Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Pombe na daraja la Mbutu

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      GINHU's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th February 2011
      Posts : 26
      Rep Power : 425
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Pombe na daraja la Mbutu

      Binafsi Dr.Pombe huwa namkubali ktk utendaji wake. lakini kwa hili la daraja la Mbutu sincerely sitomkubali. jana katika kumnadi Dr.kafumuka Dr. Pombe alisema katika budget ya 2011/2012 wizara yake imepanga budget ya kulijenga daraja hilo na ameenda Igunga ili awe km mwarobaini wa matatizo yanayotokana na daraja hilo.

      Ukitafakari kw umakini utaona huu ni usanii mkubwa, ukizingatia kuwa matatizo yatokanayo na daraja hilo hajaanza leo ni ya miaka nenda rudi. Leo kwa sababu kuna uchaguzi mdogo ndo wameliona hilo na wanakuja na propaganda eti sasa dawa yake inapatikana. kwa taarifa nilizonazo daraja hili liko chini ya Council ambamo mbunge ni mjumbe ktk vikao vihusuvyo maendeleo ya wilaya.

      Kwa miaka takiribani 18 RA alikuwa mbunge na ni mjumbe wa council, je, walishindwa kutenga mafungu ya kulijenga daraja hilo? Ama kwa ukwasi aliotuibia huyu jamaa alishindwa kweli kutenga vijisent km 1b kuwakwamua wananchi wake kutokana na matatizo yanayowasibu? Huu jamani ni ujanja wa kuwarubuni watu.

      Ndg wanajamvi naomba kuwasilisha.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,591
      Rep Power : 1747
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default Re: Pombe na daraja la mbutu

      Wajinga ndio waliwao. Kwanini amesubiri hadi kipindi cha kampeni?
      Sheria za uchaguzi zinaruhusu serikali kushiriki ktk uchaguzi?
      HIYO NI RUSHWA!!!

    4. #3
      Bobby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2008
      Posts : 722
      Rep Power : 725
      Likes Received
      131
      Likes Given
      360

      Default Re: Pombe na daraja la mbutu

      Quote By Mzee
      Wajinga ndio waliwao. Kwanini amesubiri hadi kipindi cha kampeni?
      Sheria za uchaguzi zinaruhusu serikali kushiriki ktk uchaguzi?
      HIYO NI RUSHWA!!!
      Yes hii ni rushwa live lakini kwa kuwa imefanywa na mtu wa ccm its ok hakuna tatizo. After all hiyo budget iliyotengwa kujenga daraja si ya ccm so whether mgombea wa ccm kachaguliwa ama la daraja linapaswa kujengwa kwani linajengwa kwa kodi za wananchi kutoka vyama vyote na wasio na vyama pia.

    5. #4
      FUSO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 2,933
      Rep Power : 1031
      Likes Received
      761
      Likes Given
      333

      Default Re: Pombe na daraja la mbutu

      ccm wanahaha - maji shingoni. hizi ni dalili za chama kugawanyika na kufa - leo hii magufuli amekuwa lulu - Sita na group lake hawana nafasi igunga. Dhana ya ufisadi na kujivua magamba haina nafasi kampeni za igunga - duh kweli akili mu kichwa.

    6. #5
      Chakunyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Location : Masasi
      Posts : 751
      Rep Power : 561
      Likes Received
      134
      Likes Given
      283

      Default Re: Pombe na daraja la mbutu

      Ukisoma sheria ya gharama za uchaguzi zinakataza afisa wa serikali kutumia miradi iliyopangwa kama mtaji/sera zake ilibidi tume au msajili wamuondoe mgombea wa magamba kwa kuvunja sheria hii.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,026
      Rep Power : 2563
      Likes Received
      788
      Likes Given
      28

      Default Re: Pombe na daraja la mbutu

      Chadema wanakusanya ushahidi ushindi huu utapingwa mahakamani na Lissu au Marando ataunguruma
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    9. #7
      Mr.Professional's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Location : Dar
      Posts : 1,496
      Rep Power : 737
      Likes Received
      207
      Likes Given
      92

      Default Re: Pombe na daraja la mbutu

      Wajinga kweli ndo waliwao! Yaan jamaa wameishiwa sera hadi wanatumia njia ya kusingizia mipango ya bajet kuwaokoa. RA alikuwepo kwa miaka 18 hawakuliona tatizo hadi aende dakika za mwisho kutoa rushwa ya daraja. F@#k Eng. Dr. Magufuli japo ninakuheshimu kwa utendaji wako uliotukuka ila sio hata pale unapokumbatia visivyokumbatiwa
      for further assistance please press "CTRL + W"

    10. #8
      nguvumali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2009
      Location : nimerudi Mwanza
      Posts : 3,695
      Rep Power : 1234
      Likes Received
      537
      Likes Given
      147

      Default Re: Pombe na daraja la mbutu

      kama Magufuli aliwahi kuhonga nyumba ya serikali kwa malaya atashindwaje kuongea ufala huo mbele za umma.....
      The most potent weapon of the oppressor is the mind of the oppressed

    11. #9
      HISIA KALI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Location : Mjini kwa mjomba
      Posts : 643
      Rep Power : 563
      Likes Received
      80
      Likes Given
      1

