Je nini matokeo ya mnyukano kati ya LOWASSA na NAPE katika chama cha magamba? je nani anaelekea kukimbizwa kwenye chama
Je nini matokeo ya mnyukano kati ya LOWASSA na NAPE katika chama cha magamba? je nani anaelekea kukimbizwa kwenye chama
Wadanganyika bana kwa kuangalia personalities !!! Mi hoi !
Lowasa oyeeeeeeeeeeeeee
du! mambo magumu.
Maneno matupu hayavunji mfupa. Nilitarajia akina Nape wangekuwa wanaandaa na kutekeza maazimio ya nec, kama yapo. Uvuvuzela wao unaiweka ccm pabaya.
Ngoja nikamwombe Mungu aniepushe na upayukaji.
bya.
wote takataka tu, najua hata tukisema siku kumi na mbili hakuna kitakachofanyika kwani JK ni kama yule nyoka asiye na sumu, so hana uwezo wa kufanya maamuzi, nasubiri kifo cha CCM kwa kuendelea kuonyesha kuwa wamejaa ahadi hewa! shame to all magamba, after magamba njooni na kuparua mapezi!
jambo ambalo wengi hawalijui ni kuwa lowasa na jk hawana uadui! kumlinganisha na nape ni kama tyson na matumla! lowasa ni mashine ingine, ndie pekee tumaini lililobaki kuiokoa nchi hii...
sasa si mngoje siku 90 ziishe ndio
mtoe tathmini zenu?!
“Unless power is legitimate there can be no social order“
P. F. Drucker
Hata ile sentensi ya 'watu wasiogope kutoa maamuzi' ilikua ni dongo kwa kina NAPE kua wasiogope, waanze kutoa maamuzi ili yeye ajibu mapigo
WEWEE, UNAISHI ULAYA NINI? Kushangiliwa kule kwa Lowassa kulitolewa pesa mwanangu! Lowassa hafanyi kitu siku hizi bila kuchochea kwa fedha. Makofi mengi aliyopigiwa Bungeni yalilipiwa; mengi yalipigwa na Wazanzibari ambao inaaminika wanarubuniwa kwa urahisi zaidi kuliko Wabunge wengine. Wagawa fedha wakuu walikuwa Pindi Chana, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, na Peter Serukamba, Mjumbe wa NEC ya CCM!
taharifa za chama cha magamba zinasema siku zitasogezwa mpaka 120 na si 90 mkuu , inasemekana kulikuwa na mawasiliano yanayojichanganya kati ya wajumbe wa chama ndio maana wakasema siku 90 na wengine wanasema siku 120......
lakini ukijaribu kuangalia misimamo ya wakuu wa chama hiki imepungua sana kwani Mukama anasema si lazima kufukuzana ili kuimarisha chama na wajumbe wengine wanasema ni lazima gamba liondoke , na gamba limeweza kuwasiliana na wajumbe wengi wa NEC kuhusu mustakabali wake na kabla ya kundi hili kwenda kwenye NEC litaongea na wanahabari na kuweka msimamo wao
hii beto ni tamu hapa ilipofikia, na ukitaka ufaidi kuiona ni vyema ukaaka kimya jukwaan kama unangalia mieleka vile then mwisho utaona anaechapwa! lets be kwayat tuone mwisho wa mbio hizi
Lowasa kashika mpini wa kisu, JK na Nape wameshika makali ya kisu..tuvute subira bado kidogo utaona damu
Heri kufa na fikra iliyo hai kuliko kuishi na fikra iliyo kufa..
Follow Us Here