Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 37
    1. #1
      Quinine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2010
      Posts : 3,698
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      380
      Likes Given
      114

      Default Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Muhimu: Nani kati ya hawa unamwona anafaa kupeperusha bendera yetu Igunga toa pia sababu.

      1. Kajua Sebastiani 2. Marco Amos 3. Kahema John, 4. Buzinza Magego, 5. Dickson Samsoni, 6. Anwari Luhumbi, 7. Erasto Tumbo, 8. Joseph Mwandu, 9. Juma Katigula, 10.Frank Matto, 11.Joseph Mapalala 12.Juma Chaha.

      Pamoja Tutaweza, Nimerudi kuwashika............mapambano ndiyo yanaanza..... People's Power.

      Wana Chadema nimeona niwatoe wasiwasi kuhusu matokeo yaliyopita ya jimbo la Igunga ieleweke Chadema hatukuweka mgombea wagombea walikuwa wawili tu RA wa CCM aliyepata kura 34,090 na Leopard Mahona wa CUF aliyepata kura 11,321 unaweza kuona kabisa ni kiasi gani kuna mtaji wa kura za upinzani huko, hiyo ni mbali na matokeo ya kura za urais.

      Kwa taarifa yenu Chadema Igunga ina mizizi kuliko watu wanavyodhani, CCM imechokwa watu wanataka mabadiliko hizo kura za CUF zisiwababaishe wananchi walikuwa hawana alternative nyingine zaidi ya kukipigia chama hicho nafikiri Chadema kingeweka mgombea mambo yangekuwa tofauti, kura zinaonyesha mbali ya RA kugawa pesa kila kaya lakini bado watu walimkataa.

      Ngoja niwakumbushe historia ya uchaguzi mdogo wa Busanda 2009, matokeo ya ubunge Busanda ya mwaka
      2005: CCM= 61,868, CUF=13,094 na Chadema= 3,109 lakini kwenye uchaguzi mdogo uliofuata mambo yakabadilika...
      2009: CCM= 29,242, CUF= 977 tu na Chadema ikapata kura 22,799 what happened to CUF?

      Kilichoifanya Chadema iipiku CUF kwa kura nyingi kiasi hicho ndicho hicho hicho kitaifanya Chadema kuibuka kidedea kwenye uchaguzi huu. Kwa hilo sina wasiwasi kabisa kwasababu zifuatazo, kwanza Igunga tuna mtaji wa kura za upinzani pili tuna nyongeza kutoka CCM waliokatishwa tamaa na utawala wa CCM na tatu wapenzi wa mbunge wao kipenzi RA waliochukizwa na maamuzi ya kumfukuza mbunge wao tuko nao pamoja. Nne CCM imechoka haina mtu kitaifa wa kwenda Igunga na kukiuza chama Nape na Chiligati kwa hali ya kawaida hawawezi kukanyaga kule labda kama wanataka kuzomewa.

      Pamoja na hayo Chadema ina kikosi kazi kilichokamili kuanzia mzee wa anga hadi askari wa miamvuli, NEC ikiacha haki itendeke kwenye uchaguzi huu na Chadema tukijipanga vizuri kuzilinda kura kwa sababu zipo tuna kila haja ya kutembea kifua mbele kuwa jimbo hilo ni letu.
      Last edited by Quinine; 17th August 2011 at 11:56.
      Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini imechuja, mwisho wameibuka kwa matusi.

    2. Miaka 50

    3. #2
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,827
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Quote By Quinine
      Muhimu: Nani kati ya hawa unamwona anafaa kupeperusha bendera yetu Igunga toa pia sababu.

      1. Kajua Sebastiani 2. Marco Amos 3. Kahema John, 4. Buzinza Magego, 5. Dickson Samsoni, 6. Anwari Luhumbi, 7. Erasto Tumbo, 8. Joseph Mwandu, 9. Juma Katigula, 10.Frank Matto, 11.Joseph Mapalala 12.Juma Chaha.

