Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wapi Nape?

    Report Post
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 101
    1. #1
      Said Bagaile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Posts : 538
      Rep Power : 507
      Likes Received
      206
      Likes Given
      11

      Default Wapi Nape?

      Alianza kwa Mkwara. Wapimaji wa mambo wakasema ni Mkwara wa Nanasi ambao Nje ni Miba wakati Ndani ni utamu mtupu.

      Baada ya kelele nyingiiii, baadae amejigundua kumbe amezungukwa na kundi la Wanafiki, akavunjika nguvu. Wapi Operesheni Vua gamba? Wapi Mapacha Watatu aliotuambia wamewapa siku tisini na kuwaandikia barua?

      Zile kelele zooote ngumbe ni ndege mnana tu! We unacheza na Mkweree wewe! Full Unafiki!!

      Rudi ukawaombe radhi akina Mzee Lowasa uliojifanya kula nao sahani moja maana ndo wanaelekea kuziba hilo ombwe la Uongozi lililopo CCM sasa. Sijui utakimbilia wapi?

      Chadema ulishawakorofisha, labda ukimbilie kwa Dovutwa Fahmi.

      Pole sana.
      Dear Lord, help me be the kind of person my Dog thinks I am.

    2. Miaka 50

    3. #41
      Malafyale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2008
      Posts : 1,140
      Rep Power : 778
      Likes Received
      289
      Likes Given
      21

      Default

      Quote By EasyFit
      Nashukuru kwa kujitokeza watu walianza kuwa na wasiwasi huyu ndugu kapotelea wapi.......hata hivyo nina swali moja, lini utakwenda Igunga maana kwa cheo chako wewe ndiye hasa wa kukiuza chama hasa wakati huu wa uchaguzi, nauliza hivyo kwa sababu nilisikia tetesi kuwa CC imekuzuia wewe na Chiligati kwenda huko ni ya kweli hayo.
      Nape hawezi kwenda Igunga na akienda ataipunguzia mno kura CCM;Nape is extremely unpopular there na wana Igunga wanamchulia Nape kama kiongozi wa 'gut politics' aliyeanzisha chokochoko kwa RA na maswahiba zake akina Mamvi ingawaje kwa sasa CCM ni kama vile imemuacha Nape bila msaada wowote!

    4. #42
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,339
      Rep Power : 871
      Likes Received
      382
      Likes Given
      304

      Default Re: Wapi Nape?

      nasikia Igunga kapigwa stop kwenda na akienda asitaje majina ya miungu watatu . tatizo hakupewa semina elekezi aidha alidoji kipindi

    5. #43
      Honey K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2008
      Posts : 628
      Rep Power : 521
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Duble Chris
      nasikia Igunga kapigwa stop kwenda na akienda asitaje majina ya miungu watatu . tatizo hakupewa semina elekezi aidha alidoji kipindi
      Zamani facts na arguments vilikuwa ni mapambo hapa jamvini, sikuhizi hisia na kejeli zinajitahidi kupamba jukwaa.....

      Siku nikiingia Igunga mtajua tu, hakuna sababu ya kuandikia mate wakati winno upo......

    6. #44
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,409
      Rep Power : 1032
      Likes Received
      1169
      Likes Given
      598

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Nnauye Jr
      Zamani facts na arguments vilikuwa ni mapambo hapa jamvini, sikuhizi hisia na kejeli zinajitahidi kupamba jukwaa.....

      Siku nikiingia Igunga mtajua tu, hakuna sababu ya kuandikia mate wakati winno upo......
      Faiza F. hajambo?

    7. #45
      Ikwanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Posts : 551
      Rep Power : 507
      Likes Received
      106
      Likes Given
      43

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Nnauye Jr
      Nadhani inatia aibu kusema jambo ambalo huna hakika nalo....nimejaribu kusoma kejeli hapa nyingi sana lakini nasema mambo yatakapo kuwa kama nilivyosema( na bila shaka mnajua wameshaanza) ....msisite kuja hapa kupongeza pia.......
      Nape, tulizoe ulipokuwa unaropoka kila siku kuhusu mshahara wa Dr wa Ukweli, Naomba kuuliza swali la nyongeza, Je, katika maisha yako ndani ya chama cha magamba ulishawahi kuhisi ama kujua kuwa Msekwa ni fisadi? na je uliwahi kufahamu kuwa Luhanjo ndiye anayetengeneza mabomu yote. Mbona muda wote ulikuwa unamwandama Dr wa Ukweli na wakati unawatu wazito unafanya nao kazi lakini ni wachafu sawa na lowasa na chenge? au na wewe ni mmoja wapo. na kama hutajibu maswali yangu. Kuanzi leo natangaza kuwa hata wewe ni FISADI.

