Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake - Page 11 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Closed Thread
 
LinkBack (1) Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 28th July 2008, 11:00 PM  
Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake
Invisible Invisible is offline 28th July 2008, 11:00 PM

Amefariki muda si mrefu kwa ajali ya gari akitokea Dodoma kuelekea Dar es Salaam eneo la Pandambili (kama sijakosea).

PICHA:


Marehemu Chacha Wangwe...

Mzee Mwiguni George aliyefika katika eneo na kumsaidia Chacha na wenzake!

Deus Francis Mallya aliyetoa maelezo yenye utata na sasa watu wanamgeuzia kuwa kuna jambo analificha! (Huyu pia aliwahi kujitambulisha kuwa yeye ndiye (mimi) Invisible wa JF.



Gari lililohitimisha maisha ya Chacha likiwa limeharibika vibaya

Zaidi nitawafahamisha
__________________
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!

Thank you for supporting JF! <---(click to support us)
Waliochangia 2010: <--- (click to read)
JINSI YA KUCHANGIA JF<---(click to read)

24/7 Email SUPPORT: support@jamiiforums.com


Last edited by Silencer; 30th July 2008 at 06:33 PM..

 
Invisible's Avatar
Invisible
Robot
Points: 6,287,005, Level: 100 Points: 6,287,005, Level: 100 Points: 6,287,005, Level: 100
Activity: 18% Activity: 18% Activity: 18%
Join Date: Sat Feb 2006
Location: Here...!
Posts: 6,043
Thanks: 503
Thanked 1,429 Times in 427 Posts
Views: 120739
  #101  
Old 29th July 2008, 01:36 AM
kichwamaji kichwamaji is offline
kichwamaji has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 120,208, Level: 100 Points: 120,208, Level: 100 Points: 120,208, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Dec 2006
Posts: 393
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 24
kichwamaji will become famous soon enoughkichwamaji will become famous soon enoughkichwamaji will become famous soon enoughkichwamaji will become famous soon enoughkichwamaji will become famous soon enoughkichwamaji will become famous soon enoughkichwamaji will become famous soon enoughkichwamaji will become famous soon enough
Default Re: Chacha Wange Afariki dunia - Katika Ajali ya Gari

Quote:
View Post
Mudhihir alipata ajali baada ya kulumbana na Zitto Kabwe. na chacha Wangwe amelumbana na chadema sana hivi karibuni kama mawazo amesababishiwa na mambo kadhaa wa kadhaa.
1. Hivi Mudhihir na Zitto "walilumbania" wapi? Mie nadhani aliyelumbana na Zitto ni Karamagi.

2. Kabla ya Chacha wangwe kufariki amelumbana na watu wengi, hata kwenye gesti alikolaa Dodoma, na wala hayakuwa masuala ya Chadema, bali ugomvi wa kawaida tu kama mnavyojua. lakini sidhani kama malumbano hayo ndiyo chanzo cha ajali na kifo chake.

3. Mtu yeyote aliyefuatilia michango ya Mgagagigikoko hapa, atajua anakotaka kutupeleka, anachekelea kifo hiki kwa sababu anataka kukitumia kwa maslahi anayojua....watu wanaomboleza yeye anakenua...
  #102  
Old 29th July 2008, 01:36 AM
Bubu Ataka Kusema's Avatar
Bubu Ataka Kusema Bubu Ataka Kusema is offline
Bubu Ataka Kusema says life is GOOD!
JF Premium Member
Points: 12,625,589, Level: 100 Points: 12,625,589, Level: 100 Points: 12,625,589, Level: 100
Activity: 67% Activity: 67% Activity: 67%
 
Join Date: Sun Feb 2007
Location: Mfaranyaki
Posts: 12,577
Thanks: 990
Thanked 1,129 Times in 655 Posts
Rep Power: 2049
Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!
Default Re: Chacha Wange Afariki dunia - Katika Ajali ya Gari

Jamani ama kweli uhai wetu wanadamu unaweza kuzimika kama mshumaa tu!!! Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na kuwapa faraja na subira wafiwa katika kipindi hiki kigumu kwao.
__________________
~*~Life is Good~*~
  #103  
Old 29th July 2008, 01:38 AM
Mgagagigikoko Mgagagigikoko is offline
Mgagagigikoko has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 104,688, Level: 100 Points: 104,688, Level: 100 Points: 104,688, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jul 2007
Posts: 476
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 22
Mgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enough
Default Re: Chacha Wange is dead!