      Pamoja Tutaweza, Nimerudi kuwashika............mapambano ndiyo yanaanza..... People's Power.
      Hakuna hata mmoja kwani yeyote kati yao akisimamishwa akakutana na mgombea wa chama dume atashindwa vibaya

    4. #3
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,827
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Quote By Quinine
      Muhimu: Nani kati ya hawa unamwona anafaa kupeperusha bendera yetu Igunga toa pia sababu.

      1. Kajua Sebastiani 2. Marco Amos 3. Kahema John, 4. Buzinza Magego, 5. Dickson Samsoni, 6. Anwari Luhumbi, 7. Erasto Tumbo, 8. Joseph Mwandu, 9. Juma Katigula, 10.Frank Matto, 11.Joseph Mapalala 12.Juma Chaha.

      Pamoja Tutaweza, Nimerudi kuwashika............mapambano ndiyo yanaanza..... People's Power.
      Hakuna hata mmoja kwani yeyote atakae kutanishwa na chama dume atashindwa vibaya. Sidhani hata km 10% ya kura atapata

    5. #4
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,910
      Rep Power : 2297
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      1498

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Mgombea wa kambi ya upinzani Igunga awe ni mmoja tu. Ni kivipi mgombea huyo apatikane; viongozi watusaidie kuratibu hilo.

    6. #5
      RedDevil's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2009
      Location : Hapa Hapa
      Posts : 1,456
      Rep Power : 804
      Likes Received
      271
      Likes Given
      513

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Mkuu tunaomba utusaidie CV zao ili tuongeze uwanja wa kutoa maoni yetu!!
      "Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience" Mark Twain

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Mzee Wa Rubisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : Chini ya mgomba
      Posts : 1,285
      Rep Power : 691
      Likes Received
      208
      Likes Given
      267

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Tulizoeya kusikia ccm wamejitokeza wagombea wengi sasa imekuwa na cdm kazi hipo.mpaka sasa 12ccm na 15cdm

    9. #7
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,302
      Rep Power : 1007
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      522

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Quote By Mzee Wa Rubisi
      Tulizoeya kusikia ccm wamejitokeza wagombea wengi sasa imekuwa na cdm kazi hipo.mpaka sasa 12ccm na 15cdm
      Hiyo ni ishara tosha kwamba Chama kinakua kwa kasi ya kutisha na wananchi wanakuwa na imani kubwa nacho. Ni dalili njema kwa upinzani na ukuaji wa demokrasia kwa ujumla japo ndio hivyo tena vikwazo havikosekani.

    10. #8
      mwaJ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2007
      Location : Nowhere
      Posts : 3,458
      Rep Power : 14610
      Likes Received
      2295
      Likes Given
      1505

      Default

      Quote By GeniusBrain
      <font color="#a52a2a"><b>Hakuna hata mmoja kwani yeyote kati yao akisimamishwa akakutana na mgombea wa chama dume atashindwa vibaya</b></font>
      <br />
      <br />
      CCM si chama dume tena kishakuwa dumejike!

    11. #9
      EasyFit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 832
      Rep Power : 565
      Likes Received
      572
      Likes Given
      196

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Quote By Quinine
      Muhimu: Nani kati ya hawa unamwona anafaa kupeperusha bendera yetu Igunga toa pia sababu.

      1. Kajua Sebastiani 2. Marco Amos 3. Kahema John, 4. Buzinza Magego, 5. Dickson Samsoni, 6. Anwari Luhumbi, 7. Erasto Tumbo, 8. Joseph Mwandu, 9. Juma Katigula, 10.Frank Matto, 11.Joseph Mapalala 12.Juma Chaha.

      Pamoja Tutaweza, Nimerudi kuwashika............mapambano ndiyo yanaanza..... People's Power.
      Hapa nafikiri atakuwa Erasto Tumbo ana uzoefu.

    12. #10
      mwana wa mtu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 218
      Rep Power : 616
      Likes Received
      51
      Likes Given
      97

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Quote By Quinine
      Muhimu: Nani kati ya hawa unamwona anafaa kupeperusha bendera yetu Igunga toa pia sababu.