    8. FemaTV & Radio

    9. #46
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,513
      Rep Power : 19750
      Likes Received
      5435
      Likes Given
      3638

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Nnauye Jr
      Zamani facts na arguments vilikuwa ni mapambo hapa jamvini, sikuhizi hisia na kejeli zinajitahidi kupamba jukwaa.....

      Siku nikiingia Igunga mtajua tu, hakuna sababu ya kuandikia mate wakati winno upo......
      Ushauri wa bure: Sina uhakika kama uliwahi kuuona ushauri niliokupa hapa mara ya mwisho, ila nitakueleza kwa ufupi tu, kwa jinsi maisha yanavyozidi kuwa magumu ccm haitoweza tena kuiteka mioyo ya Watanzania.

      Sasa kijana kama wewe unatakiwa uongeze ziara nyingi kadili uwezavyo ili upate posho nyingi kwa muda mfupi, tena ningekushauri uongee na William Malecela ili wakualike Marekani ukafunguwe matawi ya ccm ili litakuongezea posho nzito zaidi maana safari ya Marekani itahitaji na pesa ya shopping.
      Kumbuka mwakani ni uchaguzi mkuu wa ndani ya CCM, usiposikiliza ushauri huu usije ukajuta, wenye chama chao mwakani watahakikisha watu wote wasumbufu hamrudi madarakani na kama kigenzo ni ufisadi imethibitika ccm ni chama cha mafisadi ila tu mnazidiana dau la kiufisadi, nimejiridhisha hili baada ya kupata kashfa za Pius Msekwa. ccm kwishney!!
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    10. #47
      Ikumbilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2010
      Posts : 455
      Rep Power : 2664
      Likes Received
      51
      Likes Given
      33

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Ndjabu Da Dude
      Bora kapotea, maana kuna wakati kila ukifungua blog za Wabongo ulikuwa humkosi. Sasa ameibuka starring mpya, Makamu wa Pili wa Rais, Gharib Balal au sijui nani. Kila kukicha, ni kizee hiki kikipeana mikono, kikifuturisha au kikitoa hotuba aka kutembeza pumba kama hakina akili nzuri.
      Umeifanya siku yangu iwe nzuri sana.


      Hakitadumu Chama cha Mapinduzi, Hakidumu.
      bushman likes this.

    11. #48
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: Wapi Nape?

      ngoja nikuulize wewe nape....kama kweli wewe ni kiongozi tena katibu mwenezi wa chama kwa nini wamekupikataza kwenda igunga?

      sababu ni nini.......ulikuja juu kweli sasa hivi naona umelowanisha?

      mle ndani ya kikao siku ile uliona jinsi lowas alivyo na nguvu? .jamaa alikuwa kimya na wengine ndo wanamtetea

    12. #49
      Acha Uvivu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Posts : 412
      Rep Power : 490
      Likes Received
      103
      Likes Given
      13

      Default Re: Wapi Nape?

      CCM hata wapate mwanapropaganda aina gani ndoto ya wao kuchukua hii dola tena haipo, tena kabisaaaa. Chadema tu, Nape ni sehemu ya wale watakao jenga historia ya masalia baada ya ccm kuporomoka.

