Re: Wanaomkosoa Nyerere wana hoja?

By
Eng. Burton A. Bukuku
Acha spinning we mzee wangu!
unataka view zangu? Kikwete naye anatisha!
Jaribu kuandamana uone, jaribu kudai haki uone....tisho lakikwete liko so openly! anatumia mtutu kutawala na anaua na usalama wa taifa kutisha watu.
Nyerere alikuwa anatumia usalama wa taifa na anakupoteza kabisa
hawa wote mambo yao yataandikwa tu vizazi vyote
Kikwete anafanana sana na Nyerere then. Ni Dikteta naye?
mwanakijiji@jamiiforums.com
Binafsi NAKERWA, NAKASIRISHWA, NA KUCHUKIZWA sana na haya mambo kwamba eti "ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!" Huwa mara zote najiuliza ikiwa anashauriwa vibaya ni kwanini basi kila wakati awe anachukua huo ushauri mbaya!! - NasDaz
Follow Us Here