Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lowassa kalonga saa mbili leo hii TBC1 Habari

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 75
    1. #1
      Laurence's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Location : ULIMWENGUNI
      Posts : 2,043
      Rep Power : 1395
      Likes Received
      175
      Likes Given
      41

      Default Lowassa kalonga saa mbili leo hii TBC1 Habari

      Katika hali ya kushangaza EL amesema amezua mjadala juu ya serikali kushindwa kuchukua maamuzi magumu kwa hyo wananchi wataamua juu ya kauli yake.
      Dickson Mpemba likes this.

    2. Miaka 50

    3. JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Unga LTD
      Posts : 562
      style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="https://www.jamiiforums.com/customavatars/avatar13178_35.gif" alt="Teamo's Avatar" />
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Location : KIJIWE SAMRI-BOM BOM
      Posts : 12,162
      Rep Power : 11898
      Likes Received
      805
      Likes Given
      631

      Default Re: Lowasa kalonga saa mbili hii Tbc1 Habari

      in lowassa i trust

    4. Default Re: Lowasa kalonga saa mbili hii Tbc1 Habari

      Tena kasema kila mtu atakuwa na wakati mzuri(yeye lowassa na serikali ya jk) na hapo ndipo wananchi watatambua nani yupo sahihi kuhusu huo mjadala

    5. #4
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,876
      Rep Power : 1692
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default Re: Lowasa kalonga saa mbili hii Tbc1 Habari

      Gamba limegina!
      kwi kwi kwi!
      Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,905
      Rep Power : 1478
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      128

    Reply With Quote


  • #5
    eedoh05's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 20th April 2011
    Posts : 490
    Rep Power : 890
    Likes Received
    146
    Likes Given
    182

    Default Re: Lowasa kalonga saa mbili hii Tbc1 Habari

    Yamkini,sijui, labda wale wanaomwita yeye gamba ndio waliomagamba-kwa nini hawaamui maamuzi mazito?

  • RukaaJuu Final

  • #6
    fazili's Avatar
    Senior Member Array
    Join Date : 10th June 2011
    Posts : 218
    Rep Power : 448
    Likes Received
    39
    Likes Given
    2

    Default Re: Lowasa kalonga saa mbili hii Tbc1 Habari

    anataka kujisafisha kwa kutumia mkojo wake
    Manumbu, Makene and Mamndenyi like this.

  • #7
    Laurence's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 11th June 2011
    Location : ULIMWENGUNI
    Posts : 2,043
    Rep Power : 1395
    Likes Received
    175
    Likes Given
    41

    Default

    Quote By eedoh05
    Yamkini,sijui, labda wale wanaomwita yeye gamba ndio waliomagamba-kwa nini hawaamui maamuzi mazito?
    Labda kumtia yeye adabu mana anaona wanamtizama wakati yeye kavulunda serikalini
    Manumbu likes this.

  • #8
    BONGOLALA's Avatar
    JF Senior Expert Member style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="images/icons/icon1.png" alt="Default" /> Re: Lowasa kalonga saa mbili hii Tbc1 Habari
    nchi hii bila udikteta kama wa lowasa,magufuli slaa nchi haiwezi endelea

  • #9
    Jason bourne's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 3rd July 2011
    Posts : 1,385
    Rep Power : 1387
    Likes Received
    610
    Likes Given
    19

    Default Re: Lowasa kalonga saa mbili hii Tbc1 Habari

    Lowasa anakaribia kunyakua kombe dhidi ya mpinzani wake jmk!

  • #10
    matawi's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 29th March 2010
    Posts : 1,466
    Rep Power : 758
    Likes Received
    125
    Likes Given
    67

    Default

    Quote By kiwalanikwagude
    Kama kawaida yao hawa wapuuzi, wakaja na kiroja kuwa Lowassa amejiuzulu kwa kashfa wenye upeo mkubwa hatukupata tabu kupangua hoja yao hii ya kipuuzi, nasi tukawahoji mbona hata Mwinyi alijiuzulu na baadaye akaja kuwa rais? hawakuwa na la kusema wakauma uma maneno kuwa Lowassa si chochote sasa just week iliyopita mwandishi maarufu Mayage kupitia gazeti la Mapinduzi Raia Mwema amesema waziwazi kuwa Lowassa yuko Km 200 mbele ya hao wenzake wanaoutaka urais kwa tiketi ya CCM! Naona sasa mjadala umefungwa rasmi baada ya Lowassa kuitikisa nchi na kuwahakikishia wanasiasa uchwara kuwa yeye ni jabali lililojihakikishia tiketi ya kuingia ikulu mwaka 2015. Naam! Huyu ndiye Lowassa rais wa 5 wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!..Anayebisha na abishe tu ila let the truth be said Lowassa ni jabali linalotinga Ikulu ya Magogoni mwaka 2015 kwa ushindi wa kimbunga.
    Mchukue mkanywe naye chai uraisi n,go
    Dickson Mpemba likes this.

