Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

    Report Post
    Results 1 to 15 of 15
    1. #1
      sulphadoxine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 2,133
      Rep Power : 926
      Likes Received
      550
      Likes Given
      2009

      Default Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

      JULAI 13, mwaka huu, siku alipotangaza kujiuzulu ubunge wa Jimbo la Igunga na ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz alisema kuwa amefanya maamuzi hayo kutokana na kuchoshwa na siasa uchwara, fitina na kuandamwa ndani ya CCM.
      Katika hotuba yake kwa wana-CCM na wakazi wengine wa Igunga, Rostam alikwenda mbali zaidi kwa kuwashutumu baadhi ya viongozi wa Sekretarieti ya chama hicho kwa kuendesha kampeni za kumwandama kwa tuhuma mbalimbali za kukosa maadili na kumtaka ajivue gamba.
      Aliwashutumu Naibu Katikbu Mkuu wa CCM Bara, Kapteni John Chiligati na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye.
      Itakumbukwa kuwa baada ya kikao cha NEC kilichofanyika mjini Dodoma Aprili mwaka huu na kutoa na maazimio 26, moja namba 15 likiwataka vigogo wenye tuhuma za ufisadi kupima na kuamua kuchukua hatua kwa kujiwajibisha badala ya kusubiri kuwajibishwa na chama, Chiligati na Nape walifanya ziara katika maeneo mengi ya nchi wakiwaelezea wanachama maana ya dhana ya kujivua gamba.
      Ili kuweka sawa na kumbukumbu ya makala yangu, Rostam alisema: “Mara tu baada ya kumalizika kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ambacho kilichagua wajumbe wapya wa Kamati Kuu na kuidhinisha uundwaji wa Sekretarieti mpya, dhana ya kujivua gamba ambayo naamini Mwenyekiti wetu
      CHUKI NA UADUI NI MATOKEO YA UPUMBAVU:

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Maarko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 490
      Rep Power : 509
      Likes Received
      82
      Likes Given
      29

      Default Re: Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

      Hiyo ndiyo ccm,asipofanya hivyo yatamkuta mabaya sana,siyo hiari yake!

    4. #3
      JAYJAY's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st October 2008
      Posts : 214
      Rep Power : 581
      Likes Received
      19
      Likes Given
      30

      Default Re: Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

      mi naona huyo jamaa anacheza mchezo wa nipe nikupe. anafahamu asiposhiriki na ccm ikashindwa atabeba sehemu kubwa ya lawama, na usije kusahau kuwa huyu ni mtu ambaye anatuhumiwa katika ufisadi (hata kama mazingira hayamhusishi moja kwa moja) hivyo ni lazima apalilie shamba lake vizuri, maana chama kinaweza kumgeuka kwa kuyanyima tenda makampuni yake ambayo yamekuwa yakishinda tenda kutokana na ushawishi wa kisiasa, hii itakuwa pigo kwake kibiashara, au hata kuwafikisha mahakamani ndugu zake ambao kama alivyoripoti ndugu Msemakweli aliwabebesha jukumu la kusimmamia kampuni zake ( anajificha nyuma ya kivuli chao). hivyo hapa analinda masalhi yake kwa kuwa anjua bado ana nafasi ya kuendelea kuwakamua watanzania kwa kibali cha watawala, yaani ccm.
      ''Kwa Miss Tanzania Hata Benja Hakutoka Kapa''

    5. #4
      Said Bagaile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Posts : 538
      Rep Power : 508
      Likes Received
      206
      Likes Given
      11

      Default Re: Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

      Anafikiri kwa kutumia Masaburi
      Dear Lord, help me be the kind of person my Dog thinks I am.

    6. #5
      We know next's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 574
      Rep Power : 556
      Likes Received
      151
      Likes Given
      119

      Default Re: Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

      Kwa kweli inachekesha.... hivi watanzania tuna Serikali ya namna gani? mwenzenu kwa kweli sielewi, ni Serikali gani inayofanya mambo kwa maslahi ya kundi fulani na si Wananchi? Hivi Serikali zote duniani si za wananchi? Ila hapa kwetu inaonekana si hivyo... ajabu sana hii jamani.

