Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape vs Lowassa

    Report Post
    Page 1 of 14 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 266
    1. #1
      Godwine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2010
      Location : dar
      Posts : 1,317
      Rep Power : 742
      Likes Received
      217
      Likes Given
      124

      Default Nape vs Lowassa

      Je nini matokeo ya mnyukano kati ya LOWASSA na NAPE katika chama cha magamba? je nani anaelekea kukimbizwa kwenye chama

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,800
      Rep Power : 11185
      Likes Received
      6989
      Likes Given
      5168

      Default Re: Nape vs Lowassa

      ya ngoswe tumwachie ngoswe mwenyewe

    4. #3
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,061
      Rep Power : 1081
      Likes Received
      667
      Likes Given
      465

      Default Re: Nape vs Lowassa

      Lowasa will ultimately go.
      Michelle Hilton likes this.
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    5. #4
      Ismaily's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th June 2011
      Posts : 357
      Rep Power : 471
      Likes Received
      49
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape vs Lowassa

      Nadhani huu wakati mwafaka kwa NAPE kujiondoa katika chama cha CCM na kujichimbia kaburi,sijui ni nani alimdaganya apambane na CAPITALIST LOWASSA NA WENZAKE WAWILI,kwa tukio la jana LOWASSA kushangiliwa kwa nguvu wakati akichangia hotuba ya waziri mkuu ilionyesha ni jinsi gani mtandao wake ulivyo nanguvu ndani ya wabunge wa CCM na ndiyo ule usemi wa kuwa asilimia 90% ya wabunge wa CCM Anawamiliki yeye jana ulidhihirisha kwa uma,NAPE anawakati mngumu sana.
      eddo likes this.

    6. #5
      Godwine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2010
      Location : dar
      Posts : 1,317
      Rep Power : 742
      Likes Received
      217
      Likes Given
      124

      Default Re: Nape vs Lowassa

      Quote By Gagnija
      Lowasa will ultimately go.
      unadhani ni zana zipi walizonazo NAPE na JK za kuweza kumshinda lowassa kukabiliana nazo kwenye chama cha magamba mpaka wamkimbize

    7. Study Abroad

    8. #6
      Godwine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2010
      Location : dar
      Posts : 1,317
      Rep Power : 742
      Likes Received
      217
      Likes Given
      124

      Default Re: Nape vs Lowassa

      Quote By Ismaily
      Nadhani huu wakati mwafaka kwa NAPE kujiondoa katika chama cha CCM na kujichimbia kaburi,sijui ni nani alimdaganya apambane na CAPITALIST LOWASSA NA WENZAKE WAWILI,kwa tukio la jana LOWASSA kushangiliwa kwa nguvu wakati akichangia hotuba ya waziri mkuu ilionyesha ni jinsi gani mtandao wake ulivyo nanguvu ndani ya wabunge wa CCM na ndiyo ule usemi wa kuwa asilimia 90% ya wabunge wa CCM Anawamiliki yeye jana ulidhihirisha kwa uma,NAPE anawakati mngumu sana.
      je kama nape akikimbia chama nini mustakabali wa aliyemtuma kusema vile yani jk na mukama nao watakuwa kwenye wakati gani

    9. #7
      mbaba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th June 2011
      Posts : 39
      Rep Power : 408
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape vs Lowassa

      wengi si wabunge wa viti maalum hawana lolote,kama wanataka kumtambua yeye ni nan wampitishe kugombea urais'Nape nawe mwenye kiti wako akupe rungu la kweli asiwe mnafiki la sivyo watakutoa kafara macapitalisit hawa,kweli vita hiyo inataka nguvu ya pamoja .fukkuza kwenye chama kabla hajapata kucha..japo kuwa najua chama kitamfia mikonon kwa yeyote atkae kabidhiwa2015 hii ndo tz bwana,hao wanao mshangilia wanafiki adi kwa mwenykit wao coz yeye ndo aliye tangaza kuvua gamba.so iweje gamba lishangiliwe basi mwenyekiti muongo gamba bado jipya asubii lizeeke 2015 ndo alivue..wanafiki wakubwa wale ata chenge watamshangilia nae pia Rostam si twaongozwa kwa njaa ukiahidia buku na kitenge cha kanga twawapa kura leo unayo yasikia twasononeka but ukombozi wa kweli unakuja.

