Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kikwete asema serikali ni ya CCM

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,601
      Rep Power : 15259
      Likes Received
      3727
      Likes Given
      2861

      Default Kikwete asema serikali ni ya CCM

      Kwa upande wake, Rais Kikwete alisema kuwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini wamemchagua Zitto kuwa mbunge wao, lakini pamoja na hilo Zitto hana serikali, bali Serikali ni ya Chama Cha Mapinduzi haina kinyongo kwa yoyote.
      Alisema ndiyo maana licha ya kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, imeamua kujenga barabara hiyo kwa kiwango cha lami kwa lengo la kuwaletea maendeleo wananchi wote bila kinyongo wala ubaguzi.

      IPP Media

      Kwa uelewa wangu serikali ni wananchi ambao wana haki yao na kuchagua viongozi wa kuiongoza. CCM imeunda serikali baada ya kushinda uchaguzi na wala si kwamba serikali ni ya CCM. Na ndani ya serikali kuna wanachama wa vyama mbalimbali vya siasa na watumishi wengine wasio wanachama wa chama cho chote cha siasa.
      Kauli ya Rais Kikwete kusema serikali ni ya CCM anawadanganya wananchi.
      Last edited by Candid Scope; 5th July 2011 at 16:01.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      wasaimon's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 223
      Rep Power : 481
      Likes Received
      45
      Likes Given
      241

      Default Re: Kikwete asema serikali ni ya CCM

      Kweli serikali ni ya wanachi ila chama kinachoshinda ndicho kinapata fulsa ya kuiongoza hiyo serikali. Sasa basi serikali inaongozwa na ccm na wala serikali si mali ya ccm.

    4. #3
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,002
      Rep Power : 2557
      Likes Received
      781
      Likes Given
      28

      Default Re: Kikwete asema serikali ni ya CCM

      Quote By Candid Scope
      Kwa upande wake, Rais Kikwete alisema kuwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini wamemchagua Zitto kuwa mbunge wao, lakini pamoja na hilo Zitto hana serikali, bali Serikali ni ya Chama Cha Mapinduzi haina kinyongo kwa yoyote.
      Alisema ndiyo maana licha ya kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, imeamua kujenga barabara hiyo kwa kiwango cha lami kwa lengo la kuwaletea maendeleo wananchi wote bila kinyongo wala ubaguzi.

      IPP Media

      Kwa uelewa wangu serikali ni wananchi ambao wana haki yao na kuchagua viongozi wa kuiongoza. CCM imeunda serikali baada ya kushinda uchaguzi na wala si kwamba serikali ni ya CCM. Na ndani ya serikali kuna wanachama wa vyama mbalimbali vya siasa na watumishi wengine wasio wanachama wa chama cho chote cha siasa.
      Kauli ya Rais Kikwete kusema serikali ni ya CCM anawadanganya wananchi.
      Hizo ndiyo siasa anazozijua Rais wetu .Na si yeye pekee bali ma CCM yote yanawaza hivi hivi .Kuwaeleza vinginevyo utaiwa mhaini .Kama unabisha ongeza sauti usikie

    5. #4
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,678
      Rep Power : 22518
      Likes Received
      6327
      Likes Given
      2831

      Default Re: Kikwete asema serikali ni ya CCM

      Baada ya kufungua barabara alikosa cha kuongea, ikabidi aanze mambo ya uswazi!
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    6. #5
      Kanda ya Ziwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 46
      Rep Power : 419
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Kikwete asema serikali ni ya CCM

      acha waendelee kujifariji kwani kufunmba na kufumbua watakuwa hawana la kujitetea. Yangu macho na masikio ndo hayo!!

    7. Study Abroad

    8. Zed
      #6
      Zed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th March 2009
      Posts : 351
      Rep Power : 591
      Likes Received
      107
      Likes Given
      80

      Default Re: Kikwete asema serikali ni ya CCM

      Kikwete usisahau fedha zilizotumika si ada ya wana-CCM aka Magamba bali ni kodi ya watanzania wakiwamo waliomchagua Zitto Kabwe. Siku nyingine ukifungua barabara au mradi wowote uwashukuru wananchi kwa kulipa kodi unayowezesha ujenzi wa miradi hiyo. Si ilani ya CCM bali ni kodi za wananchi zimewezesha ujenzi huo! Mtizamo lazima ubadilike, ni haki yao na wala si fadhila ya CCM!
      Mkasika and Candid Scope like this.
      ...so that our politicians do politics instead of thievery and our beloved thieves do thievery, not politics; ... (Jenerali Ulimwengu)

    9. #7
      MONTESQUIEU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 579
      Rep Power : 551
      Likes Received
      27
      Likes Given
      48

      Default Re: Kikwete asema serikali ni ya CCM

      Quote By Candid Scope
      Kwa upande wake, Rais Kikwete alisema kuwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini wamemchagua Zitto kuwa mbunge wao, lakini pamoja na hilo Zitto hana serikali, bali Serikali ni ya Chama Cha Mapinduzi haina kinyongo kwa yoyote.
      Alisema ndiyo maana licha ya kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, imeamua kujenga barabara hiyo kwa kiwango cha lami kwa lengo la kuwaletea maendeleo wananchi wote bila kinyongo wala ubaguzi.