    13. #50
      FUSO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 2,912
      Rep Power : 1026
      Likes Received
      751
      Likes Given
      330

    14. #51
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: Wapi Nape?

      cc yenu ya juzi uliona jk anavyogeuka na kujifanya hajui kitu.....eti anamuuliza msekwa....''msekwa uliniambia wamekwambia wataangalia na kujipima ndivyo ulivyosema?'' yaani yeye kama raisi hasemi kitu ila anasakizia.....na wewe nape wacha nikwambie unakumbuka chiligati alipokupigia simu na mkaongea na kukwambia mfanye jitihada zenu kwa akili maana mnaweza kupotea ndani ya kipindi cha mwisho cha jk......kumbuka kijana wewe ni kijana mdogo sana na hujui siasa za nchi hii...kipindi kile uko singida unafanya mikutano yako na kusema utamlipua dr slaa na chadema ....unakumbuka baada ya kutoka huko jk alikutumia meseji akasema ''usihofu na wala wasikutishe endelea hivyo hivyo'' lakini gafla ulipomkashifu mzee wa mikasi( makamu wa kwanza wa rasi wa zanziba) unakmbuka ni jkyule yule alikupigia simu na kukulaumu naakakuonya kwa maneno makali?........kama haitoshi katibu wako mkuu wa chama unamuona anavyokugeuka kila mara na kukubebessha zigo?

      jaribu kufikiri upya juu ya mambo yako kijana unayofanya....huna mda utapotea na utapotezwa bila kujijua wenzako wajanja we kurupuka tu....fanya mambo kwa akili kijana sisi wengine tunakuangalia tu na mda ukifika utanyamaza na hutasema tena ...acha kukurupuka kumbuka yule mzee wa iringa(baba wawili) alivyokwambi siku ile wakati uko chanel ten kuwa huzijui siasa za nchi hii....na kweli huzijui....

    15. #52
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 11,968
      Rep Power : 31791
      Likes Received
      5906
      Likes Given
      19296

      Default Re: Wapi Nape?

      nape amepigwa ububu.

    16. #53
      Honey K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2008
      Posts : 628
      Rep Power : 521
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default Re: Wapi Nape?

      EDSON,
      Kwanza pole sana kwa kujitahidi KUTUNGA UONGO WAKO HUMU.... Haya mawasiliano unayoyasema humu SIYAJUI vinginevyo kuna Nape mwingine mahali.... Mimi mjumbe halali wa CC uyasemayo hayajawahi kutokea, labda ile CC yenu mlokaa Morogoro kutathimini mtaendelezaji Ufisadi wenu katika mazingira haya ya kina " nape"..
      Lakini hivi umesahau mtu mzima HATISHIWI NYAU? vitisho vya " huna mda utapotea"..." kijana mdogo tu huyo nikikitaka kichwa chake asb kitakuwa hapa".. " hazijui siasa za nchi hii huyo dogo"... HAZIJAANZA JANA, WALIANZA SIKU NYINGI WALIOKUTANGULIA, BADO NIKASIMAMA IMARA LEO NIKO HAPA....USHAURI USIPOTEZE MUDA NA WENZIO KWA VITISHO VYA KITOTO KAMA MNADHANI MNAWEZA...VIDUME KWELI... TUENDELEE NA SAFARI TUONE PUMZI ZA NANI ZITAKWISHA MAPEMA.... CHAMA HICHI KILIJENGWA KATIKA MISINGI HATUWEZI ACHA MISINGI YAKE KWA KUJIDANGANYA CHAMA KITAENDELEA KUWEPO, HUWEZI BOMOA MISINGI YA NYUMBA NA UKATUDANGANYA TUTABAKI SALAMA... MNAOJARIBU KWAKUWA SISI BADO TUNAPENDA KUISHI NDANI YA NYUMBA HII TUWASHUGHULIKIE, VINGINEVYO RUDINI KWENYE MISINGI YA CHAMA....
      REJEA...imani za mwanachama wa CCM, ndio misingi yenyewe coz inawezekana kwasababu ya kudandia gari kwa mbele

    17. #54
      bushman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,438
      Rep Power : 721
      Likes Received
      308
      Likes Given
      84

      Default Re: Wapi Nape?

      hana ujanja kila akigeuka dr.masaburi,jairo,iddy simba,msekwa pius,sasa hali ni tete hakuna msafi yote magamba tu......................