    10. #8
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,061
      Rep Power : 1081
      Likes Received
      667
      Likes Given
      465

      Default Re: Nape vs Lowassa

      Godwine,
      Kwa mtazamo wangu, silaha aliyonayo JK ni Preventive Detention act, and I believe, ni halali kabisa kuitumia dhidi ya Lowasa. Nipe wewe zako zinazokufanya kuamini kuwa Lowasa Demigod.
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    11. #9
      Ismaily's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th June 2011
      Posts : 357
      Rep Power : 471
      Likes Received
      49
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape vs Lowassa

      Quote By Godwine
      je kama nape akikimbia chama nini mustakabali wa aliyemtuma kusema vile yani jk na mukama nao watakuwa kwenye wakati gani
      Ndugu yangu kijana mwenzetu NAPE alikurupuka kumbapambana na macapitalist,kwa upande wa MKam na Jk,mustakabali wao wapo tayari kukiua chama na kukigawa hasa JK kwa ajiri ya kumuandaa mtu wake ili kuja kumlinda baada ya utawala wake pamoja na mali zake mana ameshakuwa na maadui na marafiki zake wakubwa waliotumia pesa zao na pesa za kodi ya wananchi kumuweka IKULU rafiki yeye JK, na hapohapo kinalowassa wakiona usaliti mkubwa kwa JK kuwapa madaraka tena maadui zao wakubwa kina SITTA,MWAKYEMBE,hapohapo KUndi la kina lowassa likiwa na nguvu kwanzia NEC hadi kwa wabunge wa CCM,KIKWETE anawakati mgumu na chama kinaweza kupasuka kabisa mikonononi mwake,Hapo NI CONFLICT OF INTERECT

    12. Dio
      #10
      Dio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 1,216
      Rep Power : 662
      Likes Received
      121
      Likes Given
      11

      Default Re: Nape vs Lowassa

      Lowasa ananguvu kwenye chama chao,msimwone yupo kimya
      eddo and COURTESY like this.

    13. #11
      Kombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 1,825
      Rep Power : 799
      Likes Received
      455
      Likes Given
      40

      Default Nape vs Lowassa

      Quote By Gagnija
      Godwine,Kwa mtazamo wangu, silaha aliyonayo JK ni Preventive Detention act, and I believe, ni halali kabisa kuitumia dhidi ya Lowasa. Nipe wewe zako zinazokufanya kuamini kuwa Lowasa Demigod.
      Preventive Detention Act?????Kwa kosa lipi? Jk atoke kwanza, halafu hao wengine watatoka wenyewe, vinginevyo tupige porojo tu.

    14. #12
      NDOFU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2009
      Posts : 649
      Rep Power : 650
      Likes Received
      127
      Likes Given
      8

      Default Re: Nape vs Lowassa

      Lowasa amerudi toka Nigeria juzi juzi tu' siraha alizonazo Nape atajisalimisha mwenyewe.Lowasa ataondoka madarakan iwapo wananchi wakiamua na sio ccm.Kumbuka sasa hv n Mwenyekiti wa kamati ya bunge,mambo ya nje ulinzi na usalama!

    15. #13
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: Nape vs Lowassa

      yule dogo ana siku 11

    16. #14
      Mbopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2008
      Posts : 2,531
      Rep Power : 1083
      Likes Received
      375
      Likes Given
      13

      Default Re: Nape vs Lowassa

      Quote By Ismaily
      Nadhani huu wakati mwafaka kwa NAPE kujiondoa katika chama cha CCM na kujichimbia kaburi,sijui ni nani alimdaganya apambane na CAPITALIST LOWASSA NA WENZAKE WAWILI,kwa tukio la jana LOWASSA kushangiliwa kwa nguvu wakati akichangia hotuba ya waziri mkuu ilionyesha ni jinsi gani mtandao wake ulivyo nanguvu ndani ya wabunge wa CCM na ndiyo ule usemi wa kuwa asilimia 90% ya wabunge wa CCM Anawamiliki yeye jana ulidhihirisha kwa uma,NAPE anawakati mngumu sana.
      Poor analysis. Nani hajui kwamba wengi wa wabunge wa CCM walikuwa-sponsored na Lowassa? Kushangiliwa hakumaanishi chochote zaidi ya wajibu wa wapambe kwa master wao. Mwisho wa yote maamuzi ya chama hayachukuliwi bungeni, ni kwenye vikao vya chama ambavyo tayari vimeshaamua kwamba yeye na wenzake wapotee. Wewe unashangaa yeye kutawala bunge, mbona alipomuondoa Sitta na kujigawia kamati za bunge wote tulijua kwamba vikaragosi wale walikuwa wake? In this contest, losser ni Lowassa na yeye anajua na ndiyo maana anahangaika hata kufikia kufanya outsourcing ya nguvu za giza kutoka Nigeria. Maji ya shingo!