    7. Miaka 50

    8. #6
      mama kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 529
      Rep Power : 543
      Likes Received
      107
      Likes Given
      8

      Default Re: Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

      ndio ccm hiyo hiyo ndio maana nape hatakiwi kule. kama wanaigunga watawapa ccm na rostam sie hatuna la kufanya ni wazi mchezo wa ccm wa kuwafanya watz wajinga utaendelea kufanikiwa na usishangae nape akaendelea kuwaponda mapacha watatu baada ya uchaguzi na watu wakaendelea kuamini ni vita ya kweli

    9. #7
      Shenkalwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2011
      Posts : 398
      Rep Power : 487
      Likes Received
      82
      Likes Given
      0

      Default Re: Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

      Quote By JAYJAY
      mi naona huyo jamaa anacheza mchezo wa nipe nikupe. anafahamu asiposhiriki na ccm ikashindwa atabeba sehemu kubwa ya lawama, na usije kusahau kuwa huyu ni mtu ambaye anatuhumiwa katika ufisadi (hata kama mazingira hayamhusishi moja kwa moja) hivyo ni lazima apalilie shamba lake vizuri, maana chama kinaweza kumgeuka kwa kuyanyima tenda makampuni yake ambayo yamekuwa yakishinda tenda kutokana na ushawishi wa kisiasa, hii itakuwa pigo kwake kibiashara, au hata kuwafikisha mahakamani ndugu zake ambao kama alivyoripoti ndugu Msemakweli aliwabebesha jukumu la kusimmamia kampuni zake ( anajificha nyuma ya kivuli chao). hivyo hapa analinda masalhi yake kwa kuwa anjua bado ana nafasi ya kuendelea kuwakamua watanzania kwa kibali cha watawala, yaani ccm.
      Hapa mkuu umesema kweli kabisa. Kwa kuongezea ni kwamba hii inaonyesha jinsi chama cha magamba kilivyochanganyikiwa. Huku wanataka kuvuana magamba na kutupiana shutuma za ufisadi wakati huo huo wananyanyuana mikono kuwa wale wale ni wasafi. Kumbuka ya basil mramba, chenge na sasa lost arm. Ngoja tuone baada ya uchaguzi huo mdogo kitaendelea nini kati ya lost arm na chama chake cha magamba. Ni vituko

    10. #8
      Nsengimana's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Posts : 54
      Rep Power : 433
      Likes Received
      6
      Likes Given
      2

      Default Re: Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

      Hivi wadau mnauhakika na mnayochangia?Mpaka sasa RA hajashiriki kampen directly,hajapanda jukwaani hata mara moja,ushiriki wake bado ni tetesi tu eti ameombwa na Jk.Sipingi hili,na ni unafiki mkubwa kwa RA na magamba kama kweli wataamua kumtumia RA Igunga,ila ninachotaka kusema ni kutaka wanajf tuwe na uhakika kabla ya kuchangia na kupost thread vinginevyo tunalishushia hadhi jukwaa.

    11. #9
      WildCard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2008
      Posts : 6,455
      Rep Power : 1980
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      59

      Default Re: Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

      Quote By Nsengimana
      Hivi wadau mnauhakika na mnayochangia?Mpaka sasa RA hajashiriki kampen directly,hajapanda jukwaani hata mara moja,ushiriki wake bado ni tetesi tu eti ameombwa na Jk.Sipingi hili,na ni unafiki mkubwa kwa RA na magamba kama kweli wataamua kumtumia RA Igunga,ila ninachotaka kusema ni kutaka wanajf tuwe na uhakika kabla ya kuchangia na kupost thread vinginevyo tunalishushia hadhi jukwaa.
      Haukumwona siku ile CCM wanazindua kampeni? Rostam ndie mwenye Igunga angalau kwa sasa.

