Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake - Page 101 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Closed Thread
 
LinkBack (1) Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 28th July 2008, 10:00 PM  
Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake
Invisible Invisible is offline 28th July 2008, 10:00 PM

Amefariki muda si mrefu kwa ajali ya gari akitokea Dodoma kuelekea Dar es Salaam eneo la Pandambili (kama sijakosea).

PICHA:


Marehemu Chacha Wangwe...

Mzee Mwiguni George aliyefika katika eneo na kumsaidia Chacha na wenzake!

Deus Francis Mallya aliyetoa maelezo yenye utata na sasa watu wanamgeuzia kuwa kuna jambo analificha! (Huyu pia aliwahi kujitambulisha kuwa yeye ndiye (mimi) Invisible wa JF.



Gari lililohitimisha maisha ya Chacha likiwa limeharibika vibaya

Zaidi nitawafahamisha
__________________
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!

Thank you for supporting JF! <---(click to support us)
Waliochangia 2010: <--- (click to read)
JINSI YA KUCHANGIA JF<---(click to read)

24/7 Email SUPPORT: support@jamiiforums.com


Last edited by Silencer; 30th July 2008 at 05:33 PM..

 
Invisible's Avatar
Invisible
Robot
Points: 6,331,405, Level: 100 Points: 6,331,405, Level: 100 Points: 6,331,405, Level: 100
Activity: 10% Activity: 10% Activity: 10%
Join Date: Sat Feb 2006
Location: Here...!
Posts: 6,046
Thanks: 506
Thanked 1,447 Times in 430 Posts
Views: 121348
  #1001  
Old 31st July 2008, 07:43 PM
kiranja kiranja is offline
kiranja was busy
Senior Member
Points: 250,860, Level: 100 Points: 250,860, Level: 100 Points: 250,860, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sat May 2007
Posts: 245
Thanks: 10
Thanked 44 Times in 20 Posts
Rep Power: 23
kiranja will become famous soon enoughkiranja will become famous soon enoughkiranja will become famous soon enoughkiranja will become famous soon enoughkiranja will become famous soon enoughkiranja will become famous soon enoughkiranja will become famous soon enoughkiranja will become famous soon enough
Default Re: Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe

Quote:
View Post
wewe naye!!!
Nipe jina mbunge wa mwaka 1990 ,mkuu wa wilaya wa mwaka 1996 na mkuu wa polisi wa mwaka 1998 na Mbunge kabla ya Chacha anatoka kijiji gani? maana nawasi wasi na wewe kidogo.

CHADEMA ndipo sehemu ya kuanzia kuchunguzwa.

1.CHACHA alikua ktk mchakato wa mwisho kukipeleka CHADEMA mahakamani ili waeleze na kuthibitisha waliyomzushia.

2. Wangwe alivuliwa umakamu na CHADEMA kwa kua ni mzigo na anayemega siri zao

3. MBOWE alisema hawezi fanya kazi na mtu kama CHACHA

4.CHACHA alikituhumu chdema kwa kufisadi fedha

5. Ktk uhai wake watu wa chadema walidai apigwe risasi na kweli dalili za mwanzo zinaonyesha CHACHA kapigwa RISASI mbili za kichwa.

Hata ktk hali ya kawaida mtu akikwambia aisii wewe subiri nitakuchoma kisu cha **** ,na baada ya siku kadhaa kweli ukachomwa kisu ,polisi wanakuja moja kwa moja kwa yule jamaa aliyetamka hakuna cha kujadiliana hapo.

Sehemu ya kuanzia ni CHADEMA ndio waende kwingine unless labda ajali hiyo ni ya kawaida kama ajali zingine.
Sehemu ya kuanzia ni humu JF ,kwani aliyesema kuwa apigwe risasi ni Jmushi ambaye tayari kaomba radhi, sasa naona mnatafuta kumhusisha Jmushi hivi huyu ndio Mallya? Huyu JMUSHI NDIO MALLYA?
  #1002  
Old 31st July 2008, 07:43 PM
Mgagagigikoko Mgagagigikoko is offline
Mgagagigikoko has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 104,688, Level: 100 Points: 104,688, Level: 100 Points: 104,688, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jul 2007
Posts: 476
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 22
Mgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enough
Default Re: BREAKING NEWS: Mazishi ya Wangwe yacheleweshwa na posmoterm mpya

Quote:
View Post
Acha unafiki wako, kumuunga mkono Wangwe sio lazima uandike pumba zako mtandaoni. Kuna watu wanafanya vitendo zaidi ya maneno. Maneno yako ya chuki na dhihaka kwenye msiba huu yanaonesha jinsi gani usivyojali feelings za watu wa Tarime.

