Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Maneno yanayonikera siasa za CCM: uchochezi, uchonganishi, kutishia amani na uvunjifu wa amani

    Report Post
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast
    Results 61 to 80 of 92
    1. DSN
      #1
      DSN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2011
      Location : Home Tanzania
      Posts : 1,443
      Rep Power : 4452
      Likes Received
      690
      Likes Given
      576

      Default Maneno yanayonikera siasa za CCM: uchochezi, uchonganishi, kutishia amani na uvunjifu wa amani

      Wanasayansi wamefanya utafiti na kugundua kila binadamu anayezaliwa chini ya uso wa dunia yetu hiii ni Mwanasiasa kwa kuzaliwa kwa kuwa asilimia kubwa ya maisha yake yanaimarika na kustawika au kuathirika kwa sababu ya siasa.

      Ndio maana kuna chaguzi ambazo ni haki yake ya msingi ya kuchaguliwa yeye au kumchagua mtu yoyote ambae yeye kwa imani yake anaona anastahiki kumuongoza ili kumuonyesha njia apate ustawi binafis wa maisha yake, familia yake na Taifa lake kwa ujumla.Hivyo Viongozi Serikali na Wanasiasa wa CCM siasa ni sehemu ya maisha ya Watanzania wote Millioni 40.7.

      Kupitia utafiti huo wa Wanasayansi hao hata mimi nae ni Mwanasiasa kwa kiwango changu. Kinachonikera katika siasa za chama cha Mapinduzi ni maneno ambayo viongozi wake wa kisiasa na wale walioko Serikali wanavyopenda kuyatumia sana kiasi kuwa kwa mwelevu yoyote yule maneno hayo yamesemwa sana kiasi kuwa Wananchi wameshagundua nyuma ya pazia ya matumizi ya maneno hayo kwa Viongozi na Wanasiasa hao. Japo kwa upofu wa Viongozi wetu wa Kisiasa na Serikali wanajisau na kuona Wananchi hawalijui hilo na wala hawaoni matendo yao.

      Maneno kama Uchochezi, Uchonganishi, Kutishia Amani, Uvunjifu wa Amani,hizo ni hisia ,Uthibitisho,upotoshaji wa Wananchi,Wivu,Wapinga Maendeleo,fikra potofu, Intelegensia nk.

      Yamekuwa ni maneno ambayo yameifikisha CCM hapo ilipo sasa ya kupoteza imani kwa Wananchi,kwa kuwa yamefikia kuwa yanasemwa na Viongozi wa Kichama na Serikali ambao Watu [Wananchi] huku site [Makongoro] wanawajua kuwa si wenye hadhi ya kuyatamka hayo.

      Wananchi sio kuwa hawajui adui yao ni nani, wasichonacho ni nyenzo na mbinu za kupambana na adui wao huyo.Kwa kuwa wengi wa maadui zao wako ndani ya mfumo hivyo kuwakabili inakuwa kazi ngumu njia iliyopo kwa Wananchi ni kukwangua gamba la juu la Kobe taratibuuu!! Mpaka kufikia kichwa cha Kobe.Kwa wanaojua jinsi ya kutibu virus wa TB ,dawa yake ndio itakayotumiwa na Wananchi kama TIBA ya tatizo lao hivyo nguvu ya umma ndio siraha waliyonayo mkononi.

      Chama cha Mapinduzi kitambue kuwa maneno hayo yanakera [Irritate] sana yanapotumika kwa sasa, yanaongeza ufa dhidi ya chama hicho dhidi ya Umma.Yangesemwa hivyo wakati Nchi na Wananchi wake wako kwenye ustawi yaani maisha BORA hakika kila Mwananchi angesimama kuyaunga mkono kama ambavyo Wananchi walivyounga mkono azimio la Arusha huko nyuma.

      Viongozi wa CCM na Serikali Kwa faida yao waepuke nakuacha kabisa matumizi ya maneno hayo,kwa kuwa ndio yanayoongeza moto, kama ni wimbo basi ni mwimbo wa Mwaka 47. Kama mnabisha endeleeni kuyatumia muuone moto wake.

      Sooooooooooon and very soooonnnnn!!!