Quote:
View Post
Mgagagigikoko, nadhani una matatizo yako unatafuta wa kumuambukiza, bahati mbaya hapa wote ni watu wazima, watoto mko wachache sana. Unayoandika na unayemwandikia (siju unamwaddress nani?) ni vitu viwili ambavyo vinaonyesha hicho ninachokisema. Pole, kama unataka kutumia msiba kuonyesha udhaifu wako. pole. Hapa si mahali pake, na sina dawa kwa ugonjwa wako. Utajadiliana na watoto wenzio...
sijamjua Wangwe leo kwenye msiba niko nae toka mlipoanza kumuwekea zengwe,soma mada zangu kwenye Chacha Wangwe na Chadema.kiasi cha kijana wako Mushi akanibatiza jina la Wangwe na kusema bora apigwe Risasi.
  #104  
Old 29th July 2008, 01:39 AM
Mtanzania Mtanzania is offline
Mtanzania has no status.
JF Premium Member
Points: 642,199, Level: 100 Points: 642,199, Level: 100 Points: 642,199, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Thu May 2006
Location: UK
Posts: 4,911
Thanks: 48
Thanked 214 Times in 97 Posts
Rep Power: 33
Mtanzania will become famous soon enoughMtanzania will become famous soon enoughMtanzania will become famous soon enoughMtanzania will become famous soon enoughMtanzania will become famous soon enoughMtanzania will become famous soon enoughMtanzania will become famous soon enoughMtanzania will become famous soon enough
Default Re: Chacha Wange Afariki dunia - Katika Ajali ya Gari

Quote:
View Post
LAKINI AIRBAG SYSTEM YA MASHANGINGI NI BORA KULIKO YA MARK 11...,NDIO MAANA WATAALAMU WA USALAMA WANAPENDEKEZA MASHANGINGI KWENYE OFFROAD AU SAFARI NDEFU.......HATA UKICHUNGUZA MISAFARA YA RAIS..OR THE LIKE KAMA ANAENDA SAFARI NDEFU ZAIDI YA KM 100 AU KWENYE BARABARA MBAYA ..HUPANDA MASHANGINGI..YAPO SECURED ZAIDI...

...AIRBAG INASAIDIA SANA..UKIONA ILIVYOMSAIDIA MTU KAMA KAPUYA ..UTAAMINI ...NA UKIONA NAMNA MAMA MBATIA AMBAYE KWA BAHATI MBAYA ILE NISSAN PATROL YAKE ILIKUWA OLD MODEL KIDOGO NA HAIKUWA NA AIRBAG...INGEKUWEPO ANGEWEZA KUTOKA MZIMA.....hata mtu kama MUDHIHIR alipopata ajali na cruizer yake kama sio AIRBAG zaidi ya kuumia angeweza hata kupoteza maisha...

SIKU ZA KARIBUNI WABUNGE WAMEKUWA HAWAPEWI CHAGUO LA MAGARI AMBAYO WANATAKIWA KUYANUNUA YAKIWA MAPYA..BUT I REMEMBER KABLA ..KILA BUNGE JIPYA LINAPOANZA DEALERS WA MAGARI MAPYA...LANDROVER,TOYOTA,NISSAM,MITSUBISHI ..ets walikuwa wanakaribishwa bungeni na wabunge walitakiwa wachague magari miongoni mwa make zinazoaminiwa na serikali.....baadaye naona huu utaratibu umeachwa na hii imesababisha wabunge wengi kuingizwa mkenge na wauzaji wa USED.....najua wabunge wengi tu ambao sasa hivi magari yao yanawasumbua sana...na hayakidhi mahitaji ya wanakotokea ..kutokana na kuchakaa haraka....
PM,

Aliyekuambia hivyo kakudanganya. Faida ya hizo 4WD ni kwamba ni comfortable, kwahiyo kama unaenda safari ndefu basi zinakufanya usichoke sana. Pia zinaweza kupita kwenye matope na mashimo lakini sio kwenye suala la safety.

Soma mail niliyomjibu invisible, wameongelea mambo hayo hayo. Kwenye barabara nzuri kama Dar mpaka Dodoma, una nafasi kubwa ya kupona kwenye gari dogo kuliko shangingi, kama yote yana ubora sawa.
  #105  
Old 29th July 2008, 01:41 AM
Bubu Ataka Kusema's Avatar
Bubu Ataka Kusema Bubu Ataka Kusema is offline
Bubu Ataka Kusema says life is GOOD!
JF Premium Member
Points: 12,625,589, Level: 100 Points: 12,625,589, Level: 100 Points: 12,625,589, Level: 100
Activity: 67% Activity: 67% Activity: 67%
 
Join Date: Sun Feb 2007
Location: Mfaranyaki
Posts: 12,577
Thanks: 990
Thanked 1,129 Times in 655 Posts
Rep Power: 2049
Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!
Default Re: Chacha Wange Afariki dunia - Katika Ajali ya Gari