Heshima ni kitu cha bure, ungepungukiwa na nini kama ungesubiria siku chache tu wenzako tukaomboleza na kuzika ndio ulete unafiki na upuuzi wako hapa?
pumba unazo wewe, umesikia marehemu kafa unajifanya mtu wa karibu wa marehemu au unataka kuwadhulumu mirathi watoto wa Marehemu Wangwe?
ulikuwa wapi wakati anazomewa hapa hapa JF? au unataka ushike daftari la mchango wa marehemu?
  #1003  
Old 31st July 2008, 07:45 PM
Magabe Kibiti Magabe Kibiti is offline
Magabe Kibiti Mkurya from Tarime
JF Senior Expert Member
Points: 87,766, Level: 100 Points: 87,766, Level: 100 Points: 87,766, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jan 2008
Posts: 301
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
Magabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enough
Default Re: Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe

Quote:
View Post
Wewe ni laghai na mzushi sana, na uzushi wako unatisha mno! Ni mtu gani wa chadema alisema Chacha apigwe risasi? Hivi huu uzushi unamtumikia nani na kwa manufaa gani, au una-abuse anonymity yako hapa?

Unafikiri kwa kuwa unatumia jina bandia basi una uhuru wa kuropoka na kupayuka unavyotaka?
Amekasirika sana baada ya kuona aliyotaka yatokee Tarime hayakutokea. Yeye alitaka watu wa Tarime waanzishe ugomvi dhidi ya wachaga na wanachadema lakini mambo yamekuwa tofauti kwani viongozi wa upinzani wote wamepokelewa vizuri sana.

yeye alitaka watu wa-Tarime waonekane kuwa ni wapenda fujo kwa mgawanyiko wa kikoo - wanyabasi dhidi ya watimbaru au koo zingine lakini watu wa Tarime wote wameungana na kuwa kitu kimoja wakati huu wa majonzi makubwa.

Aibu sana kuwa Tanzania ina watu kama Mkamap wanaotaka kupata pointi za kisiasa kwenye misiba ya wenzao.
  #1004  
Old 31st July 2008, 07:45 PM
Mzee Mwanakijiji's Avatar
Mzee Mwanakijiji Mzee Mwanakijiji is online now
Mzee Mwanakijiji anawashangaa wanaoitetea sheria mbovu
JF Premium Member
Points: 12,970,977, Level: 100 Points: 12,970,977, Level: 100 Points: 12,970,977, Level: 100
Activity: 93% Activity: 93% Activity: 93%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 18,450
Thanks: 8,431
Thanked 4,635 Times in 1,298 Posts
Rep Power: 44
Mzee Mwanakijiji is on a distinguished roadMzee Mwanakijiji is on a distinguished road
Send a message via MSN to Mzee Mwanakijiji Send a message via Skype™ to Mzee Mwanakijiji
Default Re: Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe

Quote:
View Post

5. Ktk uhai wake watu wa chadema walidai apigwe risasi na kweli dalili za mwanzo zinaonyesha CHACHA kapigwa RISASI mbili za kichwa.

.
smart attempt... "watu wa chadema" waliodai "apigwe risasi" ni kina nani na wapi walifanya hivyo? Hii ni new information, kwa sababu ukiweza kuwaonesha hao "watu wa chadema" na mimi nitakuunga mkono.
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
  #1005  
Old 31st July 2008, 07:47 PM
Wakunyuti's Avatar
Wakunyuti Wakunyuti is offline
Wakunyuti Comrade
JF Senior Expert Member
Points: 166,675, Level: 100 Points: 166,675, Level: 100 Points: 166,675, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Feb 2008
Location: Kwakunyuti
Posts: 370
Thanks: 1
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 23
Wakunyuti will become famous soon enoughWakunyuti will become famous soon enoughWakunyuti will become famous soon enoughWakunyuti will become famous soon enoughWakunyuti will become famous soon enoughWakunyuti will become famous soon enoughWakunyuti will become famous soon enoughWakunyuti will become famous soon enough
Default Re: Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe

Quote:
View Post
Sehemu ya kuanzia ni humu JF ,kwani aliyesema kuwa apigwe risasi ni Jmushi ambaye tayari kaomba radhi, sasa naona mnatafuta kumhusisha Jmushi hivi huyu ndio Mallya? Huyu JMUSHI NDIO MALLYA?
Heheh!! Mkuu angalia usijefanya watu wakose usingizi!!
  #1006  
Old 31st July 2008, 07:48 PM
kiranja kiranja is offline
kiranja was busy
Senior Member
Points: 250,860, Level: 100 Points: 250,860, Level: 100 Points: 250,860, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sat May 2007
Posts: 245
Thanks: 10
Thanked 44 Times in 20 Posts
Rep Power: 23
kiranja will become famous soon enoughkiranja will become famous soon enoughkiranja will become famous soon enoughkiranja will become famous soon enoughkiranja will become famous soon enoughkiranja will become famous soon enoughkiranja will become famous soon enoughkiranja will become famous soon enough
Default Re: Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe

[QUOTE=Mzee Mwanakijiji;258829]smart attempt... "watu wa chadema" waliodai "apigwe risasi" ni kina nani na wapi walifanya hivyo? Hii ni new information, kwa sababu ukiweza kuwaonesha hao "watu wa chadema" na mimi nitakuunga mkono.[/QUOTE

Ana ugomvi na jmushi, kwani ndio aliandika na kashaomba radhi tangia awali,wametumwa hawa.
  #1007  
Old 31st July 2008, 07:50 PM
Mgagagigikoko Mgagagigikoko is offline
Mgagagigikoko has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 104,688, Level: 100 Points: 104,688, Level: 100 Points: 104,688, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jul 2007
Posts: 476
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 22
Mgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enoughMgagagigikoko will become famous soon enough
Default Re: Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe

Quote:
View Post
Sehemu ya kuanzia ni humu JF ,kwani aliyesema kuwa apigwe risasi ni Jmushi ambaye tayari kaomba radhi, sasa naona mnatafuta kumhusisha Jmushi hivi huyu ndio Mallya? Huyu JMUSHI NDIO MALLYA?
Inawezekana sio JMUSHI ila mhusika mkuu aliposoma ushauri wa JMUSHI akaamua kuufanyia kazi. JMUSHI anaweza kuwa shahidi kwenye kesi hii na akajikuta anafungwa kwa kuuua bila kukusudia(Manslaughter).

na kauli zote kama vile SIWEZI KUFANYA KAZI NA WANGWE ukitizama sana zinaweza kuwaweka watu pabaya,kama Mwanakijiji alivyoishauri Polisi hivyo hivyo na MKAMAP anajaribu kuweka mawazo yake kama Mwanakijiji na baya zaidi pale Mwenyekiti aliposema kuwa Wangwe anashiriki kukihujumu chama kwa kutoa siri za chama nje. walimwita kwenye vikao vingi kumuonya asitoe siri,hakusikia na wakampa muda ajirekebishe, wanasema hakujirekebisha,hatuleti siasa ila kama sheria inafuatwa Chadema wana kubwa la kujibu.
  #1008  
Old 31st July 2008, 07:50 PM
Magabe Kibiti Magabe Kibiti is offline
Magabe Kibiti Mkurya from Tarime
JF Senior Expert Member
Points: 87,766, Level: 100 Points: 87,766, Level: 100 Points: 87,766, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jan 2008
Posts: 301
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
Magabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enough
Default Re: BREAKING NEWS: Mazishi ya Wangwe yacheleweshwa na posmoterm mpya

Quote:
View Post
pumba unazo wewe, umesikia marehemu kafa unajifanya mtu wa karibu wa marehemu au unataka kuwadhulumu mirathi watoto wa Marehemu Wangwe?
ulikuwa wapi wakati anazomewa hapa hapa JF? au unataka ushike daftari la mchango wa marehemu?
Sio lazima uongee hapa JF ili uonekane mtu wa karibu na Wangwe. Mimi na Wangwe ni marafiki wakubwa sana na tunajuana kwa muda mrefu. Kuongea mambo ya uchochezi kama yako ni sababu moja au zaidi inayofanya watu wengine kutoongea hapa JF.

Ninajaribu kuelezea ukweli kuhusu Tarime ambao watu wengi kama wewe na kwenye media mnataka kuigawa na kupanda chuki kwa wakazi wake. Michango ya marehemu itanisaidia nini maishani? Mimi ni mtu ninayetumia jina langu hapa na hiyo inafanya nia yangu kujulikana wazi.