      Nawasilisha.

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      Kalunguine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2010
      Location : Mwanza Tanzania
      Posts : 2,223
      Rep Power : 892
      Likes Received
      27
      Likes Given
      54

      Default Re: Amani hakuna tena,ni vitisho,vipigo,mateso,sumu,mau aji.. Bora kinuke tu!

      kama umekosa cha kuchangia ukae kimya tu, sasa hapo unataka kueleweshwa nini tena na kila kitu kilichoandikwa kiko wazi? Kama vipi ijengee hoja mwenyewe then uiandike tena!

    4. #62
      Kalunguine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2010
      Location : Mwanza Tanzania
      Posts : 2,223
      Rep Power : 892
      Likes Received
      27
      Likes Given
      54

      Default Re: Amani hakuna tena,ni vitisho,vipigo,mateso,sumu,mau aji.. Bora kinuke tu!

      yako wapi?

    5. #63
      Mbalinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2010
      Posts : 652
      Rep Power : 593
      Likes Received
      129
      Likes Given
      0

      Default Re: Amani hakuna tena,ni vitisho,vipigo,mateso,sumu,mau aji.. Bora kinuke tu!

      Quote By Mwangaza
      Wadau,

      Amani ya Tz aliyoienzi baba wa Taifa haipo tena.

      Polisi walioapa kulianda raia na mali zao, wakiishi kwa mishara ya kodi zetu ..dio wanaongoza mashambuliz na mauaji ya raia wasio na hatia.

      Viongoz walipewa dhamana ya kutuongoza, wamegeka kuwa za viongoz wa kupola rasimali zetu, kutunyanyasa,kutupiga na kutuua sababu tu tuna tofautiana nao kisiasa.

      Tumeshuhudia wakala wa CHADEMA igunga (Bwana Masoudi) akipoteza maisha kwasababu za kisiasa, na wengine hawajulikani walipo..mpaka leo hakuna aliyekamatwa.

      Tumeshuhida ndugu zetu wakiuwawa na pilisi kwenye migodi ya Norh Mara,Nyamongo n.k..mpaka leo hakuna aliyekamatwa.

      Tumeshuhudia kiongoz wa CHADEMA Arusha akitekwa,kunyanyaswa na kumwagiwa tindikali...mpaka leo hakuna aliyekamatwa.

      Tumeshuhudi watu mbali mbali walio mstari wa mbele kuttea haki na kutufumbua macho wakitaka kuwawa,kumwagiwa tindikali,kuwekewa sumu,kubambikizwa kesi nk..mfano Mh Mwakyembe, Sued kubenea, Mwibala,Gobless Lema,Mama Anenelia Ankya, n.k n.k

      Na hii ya sasa inazidi kuvuka mipaka...viongoz wetu, wabunge wetu (Mh. Kiwia na Mh Machali)..wamekatwa mapanga, kiasi cha kutaka kuliwa mbele ya macho ya polisi. bila polisi kuchukua hatua zozote.

      Pamoja na kuwekwa wazi kwamba kada wa UVCCM, Ahmed Mkilindi aliongoza uvamiz huo na anamjeruhi mkononi, na gari zilikuwepo eneo la tukiao ni namba T 377 ARF la mh. Kiwia, T 729 DAD la Mohamed Juma pamoja na T 397 ANU aina ya Land Cruiser ambalo mmiliki wake hakupatikana, (kwanini hakupatikana, Polisi inashindwaje kumpata/kumjua mmiliki siku zote hizo?)...lkn mpaka sasa hakuna hata mtuhumiwa mmoja alikemmatwa, japo kwa mahojiano tu.

      Pamoja na matukio mengi tu kama haya yanaondelea mitaani kwetu, ambayo yanafichwa..JE NANI ATAFUATA? JE NANI YUPO SALAMA TZ, KAMA HATA VIONGOZ WANATAKA KUWAWA NA POLISI WANAANGALIA?

      JE TUTAENDELEA KUISH HIVI, KTK NCHI YETU MPAKA LINI?

