo kumbe mwenyeji wa kijiji karibu na makambako? Maana nilipoenda Mbeya baada ya makamboko kwenda Mbeya niliona mahala kama kuna ukame vile wakaniambie ni Wanging'ombe.
      Mkuu ni hapo hapo mbele kidogo ya Makambako. Kama unaelekea Mbeya kushoto karibu na barabara kuna shule ya sekondari (sijui ya kata) inaitwa Wanging'ombe.
      Saint Ivuga likes this.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    13. #11
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,613
      Rep Power : 10154
      Likes Received
      5641
      Likes Given
      12664

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Quote By Kimbunga
      Mkuu ni hii hii Tanzania unayoijua!!!Mkuu mbona umebadili Avatar?
      kuna mtoto namuwinda ..nimeona niwe kimalavidavi kwa mda ..nitammrudisha mnyama soon
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    14. #12
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,465
      Rep Power : 6166
      Likes Received
      3031
      Likes Given
      1012

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Quote By Saint Ivuga
      kuna mtoto namuwinda ..nimeona niwe kimalavidavi kwa mda ..nitammrudisha mnyama soon
      Ubarikiwe. Nenda Rudi Salama Umefanikiwa - Nakumbuka maneno ya Willy Gamba
      Saint Ivuga likes this.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    15. #13
      Tuntu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th January 2009
      Posts : 197
      Rep Power : 564
      Likes Received
      23
      Likes Given
      31

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Haya matatizo kweli, hivi kweli Tanzania, nchi ya dunia ya tatu, yenye bajeti tegemezi, isiyo na umeme wala maji safi kwa watu wake lakini bado kila kukicha ina starehe ya kuongeza mikoa, wilaya, majimbo na Wabunge wa Viti maalumu katika hali hii ya uchumi? hakika huyu mtoto Tanzania sio riziki.
      Mtego wa Noti likes this.

    16. #14
      usininukuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th August 2011
      Posts : 377
      Rep Power : 468
      Likes Received
      43
      Likes Given
      120

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Nilishawahi sema kuwa suala la makao makuu ya wilaya ya Wanging'ombe liachiwe balaza la madiwani kwani niliamini litatenda haki. Kijiografia na kimiundombinu Igwachanya ni mahali sahihi kuwa makao makuu ya wilaya. HONGERA MADIWANI KWA KUFANYA MAAMUZI SAHII KWA MAENDELEO YA WILAYA YETU.

    17. #15
      CHANGILA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Posts : 6
      Rep Power : 394
      Likes Received
      0
      Likes Given
      3

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Jamani wana JF huko wanakosema IGWACHANGYA ni kweli panaweza pakawa katikati lakini chakujiuliza panamiundombinu gani kwa wazalendo ambao watahitaji huduma kutoka huko???

      Ninavyojua mimi kuja WANGING'OMBE ingekuwa karibu zaidi kwa watu wengi ambao wangehitaji huduma kwa haraka kuliko hapo walipoamua kupaweka si kweli kwamba (its not convincing) hapa kuna personal interest na sio public interest...

    18. #16
      CHANGILA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Posts : 6
      Rep Power : 394
      Likes Received
      0
      Likes Given
      3

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Isoliwaya wanging'ombe kuna miundombinu safi kuliko hata huko Mkoani NJOMBE ambapo wangeweza kuitumia ile iliyokuwepo na shughuri zingeendelea sema hapa wanataka kuwaandikia watu proposal ya office mpya2

      kha!!!! twifwa twilola.

    19. #17
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,591
      Rep Power : 22053
      Likes Received
      991
      Likes Given
      769

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Igwachanya ndio center suala la Miundo Mbinu sio issue itaenda with time unakumbuka Kilolo badala ya Ilula?
      Luhanjo alipigania sana makao yawe wangi ila nadhani wengi wape Igwa NDO IWE MAKAO MAKUU YA WILAYA yeye ataambulia jina tuu
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    20. #18
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,056
      Rep Power : 920
      Likes Received
      828
      Likes Given
      0

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Si wamtengenezee tu wilaya yake ya Wanging'ombe yenye kata 6, kama walivyomtengenezea Pinda mkoa wake wenye wilaya 2? Hata Zanzibar sijawahi kusikia mkoa wenye wilaya 2. Lakini Tanganyika kwa Utawala wa JK imewezekana!!

    21. #19
      satellite's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Location : HOMELAND SECURITY
      Posts : 546
      Rep Power : 540
      Likes Received
      94
      Likes Given
      60

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Quote By Kimbunga
      Ubarikiwe. Nenda Rudi Salama Umefanikiwa - Nakumbuka maneno ya Willy Gamba

      Dah!umenikumbusha mbali sana hicho kitabu cha NJAMA cha willy gamba nilisoma mwaka 1993 nikiwa primary kipindi hicho mshua alikua na vitabu kibao vya Ben Mtobwa ndo ulikua uridhi wangu km nilivyo na speed ya light kuwatch series now days

    22. #20
      satellite's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Location : HOMELAND SECURITY
      Posts : 546
      Rep Power : 540
      Likes Received
      94
      Likes Given
      60

      Default Re: Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

      Quote By CHANGILA
      Jamani wana JF huko wanakosema IGWACHANGYA ni kweli panaweza pakawa katikati lakini chakujiuliza panamiundombinu gani kwa wazalendo ambao watahitaji huduma kutoka huko???

      Ninavyojua mimi kuja WANGING'OMBE ingekuwa karibu zaidi kwa watu wengi ambao wangehitaji huduma kwa haraka kuliko hapo walipoamua kupaweka si kweli kwamba (its not convincing) hapa kuna personal interest na sio public interest...

      Wanging'ombe unaifaham vizuri?kimaendeleo wameshindwa hata na kijiji cha ILEMBULA kiko mbele kidogo ya wanging'ombe wana hospital ya uhakika,nyumba za kulala wageni hata madhari yake huwezi kulinganisha na hiyo wanging'ombe ya kina Luhanjo na Mangula

    23. Miaka 50
    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Tetesi: Mkoa mpya wa Simiyu makao makuu yake ni wapi au yatakuwa wapi?
      By Kaseko in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 3
      Last Post: 29th April 2011, 12:35
    2. Replies: 1
      Last Post: 11th November 2009, 01:59
    3. Replies: 7
      Last Post: 15th April 2009, 21:49
    4. Kitendawili Prof. Sarungi,igogo Na Fedha Za Tacaids Na Makao Makuu Ya Wilaya Rorya
      By Mchumia juani in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 27
      Last Post: 5th March 2008, 14:13
    5. Makao makuu ya wilaya huchaguliwa au kupangwa na nani??
      By DMussa in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 29th January 2008, 11:23

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...