Quote:
View Post
Mudhihir alipata ajali baada ya kulumbana na Zitto Kabwe. na chacha Wangwe amelumbana na chadema sana hivi karibuni kama mawazo amesababishiwa na mambo kadhaa wa kadhaa.
Acha fikra potofu!! Basi wangekuwa wameshakufa watu wengi sana katika kipindi ambacho Zitto amekuwa hapa duniani. Maana kuanzia utoto wake hadi utu uzima atakuwa amelumbana na wengi tu na hatujasikia lolote kuhusiana na hizo dhana zako potofu. Mbona wale walioamua kumfungia Bungeni pamoja na kuwa alikuwa hana kosa lolote hawajafa hata mmoja!!!? Au wale waiodai alikuwa anatembea na marehemu Amina Chifupa!!!? Mwe! Kuna watu wana fikra potofu!!!!
__________________
~*~Life is Good~*~
  #106  
Old 29th July 2008, 01:42 AM
Sanctus Mtsimbe's Avatar
Sanctus Mtsimbe Sanctus Mtsimbe is online now
Sanctus Mtsimbe ni Mzalendo na Mwanataaluma
JF Premium Member
Points: 389,042, Level: 100 Points: 389,042, Level: 100 Points: 389,042, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Jul 2008
Location: Dar Es Salaam
Posts: 774
Thanks: 260
Thanked 293 Times in 140 Posts
Rep Power: 23
Sanctus Mtsimbe will become famous soon enoughSanctus Mtsimbe will become famous soon enoughSanctus Mtsimbe will become famous soon enoughSanctus Mtsimbe will become famous soon enoughSanctus Mtsimbe will become famous soon enoughSanctus Mtsimbe will become famous soon enoughSanctus Mtsimbe will become famous soon enoughSanctus Mtsimbe will become famous soon enough
Send a message via Yahoo to Sanctus Mtsimbe Send a message via Skype™ to Sanctus Mtsimbe
Default Re: Chacha Wange Afariki dunia - Katika Ajali ya Gari

Poleni sana Wazalendo wenzangu, Watu wa Tarime na Watanzania kwa ujumla.

Wangwe alikuwa ni mpenda maendeleo.

Asubuhi hii nilikuwa Dodoma ambapo pamoja na mambo mengine nilihudhuria bunge la asubuhi na baadaye kuonana na baadhi ya wadau kuhusu TPN akiwemo Mzalendo Slaa na wengineo kabla ya jioni hii kuondoka na kurudi DSM.

Sina uhakika chanzo cha Ajali ya Mh. Wangwe ni nini, lakini traffic ya magari wakati mwingine ni kubwa. Malori mengi husafiri usiku na barabara ya Dodoma ni nyembamba japo ni nzuri. Baadhi ya madereva si waangalifu. Sina uhakika kama vitu hivi vilichangia, lakini ni vyema kwa miaka ya mbeleni kuangalia ni namna gani ya kuboresha mapungufu haya.

Mungu awafariji wafiwa wote.
  #107  
Old 29th July 2008, 01:42 AM
Mgagagigikoko Mgagagigikoko is offline
Mgagagigikoko has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 104,688, Level: 100 Points: 104,688, Level: 100 Points: 104,688, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jul 2007
Posts: 476
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 22
Mgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enough
Default Re: Chacha Wange Afariki dunia - Katika Ajali ya Gari

Quote:
View Post
1. Hivi Mudhihir na Zitto "walilumbania" wapi? Mie nadhani aliyelumbana na Zitto ni Karamagi.

2. Kabla ya Chacha wangwe kufariki amelumbana na watu wengi, hata kwenye gesti alikolaa Dodoma, na wala hayakuwa masuala ya Chadema, bali ugomvi wa kawaida tu kama mnavyojua. lakini sidhani kama malumbano hayo ndiyo chanzo cha ajali na kifo chake.

3. Mtu yeyote aliyefuatilia michango ya Mgagagigikoko hapa, atajua anakotaka kutupeleka, anachekelea kifo hiki kwa sababu anataka kukitumia kwa maslahi anayojua....watu wanaomboleza yeye anakenua...
wewe mnafiki Wangwe hajagombana na watu wengi,huo ni uzushi na ulikuwa unafuatilia nyendo zake hadi guest ya Dodoma? huo nao uzushi, amekwisha kufa bado unamzulia? nadhani furaha unayo wewe kuona kuwa mambo yako sasa yako tambarare, nakutakia uchaguzi mwema kwani unagombea na kivuli.
  #108  
Old 29th July 2008, 01:42 AM
Gang Chomba's Avatar
Gang Chomba Gang Chomba is offline
Gang Chomba Fredy Quimby
JF Senior Expert Member
Points: 188,521, Level: 100 Points: 188,521, Level: 100 Points: 188,521, Level: 100
Activity: 11% Activity: 11% Activity: 11%
 
