Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Rais Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

    Report Post
    Page 1 of 11 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 210
    1. #1
      George Maige Nhigula Jr.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2008
      Posts : 464
      Rep Power : 668
      Likes Received
      142
      Likes Given
      235

      Default Rais Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      Ndugu wana JF,

      Ni jambo la kawaida kwa wananchi kujua mapato ya Viongozi wa nchi hususani the highest office in the land, Viongozi wengi ambao hawana nia ovu huweka hadharani mapato yao na kodi walizolipa na wananchi wao kujua na tena kuonyesha mfano wa kuigwa kwamba hata raisi wa nchi analipa kodi na hatumii nafasi yake ya uraisi kwa manufaa yake na familia yake, kujilimbikizia mali na kutolipa kodi kwa kipato anachopata.

      Hapa chini ni mfano wa Raisi wa Marekani Barack Obama ambae alitoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya mapato yake kwa mwaka na kodi anayolipa bila kujali nafasi aliyonayo. mapato na kodi ya raisi obama na mkewe kwa mwaka ni:

      Obama Taxes & Income: President & First Lady Paid $453,770 In Taxes On $1.7 Million Income
      soma zaidi kwa kufuata link hii http://www.huffingtonpost.com/2011/0..._n_850649.html
      Je ni kwa nini viongozi wa kiafrika wanakuwa na usiri sana kuhusu mapato yao na kodi wanazolipa, kwa nini viongozi wetu wasiwe wanatoa taarifa za mapato na malipo ya kodi kwa vyombo vya habari ili kuonyesha mfano? Na wananchi kujua vyanzo vya mapato ya raisi.

      Je ni watanzania wangapi wanaojua mshahara wa raisi Jakaya Kikwete na marupurupu yote na posho ni kiasi gani? Je raisi JK na familiya yake wanalipa kodi kiasi gani kwa mwaka?

      Lazima tujenge uwazi na kujua mambo muhimu kama mshahara wa raisi na kama raisi wetu analipa kodi au la! Ningependa kuwakilisha hoja yangu ili tuweze kudadisi na kujua mapato na malipo ya kodi kwa raisi wetu.

      Natoa shukrani kwa Zitto Kabwe kwa kutufahamisha mapato ya wabunge na posho zote but tunataka kujua wabunge wetu pia wanalipa kodi kiasi gani kwa mwaka?
      lilgongo likes this.
      "We cannot walk alone, we must pledge once more to march into the future. Let us keep that promise and in the words of Scripture hold firmly, without wavering to the hope that we confess."

    2. Miaka 50

    3. #2
      Marytina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 4,870
      Rep Power : 1430
      Likes Received
      888
      Likes Given
      274

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      JK akitaja nahamia CCM leo hii.
      Masaki, Kichuguu, Mentor and 4 others like this.

    4. #3
      Amiliki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 1,473
      Rep Power : 765
      Likes Received
      721
      Likes Given
      33

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      Analipwa mpaka Posho ya kuwahudumia Waganga wake wa Kienyeji Wanne aliotafutiwa na Makamba Sr.
      Bovidae and Ston Merchant like this.
      Huku Magamba wakiendelea kusambaratishwa; Chadema Rahaaa!!!!! Si Rahaa!!!! WOTE: RAHAAAA!!!!!!!!!!

    5. #4
      delabuta's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd May 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 179
      Rep Power : 440
      Likes Received
      44
      Likes Given
      0

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      nipeindapa hoja but umewagusa magamba wote kimya

    6. #5
      George Maige Nhigula Jr.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2008
      Posts : 464
      Rep Power : 668
      Likes Received
      142
      Likes Given
      235

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      Wananchi tuna haki ya kujua mshahara na mapato ya raisi wetu, na Je analipa kodi kiasi gani? Obama anaweka mambo yote hadharani je sisi tunaficha nini? kwa nini mshahara wa raisi uwe siri wakati ni raisi wetu na tumempa ikulu yetu sasa kwa nini tusijue mshahara wake?
      Jasusi, Kichuguu, Ndinani and 1 others like this.
      "We cannot walk alone, we must pledge once more to march into the future. Let us keep that promise and in the words of Scripture hold firmly, without wavering to the hope that we confess."


    7. #6
      GATS's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 194
      Rep Power : 467
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      Hawezi kusema nami naunga mkono Jk akitaja nami nitahamia CCM leo hii.

    8. #7
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,631
      Rep Power : 2895
      Likes Received
      3846
      Likes Given
      12273

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      Nasikia kuanzia enzi za Mkapa mshahara na marupurupu ya rais vimefanywa kuwa siri ya serikali. Sina hakika lakini nimelisikia hilo, kwa sababu kwa serikali yeyote ya kidemocrasia mshahara wa rais si siri. Wakenya wanajua Mwai Kibaki analipwa kiasi gani.
      eddo likes this.

    9. #8
      Mzalendo80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Magogoni, Tanganyika
      Posts : 2,270
      Rep Power : 959
      Likes Received
      815
      Likes Given
      1589

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      Quote By EXECUTIVE
      Wananchi tuna haki ya kujua mshahara na mapato ya raisi wetu, na Je analipa kodi kiasi gani? Obama anaweka mambo yote hadharani je sisi tunaficha nini? kwa nini mshahara wa raisi uwe siri wakati ni raisi wetu na tumempa ikulu yetu sasa kwa nini tusijue mshahara wake?
      na ujue pia kuwa ameajiriwa na wananchi, sasa kwanini amfiche Bosi wake ambae ndio mwananchi au anafanya ufisadi ndio maana hataki kumwambia bosi wake?
      The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.

