Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      akajasembamba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Posts : 152
      Rep Power : 457
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      Nilisikitishwa na kufadhaika sana, kuona baadhi ya wananchi wa jimbo la Igunga wakiangua kilio na baadhi yao kupoteza fahamu kisa Mbunge wao Rostam Aziz kajiuzulu! Mbunge aligubikwa na tuhuma na kashfa lukuki,ambaye Tanzania nzima ilikuwa ikipaza sauti ya kumkataa wakiwemo wana CCM wenyewe! Mbunge ambaye Bungeni hachangii hata hoja moja kimya muda wote, alinukuliwa bunge lililopita kukaa kimya miaka yote! Najiuliza Wanyamwezi hawa wanaelewa haswa maana ya Mbunge?!

      Au kwao wao ni MFADHILI anayegawa tu pesa na kugawa Mahindi na Vyerehani!!Bila kujua hizo gharama anazotumia pesa amezitoa wapi!! Anatoa hela mfukoni wakati bungeni anaachia mabilioni ya fedha zinazotokana na kodi walizotozwa wao wenyewe katika madini, mazao yao na ng'ombe wao yakipotea katika Bajeti mbovu!

      Wanategemea maendeleo ya nchi yataletwa kwa fedha za mfuko wa mfanyabiashara mmoja na siyo Mbunge mwenye hoja nzito bungeni, anayehoji zinapokwenda fedha zinazotokana na madini yetu!! Wanatabora hao hao hatukuona wakilia walau tone moja kumlilia Mbunge GODWIN SELELEIII ambaye Watanzania wengi wenye fikra timamu walikuwa wakimpenda na kumtegemea kama mtetezi wao bila kujali ni wa chama gani!

      Huu mkoa una tatizo wajiangalie upya.
      THE TRUTH IS AN OFFENCE BUT NOT A SIN

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Falconer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2008
      Posts : 267
      Rep Power : 594
      Likes Received
      49
      Likes Given
      28

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      Rostam Aziz ni kipenzi cha watu wa Igunga. Nyinyi hamukijui alichokifanya Igunga ndio maana munamkashifu. Aliyoyafanya Mkapa hakuna anayeyataja. Munamuogopa au kwa kuwa ni mwenzenu?. Rostam haja fanya jipya lolote isipokuwa alikifuata maagizo ya wakubwa tu.

    4. #3
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,483
      Rep Power : 1116
      Likes Received
      469
      Likes Given
      962

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      wanatabora kweli walimlilia Rostam kuna mengi hata kwenye msiba kunamtu anaweza lia sana kumbe moyoni anashukru kuondoka kwa marehaemu ndio walichokifanya igunga walikuwa na furaha sana yakuondoka mwizi na mhujumu uchumi ndio maana walilia hata kudhirai
      akajasembamba likes this.

    5. #4
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      Hivi Mbunge anaechangia sana kwa kupiga kelele pale bungeni ndio unamuona ana maana sana?

      Duhh, ikiwa Watanzania fikra zetu ni kama wewe, basi tuna kazi kubwa sana.

      Wewe unajuwa katika wilaya za zenye Bima Tanzania zenye bima ya afya kila kata ni Igunga pekee? wewe unajuwa katika wilaya zenye mafanikio makubwa kwa muda mfupi wa Rostam kuwa Mbunge ni Igunga? nenda Igunga au waulize watu wa Igunga Rostam kafanya nini Igunga wakueleze. Unatuletea Selelii, Selelii kafanya nini zaidi ya kuserereka?
      Jenifa likes this.

    6. #5
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      Quote By Mwanaweja
      wanatabora kweli walimlilia Rostam kuna mengi hata kwenye msiba kunamtu anaweza lia sana kumbe moyoni anashukru kuondoka kwa marehaemu ndio walichokifanya igunga walikuwa na furaha sana yakuondoka mwizi na mhujumu uchumi ndio maana walilia hata kudhirai
      Lete ushahidi wa hayo uyasemayo, au mtu akiwa tajiri basi kisha kuwa mwizi? kwa sababu tu wewe hujui uwe tajiri vipi?