Join Date: Fri Feb 2008
Location: hell
Posts: 834
Thanks: 9
Thanked 108 Times in 81 Posts
Rep Power: 24
Gang Chomba will become famous soon enoughGang Chomba will become famous soon enoughGang Chomba will become famous soon enoughGang Chomba will become famous soon enoughGang Chomba will become famous soon enoughGang Chomba will become famous soon enoughGang Chomba will become famous soon enoughGang Chomba will become famous soon enough
Send a message via MSN to Gang Chomba Send a message via Yahoo to Gang Chomba
Default Re: Chacha Wange Afariki dunia - Katika Ajali ya Gari

This world is not my home I'm just a passing through
My treasures are laid up somewhere beyond the blue
The angels beckon me from heaven's open door
And I can't feel at home in this world anymore

Oh Lord you know I have no friend like you
If heaven's not my home then Lord what will I do
The angels beckon me from heaven's open door
And I can't feel at home in this world anymore

I have a loving mother just up in Gloryland
And I don't expect to stop until I shake her hand
She's waiting now for me in heaven's open door
And I can't feel at home in this world anymore

Oh Lord you know I have no friend like you
If heaven's not my home then Lord what will I do
The angels beckon me from heaven's open door
And I can't feel at home in this world anymore

Just over in Gloryland we'll live eternaly the saints on every hand are shouting victory
Their songs of sweetest praise drift back from heaven's shore
And I can't feel at home in this world anymore

Oh Lord you know I have no friend like you
If heaven's not my home then Lord what will I do
The angels beckon me from heaven's open door
And I can't feel at home in this world anymore
__________________
kuchagua CCM 2010 ni sawa na kufukia mashimo bila kuweka mbegu...utavuna nini?
  #109  
Old 29th July 2008, 01:43 AM
Gang Chomba's Avatar
Gang Chomba Gang Chomba is offline
Gang Chomba Fredy Quimby
JF Senior Expert Member
Points: 188,521, Level: 100 Points: 188,521, Level: 100 Points: 188,521, Level: 100
Activity: 11% Activity: 11% Activity: 11%
 
Join Date: Fri Feb 2008
Location: hell
Posts: 834
Thanks: 9
Thanked 108 Times in 81 Posts
Rep Power: 24
Gang Chomba will become famous soon enoughGang Chomba will become famous soon enoughGang Chomba will become famous soon enoughGang Chomba will become famous soon enoughGang Chomba will become famous soon enoughGang Chomba will become famous soon enoughGang Chomba will become famous soon enoughGang Chomba will become famous soon enough
Send a message via MSN to Gang Chomba Send a message via Yahoo to Gang Chomba
Default Re: Chacha Wange Afariki dunia - Katika Ajali ya Gari

mbele yake, nyuma yetu.
cha msingi ni kumuombea.
__________________
kuchagua CCM 2010 ni sawa na kufukia mashimo bila kuweka mbegu...utavuna nini?
  #110  
Old 29th July 2008, 01:44 AM
Game Theory's Avatar
Game Theory Game Theory is offline
Game Theory has no status.
JF Premium Member
Points: 6,790,953, Level: 100 Points: 6,790,953, Level: 100 Points: 6,790,953, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
 
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 7,284
Thanks: 60
Thanked 415 Times in 177 Posts
Rep Power: 19
Game Theory is an unknown quantity at this point
Default Re: Chacha Wange Afariki dunia - Katika Ajali ya Gari

PR machine ya CHADEMA sijui itareact vipi kuhusu hili lakini anyway....
Closed Thread

Bookmarks

Tags
cha, chacha, kifo, mhe, uchunguzi, wake, wangwe


LinkBacks (?)
LinkBack to this Thread: http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/16241-kifo-cha-mhe-chacha-wangwe-na-uchunguzi-wake.html
Posted By For Type Date
Gari Ndiye This thread Refback 30th October 2008 03:51 PM

Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Azimio la Arusha kuzaliwa upya? Mwanagenzi Jukwaa la Siasa 313 14th December 2009 09:17 AM
Richmond + TANESCO: The complete deal Invisible Jukwaa la Siasa 121 20th October 2009 05:31 AM
Ushauri Kwa Viongozi Wakuu Wa Serikali – Awamu Ya Nne, Hususani Mhe Meghji, Karamagi, mkombozi22 Habari na Hoja mchanganyiko 26 24th March 2008 10:59 PM
Chacha Wangwe Kuyafikisha Mahakamani magazeti Kwa Kumchafulia Jina John Mnyika Jukwaa la Siasa 15 24th October 2007 04:35 PM
Spika Atoa Uamuzi Wa Mengi/Malima Halisi Habari na Hoja mchanganyiko 32 28th April 2007 01:19 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 04:52 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com