      HAKIKA, HAUTAWEZA..NI VIGUMU KUVUMILA.KARIBU UVUMILIVU UTATUSHANDA... BORA KINUKE TUJUE TU!
      Hii ni dalili ya utawala unaoanguka.

    6. #64
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,255
      Rep Power : 8416
      Likes Received
      1133
      Likes Given
      390

      Default Re: Amani hakuna tena,ni vitisho,vipigo,mateso,sumu,mau aji.. Bora kinuke tu!

      Wamekaa sana madarakani wamejisahau wanadhani ni utwawala wa kifalme!

    7. #65
      Dotworld's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 2,557
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      1407
      Likes Given
      1822

      Default Re: Amani hakuna tena,ni vitisho,vipigo,mateso,sumu,mau aji.. Bora kinuke tu!

      Quote By Mwangaza
      Wadau,


      Pamoja na matukio mengi tu kama haya yanaondelea mitaani kwetu, ambayo yanafichwa..JE NANI ATAFUATA? JE NANI YUPO SALAMA TZ, KAMA HATA VIONGOZ WANATAKA KUWAWA NA POLISI WANAANGALIA?

      JE TUTAENDELEA KUISH HIVI, KTK NCHI YETU MPAKA LINI?

      HAKIKA, HAUTAWEZA..NI VIGUMU KUVUMILA.KARIBU UVUMILIVU UTATUSHANDA... BORA KINUKE TUJUE TU!
      Ndugu unajua unachokiomba kitokee? ... Bora kinuke?

      ... alafu wewe utakuwa wapi? - ndugu zako?! - wazazi wako? - watoto wako?!

      Ingawa hali iliyopo siyo nzuri ... lakini hiyo kitu usiombe itokee hata kidogo kama unaipenda nchi yako.

      Elimisha watanzania wengi waliokaribu na wewe juu ya umuhimu wa mabadiliko ili kufikia mwaka 2015 wawe wengi wa kuweza kuleta mabadiliko

      Bado kuna nafasi ya kufanya mabadiliko kupitia sanduku la kura ... Na kulinda kura!

      .
      Dduhsi itnuhn kose kiri itda ---> 뜻이 있는 곳에 길이 있다

    8. Miaka 50

    9. #66
      Kasimba G's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 852
      Rep Power : 592
      Likes Received
      252
      Likes Given
      265

      Default Chagua CCM! Ukitaka amani na utulivu!

      Ukitaka amani chagua CCM! Ni slogan ambayo imezoeleka, haswa kati ya jamii isiyo elimika, huko ndanindani vijijini, Ndio chama pekee kinachoweza kulinda amani! Ukichagua vyama vingine vitaleta vita tuu, oneni Rwanda na Burundi! chagua CCM kwa kulida amani yako na familia yako!

      Hoja hiyo ni ya msingi kabisa kwenye chaguzi nyingi hapa nchini kwetu, sasa hoja ni amani na CCM, je mambo mengine kama, udhibiti wa wizi wa mali za uma,utowaji wa huduma muhimu kama dawa hospitalini, ujenzi wa barabara, n.k. lakini hizi naona siyo ya msingi, amani ndiyo ya msingi kwa ma-irritate, unajua ni kwa nini? Watu wa rular wanaogopa polisi kuliko kitu chochote.

      Hivi vyama vingine vimekuwa vikishindwa,swali ni je vimeishawahi leta vita au dalili ya vita viliposhindwa? Je CCM wakishindwa kuna dalili ya uvunjifu wa amani? Na ni nani ambaye ataanzisha hizo fujo? Hebu tujaribu kutafakari kwa kina kama ni uvunjifu wa amani ya nchi hii ni nani ambaye ana dalili kuwa hapo baadaye atasababisha uvunjifu wa amani yetu.

      Nawasilisha

    10. #67
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,873
      Rep Power : 2289
      Likes Received
      1140
      Likes Given
      1479

      Default Re: Chagua CCM! Ukitaka amani na utulivu!

      'Amani na Utulivu' ni bidhaa ambazo ni miliki ya sisi Umma wa Tanzania na wala si maaali ya chama chochote cha siasa nchini wala hawana ubia katika hilo

      Ndio, nasema hiviiiii,
      'Amani na Utulivu' TUNAO SISI WENYEWE wananchi walipakodi inayohudumia majeshi yote nchini hivyo UTAPELI WA CCM na hii kauli potofu ukome mara moja.