      1. Kajua Sebastiani 2. Marco Amos 3. Kahema John, 4. Buzinza Magego, 5. Dickson Samsoni, 6. Anwari Luhumbi, 7. Erasto Tumbo, 8. Joseph Mwandu, 9. Juma Katigula, 10.Frank Matto, 11.Joseph Mapalala 12.Juma Chaha.

      Pamoja Tutaweza, Nimerudi kuwashika............mapambano ndiyo yanaanza..... People's Power.
      Mkuu,hujatueleza vema kama ndio waliochukua fomu ama wewe ndio unawapendekeza?
      Yote kwa yote tunaomba CV zao.
      Huyu Frank Matto, (kama ni yule yule ninayemfahamu wa Igunga)...ni mzaliwa wa pale,(wazazi wake wana asili ya Mkoa wa Mara, lakini wamefanya kazi miaka mingi sana hapo Igunga).Amesomea shule ya msingi hapo Igunga na masomo ya Sekondari (Kidato cha kwanza hadi cha nne) kafanyia Sekondari ya Umoja-Tabora. Kidato cha tano na sita kasoma Mpwapwa-Dodoma (huko ndiko nilipomfahamu). Alikuwa waziri wa Afya shuleni hapo. Na pia alikuwa Mwenyekiti wa Umoja wa wanafunzi wasabato shuleni hapo. Amefanya shahada ya kwanza ya elimu jamii (Sociology) na kuhitimu mwaka 2008-UDSM.Ni kijana wa miaka kati ya 27-31 hivi. Sikuwahi kusikia 'scandal' katika huo uongozi wake ambao nimeutaja.Kisiasa,sikuwahi kutambua yuko 'mrengo' gani haswa.Sifahamu kwa sasa anajishughulisha na nini.

    13. #11
      plawala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 627
      Rep Power : 549
      Likes Received
      56
      Likes Given
      1

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Quote By mwaJ
      <br />
      <br />
      CCM si chama dume tena kishakuwa dumejike!
      Hakiwezi kuzalisha wala kuzaa tena

    14. #12
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,625
      Rep Power : 2894
      Likes Received
      3845
      Likes Given
      12251

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Quote By GeniusBrain
      Hakuna hata mmoja kwani yeyote kati yao akisimamishwa akakutana na mgombea wa chama dume atashindwa vibaya
      Umeambiwa hii ni kwa wana CDM tu na watu wa Igunga. You are none of the above. So split.

    15. #13
      nditolo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 205
      Rep Power : 441
      Likes Received
      46
      Likes Given
      85

      Post Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Quote By Mzee Wa Rubisi
      Tulizoeya kusikia ccm wamejitokeza wagombea wengi sasa imekuwa na cdm kazi hipo.mpaka sasa 12ccm na 15cdm
      Hayo ndo mabadiliko na ukuaji wa democracy. Adui mkubwa kwa watanzania sasa ni kauli kama aliyoitoa Nchimbi juzi wakati akihitimisha bajeti ya wizara yake alisema eti UZALENDO NI KUIPENDA CCM! Hiyo ni kauli ya kuipiga vita kwani wananchi wanaweza danganyika kwa matamshi ya kijinga kama hayo.
      mmbangifingi likes this.

    16. #14
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7663
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Quinine,
      Labda nikupe Kiungo kikubwa cha kumpata mgombea mzuri kati ya hao.
      Kwanza waite wagombea wote kisha wape karatasi ambayo kila mmoja wao ataandika jina moja la mgombea ambalo kama siii yeye atachaguliwa basi anapendekeza jina hilo!.. Jina moja tu.. Nina hakika lipo jina litakalokuwa na kura nyingi hivyo wagombea wenyewe wanampitisha.

