Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wapi Nape?

    Report Post
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast
    Results 61 to 80 of 101
    1. #1
      Said Bagaile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Posts : 538
      Rep Power : 507
      Likes Received
      206
      Likes Given
      11

      Default Wapi Nape?

      Alianza kwa Mkwara. Wapimaji wa mambo wakasema ni Mkwara wa Nanasi ambao Nje ni Miba wakati Ndani ni utamu mtupu.

      Baada ya kelele nyingiiii, baadae amejigundua kumbe amezungukwa na kundi la Wanafiki, akavunjika nguvu. Wapi Operesheni Vua gamba? Wapi Mapacha Watatu aliotuambia wamewapa siku tisini na kuwaandikia barua?

      Zile kelele zooote ngumbe ni ndege mnana tu! We unacheza na Mkweree wewe! Full Unafiki!!

      Rudi ukawaombe radhi akina Mzee Lowasa uliojifanya kula nao sahani moja maana ndo wanaelekea kuziba hilo ombwe la Uongozi lililopo CCM sasa. Sijui utakimbilia wapi?

      Chadema ulishawakorofisha, labda ukimbilie kwa Dovutwa Fahmi.

      Pole sana.
      Dear Lord, help me be the kind of person my Dog thinks I am.

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      CAMARADERIE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Location : 1 Luthuli Street
      Posts : 4,163
      Rep Power : 2719
      Likes Received
      1586
      Likes Given
      1145

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Nnauye Jr
      Zamani facts na arguments vilikuwa ni mapambo hapa jamvini, sikuhizi hisia na kejeli zinajitahidi kupamba jukwaa.....

      Siku nikiingia Igunga mtajua tu, hakuna sababu ya kuandikia mate wakati winno upo......
      Yes kabla hujajiunga na kutuma watu wako kuja kuchafua hapa JF
      A compliment is something like a kiss through a veil




    4. #62
      popiexo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 680
      Rep Power : 685
      Likes Received
      142
      Likes Given
      96

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Mjenda Chilo
      Huyu dogo nae sijui anakubalije kutumika kirahisi hivyo. Kwa umri wake alitakiwa awe fame. Asimamie maadili ya Chama apigie debe chama kujiingiza moja kwa moja kwenye ugomvi na mapacha watatu itamcost. Nakuhakikishia hii inaweza kuwa nafasi yake ya mwisho kupata kama hiyo post maishani mwake
      Kaingia choo cha kike.
      Peace & Love

    5. #63
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Nnauye Jr
      EDSON,
      Kwanza pole sana kwa kujitahidi KUTUNGA UONGO WAKO HUMU.... Haya mawasiliano unayoyasema humu SIYAJUI vinginevyo kuna Nape mwingine mahali.... Mimi mjumbe halali wa CC uyasemayo hayajawahi kutokea, labda ile CC yenu mlokaa Morogoro kutathimini mtaendelezaji Ufisadi wenu katika mazingira haya ya kina " nape"..
      Lakini hivi umesahau mtu mzima HATISHIWI NYAU? vitisho vya " huna mda utapotea"..." kijana mdogo tu huyo nikikitaka kichwa chake asb kitakuwa hapa".. " hazijui siasa za nchi hii huyo dogo"... HAZIJAANZA JANA, WALIANZA SIKU NYINGI WALIOKUTANGULIA, BADO NIKASIMAMA IMARA LEO NIKO HAPA....USHAURI USIPOTEZE MUDA NA WENZIO KWA VITISHO VYA KITOTO KAMA MNADHANI MNAWEZA...VIDUME KWELI... TUENDELEE NA SAFARI TUONE PUMZI ZA NANI ZITAKWISHA MAPEMA.... CHAMA HICHI KILIJENGWA KATIKA MISINGI HATUWEZI ACHA MISINGI YAKE KWA KUJIDANGANYA CHAMA KITAENDELEA KUWEPO, HUWEZI BOMOA MISINGI YA NYUMBA NA UKATUDANGANYA TUTABAKI SALAMA... MNAOJARIBU KWAKUWA SISI BADO TUNAPENDA KUISHI NDANI YA NYUMBA HII TUWASHUGHULIKIE, VINGINEVYO RUDINI KWENYE MISINGI YA CHAMA....
      REJEA...imani za mwanachama wa CCM, ndio misingi yenyewe coz inawezekana kwasababu ya kudandia gari kwa mbele