Labda watu wakuulize wewe unayeonyesha dharau kubwa kwa watu wa Tarime hapa mtandaoni kwa kutumia jina la bandia kuwa utafaidika na nini?
  #1009  
Old 31st July 2008, 07:52 PM
Nemesis Nemesis is offline
Nemesis has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 312,655, Level: 100 Points: 312,655, Level: 100 Points: 312,655, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Feb 2008
Posts: 2,051
Thanks: 84
Thanked 185 Times in 93 Posts
Rep Power: 67
Nemesis is a jewel in the roughNemesis is a jewel in the roughNemesis is a jewel in the roughNemesis is a jewel in the roughNemesis is a jewel in the roughNemesis is a jewel in the roughNemesis is a jewel in the roughNemesis is a jewel in the roughNemesis is a jewel in the roughNemesis is a jewel in the roughNemesis is a jewel in the rough
Default Re: Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe

CCM wateta

2008-07-31 17:59:56
Na Mwandishi wetu, Jijini

Kufuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wa Tarime Bw. Chacha Wangwe, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimelazimika kuteta na hatimaye kutoa salamu zake kuhusiana na kifo hicho.

Kwa Mujibu wa taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya habari, ikitolewa na Katibu Mkuu wake, Bw. Yusuf Makamba, chama hicho kimeelezea kusikitishwa kwake na msiba wa Mhe. Wangwe na kueleza kuwa mbunge huyo ameacha pengo kubwa kwa wapenzi wa demokrasia nchini.

Source: Alasiri
  #1010  
Old 31st July 2008, 07:56 PM
Magabe Kibiti Magabe Kibiti is offline
Magabe Kibiti Mkurya from Tarime
JF Senior Expert Member
Points: 87,766, Level: 100 Points: 87,766, Level: 100 Points: 87,766, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jan 2008
Posts: 301
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
Magabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enoughMagabe Kibiti will become famous soon enough
Default Re: Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe

Quote:
View Post
Inawezekana sio JMUSHI ila mhusika mkuu aliposoma ushauri wa JMUSHI akaamua kuufanyia kazi. JMUSHI anaweza kuwa shahidi kwenye kesi hii na akajikuta anafungwa kwa kuuua bila kukusudia(Manslaughter).

na kauli zote kama vile SIWEZI KUFANYA KAZI NA WANGWE ukitizama sana zinaweza kuwaweka watu pabaya,kama Mwanakijiji alivyoishauri Polisi hivyo hivyo na MKAMAP anajaribu kuweka mawazo yake kama Mwanakijiji na baya zaidi pale Mwenyekiti aliposema kuwa Wangwe anashiriki kukihujumu chama kwa kutoa siri za chama nje. walimwita kwenye vikao vingi kumuonya asitoe siri,hakusikia na wakampa muda ajirekebishe, wanasema hakujirekebisha,hatuleti siasa ila kama sheria inafuatwa Chadema wana kubwa la kujibu.
Nakushauri ndugu yangu kwa mara nyingine uachane na unafiki na upuuzi wako hapa wakati wengine tuko kwenye msiba. Mbowe na viongozi walikuwa kwenye msiba Tarime na watu wa Tarime hawakuwa na tatizo lolote na uwepo wao huko.

Kama mnajaribu kubadilisha ukweli kwenye hili huku mkitaka kuanzisha fujo na vurugu Tarime mmenoa. Wakazi wa Tarime ni smart kuliko watu wenye bias kama wewe mnayofikiria.
Closed Thread

Bookmarks

Tags
cha, chacha, kifo, mhe, uchunguzi, wake, wangwe


LinkBacks (?)
LinkBack to this Thread: http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/16241-kifo-cha-mhe-chacha-wangwe-na-uchunguzi-wake.html
Posted By For Type Date
Gari Ndiye This thread Refback 30th October 2008 02:51 PM

Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Azimio la Arusha kuzaliwa upya? Mwanagenzi Jukwaa la Siasa 313 14th December 2009 08:17 AM
Richmond + TANESCO: The complete deal Invisible Jukwaa la Siasa 121 20th October 2009 04:31 AM
Ushauri Kwa Viongozi Wakuu Wa Serikali – Awamu Ya Nne, Hususani Mhe Meghji, Karamagi, mkombozi22 Habari na Hoja mchanganyiko 26 24th March 2008 09:59 PM
Chacha Wangwe Kuyafikisha Mahakamani magazeti Kwa Kumchafulia Jina John Mnyika Jukwaa la Siasa 15 24th October 2007 03:35 PM
Spika Atoa Uamuzi Wa Mengi/Malima Halisi Habari na Hoja mchanganyiko 32 28th April 2007 12:19 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 06:07 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com