Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: 'SIASA UCHWARA' Is it a contradiction in terms

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. #1
      Jacque Maritain's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th March 2010
      Posts : 40
      Rep Power : 477
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Post 'SIASA UCHWARA' Is it a contradiction in terms

      Naomba watu wanaofikiri kimantiki wanisaidie kwani mimi nashindwa kuelewa!

      Endapo Mheshimiwa Rostam aliachia ngazi kwa ajilli ya SIASA ZA KIUCHWARA ndani ya chama chake... inakuwaje anampigia debe mtu wa kumrithi kwa chama kile kile na eneo lile lile!
      Je?

      Je siasa za uchwara zimeisha?
      Huyu anayempigia debe, yeye hatakumbwa na siasa hizo
      Je aliachishwa au aliacha?

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Mbopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2008
      Posts : 2,534
      Rep Power : 1084
      Likes Received
      375
      Likes Given
      13

      Default Re: 'SIASA UCHWARA' Is it a contradiction in terms

      Swali zuri sana. Ukweli ni kwamba huyu bwana anatapa tapa na alidhani kwamba utingishaji wake wa kiberiti kuna watu wangemnyenyekea. Hata hivyo najiuliza ni lini sheria itachukua mkondo wake ili hatimaye watanzania walipwe kwa maovu waliyotendewa?

    4. Miaka 50

    Similar Topics

    1. Shilingi yetu yazidi kuporomoka, matunda ya siasa uchwara
      By luckman in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 8
      Last Post: 2nd November 2011, 08:58
    2. Siasa uchwara
      By BONGE BONGE in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 2
      Last Post: 21st October 2011, 23:19
    3. Ccm na siasa za uchwara chadema na ukombozi wa utanzania
      By MPAMBANAJI.COM in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 5th October 2011, 16:43
    4. Replies: 14
      Last Post: 16th September 2011, 13:44

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...