Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 85
    1. #1
      EasyFit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 832
      Rep Power : 565
      Likes Received
      572
      Likes Given
      196

      Default Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa Arusha imetoa uamuzi mdogo wa zuio la muda dhidi ya mikutano ya Chadema kuwasema hadharani madiwani watano wa chama hicho waliotimuliwa.

      Mahakama hiyo pia imesema hata kama Chadema itapata kibali cha kuhutubia kihakikishe suala la madiwani hao halizungumzwi wala kuzomewa, kuwatolea lugha chafu na za vitisho wakati huu ambao hapo kesi ya msingi imefunguliwa.

      Source: HabariLeo

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,271
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      694
      Likes Given
      696

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      hako kamchezo tumesha kagundua mapema!

    4. #3
      UmkhontoweSizwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2008
      Posts : 2,019
      Rep Power : 935
      Likes Received
      556
      Likes Given
      319

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      Kwani kuzomewa lazima iwe kwenye mikutano ya cdm?
      genekai likes this.

    5. #4
      politiki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Posts : 1,378
      Rep Power : 1342
      Likes Received
      728
      Likes Given
      130

      Cool Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      sometimes unajiuliza hawa maakimu wengine ni nani hivi anayewapa uhakimu kwa maana wamefikia mahala mpaka ku control speech.
      nani amekupa mamlaka ya kuzuia watu wasitoe maoni yao kwa kuwaambia nini wasizungumze na nini wazungumze ktk kutoa maoni yao ??
      hakimu/polisi siku zote inapojiingiza ktk kuwaamulia watu kitu cha kuzungumza au kuwakataza watu kwa kusema maoni haya ni mabaya au haya ni mazuri inajiingiza ktk kazi ambayo hiko juu ya uwezo wao kwani maoni hayo yanaweza kuwa mabaya au mazuri kutegemea mtu na mtu hii ni sawa mahakama kutuchagulia mwanamke mwenye sura ya aina gani ni mzuri au mbaya??

    6. #5
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,733
      Rep Power : 10179
      Likes Received
      5675
      Likes Given
      12666

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      wtoe tamko kuhusu waliotuletea mgao wa umeme pia.. wasiishie hapa
      genekai and samora10 like this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    7. Miaka 50

    8. #6
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      Quote By Saint Ivuga
      wtoe tamko kuhusu waliotuletea mgao wa umeme pia.. wasiishie hapa
      Ama kweli wewe kichwa cha masaburi, hakimu atoe tamko la umeme? si mpelekee kesi.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    9. #7
      Mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Location : Kalenga
      Posts : 614
      Rep Power : 3564
      Likes Received
      694
      Likes Given
      388

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      Mahakama inataka waendelee kuwa CDM? kama CDM imewakataa wanataka nini? si vyama vya siasa ni vingi si waende huko? au ndio maagizo waliyopewa na magamba? Hata hivyo mahakama haiwezi kushindana na nguvu ya umma wanachofanya ni kuzuia uchaguzi usifanyike haraka. Wasaliti hawawezi kuvumiliwa. Nawatakia kila la kheri mahakamani, hatuwachukii kama binadamu bali matendo yao maovu.
      Crashwise and zumbemkuu like this.
      Nilijitoa mhanga kwa watu wangu; watoeni watawala wadhalimu na mafisadi kwa ustawi wa nchi yetu.

    10. #8
      Feedback's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Posts : 4,096
      Rep Power : 1247
      Likes Received
      2066
      Likes Given
      1126

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      Nilifikiri wamefungua kesi ya kupinga kufukuzwa kumbe ni ya kudhalilishwa mazoba kweli watahangaika sana hiyo ndiyo imetoka
      CDM sasa inakazi moja tu kulichukua jimbo la fisadi.
      Only in Tanzania

    11. #9
      SILENT ACtOR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Location : KANDA MAALUM!
      Posts : 551
      Rep Power : 521
      Likes Received
      110
      Likes Given
      142

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      CCM na vyombo vyao vya habari wako makini sana kufuatilia masuala ya madiwani wa cdm. Laiti wangefuatilia kudhibiti mgao wa umeme, mafisadi, mishahara bora kwa nguvu hii............
      SUCCESS MEANS; DOING THE BEST YOU CAN WITH WHAT YOU HAVE.