    12. #10
      mama kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 529
      Rep Power : 543
      Likes Received
      107
      Likes Given
      8

      Default Re: Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

      Quote By Nsengimana
      Hivi wadau mnauhakika na mnayochangia?Mpaka sasa RA hajashiriki kampen directly,hajapanda jukwaani hata mara moja,ushiriki wake bado ni tetesi tu eti ameombwa na Jk.Sipingi hili,na ni unafiki mkubwa kwa RA na magamba kama kweli wataamua kumtumia RA Igunga,ila ninachotaka kusema ni kutaka wanajf tuwe na uhakika kabla ya kuchangia na kupost thread vinginevyo tunalishushia hadhi jukwaa.
      nafikiri mwenzetu kama unaangalia tv huwa unaangalia nyuma ya screen yupo tangu mkapa anafungua kampeni siku ya jmosi ya ajali kubwa ya meli ya spice nini sijui

    13. #11
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 1847
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

      Quote By sulphadoxine
      JULAI 13, mwaka huu, siku alipotangaza kujiuzulu ubunge wa Jimbo la Igunga na ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz alisema kuwa amefanya maamuzi hayo kutokana na kuchoshwa na siasa uchwara, fitina na kuandamwa ndani ya CCM.
      Katika hotuba yake kwa wana-CCM na wakazi wengine wa Igunga, Rostam alikwenda mbali zaidi kwa kuwashutumu baadhi ya viongozi wa Sekretarieti ya chama hicho kwa kuendesha kampeni za kumwandama kwa tuhuma mbalimbali za kukosa maadili na kumtaka ajivue gamba.
      Aliwashutumu Naibu Katikbu Mkuu wa CCM Bara, Kapteni John Chiligati na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye.
      Itakumbukwa kuwa baada ya kikao cha NEC kilichofanyika mjini Dodoma Aprili mwaka huu na kutoa na maazimio 26, moja namba 15 likiwataka vigogo wenye tuhuma za ufisadi kupima na kuamua kuchukua hatua kwa kujiwajibisha badala ya kusubiri kuwajibishwa na chama, Chiligati na Nape walifanya ziara katika maeneo mengi ya nchi wakiwaelezea wanachama maana ya dhana ya kujivua gamba.
      Ili kuweka sawa na kumbukumbu ya makala yangu, Rostam alisema: “Mara tu baada ya kumalizika kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ambacho kilichagua wajumbe wapya wa Kamati Kuu na kuidhinisha uundwaji wa Sekretarieti mpya, dhana ya kujivua gamba ambayo naamini Mwenyekiti wetu

      By having these kind of leaders in the system and this party,CCM to lead us for sure our dream to reach Tanzania which produce honey and milk will remain to be something difficult to achieve.It is amazing that,someone who before condemn the whole system of chama cha magamba currently is a pioneer to say CCM is a good party.Huu ndio unafiki ambao watanzania siku zote we use to complain.But,this mark the beginning of an end of CCM and it leaders...I don't think if Tanzanian will remain to be quite and to leave this type of ruling to continue....One day they will take actions...
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    14. #12
      OMEGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Posts : 392
      Rep Power : 476
      Likes Received
      111
      Likes Given
      51

      Default Re: Igunga: Ni CCM ipi Rostam anaipigia kampeni; aliyosema ina siasa uchwara?

      Kaambiwa asiposaidia kampeni watampelekea TRA ichunguze jinsi CASPIAN inavyolipia mapato kutokana na mikataba yake ndani ya Mgodi wa Buzwagi Kahama ,ambako Rostam analipwa mabillioni kila mwezi kutokana na tender zake kedekede kwa Barrick mgodini umo lakini from reliable source analipa mapato sio kulingana na sheria za mapato bali anavyojisikia,anajipimia hela ya kulipa TRA na always ni kiduchu

    15. #13
      Tikerra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2008
      Location : Morogoro
      Posts : 1,588
      Rep Power : 864
      Likes Received
      100
      Likes Given
      3

