Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

    Report Post
    Results 1 to 19 of 19
    1. #1
      Marunde's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th June 2008
      Posts : 59
      Rep Power : 569
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

      Wana jf taarifa nilizozipata kutoka Urusi ni,
      Wanafunzi watanzania waliohitimu shahada zao mwaka huu(june 2011) katika chuo kikuu cha urafiki(Lumumba)nchini Urusi chini ya udhamini wa serikali ya tanzania kupitia bodi ya mikopo ya elimu ya juu,wamenyimwa kupewa vyeti vyao kutokana na serikali ya tanzania kushindwakulipa ada zao za masomo,mpaka sasa wanadaiwa jumla zaidi ya dola za kimarekani $12000.
      Baada ya juhudi kadhaa kufanywa ktk kufuatilia fedha hizo serikalini,walikuwa wakipigwa chenga na kupewa majibu yasiyo ridhisha kabisa.
      Wanafunzi wanataka kuondoka na kurudi Tanzania na kuviacha vyeti vyao vikiwa vimeshikiliwa na chuo.kazi kwelikweli!.
      mwenye kisu kikali ndio anakula nyama

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      SHERRIF ARPAIO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2010
      Location : The Bronx
      Posts : 2,864
      Rep Power : 1038
      Likes Received
      1065
      Likes Given
      386

      Default Re: Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

      Quote By Marunde
      Wana jf taarifa nilizozipata kutoka Urusi ni,
      Wanafunzi watanzania waliohitimu shahada zao mwaka huu(june 2011) katika chuo kikuu cha urafiki(Lumumba)nchini Urusi chini ya udhamini wa serikali ya tanzania kupitia bodi ya mikopo ya elimu ya juu,wamenyimwa kupewa vyeti vyao kutokana na serikali ya tanzania kushindwakulipa ada zao za masomo,mpaka sasa wanadaiwa jumla zaidi ya dola za kimarekani $12000.
      Baada ya juhudi kadhaa kufanywa ktk kufuatilia fedha hizo serikalini,walikuwa wakipigwa chenga na kupewa majibu yasiyo ridhisha kabisa.
      Wanafunzi wanataka kuondoka na kurudi Tanzania na kuviacha vyeti vyao vikiwa vimeshikiliwa na chuo.kazi kwelikweli!.
      Lile tawi la CCM Moscow vipi halijasaidia kuifikisha hoja hii kwa mtoto wa mkulima?
      -k- likes this.
      He who knows, and knows that he knows, is a wise man, emulate him.
      He who knows not, and knows not that he knows not, is a fool, shun him.

    4. #3
      Arafat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2009
      Posts : 2,372
      Rep Power : 961
      Likes Received
      583
      Likes Given
      576

      Default Re: Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

      Watoto wa Wakulima au watoto wa Watawala wetu?
      Siku tutakapoacha kuwa mashabiki wa wanasiasa ndio siku hatua ya kwanza ya kujikomboa itakapo anza

    5. #4
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,620
      Rep Power : 6248
      Likes Received
      522
      Likes Given
      418

      Default Re: Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

      Mwanangu Muna nae sijui atakuwa kanyimwa dah! bora angekomaa UD tu

    6. #5
      Justine Kilasara's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th September 2009
      Posts : 13
      Rep Power : 494
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

      Hao ni wale watoto wenye uhusiano wa karibu na watawala, waliokwenda huko kifisadi, Bongo kuna vyuo kibao vinavyotambulika kimataifa, kwa nini hawakusoma huko? Vinginevyo wangechukua private sponsership waachane na hivi vimikopo vilivyotengwa kwa ajili ya wasio na uwezo.

    7. Miaka 50

    8. #6
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,098
      Rep Power : 5080
      Likes Received
      2759
      Likes Given
      231

      Default Re: Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

      urusi kila mtu anaenda kinachohitajika tu ni one au two yako unachukua mkopo heslb unapiga shule hata watoto wamasikini wapo huko swala hapa ni hawa jamaa wa heslb ndo (neno la sugu dhidi ya clouds fm) ndo wanaoharibu mipango ya wanafunzi wakitz..