    11. #68
      ungonella wa ukweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Posts : 2,270
      Rep Power : 815
      Likes Received
      313
      Likes Given
      0

      Default Re: Chagua CCM! Ukitaka amani na utulivu!

      Hiyo ndo janja yao, ndo maana eneo wanaloshinda wapinzani ccm huanza vurugu na kusahau amani wanayohubiri, mfano kukata mapanga wabunge wa mwanza! Wao amani sio kulinda rasilimali za taifa bali kupeleka twiga, tembo na faru ulaya na uarabuni. Ccm ni janga kwa sasa kwa taifa letu.
      Uwezo Tunao and Kasimba G like this.

    12. #69
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,533
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Chagua CCM! Ukitaka amani na utulivu!

      amani na utulivu??!! hao mapolisi wanaoua raia bila hatia...amani na utulivu??!! unapobambikiwa kesi mahakamani na unafungwa bila kosa lolote...amani na utulivu??!! aisee msinipandishe mizuka yangu ya kule kijijini kwetu...tuna amani maybe..utulivu mmh at the moment yes for how long i dont know...

    13. #70
      Shardcole's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Kasimba G
      Ukitaka amani chagua CCM! Ni slogan ambayo imezoeleka, haswa kati ya jamii isiyo elimika, huko ndanindani vijijini, Ndio chama pekee kinachoweza kulinda amani! Ukichagua vyama vingine vitaleta vita tuu, oneni Rwanda na Burundi! chagua CCM kwa kulida amani yako na familia yako!

      Hoja hiyo ni ya msingi kabisa kwenye chaguzi nyingi hapa nchini kwetu, sasa hoja ni amani na CCM, je mambo mengine kama, udhibiti wa wizi wa mali za uma,utowaji wa huduma muhimu kama dawa hospitalini, ujenzi wa barabara, n.k. lakini hizi naona siyo ya msingi, amani ndiyo ya msingi kwa ma-irritate, unajua ni kwa nini? Watu wa rular wanaogopa polisi kuliko kitu chochote.

      Hivi vyama vingine vimekuwa vikishindwa,swali ni je vimeishawahi leta vita au dalili ya vita viliposhindwa? Je CCM wakishindwa kuna dalili ya uvunjifu wa amani? Na ni nani ambaye ataanzisha hizo fujo? Hebu tujaribu kutafakari kwa kina kama ni uvunjifu wa amani ya nchi hii ni nani ambaye ana dalili kuwa hapo baadaye atasababisha uvunjifu wa amani yetu.

      Nawasilisha
      mkuu ulianza vizuri sna mwanzo but umemalizia vibaya thread yako, kuikosoa ccm ambacho ni chama kimekulea na mpaka leo hii unaijua JF ni makosa makubwa.

    14. #71
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,618
      Rep Power : 2891
      Likes Received
      3837
      Likes Given
      12224

      Default Re: Chagua CCM! Ukitaka amani na utulivu!

      Amani na utulivu huku mnatuibia usiku na mchana? #@@@maako!
      Uwezo Tunao likes this.

    15. #72
      Kagalala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Posts : 1,233
      Rep Power : 680
      Likes Received
      366
      Likes Given
      145

      Default Re: Chagua CCM! Ukitaka amani na utulivu!

      Kwa maana nyingine CCM wanasema "USIPOTUCHAGUA SISI HAKUTAKUWA NA AMANI" meaning CCM wataanzisha vita.
      Our biggest Enemy is not to try what others have done.

    16. #73
      Bukutonaga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Posts : 206
      Rep Power : 464
      Likes Received
      41
      Likes Given
      1

      Default Re: Chagua CCM! Ukitaka amani na utulivu!

      Quote By Kasimba G
      Ukitaka amani chagua CCM! Ni slogan ambayo imezoeleka, haswa kati ya jamii isiyo elimika, huko ndanindani vijijini, Ndio chama pekee kinachoweza kulinda amani! Ukichagua vyama vingine vitaleta vita tuu, oneni Rwanda na Burundi! chagua CCM kwa kulida amani yako na familia yako!