      Default

      These people are demon possesed,achana nao, utasumbua akili yako bure.
      Quote By sulphadoxine
      JULAI 13, mwaka huu, siku alipotangaza kujiuzulu ubunge wa Jimbo la Igunga na ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz alisema kuwa amefanya maamuzi hayo kutokana na kuchoshwa na siasa uchwara, fitina na kuandamwa ndani ya CCM.
      Katika hotuba yake kwa wana-CCM na wakazi wengine wa Igunga, Rostam alikwenda mbali zaidi kwa kuwashutumu baadhi ya viongozi wa Sekretarieti ya chama hicho kwa kuendesha kampeni za kumwandama kwa tuhuma mbalimbali za kukosa maadili na kumtaka ajivue gamba.
      Aliwashutumu Naibu Katikbu Mkuu wa CCM Bara, Kapteni John Chiligati na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye.
      Itakumbukwa kuwa baada ya kikao cha NEC kilichofanyika mjini Dodoma Aprili mwaka huu na kutoa na maazimio 26, moja namba 15 likiwataka vigogo wenye tuhuma za ufisadi kupima na kuamua kuchukua hatua kwa kujiwajibisha badala ya kusubiri kuwajibishwa na chama, Chiligati na Nape walifanya ziara katika maeneo mengi ya nchi wakiwaelezea wanachama maana ya dhana ya kujivua gamba.
      Ili kuweka sawa na kumbukumbu ya makala yangu, Rostam alisema: “Mara tu baada ya kumalizika kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ambacho kilichagua wajumbe wapya wa Kamati Kuu na kuidhinisha uundwaji wa Sekretarieti mpya, dhana ya kujivua gamba ambayo naamini Mwenyekiti wetu

    16. #14
      Nsengimana's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Posts : 54
      Rep Power : 433
      Likes Received
      6
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By mama kubwa
      nafikiri mwenzetu kama unaangalia tv huwa unaangalia nyuma ya screen yupo tangu mkapa anafungua kampeni siku ya jmosi ya ajali kubwa ya meli ya spice nini sijui
      <br />
      <br />
      Nashukuru kwa taarifa,sikupata kuuangalia mkutano wa ufunguzi,pia sina acces sana na tv,mara nyingi news nazipata humu na kusoma magazet.Je RA alizungumza siku hiyo?Ama kweli magamba hamnazo.

    17. #15
      msnajo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 665
      Rep Power : 556
      Likes Received
      75
      Likes Given
      92

      Default

      Quote By sulphadoxine
      JULAI 13, mwaka huu, siku alipotangaza kujiuzulu ubunge wa Jimbo la Igunga na ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rostam Aziz alisema kuwa amefanya maamuzi hayo kutokana na kuchoshwa na siasa uchwara, fitina na kuandamwa ndani ya CCM.<br />
      Katika hotuba yake kwa wana-CCM na wakazi wengine wa Igunga, Rostam alikwenda mbali zaidi kwa kuwashutumu baadhi ya viongozi wa Sekretarieti ya chama hicho kwa kuendesha kampeni za kumwandama kwa tuhuma mbalimbali za kukosa maadili na kumtaka ajivue gamba.<br />
      Aliwashutumu Naibu Katikbu Mkuu wa CCM Bara, Kapteni John Chiligati na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye.<br />
      Itakumbukwa kuwa baada ya kikao cha NEC kilichofanyika mjini Dodoma Aprili mwaka huu na kutoa na maazimio 26, moja namba 15 likiwataka vigogo wenye tuhuma za ufisadi kupima na kuamua kuchukua hatua kwa kujiwajibisha badala ya kusubiri kuwajibishwa na chama, Chiligati na Nape walifanya ziara katika maeneo mengi ya nchi wakiwaelezea wanachama maana ya dhana ya kujivua gamba.<br />
      <span style="font-family: &amp;quot">Ili kuweka sawa na kumbukumbu ya makala yangu, Rostam alisema: “Mara tu baada ya kumalizika kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ambacho kilichagua wajumbe wapya wa Kamati Kuu na kuidhinisha uundwaji wa Sekretarieti mpya, dhana ya kujivua gamba ambayo naamini Mwenyekiti wetu </span>
      <br />
      <br />
      WACHA ALE MATAPISHI YAKE MWENYEWE! IGUNGA LAZIMA WAPINZANI WACHUKUE. KWANZA SI ALISEMA SIASA ZA TANZANIA NI UCHWARA NA MAJI TAKA? SASA LINI WAMEKUA NA SIASA NZURI! MAJITU MENGINE HOVYO TU!

    Similar Topics

    1. Siasa uchwara
      By BONGE BONGE in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 2
      Last Post: 21st October 2011, 23:19
    2. Replies: 12
      Last Post: 1st October 2011, 13:04
    3. 'SIASA UCHWARA' Is it a contradiction in terms
      By Jacque Maritain in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 1
      Last Post: 19th September 2011, 21:00
    4. Rostam, Mkapa kuungana kampeni za CCM Igunga
      By mluga in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 225
      Last Post: 15th September 2011, 20:32

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...