| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 1869
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Wacha tungoje kusikia watasema nini .Kama kawaida hoja imetolewa na Mpinzani wana ogopa kama nini .Hali ya Zimb ni mbaya sana .
|
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Tumemlea wenyewe Mugabe hasa wakati wa utawala wa Mkapa kama Marekani ilivyofanya kwa Osama kabla hajawageuka. Jeshi na vyombo vyote vya Usalama nchini Zimbabwe vinamtaka Mugabe, Mke wake naye anataka aendelee kuwa First Lady kwa kuwa umri unamruhusu na kuna watu ndani ya utawala wa Mugabe wanafaidika sana, wanataka mzee huyu afie madarakani.
|
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
umesahau kuwa huyu ni jongwe wazee? jogoo huyu anawika na kusikika kwa mbali. wanaomjua mugabe wanajua kuwa ni dikteta wa siku nyingi ndo maana hico chama kimepasuka toka zanu-pf toka zanu original ya yule marehemu nimemesahau, ambaye walichuma na mugabe baadaye akampeleka kizuizini mpaka akafia huko
mugabe anavyoonekana kwa nje utadhani ni bonge la shujaa, lakini anapelekwa puta na wamama ile mbaya. marehemu sally yule mke wa kwanza mghana ali-saidia sana ku-contain, lakini huyu secretary wake cum first lady ndo kwanza anasema mzee haondoki madarakani labda atolewe akiwa kwenye jeneza. sasa wewe kama morgan tsangarai uende kwenye uchaguzi kufanya nini? |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
MUNGU IBARIKI ZIMBABWE. |
|
#6
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Zitto nakuelewa lakn naona kama unachanganya bana...... mi naona danadana tu zinazidi kwenye ishu ya EPA, weka vitu hapo bungeni, wabaneni hao jamaa, uliruhusu ishu ya zim ije hapo una maana umewafurahisha maana ishu ya EPA ndo watakuwa wanaipatia muda wa kuiundia uongo, kuhusu balozi ... wote wezi tu hao, watajuana wenyewe aje au asije, lkn kwanza tunataka EPA na RICHMOND vieleweke kwanza.........
|
|
#7
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
|
|
#8
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Nadhani term ya uraisi zimbabwe ni miaka 7 unless wamebadili hivi karibuni
|
|
#9
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Haya tena! Bado tuna ya kwetu yanatuzibu bado tunataka kuingilia ya wengine. Huu si ulimbukeni jamani wa Kisiasa? wakati unafanya forecasting ya nchi yako unahitajika kukocentrate hilo kwanza mambo mengine baadaye.
Mimi nafikiri hiyo ni hoja muhimu sana lakini sio sasa, muda wake bado. |
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Natofautiana na wote ambao wanaona haina haja ya kujadili suala la zim.
Hamuoni viashiria vya vita kutokea zim. Au mnasubiri kuomboleza baada ya kuona majeneza ya watanzania wanaoishi/kufanya kazi zim? Au mnasema tusubiri ili tujenge makambi ya wakimbizi wa Zim pale mbeya na kwingineko? Zitto upo right, suala hili ni nyeti lijadiliwe haraka na serikali ifanye jitihada kurudisha wa-tz kabla vita haijaanza.Maana viashiria vinaonyesha. Zitto nakupongeza kwa wazo lako bungeni
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 07:56 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||