      sasa unakataka kukataa juu ya kauli ya kikwete ndani ya kikao cha cc yenu? ....mbona sasa hivi mnafanya jitihada za kuwabadilihsa wenyeviti wa mikoa wa ccm eti kisa ni watu waliokuwa installed na lowasa na ndio maana wanapinga sana na kumtetea lowasa? kuna wakuuwa wilaya na mikoa mnasema eti waliwekwa na lowasa na sasa mnafanya mbinu zenu chafu ili muwaondoe..maana siku ile ndani ya kikao wewe mwenyewe ni shahidi uliona jinsi wale wenyeviti walivyokuwa wnaapinga mipango yenu michafu.....mi nakwambia wewe nape kaa chini ufikirie na tenda kwa akili utabaki peke yako unaweweseka tu....

      sasa hivi wewe na msekwa mnatumika vibaya sana na kama rostam alivyosema hizo gutter politics hazifai.....wengi mle ccm ni wezi na mafisadi hata msekwa mwenyewe ni mwizi tu si umeona anavyohangaika kule ngoro ngoro sasa hivi hivi amesharudi? au we huna habari unapayuka tu? .........mtoeni kwanza jk hapo ndo mtajipanga upya...acha kutumika vibaya kijana.....

    6. #64
      King of Kings's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2010
      Location : KWA MBAYUWAYU
      Posts : 3,762
      Rep Power : 1220
      Likes Received
      429
      Likes Given
      807

      Default Re: Wapi Nape?

      By Nnauye Jr
      Kwanza U-DC nlishaacha siku nilipoteuliwa katibu wa NEC. Kwahiyo kupanda majukwaani kwasasa si tatizo.
      Kuhusu nilichofanya Masasi, sijisifu lakini nenda leo au tafuta mtu aliyeko Masasi atakuambia, na hakika si rahisi kunisahau pamoja na kukaa miezi nani tu.
      Maneno gani yanageuzwa? Hata hiyo siku ya kikao na wahariri, tulielezea kilichotokea,tatizo watu wanachukua maneno ambayo hayajatolewa ufafanuzi, na jana nimesisitiza UAMUZI na MJADALA WA NEC VIME REKODIWA kwa MOVING kamera na ndo maana wanaosema ni maamuzi ya Nape na Chiligati si wajumbe wa NEC. Bado nashauri subirini tushindwe kuwafukuza....




      Mkuu nape Nnauye

      Hapo kwenye Red Rostam kafukuzwa au?

    7. #65
      kapotolo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 2,407
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      392

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Edson
      ...halafu kingine huu ni ushauri wa bure kwako rekebisha maswala yako ndoa na mkeo achana yule mama wa singida(mbunge viti maalumu) mjali mkeo kwanza na hili linakutesa sana kwa sasa.......mrudie mkeo halali achana na huyo mama ...
      Duh.. Mkuu unaenda mbali, nadhani this is too personal...
      Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu

    8. Miaka 50

    9. #66
      Honey K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2008
      Posts : 628
      Rep Power : 521
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default Re: Wapi Nape?

      Pole sana Edson, kazi yenu sasa ni kujaribu kuzusha hata ambayo hayaingii akilini, kama nyi wengine ndoa zimewashinda bahati mbaya poleni... Kama mnaweza kuzusha mpaka ya kifamilia, basi sitashangaa kesho mkisema Nape mchina... Maana kama mnaweza kumzushia mtu kutembea hata na mama yake, basi huu ni uzushi wa kutisha...pole sana maana mmetafuta ufisadi wa Nape mpaka miguu imeota vigimbi... Dawa ya uchafu kuoga si kujaribu kuchafua wengine kwa kudhani utakua msafi

    10. #67
      Honey K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2008
      Posts : 628
      Rep Power : 521
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default Re: Wapi Nape?

