Muungano na kero zake: Tuuvunje? - Page 51 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


View Poll Results: TUVUNJE MUUNGANO?
Ndio 164 66.13%
Hapana 85 34.27%
Sijui 0 0%
Multiple Choice Poll. Voters: 248. You may not vote on this poll

Reply
 
LinkBack Thread Tools Rating: Thread Rating: 3 votes, 5.00 average. Display Modes
Old 26th June 2006, 08:41 PM  
Muungano na kero zake: Tuuvunje?
Sam Sam is offline 26th June 2006, 08:41 PM
Rating: (3 votes - 5.00 average)

Nimevumilia vya kutosha nikidhani kama kuna mtu anayekerwa na fumbuzi wa matatizo ya muungano yaliyotolea kwenye kikao cha pamoja kati ya Mh. Lowassa na Mh. Nahodha.

Kitu kinachonitisha ni kwamba yale mambo waliowaamulia wananchi yatapelekwa bungeni october kwa ajili ya "constitutional reforms".
Kwa upande wangu sikubaliana na ufumbuzi waliofikia kwa 100%
Check this out:

1) mineral and oil exploration be co-opted into the national debate on the future of the political federation.

-debate is good but mineral and oil exploration should not be political.

2)Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) should have an equal number of representatives from either side.

-Equal number kwa vigezo gani? Idadi ya watu? Tuelezene mlivyokuja na hiyo soultion equal number of people.

3)consultant on the distribution of wealth generated through mining and oil extraction be hired to advise the Union government on how it can be shared equitably.

-Please kama ni hivyo na huo muungano hatuutaki. For what?

4)It was decided that 50 per cent of the income would be used to finance the operations of the authority and the other 50 per cent be distributed on the basis of 60 per cent for the Mainland and 40 per cent for Zanzibar.

-Hivi hizo hesabu mnafanyaje? How did you come up with 60%, ardhi, watu,?????

Najua watanzania hawataki kuongelea muungano wakiogopa mizimu ya Mwalimu. Kwa upande wangu kuna mambo mawili tu hapa ambayo yanaweza kuleta ufumbuzi wa kudumu kwanza kuuvunja muungana na Zanzibar ikawa nchi kama ilivyo Kenya na tutaendelea kushirikian nao kama tunavyoshirikiana na Kenya, au Zanzibar uwe mkoa. zanzibar kuna watu wasiozidi 3 mil wakati mkoa wa Dar tu una watu 4 mil. Hapo utajiuliza ni kivitu tugawane nusu kwa nusu?

Kama watu hamtaki kuongela hili sual basi mwezi October linaingia kwenye katiba.



Mkataba wa makubaliano ya kuanzisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukisainiwa mwaka 1964.

Mkataba wenyewe (uliosainiwa) umeambatanishwa kama attachment.

Attached Files
File Type: zip Muungano_1964.zip (25.5 KB, 125 views)


Last edited by Silencer; 29th January 2010 at 08:50 PM.. Reason: Title from Tuvunje Muungano to new one!

Sam
JF Senior Expert Member
Points: 872,991, Level: 100 Points: 872,991, Level: 100 Points: 872,991, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue Jun 2006
Posts: 595
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 2 Posts
Views: 115867
Reply With Quote
The Following 2 Users Say Thank You to Sam For This Useful Post:
Mdondoaji (15th February 2010), Recta (28th January 2010)
  #501  
Old 30th November 2007, 03:48 PM
Kitia's Avatar
Kitia Kitia is offline
Kitia Patria o muerte, Venceremos!
JF Senior Expert Member
Points: 276,088, Level: 100 Points: 276,088, Level: 100 Points: 276,088, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sat Dec 2006
Posts: 365
Thanks: 17
Thanked 3 Times in 2 Posts
Rep Power: 24
Kitia will become famous soon enoughKitia will become famous soon enoughKitia will become famous soon enoughKitia will become famous soon enoughKitia will become famous soon enoughKitia will become famous soon enoughKitia will become famous soon enoughKitia will become famous soon enough
Send a message via Yahoo to Kitia Send a message via Skype™ to Kitia
Default Re: 1963 Zanzibar Killings

