Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 27
    1. DSN
      #1
      DSN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2011
      Location : Home Tanzania
      Posts : 1,443
      Rep Power : 4452
      Likes Received
      690
      Likes Given
      576

      Default Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Mwenyekiti wa Club ya Simba na Mbunge wa Tabora Mjini anasema Nchi hii tunaitafuna wenyewe siku tukiimaliza tutafunana wenyewe. Anashangazwa na utajiri wa Wafanyakazi wa Serikali kumilki Geust House Ishirini [20] ukimuuliza chanzo cha mapato ya ujenzi wa miradi hiyo nini hana cha kukupa?

      Mfanyakazi wa Serikali anamiki mali kupita Mfanyabiashara.Rage anasema kama Misri na Libya raia wa Nchi hizo wametaifisha Mali za Marais hao,je sisi mbona hatutaifishi mali za watu wanaotuibia mali zetu kama mchezo wa kuuzwa kwa UDA.

      Jamani Rage kafunguka kama sio Rage yule wa zama zile za Ndolanga!!!!!Kumbe kifaa.

      Nawsilisha.
      Saint Ivuga likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 0
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: Rage: "Nchi Hii Tunaitafuna Wenyewe Mwishoni Tutatafunana Wenyewe"

      Usanii wa Magamba tu huo

    4. DSN
      #3
      DSN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2011
      Location : Home Tanzania
      Posts : 1,443
      Rep Power : 4452
      Likes Received
      690
      Likes Given
      576

      Default Re: Rage: "Nchi Hii Tunaitafuna Wenyewe Mwishoni Tutatafunana Wenyewe"

      Quote By Nyakageni
      Usanii wa Magamba tu huo
      Hata kama ni usaniii kama ni jiwe lililushwa kwenye giza mtupaji akisikia sauti ya mtu kapiga kelele ngwaaaaaaaaah ujue limempata hilo.
      uporoto01 and Livanga like this.

    5. #4
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,712
      Rep Power : 10174
      Likes Received
      5668
      Likes Given
      12666

      Default Re: Rage: "Nchi Hii Tunaitafuna Wenyewe Mwishoni Tutatafunana Wenyewe"

      kifo cha ccm
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    6. #5
      Mag3's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 3,540
      Rep Power : 1805
      Likes Received
      2463
      Likes Given
      2502

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Quote By DSN
      Mwenyekiti wa Club ya Simba na Mbunge wa Tabora Mjini anasema Nchi hii tunaitafuna wenyewe siku tukiimaliza tutafunana wenyewe.
      Ana maana kwamba wao, pamoja na yeye, wanaitafuna nchi na watakapoimaliza wataanza kutafunana wenyewe kwa wenyewe kama ilivyo desturi ya manyang'au mzoga unapokwisha. Na kweli kuna dalili mafisadi wameanza kutafunana wenyewe kwa wenyewe, shuhudia sakata la fisadi Simba na fisadi Kusena, na bado. Chama cha Mafisadi karibu kinasambaratika !
      The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
      Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
      -Albert Einstein.


    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      BONGOLALA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,851
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1004
      Likes Given
      128

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      ccm bye bye sendeka kishasema dalili zote za kufa na wamekua mafisi kwa sasa wanagawana chochote kilichopo

    9. DSN
      #7
      DSN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2011
      Location : Home Tanzania
      Posts : 1,443
      Rep Power : 4452
      Likes Received
      690
      Likes Given
      576

      Default Re: Rage: "Nchi Hii Tunaitafuna Wenyewe Mwishoni Tutatafunana Wenyewe"

      Quote By Saint Ivuga
      kifo cha ccm
      Sipendi Kife natamani waendelee kuwa chama kizima kisha nao waje wapitie hatua ambazo vyama vingine vimepitia kisha kutoka hapo kitakuwa chama makini tofauti na sasa kuwa ni chama kikongwe badala ya kuwa chama makini.Tena hawaoni aibu kila siku majigambo yao uwa ni chama kikongwe badala ya kuwa na misemao kama chama bora,chama cha kisayansi,au chama cha kizarendo nk.

      Kutokana na kuwa na Watu wazee wengi kinakosa vijana wanaofikilia kukifanya kionekana cha kileo zaidina chenye vijana damu zinachemka.Vijana wote waliomakini wakikisogelea chama hicho wanapigwa vita matokeo yake kimekomaa kwa kuchukua vijana wazuri kwenye mambo yetu yale.......!!!!!!!!!!!. Wakati wanatakiwa kuwa na vijana wanosoma dunia hii inavyokwenda kwa kasi wajuzi wa kubuni mbinu na mikakati ya kisasa na kuibua majibu ya haraka dhidi ya Wananchi.

      Na kuwa chama ambacho ni chepesi kukabiliana na ukweli kuliko kuupinga kwa kunyamazisha.Kwani kwa kunyamazisha unajenga utando wa Muda mfupi na utakapo kuja kufumua kutakuwa na usaa na mwanzo wa kuwa na kidonda uozo kufuata.