    12. #10
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,733
      Rep Power : 10179
      Likes Received
      5675
      Likes Given
      12666

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      Quote By zomba
      Ama kweli wewe kichwa cha masaburi, hakimu atoe tamko la umeme? si mpelekee kesi.
      za mbayu wayu changanya na za kwako.. nielewe kwanza sio unatafsiri kila kitu kama kilivyo ...angalia kuna nini kwanza ndani ya post utaja ingia chaka
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    13. LAT
      #11
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      kesi ya msingi ni nini?
      "Esprit de Corps"

    14. #12
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1922
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      Haruna rais, hatuna mawaziri, hatuna serikali. Hii nchi ni f. up kabisa. Nauliza kwa nini kwanza waitwe madiwani? CDM inawaona hao ni watu tu wa kawaida kwani ilishawanyang'anya kadi. Kama wanan'gang'ania wao ni madiwani basi wanapokuwa katika vikao vya Baraza la Madiwani wataje wao wako humo kwa tiketi ya chama gani? Hawa watu ni wajinga kabisa kwenda mahakamani kwa kesi kama hii -- wanataka kitu gani? Ni bora tangu sasa mahakama zitangaze basi kwamba kama chama kinataka kumfukuza mnwanachama wake basi kiende mahakamani kufanikisha hilo -- yaani namna ya kufukuza kihalali ili kusiwepo migogoro. Shit!
      Saint Ivuga likes this.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    15. #13
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,188
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      946
      Likes Given
      377

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      Mahaka inapelekwa kwa nguvu za magamba wanapoteza muda kujipanga jinsi magamba watakavyonyakua hizo sehem walizoacha wazi. Muwe makini magamba zuluma inaumbua angalia mliyofanya mwaka jana kuzulumu baadhi ya majimbo na waangalie sasa mambo yanavyowashinda kuanza rais baraza la mawaziri mpaka ngazi za chini

    16. #14
      Mbaneingoma Zom's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd February 2011
      Posts : 203
      Rep Power : 458
      Likes Received
      8
      Likes Given
      5

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      Quote By Saint Ivuga
      wtoe tamko kuhusu waliotuletea mgao wa umeme pia.. wasiishie hapa
      Hapo mdau umenena, hivi vyombo vyetu vya serikali vinaweza kuona sana mikutano ya chadema ila si matatizo yanayotukabili. intelejinsia ya polisi haina uwezo wa kuona wachakachuaji wa mafuta, kitu kinachopelekea mafuta kupandishwa bei wala hilo hawalioni, mahakama hazioni hawa mafisadi ambao wamelitafuna taifa vibaya na ushahidi upo ila wana uwezo wa kujua ni diwani gani kazungumziwa kwenye mkutano wa chadema. huu ni uzuzu wa hali ya juu!!!!!

    17. #15
      CUF Ngangari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 257
      Rep Power : 445
      Likes Received
      37
      Likes Given
      0

      Default mahakama yaipiga 'stop' chadema.

      mahakama imekitaka chama cha democrasia na maendeleo chadema kutowaongelea madiwani 5 walio wafukuza mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa. mahakama ipo kwa ajili ya kutenda haki na kusimamia sheria nchini.

    18. #16
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default Re: mahakama yaipiga 'stop' chadema.

      Sheria ipi?ya kutetea wahalifu na kukandamiza wasio na hatia?sina imani na mahakama za TZ hata kidogo,KAZI KUWABEBA MAGAMBA TU.

    19. #17
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,202
      Rep Power : 12013
      Likes Received
      2656
      Likes Given
      1584

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      wasaliti wakizidiwa wanakimbilia mahakani,vibaka wakizidiwa wanakimbilia police.
      Manyanza likes this.

    20. HT
      #18
      HT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2011
      Location : Tanzania hii hii!
      Posts : 1,790
      Rep Power : 757
      Likes Received
      355
      Likes Given
      127

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      hivi bado tuna mahakama?

    21. #19
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,598
      Rep Power : 1286
      Likes Received
      315
      Likes Given
      907

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      Watazomewa tu hata mawe watapigwa wasaliti hawa.

    22. #20
      MAGEUZI KWELI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2011
      Location : Nagagaa na Upwa
      Posts : 972
      Rep Power : 591
      Likes Received
      150
      Likes Given
      161

      Default Re: Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

      Mke anamtaka mume kwa lazima kutumia mahakama..Acha tuone kama talaka itachanwachanwa na mume abebe dem lake.

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Madiwani wa CHADEMA Arusha wagawanyika
      By Mungi in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 214
      Last Post: 27th July 2011, 09:31
    2. Madiwani arusha watafukuzwa chadema
      By JOHN MADIBA in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 3
      Last Post: 30th June 2011, 12:34
    3. CCM: Tuna madiwani 16 Arusha
      By Nyambala in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 131
      Last Post: 11th January 2011, 18:04
    4. meya wa Arusha na madiwani pungufu, what is next
      By bulunga in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 12
      Last Post: 9th January 2011, 16:35

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...