    17. #15
      PauliMasao's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th November 2007
      Posts : 229
      Rep Power : 631
      Likes Received
      23
      Likes Given
      20

      Default Re: Nape vs Lowassa

      Quote By Gagnija
      Lowasa will ultimately go.
      We want leaders with balls! Where is Mubarak today with his rhetoric over the Nile River water rights? Shinyanga, Nzega na Monduli kamwe hawatamsahau.

    18. #16
      Makupa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 2,175
      Rep Power : 809
      Likes Received
      249
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ismaily
      Nadhani huu wakati mwafaka kwa NAPE kujiondoa katika chama cha CCM na kujichimbia kaburi,sijui ni nani alimdaganya apambane na CAPITALIST LOWASSA NA WENZAKE WAWILI,kwa tukio la jana LOWASSA kushangiliwa kwa nguvu wakati akichangia hotuba ya waziri mkuu ilionyesha ni jinsi gani mtandao wake ulivyo nanguvu ndani ya wabunge wa CCM na ndiyo ule usemi wa kuwa asilimia 90% ya wabunge wa CCM Anawamiliki yeye jana ulidhihirisha kwa uma,NAPE anawakati mngumu sana.
      Nape ni kichuguu lowasa ni mlima kilimanjaro mkiwafananisha hamumtrndei nape haki

    19. #17
      Mumwi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2011
      Posts : 555
      Rep Power : 534
      Likes Received
      98
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape vs Lowassa

      Nyote ongeeni siku 11 zijazo zitajulikana mbivu na mbichi.

    20. LAT
      #18
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default Re: Nape vs Lowassa

      Quote By Makupa
      Nape ni kichuguu lowasa ni mlima kilimanjaro mkiwafananisha hamumtrndei nape haki
      uliingia JF kwa fujo sana , sasa naona tuliiiiii !
      "Esprit de Corps"

    21. #19
      Mumwi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2011
      Posts : 555
      Rep Power : 534
      Likes Received
      98
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape vs Lowassa

      Nyote ongeeni siku chache zijazo zitajulikana mbivu na mbichi, ni kwetu watafukuzwa? Mtawajua wenye mguvu katika nchi hii.

    22. #20
      Chechetuka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 399
      Rep Power : 587
      Likes Received
      24
      Likes Given
      3

      Default Re: Nape vs Lowassa

      Quote By Godwine
      Je nini matokeo ya mnyukano kati ya LOWASSA na NAPE katika chama cha magamba? je nani anaelekea kukimbizwa kwenye chama
      Kati ya Lowassa na Nape ni nani aliyopo ktk nafasi ya maamuzi? Lowassa ni Mbunge (CCM) wa Monduli na ni Mwenyekiti wa Kamati ya Nje, Ulinzi na Usalama. Nape ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM na pia ni Mjumbe wa Secretariat ya CCM.
      Secretariat inapendekezwa na Kamati Kuu ya Chama na Kuridhiwa na Halmashauri Kuu ya Chama. Inafanya kazi za Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya CCM. Mbunge anateuliwa na wananchi jimboni kwake kwa kazi za maendeleo ya jimbo. Kamati zote za Bunge zipo kwa mujibu wa KANUNI tu. Kazi yao kubwa ni KUSHAURI tu.

    23. Miaka 50
    Page 1 of 14 12311 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Nape alipogongana na Lowassa leo
      By Sniper in forum Jamii Photos
      Replies: 20
      Last Post: 23rd November 2011, 16:57
    2. Mmh Nape anazidi kumbomoa Lowassa
      By Indume Yene in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 26
      Last Post: 7th November 2011, 11:31
    3. Nape Amdonyoa Lowassa?
      By Ng'wanangwa in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 15
      Last Post: 14th October 2011, 14:04
    4. Nape, tuambie ufisadi wa Lowassa
      By Msema hovyo in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 89
      Last Post: 18th July 2011, 17:13

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...