      Kitendo cha mwenyekiti kiti cha Spika kuzuia Bunge lisiandike hassard ya Mbunge wa Ludewa Furukunjombe dhidi ya maneno yake ya kuwa Wataandamana na ushauri wake kwa Serikali kuwa ni vyema ikawa na mfumo wa kuwanyonga viongozi haswa mawaziri wanaoshindwa kuwajibika ipasavyo.Nimeona ni UJINGA ULIOPITILIZA kusema maneno aliyoyasema mbunge huyo yasiandikwe kwenye hansarrd.

      Ni kuwanyima vizazi vijavyo ufahamu wa kujua kiwango cha mchango wa wabunge wao wa miaka iliyopita yaani kipindi kijacho.
      Last edited by DSN; 4th August 2011 at 08:05.

    10. #8
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21341
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Quote By DSN
      Mwenyekiti wa Club ya Simba na Mbunge wa Tabora Mjini anasema Nchi hii tunaitafuna wenyewe siku tukiimaliza tutafunana wenyewe. Anashangazwa na utajiri wa Wafanyakazi wa Serikali kumilki Geust House Ishirini [20] ukimuuliza chanzo cha mapato ya ujenzi wa miradi hiyo nini hana cha kukupa?

      Mfanyakazi wa Serikali anamiki mali kupita Mfanyabiashara.Rage anasema kama Misri na Libya raia wa Nchi hizo wametaifisha Mali za Marais hao,je sisi mbona hatutaifishi mali za watu wanaotuibia mali zetu kama mchezo wa kuuzwa kwa UDA.

      Jamani Rage kafunguka kama sio Rage yule wa zama zile za Ndolanga!!!!!Kumbe kifaa.

      Nawsilisha.
      CCM watakuwa wamekuwa "Unleashed" na maboss wao CC, kuwa mchezo wanaoufanya wa kutetea uozo si mzuri kwa masilahi na uhai wa chama kama kweli wanataka support ya wananchi. Watakuwa wameambiwa "Attack" japo ni kinafiki, na unajua what next when that command comes from the owner.

    11. #9
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,228
      Rep Power : 3560
      Likes Received
      3060
      Likes Given
      462

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Labda baada ya kuota joto la JIWE; Kuwa Jela anajua maradhi yake...

    12. #10
      Mdondoaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Posts : 4,727
      Rep Power : 1485
      Likes Received
      808
      Likes Given
      342

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Quote By DSN
      Mwenyekiti wa Club ya Simba na Mbunge wa Tabora Mjini anasema Nchi hii tunaitafuna wenyewe siku tukiimaliza tutafunana wenyewe. Anashangazwa na utajiri wa Wafanyakazi wa Serikali kumilki Geust House Ishirini [20] ukimuuliza chanzo cha mapato ya ujenzi wa miradi hiyo nini hana cha kukupa?

      Mfanyakazi wa Serikali anamiki mali kupita Mfanyabiashara.Rage anasema kama Misri na Libya raia wa Nchi hizo wametaifisha Mali za Marais hao,je sisi mbona hatutaifishi mali za watu wanaotuibia mali zetu kama mchezo wa kuuzwa kwa UDA.

      Jamani Rage kafunguka kama sio Rage yule wa zama zile za Ndolanga!!!!!Kumbe kifaa.

      Nawsilisha.
      Wanaona upepo wa kizazi cha dot com unawajia inabidi wabadilike. Ndio leo anayajua hayo? Au amesahau ufisadi wake FAT na kwengineko? Kizazi hiki kinachokuja ni vigumu kwa kiongozi kukubalika kama hana moyo wa uzalendo.

    13. DSN
      #11
      DSN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2011
      Location : Home Tanzania
      Posts : 1,443
      Rep Power : 4452
      Likes Received
      690
      Likes Given
      576

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Quote By Mdondoaji
      Wanaona upepo wa kizazi cha dot com unawajia inabidi wabadilike. Ndio leo anayajua hayo? Au amesahau ufisadi wake FAT na kwengineko? Kizazi hiki kinachokuja ni vigumu kwa kiongozi kukubalika kama hana moyo wa uzalendo.
      yaaaaaaaaaaah naona katika picha hiyo hiyo unayoiona wewe na sio devil advocate kama wengine wanavyoona.Wamejua kuwa kumbe ukiwa mkweli [Mzalendo] wananchi watakuchukua kwa namna yoyote kama ilivyokuwa kwa shibuda.

    14. #12
      Giddy Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2011
      Posts : 834
      Rep Power : 590
      Likes Received
      176
      Likes Given
      0

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Buriani Ccm kwaheri ya kuonana waasisi walishatangulia nenda nenda nenda Ccm msalimu Mwalimu na Kawawa vipi Muungano huko vipi?Kolimba mlimdhulumu atawapokea tuu vizuri.

    15. DSN
      #13
      DSN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2011
      Location : Home Tanzania
      Posts : 1,443
      Rep Power : 4452
      Likes Received
      690
      Likes Given
      576

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Quote By Giddy Mangi
      Buriani Ccm kwaheri ya kuonana waasisi walishatangulia nenda nenda nenda Ccm msalimu Mwalimu na Kawawa vipi Muungano huko vipi?Kolimba mlimdhulumu atawapokea tuu vizuri.
      jamani waombeeni wakae pembeni waone nao jahazi likiwa la endeshwa na nahodha mwingine linaendaje.Tuwaombee wapate nao nafsi ya kuwa wapinzani waone wengine nao wanaendeshaje Mashua wao wakiwa abiria na chama kingine wakiwa manahodha.