    7. Miaka 50

    8. #6
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,634
      Rep Power : 22062
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      803

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      Wakati tz anatuliza kidogo anawapoza watu wa igunga so lazima wamlilie as wengine walikuwa wanapata posho kwake za kuwaweka sawa wapiga kura so ulaji kushney

    9. #7
      Technology's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Abbottabad, Pakistan
      Posts : 426
      Rep Power : 521
      Likes Received
      29
      Likes Given
      95

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      Kila mtu anajua Rostam alitumia umahiri wake ktk biashara kuwafungua macho akina mangula, mkapa na wenzake ili wafanikishe wizi wa fedha zetu, zaidi ya hapo hana kosa lolote. Rostam amefana makubwa saana kwa watu wa igunga kuliko mbunge yoyote
      ktk jimbo lake ktk nchi hii. CCM wanajua fika Rostam personally hakuiba ila fedha zimetumiwa na CC wenyewe.
      Watu wa tabora hawawezi kumlilia Selelii kwani yuko group moja na akina Sitta waliotufikisha hapo na siasa zao za chuki na kutumiwa na KANISA kuiangusha serikali
      JF-BAN1 likes this.

    10. #8
      MDANGANYWA HUYU's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 20
      Rep Power : 399
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      Wakuu lakini inasemekana ra alikodi watu wa kulia

    11. #9
      akajasembamba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Posts : 152
      Rep Power : 457
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      Pole Faiza Foxy kwa kukosa uelewa wa kujua kazi na majukumu ya MBUNGE unamsifu golikipa kwa kuwa forward striker na kufunga magoli!!!!????? Huku golini hakuna mtu na magoli yanaingia!!!! Mbunge na Bunge kazi yake ni KUISIMAMIA SERIKALI NA KUTUNGA SHERIA hakuna haja ya kuwa na bunge kama halisimamii serikali kodi tunayokatwa, na Mbunge wa aina hiyo unayoitaka wewe si Mbunge labda ungempa Ukuu wa Wilaya au U DED au Ufadhili wa Jimbo kama mtazamo wako ulivyo. Bima ya Afya??? Hata angejenga shule au nyumba kwa kila mwana Igunga hiyo ndiyo kazi ya bunge au Mbunge!!!! Mwisho wa siku tutakuja kuwa kama Colombia nchi itanunuliwa na wauza Bangi, kama kigezo chako cha kuchagua Mbunge ni hela anayopeleka jimboni kwake. Unamsifu Rais kwa kuhukumu kesi wakati Per Capital Income na G.D.P zinaporomoka!!!! YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOME TIMES BUT NOT ALL THE PEOPLE ALL THE TIME, Ipo siku watanzania wataamka. Its a total shame kumlilia Mbunge kama huyo na kuchekelea kifaa kama Selelii kikienda. Tanzania tutazidi kuwa Maskini kwa kuwa na watu wenye mtazamo kama wako!
      THE TRUTH IS AN OFFENCE BUT NOT A SIN

    12. #10
      rose d's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 9th June 2011
      Posts : 7
      Rep Power : 404
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      mkuu ulitaka wamlilie selelii kwa ajili ya kupigana vita ya kinafiki iliyoitwa vita dhidi ya ufisadi kumbe ilikuwa ni kwa ajili ya maslahi binafsi?

    13. #11
      Mawenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 713
      Rep Power : 582
      Likes Received
      144
      Likes Given
      817

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      Quote By Falconer
      Rostam Aziz ni kipenzi cha watu wa Igunga. Nyinyi hamukijui alichokifanya Igunga ndio maana munamkashifu. Aliyoyafanya Mkapa hakuna anayeyataja. Munamuogopa au kwa kuwa ni mwenzenu?. Rostam haja fanya jipya lolote isipokuwa alikifuata maagizo ya wakubwa tu.

      Mkuu umesema kweli. Mkapa kafanya ufisadi zaidi ya Rostam, tena kwa kutumia ofisi/madaraka

      JF-BAN1 likes this.

