Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wapi Nape?

    Report Post
    Page 2 of 6 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 101
    1. #1
      Said Bagaile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Posts : 538
      Rep Power : 507
      Likes Received
      206
      Likes Given
      11

      Default Wapi Nape?

      Alianza kwa Mkwara. Wapimaji wa mambo wakasema ni Mkwara wa Nanasi ambao Nje ni Miba wakati Ndani ni utamu mtupu.

      Baada ya kelele nyingiiii, baadae amejigundua kumbe amezungukwa na kundi la Wanafiki, akavunjika nguvu. Wapi Operesheni Vua gamba? Wapi Mapacha Watatu aliotuambia wamewapa siku tisini na kuwaandikia barua?

      Zile kelele zooote ngumbe ni ndege mnana tu! We unacheza na Mkweree wewe! Full Unafiki!!

      Rudi ukawaombe radhi akina Mzee Lowasa uliojifanya kula nao sahani moja maana ndo wanaelekea kuziba hilo ombwe la Uongozi lililopo CCM sasa. Sijui utakimbilia wapi?

      Chadema ulishawakorofisha, labda ukimbilie kwa Dovutwa Fahmi.

      Pole sana.
      Dear Lord, help me be the kind of person my Dog thinks I am.

    2. Study Abroad

    3. #21
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,873
      Rep Power : 1690
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default Re: Wapi Nape?

      Kijana mbiiiichi kajizeesha!

    4. #22
      Michael Scofield's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Location : FOX RIVER/SONA
      Posts : 1,195
      Rep Power : 711
      Likes Received
      428
      Likes Given
      248

      Default Re: Wapi Nape?

      Dogo amejipoteza mapemaaa. Wazee wametulia wanamcheki.
      ****** amemtoa kafara.

    5. #23
      bwegebwege's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2010
      Location : Kwetu
      Posts : 702
      Rep Power : 595
      Likes Received
      69
      Likes Given
      20

      Default Re: Wapi Nape?

      Ndiyo kwisha habari yake; anaoptea kisaisa.....
      SIPENDI: "UDHAIFU wa Rais, UZEMBE wa Bunge, UPUUZI wa CCM"


    6. #24
      mopaozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 2,446
      Rep Power : 757
      Likes Received
      258
      Likes Given
      49

      Default Re: Wapi Nape?

      Nape sasa anapokea maelekezo kutoka kwa lowasa atafanya nini ccm sasa inaongozwa na lowassa siku c nyingi mtanielewa na kukumbuka nilichosema!!

    7. #25
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,223
      Rep Power : 1535
      Likes Received
      764
      Likes Given
      52

      Default Re: Wapi Nape?

      Anasaidia kuongeza hasira za watu. Sababu Wachaga kashawatibua, CUF na Sharif. Arudi tu, labda atatibua na wa Lindi, Tanga na Mtwara. (mtaji wa ccm)

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Ikwanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Posts : 551
      Rep Power : 507
      Likes Received
      106
      Likes Given
      43

      Default Re: Wapi Nape?

      Nahii ishu ya Msekwa na Ngorongoro, sasa atasema nini, maana msekwa alitangaza kwa mbwembwe kuwa mafisadi ndo wameshusha umaarufu wa ccm, sasa kumbe na yeye ni gamba, Hivi msekwa kwa sasa anaweza kumwita ofisini lowasa ili ampe barua. Mnategemea nepi atasema nini sasa mkojo umezi na ma**i pia kwenye nepi. Hivi yupo kweli? Muvi tunalosubiri sasa ni gamba kuu jk kuingia rasmi kwenye picha. yetu macho Nape aliingia choo cha kike. Unajua cha kushangaza jk sasa ni futuru na kuhudhuria misiba tuu. bongo tambalale.

    10. #27
      mmaroroi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2008
      Posts : 2,181
      Rep Power : 999
      Likes Received
      104
      Likes Given
      79

      Default Re: Wapi Nape?

      Nape anajiandaa kwani yuko na watu makini wasiojua ni vigumu kunielewa.Nyie subirini mtaona tu kimya cha Nape, hiyo yote inayosemwa ni njama za mafisadi ila watashindwa tu.Watu mnaowataja walishachafuka hawasafishiki hata kwa gunia la sabuni ya unga.

    11. #28
      Mtanzania1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2010
      Location : Kalenga, Liringa
      Posts : 978
      Rep Power : 620
      Likes Received
      124
      Likes Given
      94

      Default Re: Wapi Nape?

      Wakati wa mgogoro wa jengo la UVCCM mzee makamba alimwambia ni njaa tu ndio inamsumbua akishiba atakaa kimya.. ...labda neno limetimia

    12. #29
      Mtanzania1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2010
      Location : Kalenga, Liringa
      Posts : 978
      Rep Power : 620
      Likes Received
      124
      Likes Given
      94

      Default Re: Wapi Nape?

      Na walimuonya kuwa huyo aliyemtuma HAAMINIKI

    13. #30
      LATTICE BOND's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th May 2011
      Posts : 219
      Rep Power : 446
      Likes Received
      48
      Likes Given
      17

      Default Re: Wapi Nape?