I wonder if in 1964 the kind of a chopper we see existed, even the quality of the video is very good relatively. I would have expected it to be in black and white. For the story itself, who knows really?
Reply With Quote
  #502  
Old 30th November 2007, 04:09 PM
PainKiller's Avatar
PainKiller PainKiller is offline
PainKiller is lethal if mishandled !
Super Moderator
Points: 95,343, Level: 100 Points: 95,343, Level: 100 Points: 95,343, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Tue Nov 2007
Location: In hard drive
Posts: 505
Thanks: 168
Thanked 14 Times in 11 Posts
Rep Power: 24
PainKiller will become famous soon enoughPainKiller will become famous soon enoughPainKiller will become famous soon enoughPainKiller will become famous soon enoughPainKiller will become famous soon enoughPainKiller will become famous soon enoughPainKiller will become famous soon enoughPainKiller will become famous soon enough
Default Re: 1963 Zanzibar Killings

Quote:
View Post
I wonder if in 1964 the kind of a chopper we see existed, even the quality of the video is very good relatively. I would have expected it to be in black and white. For the story itself, who knows really?
not sure of the source either, should we report this video to Youtube? am not sure whether africancrisis.org know about this video either. lets ascertain the authenticity of the video people
__________________

The Palliative Substance That We All Need When Inflicted In One Way Or Another !
Reply With Quote
  #503  
Old 1st December 2007, 05:26 PM
Mwiba's Avatar
Mwiba Mwiba is offline
Mwiba has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 902,192, Level: 100 Points: 902,192, Level: 100 Points: 902,192, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Oct 2007
Posts: 2,984
Thanks: 0
Thanked 13 Times in 8 Posts
Rep Power: 69
Mwiba is a jewel in the roughMwiba is a jewel in the roughMwiba is a jewel in the roughMwiba is a jewel in the roughMwiba is a jewel in the roughMwiba is a jewel in the roughMwiba is a jewel in the roughMwiba is a jewel in the roughMwiba is a jewel in the roughMwiba is a jewel in the roughMwiba is a jewel in the rough
Default Re: Faida gani na Zanzibar

Naona mpo kimya,hivi mmewasiki wabunge wao wamisema nini jana na juzi bungeni,naona wenye uchungu na Tanganyika lakini naamini Muungwana anakula timing tu siku akiamua kuwaondolea uvivu ndio mwisho wao.
Reply With Quote
  #504  
Old 1st December 2007, 07:04 PM
StoneTown StoneTown is offline
StoneTown has no status.
Senior Member
Points: 82,106, Level: 100 Points: 82,106, Level: 100 Points: 82,106, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon May 2007
Posts: 120
Thanks: 0
Thanked 5 Times in 3 Posts
Rep Power: 23
StoneTown will become famous soon enoughStoneTown will become famous soon enoughStoneTown will become famous soon enoughStoneTown will become famous soon enoughStoneTown will become famous soon enoughStoneTown will become famous soon enoughStoneTown will become famous soon enoughStoneTown will become famous soon enough
Default Re: Faida gani na Zanzibar

Asalamu Alaykum.