      Sasa Edson hebu twambie KAMATI KUU YA CCM KUNA WENYEVITI WA MIKOA HAO UNAODAI WALIKUWA WAKIPINGA??? nadhani napoteza muda wangu kukujibu. Ndo maana nasema pengine ni ILE CC YENU YA MORO....CHECK VIZURI NOTES ZAKO MKUU

    11. #68
      CAMARADERIE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Location : 1 Luthuli Street
      Posts : 4,163
      Rep Power : 2719
      Likes Received
      1586
      Likes Given
      1145

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Nnauye Jr
      Pole sana Edson, kazi yenu sasa ni kujaribu kuzusha hata ambayo hayaingii akilini, kama nyi wengine ndoa zimewashinda bahati mbaya poleni... Kama mnaweza kuzusha mpaka ya kifamilia, basi sitashangaa kesho mkisema Nape mchina... Maana kama mnaweza kumzushia mtu kutembea hata na mama yake, basi huu ni uzushi wa kutisha...pole sana maana mmetafuta ufisadi wa Nape mpaka miguu imeota vigimbi... Dawa ya uchafu kuoga si kujaribu kuchafua wengine kwa kudhani utakua msafi
      Aisee.......hii mipasho umesomea wapi? Tambwe hakuzushiwa bali alisema mwenyewe...nanukukuu ''mimi kama ntarudi CCM basi bora nimlale mama yangu mzazi'' mwisho wa kunukuu
      A compliment is something like a kiss through a veil




    12. #69
      King of Kings's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2010
      Location : KWA MBAYUWAYU
      Posts : 3,762
      Rep Power : 1220
      Likes Received
      429
      Likes Given
      807

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Nnauye Jr
      Pole sana Edson, kazi yenu sasa ni kujaribu kuzusha hata ambayo hayaingii akilini, kama nyi wengine ndoa zimewashinda bahati mbaya poleni... Kama mnaweza kuzusha mpaka ya kifamilia, basi sitashangaa kesho mkisema Nape mchina... Maana kama mnaweza kumzushia mtu kutembea hata na mama yake, basi huu ni uzushi wa kutisha...pole sana maana mmetafuta ufisadi wa Nape mpaka miguu imeota vigimbi... Dawa ya uchafu kuoga si kujaribu kuchafua wengine kwa kudhani utakua msafi
      Mkuu nape

      naomba unijibu swali langu hapo post 64

    13. #70
      Bishop Hiluka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,497
      Rep Power : 5984
      Likes Received
      492
      Likes Given
      154

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Said Bagaile
      Alianza kwa Mkwara. Wapimaji wa mambo wakasema ni Mkwara wa Nanasi ambao Nje ni Miba wakati Ndani ni utamu mtupu.

      Baada ya kelele nyingiiii, baadae amejigundua kumbe amezungukwa na kundi la Wanafiki, akavunjika nguvu. Wapi Operesheni Vua gamba? Wapi Mapacha Watatu aliotuambia wamewapa siku tisini na kuwaandikia barua?

      Zile kelele zooote ngumbe ni ndege mnana tu! We unacheza na Mkweree wewe! Full Unafiki!!

      Rudi ukawaombe radhi akina Mzee Lowasa uliojifanya kula nao sahani moja maana ndo wanaelekea kuziba hilo ombwe la Uongozi lililopo CCM sasa. Sijui utakimbilia wapi?

      Chadema ulishawakorofisha, labda ukimbilie kwa Dovutwa Fahmi.

      Pole sana.
      Inawezekana alikuwa REMOTE CONTROL ya bwana mkubwa.
      Sasa bwana mkubwa kachoka kaamua kuiweka pembeni ili
      aangalie biashara nyingine...
      It's better to be hated for who you are,
      than to be loved for someone you are not...

    14. #71
      mwaJ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2007
      Location : Nowhere
      Posts : 3,449
      Rep Power : 14607
      Likes Received
      2288
      Likes Given
      1500

      Default Re: Wapi Nape?

      Karudi kusomea ukada! Tulimwambia amekuwa sasa hawezi tena kuvaa nepi hakutusikia!