      Hilo kwanza pili, ni muhimu sana kumpata mtu ambaye nin mwenyeji Aluwatan na mwenye kufahamika kwa vijana wa kizazi kipya na anaweza kuwakilisha hoja nzito za wana Igunga. Hii njia ya pili ni kwenda Igunga kwenyewe mapema na kuuza majina haya kabla.. Hapo ni rahisi sana kusikia vijiweni nani anauzika kwa sababu Hapa JF woote kina sisi tunaishi mbali na Igunga wengine hata hawajui Igunga iko wapi mkoani Tabora.

      Tatu, Ilani ya chama ktk uchaguzi huu mdogo lazima ukite penye donda!..Ardhi na Madini kama mtaji wa wananchi ni lazima ziwe sababu kubwa ya kampeni ktk kurudisha utajiri wa jimbo hilo mikononi mwa wananchi. Ardhi imeporwa na Kilimo cha kahawa kimekosa incentives kama zamani enzi za mwalimu ktk umwagiliaji na madawa..Ajira kwa wananchi iwe ndio mbiu ya chama. Kwa kila hoja nzito inayowakabiri wanaIgunga ndipo mnapotakiwa kugonga msumari kama ilani ya chama. Na bila shaka kwa Umaarufu wa CDM sasa hivi mtawapa mtihani mkubwa wana Igunga na pengine nasema tena PENGINE Chadema inaweza kushinda..
      Last edited by Mkandara; 17th August 2011 at 01:25.
      Exploration of reality

    17. #15
      mashikolomageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2010
      Location : Dar es Salaam, Tanzania
      Posts : 1,445
      Rep Power : 766
      Likes Received
      144
      Likes Given
      130

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      yeyote atakayepitishwa na cdm ndiye mbunge mteule wa igunga na baadae ataapishwa kuwa mbunge

    18. #16
      Quinine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2010
      Posts : 3,698
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      380
      Likes Given
      114

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Quote By Mkandara
      Quinine,
      Labda nikupe Kiungo kikubwa cha kumpata mgombea mzuri kati ya hao.
      Kwanza waite wote kisha wape karatasi ambayo kila mmoja waoa taaandika jina ambalo akama sii yeye atachaguliwa basi anampendekeza nani.. Jina moja tu.. Nina hakika lipo jina litakalokuwa na kura nyingi hivyo wagombea wenyewe wanampitisha.

      Hilo kwanza pili, ni muhimu sana kumpata mtu ambaye nin mwenyeji Aluwatan na mwenye kufahamika kwa vijana wa kizazi kipya na anaweza kuwakilisha hoja nzito za wana Igunga. Njia ya pili ni kwenda Igunga kwenyewe mapema na kuuza majina haya kabla.. Hapo ni rahisi sana kusikia vijiweni nani anauzika kwa sababu Hapa JF woote kina sisi tunaishi mbali na Igunga wengine hata hawajui Igunga iko wapi mkoani Tabora.

      Tatu, Ilani ya chama ktk uchaguzi huu mdogo lazima ukite penye donda!..Ardhi na Madini kama mtaji wa wananchi ni lazima ziwe sababu kubwa ya kampeni ktk kurudisha utajiri wa jimbo hilo mikononi mwa wananchi. Ardhi imeporwa na Kilimo cha kahawa kimekosa incentives kama zamani enzi za mwalimu ktk umwagiliaji na madawa..Ajira kwa wananchi iwe ndio mbiu ya chama. Kwa kila hoja nzito inayowakabiri wanaIgunga ndipo mnapotakiwa kugonga msumari kama ilani ya chama. Na bila shaka kwa Umaarufu wa CDM sasa hivi mtawapa mtihani mkubwa wana Igunga na pengine nasema tena PENGINE Chadema inaweza kushinda..
      Shukrani mkuu Mkandara

      Njia yako ya pili ya kumpata mwenyeji ndiyo hasa ikifuatwa si tu na CDM bali na chama chochote inaweza kukipatia ushindi, kuhusu Ilani ni njia nzuri kwa watu walio na uelewa hasa kwa nchi zinazofuata utawala wa sheria kuwa distribution ya resources ni ya usawa hata kwa majimbo ya wapinzani, lakini kwa nchi zetu unaweza kuhubiri ilani hadi ukawapa na kopi lakini wakaona kama unakariri mashairi kumbe si hicho wanachokitaka. Ajira sidhani kama itauza kumbuka tunazungumzia jimbo la Igunga si Ubungo labda ardhi hasa kwenye kilimo mfano mbolea ya ruzuku hivyo vinaweza kuuzika. Asante mkuu ila hiyo njia ya kwanza sina uhakika nayo.
      Mkandara likes this.
      Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini imechuja, mwisho wameibuka kwa matusi.