Kuhusu Muungano hakuna lolote litakalokuwa zaidi ya kujadili kama nilivyosema awali kuuvunja muungano ni ndoto ya 'Alinacha'yaani ndoto ya mchana ambayo haina majibu mazuri yaani sio ndoto ya kweli.

kuhusu Suala la Mtoto wa Rais Karume huyo hawakilishi wazanzibari wote hilo ni lake kila mmoja mwenye heshima anajua kama alilofanya Fatma ni ukosefu wa adabu hajatumwa na mtu ni adabu zake fupi zilizomtuma kufanya tendo hilo na usichangaye mambo kwani sisi tukisema daktari wa muhimbili amefanya upasuaji wa hatari na kuhatarisha maisha ya kijana mmoja ndio tuseme tanzania nzima imekosea au tuseme watanzania wazembe kwa kufanya hilo? bila ya shaka itakuwa mzembe ni daktari aliyefanya tendo hilo na sio watanzania wote.

kuhusu mauaji watanzania wanasifika kwa mauaji tena ya kila namna kaka yangu, kuna yale ya siri kuna mengine ya dhahiri kuna yale ya kukomoana na kutiana adabu kwa hivyo ukisema kwanza puguza jazba maana tuna details nyingi sana za watanzania waliosababisha kwa njia moja au nyengine ambao wamepoteza roho za watu na sio wazanzibari pekee wanaohusika na mauaji hata wabara.

wakati wa Nyerere kuna mauaji yametokea mengi tu, hasa yale ya siri wakati wa Mkapa kuna mauaji yametokea mengi tu ukiwacha yale ya siri ambayo yanajulikana yamewashirikisha hata viongozi wa kitaifa wamepoteza maisha hapa nchini au hilo kulijua? wengi tu lakini pia kuna yale ya dhahiri kwa kisingizio cha maandamano ya unguja na pemba CUF walicharazwa risasi nani alitoa amri ile ni Karume peke yake? nani amiri jeshi wa nchi hii au hao polisi waliasi ndio wakauwa bila ya amri za viongozi? kuna mauaji ya mwembechai nani ametoa amri ya kutokea mauaji yale? ni Karume alitoa amri hiyo?

kaka kabla hujaandika jambo fikiria kwanza na usitumie jazba ujue kwamba wapo watu wana details nyingi za nchi hii na wala usitumie chuki zako kwa ajili ya kuwachukia wazanzibari kwani wao ni wadau muhimu katika tanzania yetu na ukiwa wewe unatuchukia basi sisi tunakupenda tena sana kwa sababu asilimia kubwa ya wazanzibari ni waislamu na dini yetu inasisitiza upendo.

stonetowner
Reply With Quote
  #505  
Old 7th December 2007, 08:07 AM
Steve Dii's Avatar
Steve Dii Steve Dii is offline
Steve Dii got far too many trumpcards..!!
JF Premium Member
Points: 1,707,165, Level: 100 Points: 1,707,165, Level: 100 Points: 1,707,165, Level: 100
Activity: 15% Activity: 15% Activity: 15%
 
Join Date: Mon Jun 2007
Location: Kihesa - Iringa
Posts: 4,993
Thanks: 638
Thanked 366 Times in 198 Posts
Rep Power: 152
Steve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to beholdSteve Dii is a splendid one to behold
Send a message via ICQ to Steve Dii Send a message via AIM to Steve Dii Send a message via MSN to Steve Dii Send a message via Yahoo to Steve Dii Send a message via Skype™ to Steve Dii
Exclamation Mgao wa Mafuta na Gesi Nao Ndiyo Kama Hivyo Tena....Mgogoro Mwingine!

Quote:
Deadlock over exploitation of Z`bar oil, gas...

2007-12-07 08:42:58
By Austin Beyadi


The Government has said the exploitation of the oil and natural gas discovered in Zanzibar is awaiting agreement between the Union and Zanzibar governments on how the two parties will share the revenue to be collected.

This is because the development of Tanzania`s natural resources is one of the issues appearing on the list of Union matters and must benefit both sides of the United Republic, according to Minister of State in the Vice President`s Office (Union Affairs) Hussein Mwinyi.

The minister said in Dar es Salaam yesterday that, oil and natural gas apart, there were several areas calling for review in order to make sure both governments benefit.

Noting that the arrangement applied both ways, Mwinyi said that the Union government had once agreed with international companies on prospecting for oil in the country�s coastal areas.