    15. #72
      Mikael P Aweda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 1,829
      Rep Power : 6546
      Likes Received
      2426
      Likes Given
      2197

      Default Re: Wapi Nape?

      Nape anamtumikia mtu ambaye hajui objective yake.
      Mikael P Aweda 0784 583 330
      Elimu kwanza

    16. #73
      makoye2009's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Posts : 1,413
      Rep Power : 795
      Likes Received
      377
      Likes Given
      265

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Said Bagaile
      Alianza kwa Mkwara. Wapimaji wa mambo wakasema ni Mkwara wa Nanasi ambao Nje ni Miba wakati Ndani ni utamu mtupu.

      Baada ya kelele nyingiiii, baadae amejigundua kumbe amezungukwa na kundi la Wanafiki, akavunjika nguvu. Wapi Operesheni Vua gamba? Wapi Mapacha Watatu aliotuambia wamewapa siku tisini na kuwaandikia barua?

      Zile kelele zooote ngumbe ni ndege mnana tu! We unacheza na Mkweree wewe! Full Unafiki!!

      Rudi ukawaombe radhi akina Mzee Lowasa uliojifanya kula nao sahani moja maana ndo wanaelekea kuziba hilo ombwe la Uongozi lililopo CCM sasa. Sijui utakimbilia wapi?

      Chadema ulishawakorofisha, labda ukimbilie kwa Dovutwa Fahmi.

      Pole sana.
      Nnape Nnauye si lolote si chochote.
      Watu tulisema mapema kabisa huyu jamaa anatumika KAMA VUVUZELA LA MAGAMBA!!!!
      Juzi walipokutana CC walimbana jamaa kuwa aache kelele za vuvuzela maana aweza sababisha Chama Cha Magamba KUSAMBARATIKA kabisa baada ya Rostam kuwatosha CCM akiwaambia wanaendesha SIASA ZA KIJINGA ZA KUPAKANA MATOPE.

      Mpaka sasa yeye Nnape na Chiligati WAMEAMBIWA WASIKANYAGE IGUNGA HATA IWEJE MAANA WAO NDIYO CHANZO CHA JIMBO HILO KUWA WAZI.

      Sasa hivi Nnape na Chiligati wake KIMYAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!Una fanya mchezo na WANAMAGAMBA???Watakakupotezea sasa hivi.

    17. #74
      SILENT WHISPER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Posts : 2,046
      Rep Power : 917
      Likes Received
      572
      Likes Given
      158

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Nnauye Jr
      EDSON,
      Kwanza pole sana kwa kujitahidi KUTUNGA UONGO WAKO HUMU.... Haya mawasiliano unayoyasema humu SIYAJUI vinginevyo kuna Nape mwingine mahali.... Mimi mjumbe halali wa CC uyasemayo hayajawahi kutokea, labda ile CC yenu mlokaa Morogoro kutathimini mtaendelezaji Ufisadi wenu katika mazingira haya ya kina " nape"..
      Lakini hivi umesahau mtu mzima HATISHIWI NYAU? vitisho vya " huna mda utapotea"..." kijana mdogo tu huyo nikikitaka kichwa chake asb kitakuwa hapa".. " hazijui siasa za nchi hii huyo dogo"... HAZIJAANZA JANA, WALIANZA SIKU NYINGI WALIOKUTANGULIA, BADO NIKASIMAMA IMARA LEO NIKO HAPA....USHAURI USIPOTEZE MUDA NA WENZIO KWA VITISHO VYA KITOTO KAMA MNADHANI MNAWEZA...VIDUME KWELI... TUENDELEE NA SAFARI TUONE PUMZI ZA NANI ZITAKWISHA MAPEMA.... CHAMA HICHI KILIJENGWA KATIKA MISINGI HATUWEZI ACHA MISINGI YAKE KWA KUJIDANGANYA CHAMA KITAENDELEA KUWEPO, HUWEZI BOMOA MISINGI YA NYUMBA NA UKATUDANGANYA TUTABAKI SALAMA... MNAOJARIBU KWAKUWA SISI BADO TUNAPENDA KUISHI NDANI YA NYUMBA HII TUWASHUGHULIKIE, VINGINEVYO RUDINI KWENYE MISINGI YA CHAMA....
      REJEA...imani za mwanachama wa CCM, ndio misingi yenyewe coz inawezekana kwasababu ya kudandia gari kwa mbele
      Dogo unaongea saaaana...raisi wako yupo wapi..? SOMA ALAMA ZA NYAKATI ....KIMBIA HAYO MAGAMBA...!
      POLITICIAN, ONE WHO SHAKES YOUR HAND BEFORE ELECTION AND YOUR CONFIDENCE LATER