    9. #7
      Dillon's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 17th October 2007
      Posts : 9
      Rep Power : 593
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

      Si kweli watoto wa vigogo wanasoma urusi.....mimi ni mmoja wa watoto masikini niliyesoma huko tena kwa private sponsorship....watoto wa matajiri wanapelekwa Marekani na Uingereza.......issue hapa ni serikali haijapeleka hela....i feel bad najua jamii watakuwa wanateseka sana
      -k- likes this.

    10. #8
      maandamano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,052
      Rep Power : 626
      Likes Received
      354
      Likes Given
      915

      Default Re: Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

      ndio maana nilichomoa kwenda huko nikakomaa na vyuo vya bongo,watoto wanawapa sponsorship za ulaya magharibi na america,sisi choka mbaya wanaishia kutupa za urusi,algeria na india,siku hizi hata za china hupati,si unajua uchumi wa china ulivyo juu
      Xuma likes this.
      Women are not allowed to attend school. You can be jailed for owning a television. A man can be jailed in Afghanistan if his beard is not long enough.George W.Bush,2001

    11. #9
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1525
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default Re: Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

      Hawa jamaa nilishaona malalamiko yao ya allowance za kujikimu za kila mwezi ilikuwa wanapewa kwa mbinde. Nahisi watakuwa wameteseka sana kwa ajili ya watu wachache wasiopenda kuwajibika serikalini. Sijui lini tutabadilika kwenye swala zima la uwajibikaji wa kiuadilifu. Mungu ibariki Tanzania.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    12. EMT
      #10
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 8,867
      Rep Power : 61719
      Likes Received
      7141
      Likes Given
      6417

      Default Re: Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

      Quote By Marunde
      Wana jf taarifa nilizozipata kutoka Urusi ni,
      Wanafunzi watanzania waliohitimu shahada zao mwaka huu(june 2011) katika chuo kikuu cha urafiki(Lumumba)nchini Urusi chini ya udhamini wa serikali ya tanzania kupitia bodi ya mikopo ya elimu ya juu,wamenyimwa kupewa vyeti vyao kutokana na serikali ya tanzania kushindwakulipa ada zao za masomo,mpaka sasa wanadaiwa jumla zaidi ya dola za kimarekani $12000.
      Baada ya juhudi kadhaa kufanywa ktk kufuatilia fedha hizo serikalini,walikuwa wakipigwa chenga na kupewa majibu yasiyo ridhisha kabisa.
      Wanafunzi wanataka kuondoka na kurudi Tanzania na kuviacha vyeti vyao vikiwa vimeshikiliwa na chuo.kazi kwelikweli!.
      Wakirudi na kuviacha vyeti huko, that will be the end of it. Hawatavipata tena, b'se wakirudi bongo watasambaratika kiasi cha kutoweza kufuatilia malipo kwenye vyombo husika.
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    13. #11
      pmwasyoke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,449
      Rep Power : 969
      Likes Received
      319
      Likes Given
      419

      Default Re: Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

      Quote By Dillon
      Si kweli watoto wa vigogo wanasoma urusi.....mimi ni mmoja wa watoto masikini niliyesoma huko tena kwa private sponsorship....watoto wa matajiri wanapelekwa Marekani na Uingereza.......issue hapa ni serikali haijapeleka hela....i feel bad najua jamii watakuwa wanateseka sana
      Hapo kuna mgongano.

    14. #12
      SHERRIF ARPAIO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2010
      Location : The Bronx
      Posts : 2,864
      Rep Power : 1038
      Likes Received
      1065
      Likes Given
      386

      Default Re: Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

      Poleni sana
      He who knows, and knows that he knows, is a wise man, emulate him.
      He who knows not, and knows not that he knows not, is a fool, shun him.

    15. #13
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,263
      Rep Power : 1455
      Likes Received
      693
      Likes Given
      696

      Default

      Quote By SHERRIF ARPAIO
      Lile tawi la CCM Moscow vipi halijasaidia kuifikisha hoja hii kwa mtoto wa mkulima?
      Magamba hawana swaga, maneno mengi na wizi wa hela zetu tu. Uongozi wa chuo umefanya poa! Selikari ilipe hizo pesa!