    14. #12
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      Quote By akajasembamba
      Pole Faiza Foxy kwa kukosa uelewa wa kujua kazi na majukumu ya MBUNGE unamsifu golikipa kwa kuwa forward striker na kufunga magoli!!!!????? Huku golini hakuna mtu na magoli yanaingia!!!! Mbunge na Bunge kazi yake ni KUISIMAMIA SERIKALI NA KUTUNGA SHERIA hakuna haja ya kuwa na bunge kama halisimamii serikali kodi tunayokatwa, na Mbunge wa aina hiyo unayoitaka wewe si Mbunge labda ungempa Ukuu wa Wilaya au U DED au Ufadhili wa Jimbo kama mtazamo wako ulivyo. Bima ya Afya??? Hata angejenga shule au nyumba kwa kila mwana Igunga hiyo ndiyo kazi ya bunge au Mbunge!!!! Mwisho wa siku tutakuja kuwa kama Colombia nchi itanunuliwa na wauza Bangi, kama kigezo chako cha kuchagua Mbunge ni hela anayopeleka jimboni kwake. Unamsifu Rais kwa kuhukumu kesi wakati Per Capital Income na G.D.P zinaporomoka!!!! YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOME TIMES BUT NOT ALL THE PEOPLE ALL THE TIME, Ipo siku watanzania wataamka. Its a total shame kumlilia Mbunge kama huyo na kuchekelea kifaa kama Selelii kikienda. Tanzania tutazidi kuwa Maskini kwa kuwa na watu wenye mtazamo kama wako!
      Kazi ya mbunge siyo kupiga gumzo bila kufikiria, wasemaji wazuri wengi sana wanakuwa ni wanasiasa na watendaji wabovu, mfano ni Nyerere. Rostam ni mtu wa action na ndio maana unaona mafanikio yake kwenye Ubunge na kwenye biashara zake binafsi.

      Ni jimbo gani la Tanzania zaidi ya la Rostam lenye bima ya afya kila kata? hapo kishapiga teke adui maradhi kwenye jimbo lake. Jimnbolake lina shule nyingi zaidi ya wanafunzi, lina walimu wa kutosha kila shule, hapo kisha piga teke adui ujinga.

      Bado hayakutoshi? Nipe mfano hai kama nnavyokupa mimi, Selelii kafanya nini kipindi chake jimboni kwake?

    15. #13
      Mkuu wa chuo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Kibada
      Posts : 1,770
      Rep Power : 843
      Likes Received
      340
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By FaizaFoxy
      Kazi ya mbunge siyo kupiga gumzo bila kufikiria, wasemaji wazuri wengi sana wanakuwa ni wanasiasa na watendaji wabovu, mfano ni Nyerere. Rostam ni mtu wa action na ndio maana unaona mafanikio yake kwenye Ubunge na kwenye biashara zake binafsi.<br />
      <br />
      Ni jimbo gani la Tanzania zaidi ya la Rostam lenye bima ya afya kila kata? hapo kishapiga teke adui maradhi kwenye jimbo lake. Jimnbolake lina shule nyingi zaidi ya wanafunzi, lina walimu wa kutosha kila shule, hapo kisha piga teke adui ujinga. <br />
      <br />
      Bado hayakutoshi? Nipe mfano hai kama nnavyokupa mimi, Selelii kafanya nini kipindi chake jimboni kwake?
      <br />
      <br />
      we faiza ulishafika lini Igunga, we si kila siku upo kariakoo, acha ushabiki, unanini weye!

    16. #14
      Jenifa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Posts : 412
      Rep Power : 516
      Likes Received
      58
      Likes Given
      9

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      mibaba selelii aliyeshindwa na bashe. watamlilia kwa kupiga kelele zisizo na mafaniko bungeni.

      kujiuzulu kwa rostam kumewaumbua wabunge wengi. watu tumejua kumbe wabunge wetu sifuriiii
      wabunge wangapi leo wanaweza kuziuzulu na wakaliliwa na wapiga kura wao.

    17. #15
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      Quote By Mkuu wa chuo
      <br />
      <br />
      we faiza ulishafika lini Igunga, we si kila siku upo kariakoo, acha ushabiki, unanini weye!
      Wewe ulishafika?