    10. #9
      Jile79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 3,770
      Rep Power : 1267
      Likes Received
      213
      Likes Given
      9

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      Mbona wote tunalalamika tuuuuu..........ina maana hakuna mtz anayejua mshahara wa kikwete?.....mbona nchi zote zinazotupa misaada viongozi wao mishahara yao inajulikana ?.....hakuna hata viongozi wa serikalini walio na uwezo wa kuasi na kuitwa wahaini kwa kutaja mshahara wa rais wao....................
      Mvumilivu hula mbivu... Ila mvundika mbivu hula mbovu

    11. #10
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1675
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      Quote By Marytina
      JK akitaja nahamia CCM leo hii.
      nakuunga mkono akitaja naendakulipia kadi yanu ya ccm haraka iwezekanavyo!
      alex50 and eddo like this.
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    12. #11
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7663
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      Huu ni wakati wa vikao vya bunge, kwa nni asitokee mbunge yeyote apenyeze swali hili?
      Exploration of reality

    13. #12
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      Waulize TRA
      Makaimati likes this.

    14. #13
      George Maige Nhigula Jr.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2008
      Posts : 464
      Rep Power : 668
      Likes Received
      142
      Likes Given
      235

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      Quote By FaizaFoxy
      Waulize TRA
      Raisi anatakiwa kuwa muwazi na kuonyesha mfano kama Obama, TRA ndo wanamlipa raisi mshahara?
      Mng'anzagala likes this.
      "We cannot walk alone, we must pledge once more to march into the future. Let us keep that promise and in the words of Scripture hold firmly, without wavering to the hope that we confess."

    15. #14
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,540
      Rep Power : 776
      Likes Received
      144
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By FaizaFoxy
      Waulize TRA
      mnalo weye huandika udaku kwa wenzio leo imebomoa kwako,imeze japo chungu ili upone mawazo mfu.From JK ukitaka kula lazima uliwe kidogo wataka kula bila kuliwa hiyo haiwezekan,cha mlev huliwa na mgema

    16. #15
      Mzalendo80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Magogoni, Tanganyika
      Posts : 2,270
      Rep Power : 959
      Likes Received
      815
      Likes Given
      1589

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      Quote By FaizaFoxy
      Waulize TRA
      Mafisadi yapo mengi
      The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.

    17. #16
      Sailor Boy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Location : juu ya mti
      Posts : 105
      Rep Power : 452
      Likes Received
      5
      Likes Given
      1

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      analipwa laki tatu mshahara sawa na tichaaaa.
      waziri/saidi likes this.

    18. #17
      Makaimati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 462
      Rep Power : 514
      Likes Received
      82
      Likes Given
      451

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      Quote By EXECUTIVE
      Raisi anatakiwa kuwa muwazi na kuonyesha mfano kama Obama, TRA ndo wanamlipa raisi mshahara?
      Ndio wanaokusanya kodi. Mwenye kuleta mada kaandika kodi anokatwa Obama kutokana na mapato yake.

      Ukenda TRA yote utayakuta hayo kama Inland Rvenue Office ya USA.
      Makaimati
      Life Goes On

    19. #18
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      Quote By hans79
      mnalo weye huandika udaku kwa wenzio leo imebomoa kwako,imeze japo chungu ili upone mawazo mfu.From JK ukitaka kula lazima uliwe kidogo wataka kula bila kuliwa hiyo haiwezekan,cha mlev huliwa na mgema
      Haaa babu yatakushinda, ulifikiri Rais anajipangia yeye Mshahara? hebu tuoneshe huo udaku tuliouandika. Kwanza ukiwa pale mshahara wa nini? unanchekesha!

      Sie twaijua posho ya Slaa tu na kodi hailipiwi.
      Mahesabu likes this.

    20. #19
      Mzee Wa Rubisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : Chini ya mgomba
      Posts : 1,285
      Rep Power : 691
      Likes Received
      208
      Likes Given
      267

      Default

      Quote By Marytina
      JK akitaja nahamia CCM leo hii.
      Dhubutu ataje ajipendi .Watanzania tutaandamana kupinga mshahara wake .Marais wa Africa wajilipa mishahara mikubwa tena sana
      eddo likes this.

    21. Omr
      #20
      Omr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2008
      Location : maswa
      Posts : 1,162
      Rep Power : 768
      Likes Received
      89
      Likes Given
      51

      Default Re: Raisi Jakaya Kikwete analipwa mshahara na posho kiasi gani? na analipa kodi kiasi gani?

      wamarekani wote wanajua ni wajibu wao kulipa kodi, je wabongo wangapi wanalipa kodi. Jifananishe na Kenya wewe sio kurukia America.

    Page 1 of 11 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Hivi askari polisi wa Tanzania hulipwa mshahara kiasi gani?
      By samoramsouth in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 9
      Last Post: 11th November 2011, 19:20
    2. Replies: 0
      Last Post: 15th September 2011, 18:22
    3. Replies: 1
      Last Post: 27th December 2010, 13:40
    4. Safari za Kikwete nje zimegharimu kiasi gani?
      By Solomon David in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 28
      Last Post: 30th October 2009, 20:26

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...