Alianza kwa Mkwara. Wapimaji wa mambo wakasema ni Mkwara wa Nanasi ambao Nje ni Miba wakati Ndani ni utamu mtupu.
Baada ya kelele nyingiiii, baadae amejigundua kumbe amezungukwa na kundi la Wanafiki, akavunjika nguvu. Wapi Operesheni Vua gamba? Wapi Mapacha Watatu aliotuambia wamewapa siku tisini na kuwaandikia barua?
Zile kelele zooote ngumbe ni ndege mnana tu! We unacheza na Mkweree wewe! Full Unafiki!!
Rudi ukawaombe radhi akina Mzee Lowasa uliojifanya kula nao sahani moja maana ndo wanaelekea kuziba hilo ombwe la Uongozi lililopo CCM sasa. Sijui utakimbilia wapi?
Chadema ulishawakorofisha, labda ukimbilie kwa Dovutwa Fahmi.
Nahii ishu ya Msekwa na Ngorongoro, sasa atasema nini, maana msekwa alitangaza kwa mbwembwe kuwa mafisadi ndo wameshusha umaarufu wa ccm, sasa kumbe na yeye ni gamba, Hivi msekwa kwa sasa anaweza kumwita ofisini lowasa ili ampe barua. Mnategemea nepi atasema nini sasa mkojo umezi na ma**i pia kwenye nepi. Hivi yupo kweli? Muvi tunalosubiri sasa ni gamba kuu jk kuingia rasmi kwenye picha. yetu macho Nape aliingia choo cha kike. Unajua cha kushangaza jk sasa ni futuru na kuhudhuria misiba tuu. bongo tambalale.
Nape anajiandaa kwani yuko na watu makini wasiojua ni vigumu kunielewa.Nyie subirini mtaona tu kimya cha Nape, hiyo yote inayosemwa ni njama za mafisadi ila watashindwa tu.Watu mnaowataja walishachafuka hawasafishiki hata kwa gunia la sabuni ya unga.
Nadhani inatia aibu kusema jambo ambalo huna hakika nalo....nimejaribu kusoma kejeli hapa nyingi sana lakini nasema mambo yatakapo kuwa kama nilivyosema( na bila shaka mnajua wameshaanza) ....msisite kuja hapa kupongeza pia.......
Nadhani inatia aibu kusema jambo ambalo huna hakika nalo....nimejaribu kusoma kejeli hapa nyingi sana lakini nasema mambo yatakapo kuwa kama nilivyosema( na bila shaka mnajua wameshaanza) ....msisite kuja hapa kupongeza pia.......
Sisi hatujui kama wameshaanza........Lowassa na Chenge kujivua then.............basi......... what about the aftermath.
Nadhani inatia aibu kusema jambo ambalo huna hakika nalo....nimejaribu kusoma kejeli hapa nyingi sana lakini nasema mambo yatakapo kuwa kama nilivyosema( na bila shaka mnajua wameshaanza) ....msisite kuja hapa kupongeza pia.......
Nashukuru kwa kujitokeza watu walianza kuwa na wasiwasi huyu ndugu kapotelea wapi.......hata hivyo nina swali moja, lini utakwenda Igunga maana kwa cheo chako wewe ndiye hasa wa kukiuza chama hasa wakati huu wa uchaguzi, nauliza hivyo kwa sababu nilisikia tetesi kuwa CC imekuzuia wewe na Chiligati kwenda huko ni ya kweli hayo.
Bora kapotea, maana kuna wakati kila ukifungua blog za Wabongo ulikuwa humkosi. Sasa ameibuka starring mpya, Makamu wa Pili wa Rais, Gharib Balal au sijui nani. Kila kukicha, ni kizee hiki kikipeana mikono, kikifuturisha au kikitoa hotuba aka kutembeza pumba kama hakina akili nzuri.
Follow Us Here