    18. #55
      Limbani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Kisiwani
      Posts : 1,225
      Rep Power : 819
      Likes Received
      254
      Likes Given
      63

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Nnauye Jr
      EDSON,
      Kwanza pole sana kwa kujitahidi KUTUNGA UONGO WAKO HUMU.... Haya mawasiliano unayoyasema humu SIYAJUI vinginevyo kuna Nape mwingine mahali.... Mimi mjumbe halali wa CC uyasemayo hayajawahi kutokea, labda ile CC yenu mlokaa Morogoro kutathimini mtaendelezaji Ufisadi wenu katika mazingira haya ya kina " nape"..
      Lakini hivi umesahau mtu mzima HATISHIWI NYAU? vitisho vya " huna mda utapotea"..." kijana mdogo tu huyo nikikitaka kichwa chake asb kitakuwa hapa".. " hazijui siasa za nchi hii huyo dogo"... HAZIJAANZA JANA, WALIANZA SIKU NYINGI WALIOKUTANGULIA, BADO NIKASIMAMA IMARA LEO NIKO HAPA....USHAURI USIPOTEZE MUDA NA WENZIO KWA VITISHO VYA KITOTO KAMA MNADHANI MNAWEZA...VIDUME KWELI... TUENDELEE NA SAFARI TUONE PUMZI ZA NANI ZITAKWISHA MAPEMA.... CHAMA HICHI KILIJENGWA KATIKA MISINGI HATUWEZI ACHA MISINGI YAKE KWA KUJIDANGANYA CHAMA KITAENDELEA KUWEPO, HUWEZI BOMOA MISINGI YA NYUMBA NA UKATUDANGANYA TUTABAKI SALAMA... MNAOJARIBU KWAKUWA SISI BADO TUNAPENDA KUISHI NDANI YA NYUMBA HII TUWASHUGHULIKIE, VINGINEVYO RUDINI KWENYE MISINGI YA CHAMA....
      REJEA...imani za mwanachama wa CCM, ndio misingi yenyewe coz inawezekana kwasababu ya kudandia gari kwa mbele
      Misingi gani ambayo ipo na inafuatwa ndani ya CCM Nape!!?? Hebu speak from your heart... You are surrounded with a bunches of thieves and greedy people... Rejea nukuu za marehemu Kolimba labda zinaweza kukusaidia.
      amidst the mists and coldest frost, he thrust his fists against the posts, and still insists he sees the ghosts...

    19. #56
      Mjenda Chilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 769
      Rep Power : 553
      Likes Received
      237
      Likes Given
      3

      Default Re: Wapi Nape?

      Huyu dogo nae sijui anakubalije kutumika kirahisi hivyo. Kwa umri wake alitakiwa awe fame. Asimamie maadili ya Chama apigie debe chama kujiingiza moja kwa moja kwenye ugomvi na mapacha watatu itamcost. Nakuhakikishia hii inaweza kuwa nafasi yake ya mwisho kupata kama hiyo post maishani mwake

    20. #57
      bushman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,438
      Rep Power : 721
      Likes Received
      308
      Likes Given
      84

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Edson
      ngoja nikuulize wewe nape....kama kweli wewe ni kiongozi tena katibu mwenezi wa chama kwa nini wamekupikataza kwenda igunga?

      sababu ni nini.......ulikuja juu kweli sasa hivi naona umelowanisha?

      mle ndani ya kikao siku ile uliona jinsi lowas alivyo na nguvu? .jamaa alikuwa kimya na wengine ndo wanamtetea
      kaka edson wajina wangu jamaa umemshika pabaya sana katika uchangiaji wako hali yake ni mbaya unaona anavyojiumauma mwaga data .............................. mpaka kajitokeza umetekenya penyewe kabisaaa,

    21. #58
      Daniel Anderson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2011
      Location : LUPA CHUNYA
      Posts : 826
      Rep Power : 559
      Likes Received
      129
      Likes Given
      348

      Default

      Quote By King of Kings
      <font color="#ff0000">Red: How?<br />
      <br />
      hutosikia nape tena, two weeks ago walipokwenda dodoma <br />
      alichibwa biti ile mbaya, ccm ina wenyewe bwaaaana</font>
      <br />
      <br />
      usimwite nape, inatamkwa 'nepi'.