``But before the foreign firms could start exploration work, the Zanzibar government raised concern over the modalities of sharing the revenue to be collected in case oil was discovered,`` he pointed out.

He explained that, after consultations between the two governments, it was agreed that a consultant be hired to give them ``technical advice`` on the issue of revenue sharing.

The minister said that a six-member committee with equal representation from both governments was subsequently formed in between to follow up the matter.

It has already prepared a draft paper to be presented to a committee of permanent secretaries in the relevant Union and Zanzibar ministries.

`The money for hiring the said consultant has been secured and the process of advertising the respective tender as per public procurement regulations has been completed,`` said Mwinyi, adding that the consultant would complete the work by the end of August next year ``if all goes well``.

The minister said hitches in the Union and Zanzibar constitutions and legal constraints were making it difficult to implement various agreements geared at solving some of the problems facing the Union.

The last two years have seen Tanzania lease large swaths of its offshore areas to exploration and production firms, among them Petrobras of Brazil, Statoil of Norway, and the Anglo-Irish Aminex.

It has long been confirmed that Tanzania has sizeable reserves of natural gas but the rich oil deposits eagerly awaited have remained elusive.

Offshore oil exploration plans by major international firms like Royal Dutch Shell have meanwhile been held up for years around the semi-autonomous islands of Zanzibar.

The stalemate will end only after agreement is reached between the Union and Zanzibar governments on the management and use of the expected revenue with the mainland government.

SOURCE: Guardian
Source link: IppMedia.

SteveD.
__________________

Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.


Reply With Quote
  #506  
Old 7th December 2007, 09:26 AM
_SiDe_ _SiDe_ is offline
_SiDe_ has no status.
Senior Member
Points: 82,549, Level: 100 Points: 82,549, Level: 100 Points: 82,549, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Mar 2007
Posts: 81
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
_SiDe_ will become famous soon enough_SiDe_ will become famous soon enough_SiDe_ will become famous soon enough_SiDe_ will become famous soon enough_SiDe_ will become famous soon enough_SiDe_ will become famous soon enough_SiDe_ will become famous soon enough_SiDe_ will become famous soon enough
Default Re: Zanzibar katika mgawo wa rasilimali kama madini

Zanzibar iwe mikoa/mkoa! i think it is more better to live them alone.
Reply With Quote
  #507  
Old 7th December 2007, 04:56 PM
Idimi Idimi is offline
Idimi a hydropower specialist
JF Senior Expert Member
Points: 579,048, Level: 100 Points: 579,048, Level: 100 Points: 579,048, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Sun Mar 2007
Location: Bremen
Posts: 1,704
Thanks: 114
Thanked 137 Times in 90 Posts
Rep Power: 27
Idimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enough
Default Re: Zanzibar katika mgawo wa rasilimali kama madini

Kama sijakosea, Ndugu Shamhuna alishawahi kukaririwa na vyombo vya habari mwaka jana akisema suala la mafuta si la muungano, hadi wanasisiemu wenzake wakamshangaa. Kama haitoshi, naye Nahodha akapigilia msumari wa moto katika jeraha hili kwa kusema suala la mafuta Zanzibar ni nyeti, na sirikali ya muungano isiliingilie.
Sasa nasikia hili la madini tena, kwamba wanataka mrahaba toka bara! Yaani nachanganyikiwa kabisa.
__________________
Help make the world a better place.
Idimi@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #508  
Old 9th December 2007, 05:58 AM
under_age under_age is offline
under_age carelessly careful, harmlessly dangerous
JF Senior Expert Member
Points: 102,013, Level: 100 Points: 102,013, Level: 100 Points: 102,013, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Apr 2007
Posts: 403
Thanks: 92
Thanked 45 Times in 31 Posts
Rep Power: 23
under_age will become famous soon enoughunder_age will become famous soon enoughunder_age will become famous soon enoughunder_age will become famous soon enoughunder_age will become famous soon enoughunder_age will become famous soon enoughunder_age will become famous soon enoughunder_age will become famous soon enough
Default Re: Zanzibar katika mgawo wa rasilimali kama madini

