Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wamiliki Vituo kuwa vigogo serikalini inawezekana?

    Report Post
    Results 1 to 1 of 1
    1. #1
      mgt software's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,747
      Rep Power : 782
      Likes Received
      138
      Likes Given
      201

      Default Wamiliki Vituo kuwa vigogo serikalini inawezekana?

      Vurugu, visa vimetawala kwenye vituo vichache vinavyouza mafuta leo hii, baada ya kutangaza mgomo baridi wa kujifanya mafuta yameisha ili kupingana na bei elelekezi ya EWURA na CCM baada ya kikao chao hivi karibuni.
      Leo nimetembelea vituo vifuatavyo kwenye barabara kuu ya Bagamoyo kuanzia Bunju B mpaka mjini. Haya ndiyo yaliyojiri,
      Kituo cha Oil Com Boko= Kimefungwa wafanyakazi wapo,
      Kituo cha Dawasco GBP = Kimefungwa jana kilikuwa kinapima mafuta,
      Kituo Cha Gapco Chanika TGT = kuna Petrol tu,
      Kituo cha Tegeta Kibaoni = Kinamafuta na vurugu tupu kuingia na kutoka
      Kituo cha Oilcom Skanska= kimefungwa
      Kituo cha Oilcom pale Rad House Mbuyuni = Kimefungwa
      Kituo cha Kobil + kuna vurugu sana ndiko kuna mafuta
      Mwenge BP = wanaendelea
      Gapco Mjini City center =kimefungwa
      Attached Thumbnails    
      "Mtoto wa Maskini Hachagui Malezi, Tanganyika siyo Masikini Masikini ni wewe Unayehonga Haki yako Kwa Mafisadi" Bamugileki

    2. Study Abroad

    Similar Topics

    1. Replies: 8
      Last Post: 12th October 2011, 16:47
    2. Madudu ya vigogo serikalini hadharani
      By sulphadoxine in forum Jamii Intelligence
      Replies: 0
      Last Post: 16th June 2011, 08:24
    3. Vigogo serikalini wachoma moto mafaili ya Dowans
      By Fareed in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 6
      Last Post: 15th January 2011, 10:22
    4. Inawezekana mali za CCM kurudi Serikalini?
      By mudushi in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 11
      Last Post: 9th November 2010, 13:55
    5. Wamiliki wa vituo vinavyouza mafuta machafu wahukumiwa
      By JokaKuu in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 31st August 2009, 17:03

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...