    19. #17
      Quinine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2010
      Posts : 3,698
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      380
      Likes Given
      114

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Quote By Mzee Wa Rubisi
      Tulizoeya kusikia ccm wamejitokeza wagombea wengi sasa imekuwa na cdm kazi hipo.mpaka sasa 12ccm na 15cdm
      Mzee mabadiliko yanakuja ila kuna watu wanajifanya kutoyaona, tumeanza mbali sana nakumbuka kadi yangu ya kwanza nilikata mwaka 1992 United Movement for Democracy(UMD) cha Mzee Fundikira tulikwenda kwa kujificha ficha pale Magomeni Mapipa tukiogopa kuonekana na polisi.
      Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini imechuja, mwisho wameibuka kwa matusi.

    20. #18
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7663
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Quote By Quinine
      Shukrani mkuu Mkandara

      Njia yako ya pili ya kumpata mwenyeji ndiyo hasa ikifuatwa si tu na CDM bali na chama chochote inaweza kukipatia ushindi, kuhusu Ilani ni njia nzuri kwa watu walio na uelewa hasa kwa nchi zinazofuata utawala wa sheria kuwa distribution ya resources ni ya usawa hata kwa majimbo ya wapinzani, lakini kwa nchi zetu unaweza kuhubiri ilani hadi ukawapa na kopi lakini wakaona kama unakariri mashairi kumbe si hicho wanachokitaka. Ajira sidhani kama itauza kumbuka tunazungumzia jimbo la Igunga si Ubungo labda ardhi hasa kwenye kilimo mfano mbolea ya ruzuku hivyo vinaweza kuuzika. Asante mkuu ila hiyo njia ya kwanza sina uhakika nayo.
      Najua sana lakini hakuna wakati wa kuzungumzia Ajira kama wakati wa Njaa. Igunga umefika? hizi porojo za Rostam na ujenzi wa shule sijui Zahanati ni vitu ambavyo wana Igunga hawakuviomba na wala sii vitu ambavyo siku zote WanaIgunga wataisifia CCM..

      Siasa ni uwezo wa kuingia ndani ya vichwa vya watu ukajua kitu gani kinawakera zaidi halafu kaa Mpindani unakandamiza kwenye donda hilo. Amini maneno yangu mkuu wangu Tanzania ya leo Ujambazi, wizi na hata Ufisadi unakuja taratibu kutokana na kukosekana kwa ajira. Tunasukumwa ktk kona ya kimaisha hadi itafika siku tutafika mwisho wa Ukuta na hakuna kurudi nyuma tena isipokuwa kutokea mbele..

      Muda huo umekaribia na hakika Ajira ni kitu muhimu sana ktk uchumi unaloteteleka. Kilimo ni sehemu ya Ajira kama utawez akuboreshan kilimo cha Kahawa na chai Igunga wakati bei za mazao hayo zimepanda nadhani hili ni wazo zuri na la kile ktk kutatua matatizo ya wananchi kuliko kuwadanganya na khanga au baiskeli kama alivyocheza Rostam..