    16. #14
      SHERRIF ARPAIO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2010
      Location : The Bronx
      Posts : 2,864
      Rep Power : 1038
      Likes Received
      1065
      Likes Given
      386

      Default Re: Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

      Quote By Gagurito
      Magamba hawana swaga, maneno mengi na wizi wa hela zetu tu. Uongozi wa chuo umefanya poa! Selikari ilipe hizo pesa!
      Sasa kuna haja gani ya kuwa na tawi la chama chochote hapo Moscow kama halina msaada wowote japo hata kuipush serikali iwasaidie hawa jamaa? Ama ndio matawi ya kujipendekeza?
      He who knows, and knows that he knows, is a wise man, emulate him.
      He who knows not, and knows not that he knows not, is a fool, shun him.

    17. #15
      Johnson Ngallya's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 28th June 2011
      Posts : 8
      Rep Power : 400
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Ni kwel kabisaa heslb haitimiz ipasavyo mahitaj ya hao wanafunz wasomao nje.lakn ushauri wangu kwa wengine,kwa facult zinazopatkana hapa bongo n bora mtu ukakomaa hapahapa na si kujivunia kutoka nje baadaye unashindw kumudu maisha ya huko.Kwa private sponsorshp ndo bora zaid kusomea nje..!!

    18. #16
      fredmlay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2008
      Posts : 1,512
      Rep Power : 866
      Likes Received
      265
      Likes Given
      930

      Default

      Quote By Justine Kilasara
      Hao ni wale watoto wenye uhusiano wa karibu na watawala, waliokwenda huko kifisadi, Bongo kuna vyuo kibao vinavyotambulika kimataifa, kwa nini hawakusoma huko? Vinginevyo wangechukua private sponsership waachane na hivi vimikopo vilivyotengwa kwa ajili ya wasio na uwezo.
      Sio kweli, huko wanasoma wenye uwezo kichwani na sio faranga, kama ndivyo kwetu tusingeweza na kwa taarifa yako watoto wa vigogo wanasoma marekani, australia na kwingineko

    19. #17
      Laurence's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Location : ULIMWENGUNI
      Posts : 2,042
      Rep Power : 1393
      Likes Received
      175
      Likes Given
      39

      Default Re: Wanafunzi watanzania wanyimwa vyeti vyao-urusi

      Poleni wakuu hii ndio gvt ya kitanzania lakn nawashauri wajaribu kuwasiliana na Barozi wa Tz aliyeko huko kama heslb wanazingua ili awa presentie swala lenu huku kwa hawa wazee walioko mbali na wananchi wao,polen sana na mrudi salama tuje tuendeleze mapambano dhidi ya hawa Magamba

    20. #18
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,136
      Rep Power : 24894
      Likes Received
      4158
      Likes Given
      584

      Default

      Quote By Justine Kilasara
      Hao ni wale watoto wenye uhusiano wa karibu na watawala, waliokwenda huko kifisadi, Bongo kuna vyuo kibao vinavyotambulika kimataifa, kwa nini hawakusoma huko? Vinginevyo wangechukua private sponsership waachane na hivi vimikopo vilivyotengwa kwa ajili ya wasio na uwezo.
      we nawe ushakuwa biased. Kwani kwenda kusoma nje hadi uwe mtoto wa fisadi.!Kama wamechukua mikopo inawezekana na wenyewe ni miongoni mwa hao wasiokuwa na uwezo waliotengewa fungu.

    21. #19
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,136
      Rep Power : 24894
      Likes Received
      4158
      Likes Given
      584

      Default

      Quote By Gagurito
      Magamba hawana swaga, maneno mengi na wizi wa hela zetu tu. Uongozi wa chuo umefanya poa! Selikari ilipe hizo pesa!
      hiyo poa iliyofanywa na viongozi inaumiza watu wetu.

    22. Study Abroad

    Similar Topics

    1. Serikali yagoma kuongeza posho za wanafunzi Urusi
      By Mtanzania in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 10
      Last Post: 6th October 2010, 18:51
    2. Wanafunzi Chuo cha Mahakama watiwa mbaroni na vyeti feki
      By kilimasera in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 10th February 2010, 09:25
    3. Replies: 8
      Last Post: 11th December 2008, 19:34

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...