      Jamaa kafunga breki za katuni!!

    14. #31
      plawala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 627
      Rep Power : 548
      Likes Received
      56
      Likes Given
      1

      Default Re: Wapi Nape?

      Atakuwa anajipanga atoke vipi,maji ya shingo yamemfika

      Kama inafikia hatua mtu anazuiwa kwenda kwenye kampeni wakati yeye ni katibu wa itikadi na uenezi unategemea nini

    15. #32
      mashikolomageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2010
      Location : Dar es Salaam, Tanzania
      Posts : 1,444
      Rep Power : 764
      Likes Received
      144
      Likes Given
      130

      Default Re: Wapi Nape?

      Maskini Nape kumbe amenapuliwa?

    16. #33
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,050
      Rep Power : 5465
      Likes Received
      3478
      Likes Given
      1898

      Default Re: Wapi Nape?

      Simba kapakatwa Pub, Anakula raha

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    17. #34
      Matola's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,465
      Rep Power : 0
      Likes Received
      5425
      Likes Given
      3612

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Elungata
      Waarusha kwa kujifagilia siwawezi<br />
      <br />
      kwahiyo ulitaka tuwafagilie watu wa Morogoro ambao wanachaguwa wabunge wahindi na waarabu miaka yote?
      Mkirua likes this.

    18. #35
      Feedback's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Posts : 4,086
      Rep Power : 1244
      Likes Received
      2061
      Likes Given
      1123

      Default Re: Wapi Nape?

      Alifikiri siasa za CCM zinafanyiwa FB hakujua wazee wanafanyia Bagamoyo.
      Matola likes this.
      Only in Tanzania

    19. #36
      Honey K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2008
      Posts : 628
      Rep Power : 520
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default Re: Wapi Nape?

      Nadhani inatia aibu kusema jambo ambalo huna hakika nalo....nimejaribu kusoma kejeli hapa nyingi sana lakini nasema mambo yatakapo kuwa kama nilivyosema( na bila shaka mnajua wameshaanza) ....msisite kuja hapa kupongeza pia.......

    20. #37
      Mohamed Ngwasu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th May 2011
      Posts : 170
      Rep Power : 440
      Likes Received
      27
      Likes Given
      69

      Default Re: Wapi Nape?

      siwawezi hivi jamaa yupo wapi sasa

    21. #38
      Feedback's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Posts : 4,086
      Rep Power : 1244
      Likes Received
      2061
      Likes Given
      1123

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Nnauye Jr
      Nadhani inatia aibu kusema jambo ambalo huna hakika nalo....nimejaribu kusoma kejeli hapa nyingi sana lakini nasema mambo yatakapo kuwa kama nilivyosema( na bila shaka mnajua wameshaanza) ....msisite kuja hapa kupongeza pia.......
      Sisi hatujui kama wameshaanza........Lowassa na Chenge kujivua then.............basi......... what about the aftermath.
      Only in Tanzania

    22. #39
      EasyFit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 829
      Rep Power : 563
      Likes Received
      572
      Likes Given
      196

      Default Re: Wapi Nape?

      Quote By Nnauye Jr
      Nadhani inatia aibu kusema jambo ambalo huna hakika nalo....nimejaribu kusoma kejeli hapa nyingi sana lakini nasema mambo yatakapo kuwa kama nilivyosema( na bila shaka mnajua wameshaanza) ....msisite kuja hapa kupongeza pia.......
      Nashukuru kwa kujitokeza watu walianza kuwa na wasiwasi huyu ndugu kapotelea wapi.......hata hivyo nina swali moja, lini utakwenda Igunga maana kwa cheo chako wewe ndiye hasa wa kukiuza chama hasa wakati huu wa uchaguzi, nauliza hivyo kwa sababu nilisikia tetesi kuwa CC imekuzuia wewe na Chiligati kwenda huko ni ya kweli hayo.

    23. #40
      Ndjabu Da Dude's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2008
      Posts : 2,440
      Rep Power : 11661
      Likes Received
      305
      Likes Given
      138

      Default Re: Wapi Nape?

      Bora kapotea, maana kuna wakati kila ukifungua blog za Wabongo ulikuwa humkosi. Sasa ameibuka starring mpya, Makamu wa Pili wa Rais, Gharib Balal au sijui nani. Kila kukicha, ni kizee hiki kikipeana mikono, kikifuturisha au kikitoa hotuba aka kutembeza pumba kama hakina akili nzuri.

    24. Miaka 50
    Page 2 of 6 FirstFirst 1234 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Yuko wapi Nape Nnauye?
      By Mpanzi in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 35
      Last Post: 11th December 2011, 18:58
    2. Replies: 0
      Last Post: 26th August 2011, 14:18
    3. Nape abeba gunia la kokota, atalitua wapi au kumwuzia nani?
      By Candid Scope in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 23
      Last Post: 23rd May 2011, 00:32

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...