      Default Re: Pombe na daraja la mbutu

      Quote By GINHU
      Binafsi Dr.Pombe huwa namkubali ktk utendaji wake. lakini kwa hili la daraja la Mbutu sincerely sitomkubali. jana katika kumnadi Dr.kafumuka Dr. Pombe alisema katika budget ya 2011/2012 wizara yake imepanga budget ya kulijenga daraja hilo na ameenda Igunga ili awe km mwarobaini wa matatizo yanayotokana na daraja hilo. Ukitafakari kw umakini utaona huu ni usanii mkubwa, ukizingatia kuwa matatizo yatokanayo na daraja hilo hajaanza leo ni ya miaka nenda rudi. Leo kwa sababu kuna uchaguzi mdogo ndo wameliona hilo na wanakuja na propaganda eti sasa dawa yake inapatikana. kwa taarifa nilizonazo daraja hili liko chini ya Council ambamo mbunge ni mjumbe ktk vikao vihusuvyo maendeleo ya wilaya. kwa miaka takiribani 18 RA alikuwa mbunge na ni mjumbe wa council, je, walishindwa kutenga mafungu ya kulijenga daraja hilo? Ama kwa ukwasi aliotuibia huyu jamaa alishindwa kweli kutenga vijisent km 1b kuwakwamua wananchi wake kutokana na matatizo yanayowasibu? Huu jamani ni ujanja wa kuwarubuni watu.

      Ndg wanajamvi naomba kuwasilisha.
      Wajinga ndio waliwao. Hilo daraja limekuwa ni mtego wa kura kwa CCM. Hata Rostam Aziz alitumia hilo hilo daraja kutega kura mwaka jana.

    12. #10
      Mumwi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2011
      Posts : 555
      Rep Power : 535
      Likes Received
      98
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By HISIA KALI
      Wajinga ndio waliwao. Hilo daraja limekuwa ni mtego wa kura kwa CCM. Hata Rostam Aziz alitumia hilo hilo daraja kutega kura mwaka jana.
      Katika watu ambao kidogo nilikuwa nawakubali ni Magufuli ila kwa jana

    13. #11
      Amiliki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 1,473
      Rep Power : 765
      Likes Received
      721
      Likes Given
      33

      Default Re: Pombe na daraja la Mbutu

      Ninaombea sana Mbunge wangu afe. Maana najua huku kwetu kutakuwa Ulaya ndogo kwa jinsi Serikali itakavyokujali katika kipindi chote cha kampeni mpaka uchaguzi. Kwa sasa Serikali ya CCM inatuona kwamba tuna allergy na madaraja ndio maana wametuacha tukiliwa na mamba tukivuka mito kipindi cha Masika, kipindi hicho watakuwa wamefumbuliwa macho na kuona kuwa wasipotuletea madaraja ya zege Mungu atawalaani, kwa sasa serikali ya CCM wanajifanya eti wanatuona tuna allergy ya barabara za lami kipindi hicho wataona kwamba hatutaweza kuishi bila lami, kwa sasa serikali ya CCM inatuona kwamba sisi ni watu wa daraja la tatu, kipindi hicho tutaitwa waheshimiwa. Kwa sasa Serikali inatuona labda tukishika hela tutaota ukoma, kipindi hicho watakuwa wamebaini kwamba ni dhambi kubwa mtu wa huku kuishi bila kumiliki hela.
      Huku Magamba wakiendelea kusambaratishwa; Chadema Rahaaa!!!!! Si Rahaa!!!! WOTE: RAHAAAA!!!!!!!!!!

    14. #12
      Mumwi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2011
      Posts : 555
      Rep Power : 535
      Likes Received
      98
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By HISIA KALI
      Wajinga ndio waliwao. Hilo daraja limekuwa ni mtego wa kura kwa CCM. Hata Rostam Aziz alitumia hilo hilo daraja kutega kura mwaka jana.
      Katika watu ambao kidogo nilikuwa nawakubali ni Magufuli ila kwa jana igunga kuna asilimia zimeshuka kumwamini amejidhalilisha

    15. #13
      Kite Munganga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2006
      Posts : 842
      Rep Power : 808
      Likes Received
      69
      Likes Given
      83

      Default Re: Pombe na daraja la mbutu

      Quote By HISIA KALI
      Wajinga ndio waliwao. Hilo daraja limekuwa ni mtego wa kura kwa CCM. Hata Rostam Aziz alitumia hilo hilo daraja kutega kura mwaka jana.
      Jana nimepita kwa taabu sana, hakuna kilichofanyika zaidi ya hayo mafungu mawili ya mawe ya kutoka Mwanzugi, kweli CCM ni Kimeta




      Attached Thumbnails      
      Tanzania ni Nchi ya amani iliyozeeka!

    16. #14
      Malata Junior's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th November 2011
      Posts : 134
      Rep Power : 404
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Pombe na daraja la mbutu

      kauli zake zimemtokea puani,anatakiwa akajieleze mahakamani

    Similar Topics

    1. daraja lao
      By NDINDA in forum Jamii Photos
      Replies: 47
      Last Post: 6th November 2012, 15:56
    2. Replies: 25
      Last Post: 27th November 2011, 13:06
    3. Pombe! Jamani pombe.
      By Mlachake in forum JF Chit-Chat
      Replies: 40
      Last Post: 6th September 2011, 17:17
    4. Shamba la ekari nne linauzwa mbutu - kigamboni
      By Rich Dad in forum Matangazo madogo
      Replies: 0
      Last Post: 13th June 2011, 19:01
    5. Daraja la kigamboni...
      By Magulumangu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 11
      Last Post: 24th April 2010, 20:51

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...