  • Uda
    #11
    Uda's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 27th November 2010
    Posts : 435
    Rep Power : 1819
    Likes Received
    215
    Likes Given
    14

    Default Re: Lowassa kalonga saa mbili hii TBC1 Habari

    Sitta&mwakyembe wamesikia?

  • #12
    Kicheruka's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 2nd February 2009
    Posts : 774
    Rep Power : 679
    Likes Received
    72
    Likes Given
    0

    Default Re: Edward Ngoyai Lowassa Jabali Lililojihakiukishia Tiketi Ya Kuingia Ikulu 2015

    To hell with Lowasa
    Mamndenyi likes this.

  • #13
    MAGAMBA MATATU's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 2nd July 2011
    Posts : 391
    Rep Power : 487
    Likes Received
    202
    Likes Given
    1

    Default Hawa ndo vigogo wa CCM hakuna wa kuwang'oa hata siku 1

    Edward Ngoyayi Lowassa (amezaliwa 26 Agosti, 1953) ni mwanasiasa nchini Tanzania kupitia chama cha CCM. Alichaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa kumi wa nchi hii tarehe 30 Desemba 2005 na akalazimishwa kujiuzulu tarehe 7 Februari, 2008 kwa kutajwa katika kamati ya bunge ya uchunguzi wa ufisadi katika utoaji wa tenda kwa kampuni ya umeme ya Richmond kama mhusika mkuu.

    Lowassa ni mwenyeji na mbunge wa Monduli katika Mkoa wa Arusha. Alisoma shahada ya kwanza katika mada ya tamthilia kwenye Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, halafu shahada ya pili katika sayansi kwenye Chuo Kikuu cha Bath (Uingereza).

    Lowassa alishika vyeo mbalimbali katika serikali ya Tanzania kama vile:


    • Waziri Mkuu (2005 - 2008)
    • Waziri wa Maji na Mifugo (2000 - 2005)
    • Waziri wa ardhi na makazi (1993 - 1995)
    • Waziri mdogo wa haki na mambo ya bunge katika ofisi ya Makamu wa Rais (1990-1993)
    • Mkurugenzi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano (1989 - 1990)
    • Waziri mdogo wa mazingira na mapambano dhii ya umasini katika ofisi ya Makamu wa Rais (1988-2000)
    • Mbunge wa Monduli tangu 1990








    Andrew John Chenge is a Tanzanian politician and a Member of Parliament in the National Assembly of Tanzania through CCM. After serving as Attorney-General, he was appointed as Minister of East African Affairs in the Cabinet named on January 4, 2006.[1] He was then appointed as Minister of Infrastructure on October 15, 2006,[2] retaining that post in the Cabinet named on February 12, 2008.[3] He resigned on 20 April 2008 after it was earlier revealed by UK's Serious Fraud Office that he holds US$ 1million (over 1 billion Tanzania shillings) in an overseas offshore account as kickbacks from a controversial military radar deal between UK's BAE Systems and Tanzania government which he partly oversaw while serving as Attorney-General. UK's Serious Fraud Office has however confirmed that Andrew Chenge is innocent by verifying that the cash was not illegally obtained and have closed the file for investigation