    22. #59
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Nnauye Jr
      EDSON,
      Kwanza pole sana kwa kujitahidi KUTUNGA UONGO WAKO HUMU.... Haya mawasiliano unayoyasema humu SIYAJUI vinginevyo kuna Nape mwingine mahali.... Mimi mjumbe halali wa CC uyasemayo hayajawahi kutokea, labda ile CC yenu mlokaa Morogoro kutathimini mtaendelezaji Ufisadi wenu katika mazingira haya ya kina " nape"..
      Lakini hivi umesahau mtu mzima HATISHIWI NYAU? vitisho vya " huna mda utapotea"..." kijana mdogo tu huyo nikikitaka kichwa chake asb kitakuwa hapa".. " hazijui siasa za nchi hii huyo dogo"... HAZIJAANZA JANA, WALIANZA SIKU NYINGI WALIOKUTANGULIA, BADO NIKASIMAMA IMARA LEO NIKO HAPA....USHAURI USIPOTEZE MUDA NA WENZIO KWA VITISHO VYA KITOTO KAMA MNADHANI MNAWEZA...VIDUME KWELI... TUENDELEE NA SAFARI TUONE PUMZI ZA NANI ZITAKWISHA MAPEMA.... CHAMA HICHI KILIJENGWA KATIKA MISINGI HATUWEZI ACHA MISINGI YAKE KWA KUJIDANGANYA CHAMA KITAENDELEA KUWEPO, HUWEZI BOMOA MISINGI YA NYUMBA NA UKATUDANGANYA TUTABAKI SALAMA... MNAOJARIBU KWAKUWA SISI BADO TUNAPENDA KUISHI NDANI YA NYUMBA HII TUWASHUGHULIKIE, VINGINEVYO RUDINI KWENYE MISINGI YA CHAMA....
      REJEA...imani za mwanachama wa CCM, ndio misingi yenyewe coz inawezekana kwasababu ya kudandia gari kwa mbele

      deep down unajua naanisha nini maana unajua kila kitu.....we jifanye hujui wakati una wakati mgumu na unalijua...upepo umeanza kugeuka na na sasa unaweweseka.....jipime uangalie utendaji kazi wako na hao wenzako unaodai viongozi wako wa juu.......nilikuuliza hapo juu unambie kwa nii umekatazwa kwenda igunga kusaidia kampeni??

      nakwambia kama ulivyowahi kusema wewe mwenyewe kuwa tatizo ni mwenyekiti wa chama...na ni kweli anzieni hapo...na huyu ndiye tatizo la msingi mtoeni hapo haraka maana hajui anafanya nini....hata kada mwenzako shyrose banji kasema na heri yake huyu yuko wazi na kasema kweli kuwa nchi imemshinda jk...sasa wewe umeingia kichwa kichwa huku unajua kabisa kuwa tatizo ni mwenyekiti sasa subiri atakapokutoa kafara ndo utajua....uanike sasa hivi kijana kungali mapema na jua bado la sivyo utautwanga mbichi''........

      halafu kingine huu ni ushauri wa bure kwako rekebisha maswala yako ndoa na mkeo achana yule mama wa singida(mbunge viti maalumu) mjali mkeo kwanza na hili linakutesa sana kwa sasa.......mrudie mkeo halali achana na huyo mama ...

    23. #60
      CAMARADERIE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Location : 1 Luthuli Street
      Posts : 4,163
      Rep Power : 2719
      Likes Received
      1586
      Likes Given
      1145

      Default Re: Wapi Nape?

      [QUOTE=Nnauye Jr;2379855]Nadhani inatia aibu kusema jambo ambalo huna hakika nalo....nimejaribu kusoma kejeli hapa nyingi sana lakini nasema mambo yatakapo kuwa kama nilivyosema( na bila shaka mnajua wameshaanza) ....msisite kuja hapa kupongeza pia.......[/QUOTE

      Igunga umejiandaandaaje?
      A compliment is something like a kiss through a veil




    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Yuko wapi Nape Nnauye?
      By Mpanzi in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 35
      Last Post: 11th December 2011, 18:58
    2. Replies: 0
      Last Post: 26th August 2011, 14:18
    3. Nape abeba gunia la kokota, atalitua wapi au kumwuzia nani?
      By Candid Scope in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 23
      Last Post: 23rd May 2011, 00:32

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...