    16. #14
      Mbopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2008
      Posts : 2,531
      Rep Power : 1084
      Likes Received
      375
      Likes Given
      13

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Nilimsikia Ragea jana akiongea kwa masikitiko makubwa na kwa kweli ameongea yale ambayo yako mioyoni mwa watanzania wengi. Tamaa ya viongozi wetu (baadhi) itakuja kuleta machafuko yasiyo na sababu kwa watu kujichukulia sheria mkononi. Lakini lingine ninaloliona kwamba ni hatari, ni uwezekano wa wananchi kudharau hata vyombo vyetu vya dola baada ya kubaini kwamba viko kwa ajili ya kushughulika na petty offenders huku wale wanaoleta madhara ya kweli kwa umma wakiwa huru na wakifurahia matunda ya udhalimu na ufedhuli wao. Mungu tuepushe na janga hili!

    17. #15
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,450
      Rep Power : 9880
      Likes Received
      614
      Likes Given
      448

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Ukiwa mwizi na ukitaka kuonekana wewe siyo mwizi basi wananchi wakifukuza wezi wenzio na wewe unga msafara tena uwe yule anaewasha kibiriti kuwachoma moto. Utaonekana unachukua sana wizi.

    18. #16
      Nyambala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2007
      Location : Tahiti
      Posts : 4,402
      Rep Power : 1518
      Likes Received
      1019
      Likes Given
      938

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Quote By Mbopo
      Nilimsikia Ragea jana akiongea kwa masikitiko makubwa na kwa kweli ameongea yale ambayo yako mioyoni mwa watanzania wengi. Tamaa ya viongozi wetu (baadhi) itakuja kuleta machafuko yasiyo na sababu kwa watu kujichukulia sheria mkononi. Lakini lingine ninaloliona kwamba ni hatari, ni uwezekano wa wananchi kudharau hata vyombo vyetu vya dola baada ya kubaini kwamba viko kwa ajili ya kushughulika na petty offenders huku wale wanaoleta madhara ya kweli kwa umma wakiwa huru na wakifurahia matunda ya udhalimu na ufedhuli wao. Mungu tuepushe na janga hili!
      Haha ahaha ahaha!!!!! Mbopo bana!!!!!!!!!!!!! hapo kwenye baadhi tunaanza kumuengua JK kwanza siyo?

    19. #17
      Mbopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2008
      Posts : 2,531
      Rep Power : 1084
      Likes Received
      375
      Likes Given
      13

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Precisely. Unless the contrary is proven.

    20. #18
      Mwanamayu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Location : Manzese
      Posts : 3,049
      Rep Power : 1068
      Likes Received
      240
      Likes Given
      112

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Nafikiri Rage angesema kuwa "baadhi yetu tunaitafuna nchi hii" na kutoa mfano huu hapa pia http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...a-kuzirai.html

    21. DSN
      #19
      DSN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2011
      Location : Home Tanzania
      Posts : 1,443
      Rep Power : 4452
      Likes Received
      690
      Likes Given
      576

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Quote By MwanaFalsafa1
      Ukiwa mwizi na ukitaka kuonekana wewe siyo mwizi basi wananchi wakifukuza wezi wenzio na wewe unga msafara tena uwe yule anaewasha kibiriti kuwachoma moto. Utaonekana unachukua sana wizi.
      Itakuwa nzuri sana ukiwa mwizi ukashiriki kumsulubu mwizi mwenzio,uzuri wake ukiwa wakikujua kuwa nawe ni wale wale watamsurubu vibaya kuliko mwzi walieshriki nae kumsurubu.Kwa kuwa wataona ule msemo wao wa kiswahili kikulacho ki nguoni mwako ndio umepata mahali pake.

    22. #20
      Galileo Galilei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2011
      Posts : 6,278
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      559
      Likes Given
      3

      Default Re: Rage: Nchi hii tunaitafuna wenyewe, mwishoni tutatafunana wenyewe

      Rage anajaribu kuelezea habari ambazo karibia viongozi wote wa serikali ndio tabia zao pamoja na yeye!
      Walivyoitafuna FAT yeye na kina Ndolanga

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Nape: Nchi hii ina wenyewe na wenyewe ni CCM!
      By mwaJ in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 159
      Last Post: 17th October 2011, 22:04
    2. Replies: 7
      Last Post: 5th January 2011, 20:18
    3. Dunia imekwisha wanawake wanaowana wenyewe kwa wenyewe
      By MziziMkavu in forum Jamii Photos
      Replies: 2
      Last Post: 6th December 2009, 00:30
    4. Eti akina Dada/Wanawake huwa hawapendani wenyewe kwa wenyewe, ni kweli?
      By Zion Daughter in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 42
      Last Post: 20th October 2009, 17:43

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...