    18. #75
      King of Kings's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2010
      Location : KWA MBAYUWAYU
      Posts : 3,762
      Rep Power : 1220
      Likes Received
      429
      Likes Given
      807

      Default Re: Wapi Nape?

      Nnauye mbona umekimbia???

    19. #76
      Rweyemam's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 39
      Rep Power : 440
      Likes Received
      7
      Likes Given
      25

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Sizinga
      na Igunga kazuiwa kwenda!!
      Kwenda Igunga ni maji marefu kwa Nape

    20. #77
      FUSO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 2,916
      Rep Power : 1027
      Likes Received
      751
      Likes Given
      330

      Default Re: Wapi Nape?

      Hii dhana ya kujivua magama ni ngumu mno, nafikiri hatukufaya tathimini ya kina kabla, tayari chama kimeshajeruhiwa.

    21. #78
      FUSO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 2,916
      Rep Power : 1027
      Likes Received
      751
      Likes Given
      330

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By King of Kings
      Nnauye mbona umekimbia???
      lunch time.

    22. #79
      Said Bagaile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Posts : 538
      Rep Power : 507
      Likes Received
      206
      Likes Given
      11

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Nnauye Jr
      Nadhani inatia aibu kusema jambo ambalo huna hakika nalo....nimejaribu kusoma kejeli hapa nyingi sana lakini nasema mambo yatakapo kuwa kama nilivyosema( na bila shaka mnajua wameshaanza) ....msisite kuja hapa kupongeza pia.......
      Kwa hili unapaswa uone aibu. Mambo yapi yaliyoanza! Rostamu kaondoka kwa sababu ya siasa Uchwara na si kwa kulazimishwa na mtu. Usiongee kwa mafumbo kama Mwimba taarabu. Yataje mambo yaliyokwishaanza ni yapi! Tunachoweza kukushauri ni kwamba Usifanye shingo ngumu, rudi kwa akina Mzee Lowasa ukawaangukie, wale ni watu wazima wanaoelewa kwamba ulikuwa unaganga njaa tu watakusamehe, lakini ukiendelea kufanya shingo ngumu, itavunjika. Mzee wako Msekwa ndio huyo tena ni aibu nyingine. Kumbe nalo ni jizi tu la mali ya Watanzania. Sasa atawezaje kumnyooshea kidole Mzee wa Vijisenti! Halafu kuwa makini sana, kwani imeshaonekana kwamba CCM hakuna mtu msafi kuanzia waliopo sasa na wengi waliopita. Angalia wasije kuanza kufichua na Madudu yaliyofanywa na Waliotangulia, Wengine ni Wazazi wetu! Akina Lowasa wanajua mengi!
      Dear Lord, help me be the kind of person my Dog thinks I am.

    23. #80
      CAMARADERIE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Location : 1 Luthuli Street
      Posts : 4,163
      Rep Power : 2719
      Likes Received
      1586
      Likes Given
      1145

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By FUSO
      lunch time.
      Wakati wa mfungo?
      A compliment is something like a kiss through a veil




    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast

    Similar Topics

    1. Yuko wapi Nape Nnauye?
      By Mpanzi in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 35
      Last Post: 11th December 2011, 18:58
    2. Replies: 0
      Last Post: 26th August 2011, 14:18
    3. Nape abeba gunia la kokota, atalitua wapi au kumwuzia nani?
      By Candid Scope in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 23
      Last Post: 23rd May 2011, 00:32

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...