      IPP Media

      Kwa uelewa wangu serikali ni wananchi ambao wana haki yao na kuchagua viongozi wa kuiongoza. CCM imeunda serikali baada ya kushinda uchaguzi na wala si kwamba serikali ni ya CCM. Na ndani ya serikali kuna wanachama wa vyama mbalimbali vya siasa na watumishi wengine wasio wanachama wa chama cho chote cha siasa.
      Kauli ya Rais Kikwete kusema serikali ni ya CCM anawadanganya wananchi.
      Kwa kifupi anaukweli ndani yake kwani nchi inaongozwa na chama kilichotengeneza serikali.
      Therefore ilani ya chama hicho ndiyo inyoongoza serikali.

    10. #8
      MAMENGAZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 717
      Rep Power : 568
      Likes Received
      104
      Likes Given
      88

      Default Re: Kikwete asema serikali ni ya CCM

      baba kwa mipasho huyu!!!!

    11. #9
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,601
      Rep Power : 15259
      Likes Received
      3727
      Likes Given
      2861

      Default Re: Kikwete asema serikali ni ya CCM

      Quote By MONTESQUIEU
      Kwa kifupi anaukweli ndani yake kwani nchi inaongozwa na chama kilichotengeneza serikali.
      Therefore ilani ya chama hicho ndiyo inyoongoza serikali.
      Rubani wa ndege anapoajiriwa kuendesha ndege maana yake anahodhi kabisa ndege ni yake?
      Kama serikali ingekuwa ni mali ya CCM iweje kuwepo na vyombo na idara mbalimbali za kuilinda na kuiongoza ambazo hazina itikadi za kichama kama mahakama na vyombo vya usalama?

      Si kila mara ilani ya uchaguzi ya chama kilichoshika usukani wa kuongoza serikali inatekelezeka, na mara kadhaa tumeshuhudia ilani ya vyama vya upinzani kutekelezeka kama madai ya katiba mpya, suala la posho nk.
      Hayo yanadhihirisha maana ya serikali nini.

      Hizi semina elekezi wanaelekezana nini?
      Zed likes this.

    12. #10
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,601
      Rep Power : 15259
      Likes Received
      3727
      Likes Given
      2861

      Default Re: Kikwete asema serikali ni ya CCM

      Quote By Zed
      Kikwete usisahau fedha zilizotumika si ada ya wana-CCM aka Magamba bali ni kodi ya watanzania wakiwamo waliomchagua Zitto Kabwe. Siku nyingine ukifungua barabara au mradi wowote uwashukuru wananchi kwa kulipa kodi unayowezesha ujenzi wa miradi hiyo. Si ilani ya CCM bali ni kodi za wananchi zimewezesha ujenzi huo! Mtizamo lazima ubadilike, ni haki yao na wala si fadhila ya CCM!
      Wanachama wa ccm wanakawaida ya kuhodhi kila kitu na kuona wanapowajibika kwa wananchi ni hisani kwa wananchi. Tunahitaji Chadema waongeze kasi kuelimisha umma wajue majukumu ya serikali kwa wnanchi.
      Zed likes this.

    13. #11
      MANI's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Location : CHINI YA MBUYU
      Posts : 1,904
      Rep Power : 950
      Likes Received
      564
      Likes Given
      627

      Default Re: Kikwete asema serikali ni ya CCM

      Quote By Zed
      Kikwete usisahau fedha zilizotumika si ada ya wana-CCM aka Magamba bali ni kodi ya watanzania wakiwamo waliomchagua Zitto Kabwe. Siku nyingine ukifungua barabara au mradi wowote uwashukuru wananchi kwa kulipa kodi unayowezesha ujenzi wa miradi hiyo. Si ilani ya CCM bali ni kodi za wananchi zimewezesha ujenzi huo! Mtizamo lazima ubadilike, ni haki yao na wala si fadhila ya CCM!
      Zed tatizo hapa ni kuwa elimu ya uraia haipo kwa wengi na watu wanashindwa kutofautisha kati ya wajibu wa serakali kwao.Kama serekali inakusanya kodi niwajibu kutoa hizo huduma kwa wananchi wake sasa serikali haitufadhili kwa kujenga barara wala shule kwani hata serekali ya mkoloni ilifanya hivyo. Ni jukumu letu kuelimisha umma nini wajibu wa serakali kwao.
      Zed and Candid Scope like this.
      " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"

    14. #12
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,601
      Rep Power : 15259
      Likes Received
      3727
      Likes Given
      2861

      Default Re: Kikwete asema serikali ni ya CCM

      Somo la uraia Chadema walishaanza katika mikutano yao kwamba yanayofanywa ni serikali ni stahiki yao na ni kutokana na kodi zao. CCM haipendi somo la uraia litolewalo na Chadema ndio maana wanapinga maandamano na mikutano ya Chadema kwa nguvu zote

    15. #13
      Emanuel Makofia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2010
      Location : B.O.T
      Posts : 3,425
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      486
      Likes Given
      283

      Default Re: Kikwete asema serikali ni ya CCM

      Wasiwasi wa kupopolewa
      .....Chuma cha reli hakishiki kutu...

    16. Miaka 50

    Similar Topics

    1. Replies: 23
      Last Post: 20th September 2011, 13:04
    2. Replies: 7
      Last Post: 30th July 2011, 16:50
    3. Waziri Mansour ataka Serikali 3, asema 2 ni butu
      By abdulahsaf in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 6
      Last Post: 14th July 2011, 00:33
    4. Replies: 1
      Last Post: 23rd December 2010, 20:00
    5. Hofu yatanda Serikali lakini Meghji asema si kweli
      By Lunyungu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 29th March 2007, 12:33

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...