      Hoja hiyo ni ya msingi kabisa kwenye chaguzi nyingi hapa nchini kwetu, sasa hoja ni amani na CCM, je mambo mengine kama, udhibiti wa wizi wa mali za uma,utowaji wa huduma muhimu kama dawa hospitalini, ujenzi wa barabara, n.k. lakini hizi naona siyo ya msingi, amani ndiyo ya msingi kwa ma-irritate, unajua ni kwa nini? Watu wa rular wanaogopa polisi kuliko kitu chochote.

      Hivi vyama vingine vimekuwa vikishindwa,swali ni je vimeishawahi leta vita au dalili ya vita viliposhindwa? Je CCM wakishindwa kuna dalili ya uvunjifu wa amani? Na ni nani ambaye ataanzisha hizo fujo? Hebu tujaribu kutafakari kwa kina kama ni uvunjifu wa amani ya nchi hii ni nani ambaye ana dalili kuwa hapo baadaye atasababisha uvunjifu wa amani yetu.

      Nawasilisha
      Mimi sitaki nichague mwizi kwa sababu ya kudanganywa eti amani wakati siku hizi wanataka hadi kutoa roho za watoto wetu,Mimi naona ndo wanaohatarisha amani ya watanzania.

      Hiki chama kimeoza kimekuwa cha kijasusi!

    17. #74
      Mlevi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th November 2011
      Posts : 210
      Rep Power : 421
      Likes Received
      49
      Likes Given
      93

      Default Re: Chagua CCM! Ukitaka amani na utulivu!

      CCM wana sera laini kama biskuti

    18. #75
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,794
      Rep Power : 2148
      Likes Received
      1221
      Likes Given
      544

      Default Re: Chagua CCM! Ukitaka amani na utulivu!

      CCM KUFA hata leo tutafanya sherehe kubwa haijawahi tokea

    19. #76
      Nyetk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 1,015
      Rep Power : 680
      Likes Received
      566
      Likes Given
      579

      Default

      Quote By Pepe lurve
      mkuu ulianza vizuri sna mwanzo but umemalizia vibaya thread yako, kuikosoa ccm ambacho ni chama kimekulea na mpaka leo hii unaijua JF ni makosa makubwa.


      SHUT UP! Idiot!

    20. #77
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,254
      Rep Power : 1357
      Likes Received
      947
      Likes Given
      182

      Default Re: Chagua CCM! Ukitaka amani na utulivu!

      Mbona hueleweki upo unapinga au unasapoti!?

    21. #78
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,159
      Rep Power : 24268
      Likes Received
      4671
      Likes Given
      2295

      Default Re: Chagua CCM! Ukitaka amani na utulivu!

      Amani maana yake ni Maendeleo.
      Kama hakuna maendeleo hakuna amani. Wananchi wanatakiwa kuandaliwa kujua nini maana ya amani
      Uwezo Tunao likes this.

    22. #79
      Nyangwa's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 358
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Chagua CCM! Ukitaka amani na utulivu!

      kweli kabisa kaka mana CCM inakosa uwajibikaji na utekelezaji wa katiba ya chama. CCM imejikita zaidi kwenye kutetea ufisadi na kuwatetea wanajikita ufisadi na si matatizo ya watanzania mana sasa ni ali mpya, nguvu mpya na kasi mpya kwenye kulinda na kutetea mafisadi

    23. #80
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,245
      Rep Power : 12574
      Likes Received
      5796
      Likes Given
      758

      Default Re: Chagua CCM! Ukitaka amani na utulivu!

      Amani na utulivu ni hulka ya Mtanzania toka enzi za wakoloni.

    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 4
      Last Post: 19th December 2011, 07:42
    2. Replies: 4
      Last Post: 23rd November 2011, 13:32
    3. Replies: 1
      Last Post: 13th November 2011, 09:26
    4. Mchango wa vyombo vya habari na wanasiasa katika uvunjifu wa amani
      By luckman in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 3rd October 2011, 08:56
    5. Replies: 4
      Last Post: 2nd October 2011, 13:20

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...