    Rostam Aziz ni mwanasiasa mashuhuli nchini Tanzania kupitia chama cha CCM, ni mbunge wa Igunga mkoani Tabora,
    ni mwanasiasa anaesadikika kuwa na pesa za kutosha sana nje na ndani ya chama CCM.
    Ni nguzo kubwa sana katika maendeleo ya chama cha CCM kwa kuuchukua utawala wa nchi kwa kutumia kiasi cha pesa alichonacho.
    Alikuwa mjumbe wa halmashauli kuu ya CCM ambayo inamaamzi makubwa sana ndani ya CCM na kwa kumshauri rais aliyetokea chama cha CCM kwa maendeleo ya nchi.
    Anamiliki kampuni kubwa sana hapa nchini ikiwemo kampuni ya simu ya VODACOM,KASPIANI inayohusika na huduma za migodini kama uchimbaji ambapo ukienda mgodi wa nzega utaikuta kampuni yake, ukienda mgodi wa Buzwagi utaikuta,ukienda mgodi wa Bulyanhulu utaikuta. Ana kampuni ya RHINO iliyoko migodini pia ana makampuni mengi ndani na nje ya nchi ikiwemo Richmond na Dowans japo watz hawajui undani wake.
    Ni mbunge mwenye nguvu sana ndani ya chama cha CCM na bungeni pia, ni mbunge mwenye wafuasi wengi ndani ya chama cha CCM.
    Ni tegemeo kubwa sana kwa chama cha CCM wakati wote wa uchaguzi wowote ule ili washinde.







    HAKUNA MTU MWENYE UWEZO WA KUWANG'OA NDANI YA CCM

  • #14
    Anko Sam's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 30th June 2010
    Posts : 1,947
    Rep Power : 841
    Likes Received
    304
    Likes Given
    12

    Default Re: Hawa ndo vigogo wa CCM hakuna wa kuwang'oa hata siku 1

    Umemsahau mkuu wa kaya kama kiunganishi chao!
    Mamndenyi likes this.
    IF NOT US, WHO? IF NOT NOW, WHEN?

  • #15
    JF-BAN1's Avatar
    Banned Array
    Join Date : 13th April 2011
    Posts : 10,447
    Rep Power : 0
    Likes Received
    3753
    Likes Given
    2889

    Default Re: Hawa ndo vigogo wa CCM hakuna wa kuwang'oa hata siku 1

    Kwanini wang'olewe CCM?

  • #16
    Galileo Galilei's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 27th February 2011
    Posts : 6,278
    Rep Power : 1607
    Likes Received
    559
    Likes Given
    3

    Default Re: Hawa ndo vigogo wa CCM hakuna wa kuwang'oa hata siku 1

    Nape kaishasema hajawahi kusema kuwa katoa siku 90 kwa mapacha watatu, sasa unategema nani anaweza kusema waondoke CCM? Hamna

  • #17
    Jason bourne's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 3rd July 2011
    Posts : 1,385
    Rep Power : 1387
    Likes Received
    610
    Likes Given
    19

    Default Re: Hawa ndo vigogo wa CCM hakuna wa kuwang'oa hata siku 1

    Sipingi chocho juu ya hawa vigogo!

  • #18
    MAGAMBA MATATU's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 2nd July 2011
    Posts : 391
    Rep Power : 487
    Likes Received
    202
    Likes Given
    1

    Default Re: Hawa ndo vigogo wa CCM hakuna wa kuwang'oa hata siku 1

    Guuuud guys ... who can chase them out of CCM as magamba???? no one, may be they decide to take the
    action of resign themselves but nor Kikwete neither NNAPE.......

  • #19
    MAGAMBA MATATU's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 2nd July 2011
    Posts : 391
    Rep Power : 487
    Likes Received
    202
    Likes Given
    1

    Default Re: Hawa ndo vigogo wa CCM hakuna wa kuwang'oa hata siku 1

    Quote By anko sam
    umemsahau mkuu wa kaya kama kiunganishi chao!
    no jk neither pinda, hawa ndo vigogo ndoo maana leo ni siku ya 91

  • #20
    MAGAMBA MATATU's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 2nd July 2011
    Posts : 391
    Rep Power : 487
    Likes Received
    202
    Likes Given
    1

    Default Re: Hawa ndo vigogo wa CCM hakuna wa kuwang'oa hata siku 1

    Quote By FaizaFoxy
    Kwanini wang'olewe CCM?
    Kumbuka kikao cha tarehe 10 april 2011 kina majibu kwanini wang'olewe,,,

  • Page 1 of 4 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Habari enzi hizo na tbc1
      By Mpui Lyazumbi in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 9
      Last Post: 3rd June 2011, 11:19
    2. Usiku wa Habari TBC1 Kwishney
      By KakaJambazi in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 14
      Last Post: 3rd August 2010, 15:12
    3. Usiku wa Habari TBC1 ni zaidi ya habari
      By ZionTZ in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 23
      Last Post: 31st December 2009, 16:30
    4. Malecela na Lowassa - Njia mbili tofauti?
      By Mzee Mwanakijiji in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 23
      Last Post: 2nd March 2008, 03:33

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...