      Mimi nina hakika wananchi wameisha pata mwamko mpya, wana hasira na Ufisadi na wengine hawajui kabisa maendeleo zaidi ya upeo wa macho yao kwa hvyo ipo kila sababu kwanza kuboresha maisha yao kuliko kuwapa aghadi ya vitu ambavyo toka wazaliwe vilikuwa ni hadithi ama usafiri hadi Tabora au Dar..
      Chadema haishindi uchaguzi kutokana na jina la Mgombea, hapana ila mara nyingi ktk chaguzi nyingi duniani Chama tawala ndio mbunge wake hutokana na jina la mgombea if he/she can deliver..na upinzani it's always against the all idea (motion) kutetea haki ya wahusika..Kwa hiyo Chadema wanaweza shinda na mtu yeyote ilimradi tu wanachokipinga ni kile kinachowatia hasira wana Igunga na huyu mtu anaonyesha wazi atakuwa msitrari wa mbele kutetea haki yao...
      Quinine likes this.
      Exploration of reality

    21. #19
      Arafat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2009
      Posts : 2,372
      Rep Power : 962
      Likes Received
      583
      Likes Given
      576

      Default Re: Special kwa wana CDM na wana Igunga tu

      Quote By Mzee Wa Rubisi
      Tulizoeya kusikia ccm wamejitokeza wagombea wengi sasa imekuwa na cdm kazi hipo.mpaka sasa 12ccm na 15cdm
      Ndio maana wanapatikana na wakufukuza baadaye, maana mamluki na wale wanaoitwa ma-opportunist lazima wajiunge CDM kwa malengo ya kupata nafasi chee za Ushindi kwa sababu Watanzania ugonjwa wao ni kutofiki na kutoelewa lolote zaidi ushabiki.

      Kama CDM haita kuwa makini inaweza kujikuta inakufa kifo cha mende dk90; maana kilichoiuwa CCM ni hicho hicho, walipojuwa kuwa ukiwa na ticket na CCM tayari wewe ni Mbunge kwa 70% dhidi ya mgombewa Upinzani walikuwa wanajitokeza kwa wingi sana huko CCM lakini matoke yake hawa kuwa na ufanisi bunge hadi wananchni wamewachoka, sasa wanajuwa ukiwa mgombe wa CCM kushinda ni -30% dhidi ya wa CDM wanakimbilia CDM. Nilisifia sana CC katika uchaguzi wa Vijana, sijui hapa itakuwa na hasa si huu uchaguzi tatizo ni uhai wa chama na uimara wa chama mbeleni. Tayari wameshaleta majeruhi Arusha, Singida na Mbeya, wote hao ni opportunists subiri 2015 uone kazi yake maana hapo CCM nao wataleta wao kwa ajili kufanikisha wizi wa kura kilaini.
      Siku tutakapoacha kuwa mashabiki wa wanasiasa ndio siku hatua ya kwanza ya kujikomboa itakapo anza

    22. #20
      First Born's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Location : Tanzania Vijiweni
      Posts : 2,724
      Rep Power : 947
      Likes Received
      432
      Likes Given
      199

      Default

      Quote By Quinine
      Muhimu: Nani kati ya hawa unamwona anafaa kupeperusha bendera yetu Igunga toa pia sababu.<br />
      <br />
      1. Kajua Sebastiani 2. Marco Amos 3. Kahema John, 4. Buzinza Magego, 5. Dickson Samsoni, 6. Anwari Luhumbi, 7. Erasto Tumbo, 8. Joseph Mwandu, 9. Juma Katigula, 10.Frank Matto, 11.Joseph Mapalala 12.Juma Chaha. <br />
      <br />
      Pamoja Tutaweza, Nimerudi kuwashika............mapambano ndiyo yanaanza..... People's Power.
      <br />
      <br />
      sasa kama hizi taarifa zinawahusu wana Igunga wa CDM kwanini umeileta Jamvini?

      ushauri.

      wape masunduku ya maoni jimboni.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Wosi wangu kwa wana igunga
      By KALYOVATIPI in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 4
      Last Post: 11th September 2011, 16:02
    2. Waraka wa siri kwa wana Igunga
      By Gugwe in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 50
      Last Post: 10th August 2011, 11:00
    3. Dr. Slaa kawasaidie wana Igunga!
      By Buchanan in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 49
      Last Post: 18th July 2011, 15:05

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...