    18. #16
      JoJiPoJi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th August 2009
      Posts : 1,583
      Rep Power : 1217
      Likes Received
      251
      Likes Given
      82

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      RA hakuliliwa na wapigakura wake tu, kujiuzuru kwake kumeifanya hata CC ichanganyikiwe

    19. #17
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,991
      Rep Power : 1647
      Likes Received
      1136
      Likes Given
      417

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      Quote By akajasembamba
      Nilisikitishwa na kufadhaika sana, kuona baadhi ya wananchi wa jimbo la Igunga wakiangua kilio na baadhi yao kupoteza fahamu kisa Mbunge wao Rostam Aziz kajiuzulu! Mbunge aligubikwa na tuhuma na kashfa lukuki,ambaye Tanzania nzima ilikuwa ikipaza sauti ya kumkataa wakiwemo wana CCM wenyewe! Mbunge ambaye Bungeni hachangii hata hoja moja kimya muda wote, alinukuliwa bunge lililopita kukaa kimya miaka yote! Najiuliza Wanyamwezi hawa wanaelewa haswa maana ya Mbunge?!

      Au kwao wao ni MFADHILI anayegawa tu pesa na kugawa Mahindi na Vyerehani!!Bila kujua hizo gharama anazotumia pesa amezitoa wapi!! Anatoa hela mfukoni wakati bungeni anaachia mabilioni ya fedha zinazotokana na kodi walizotozwa wao wenyewe katika madini, mazao yao na ng'ombe wao yakipotea katika Bajeti mbovu!

      Wanategemea maendeleo ya nchi yataletwa kwa fedha za mfuko wa mfanyabiashara mmoja na siyo Mbunge mwenye hoja nzito bungeni, anayehoji zinapokwenda fedha zinazotokana na madini yetu!! Wanatabora hao hao hatukuona wakilia walau tone moja kumlilia Mbunge GODWIN SELELEIII ambaye Watanzania wengi wenye fikra timamu walikuwa wakimpenda na kumtegemea kama mtetezi wao bila kujali ni wa chama gani!

      Huu mkoa una tatizo wajiangalie upya.
      alikuwa anawasaidia kupata kazi za kuosha vyombo kwenye nyumba za waarabu na wahindi. hili kusema kweli ni pigo kubwa kwa watu wa mko huu ambao kwao umasikini wa fikra ni sehemu ya maisha yao.
      19don likes this.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    20. #18
      Mkuu wa chuo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Kibada
      Posts : 1,770
      Rep Power : 843
      Likes Received
      340
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By FaizaFoxy
      Wewe ulishafika?
      <br />
      <br />
      mi mara nyingi huwa napita sana pale Igunga, kwa hiyo napaelewa!

    21. #19
      kluvert's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 38
      Rep Power : 403
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      Watu wa Igunga niwabinafsi,wameangalia maslai yao wala awakuangalia maslai ya nchi,wangeangalia maslai yanchi wasingeweza kumlilia fisadi ambaye alikuwa anaitumia igunga kujitengenezeanjia ya kvfanya ufisadi

    22. #20
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default Re: Wana Tabora kumlilia Rostam na siyo Selelii! Wana nini?

      Quote By Mkuu wa chuo
      <br />
      <br />
      mi mara nyingi huwa napita sana pale Igunga, kwa hiyo napaelewa!
      Kwa hiyo ukiwa wewe unapita na wengine hawana uwezo wa kupita? Unanchekesha! huna hoja.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Rostam hakuwa anawajali wana Igunga
      By Manyanza in forum Chaguzi Ndogo
      Replies: 0
      Last Post: 14th October 2011, 14:30
    2. Rostam na Bima ya afya kwa wana-Igunga!
      By Mtego wa Noti in forum Chaguzi Ndogo
      Replies: 13
      Last Post: 6th October 2011, 15:57
    3. Replies: 4
      Last Post: 5th October 2011, 21:29
    4. Dr SLAA: Wana TABORA mtuunge mkono
      By Edson Zephania in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 91
      Last Post: 15th July 2011, 12:11
    5. Replies: 51
      Last Post: 16th June 2009, 15:17

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...