mimi sitaki tanganyika watusaidie lolote kwani tulipokuwa hatujaungana na tanganyika ,kumbukumbu iko wazi namna tulivyokuwa. hata kipofu au kiziwi anajua kwamba zanzibar imeuliwa na muungano. all i need ni fair union ya serikali tatu.tanganyika kivyao na zenji kivyao na serikali ya muungano kwa vipengele tutakavyokubaliana.ni very simple lakini sijui kwanini watanganyika hawalitaki hili. unapoona mtu anakataa kuwa na serikali yake basi BE AWARE kuna kitu kimejificha. lakini the day will come
__________________
PRESIDENT DIDN'T CREATE ME,SO I CAN SURVIVE WITHOUT HIM-------under_age
Reply With Quote
  #509  
Old 9th December 2007, 04:51 PM
Idimi Idimi is offline
Idimi a hydropower specialist
JF Senior Expert Member
Points: 579,048, Level: 100 Points: 579,048, Level: 100 Points: 579,048, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Sun Mar 2007
Location: Bremen
Posts: 1,704
Thanks: 114
Thanked 137 Times in 90 Posts
Rep Power: 27
Idimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enoughIdimi will become famous soon enough
Default Re: Zanzibar katika mgawo wa rasilimali kama madini

Quote:
View Post
mimi sitaki tanganyika watusaidie lolote kwani tulipokuwa hatujaungana na tanganyika ,kumbukumbu iko wazi namna tulivyokuwa. hata kipofu au kiziwi anajua kwamba zanzibar imeuliwa na muungano. all i need ni fair union ya serikali tatu.tanganyika kivyao na zenji kivyao na serikali ya muungano kwa vipengele tutakavyokubaliana.ni very simple lakini sijui kwanini watanganyika hawalitaki hili. unapoona mtu anakataa kuwa na serikali yake basi BE AWARE kuna kitu kimejificha. lakini the day will come
Labda ungefafanua kuwa ni kitu gani unahisi kimefichika hapa, kwani hapa JF huwa tunajadili mambo waziwazi.
Be there man!
__________________
Help make the world a better place.
Idimi@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #510  
Old 18th December 2007, 08:23 AM
Mtu wa Pwani's Avatar
Mtu wa Pwani Mtu wa Pwani is offline
Mtu wa Pwani Si Kila Kin'garacho ni dhahabu
JF Senior Expert Member
Points: 916,995, Level: 100 Points: 916,995, Level: 100 Points: 916,995, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Dec 2006
Posts: 2,860
Thanks: 6
Thanked 8 Times in 7 Posts
Rep Power: 28
Mtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enough
Default Zanzibar ifidiwe na Tanzania na EAC kwa hasara za kiuchumi

Zanzibar ifidiwe na Tanzania na EAC kwa hasara za kiuchumi
Na Ally Saleh

Matukio mawili wiki hii yamenishitua sana kiasi cha kujenga mtizamo mpya katika suala zima la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuanzia sasa nimeamua fikra hiyo kuipigia debe.


Kama nitasikilizwa au nitapuuzwa, kama nitapata waungaji mkono au watu watakaoniona nimepotoka mimi sitajali kwa sababu imani yangu ni kuwa napaswa kuchukua hatua hiyo kutoa angalau wakia moja katika mchango wa kuiinua mizani ya Zanzibar, ambayo uzito wa upande wa pili umeielemea sana.


Kilichonifanya nije na mtizamo huu ambao ni mkali kidogo ni warsha ya siku moja niliyohudhuria ambapo wataalamu wa Afrika Mashariki kupitia Baraza la Biashara la Afrika Mashariki walikuja kuelezea jumuia ya wafanyabiashara juu ya mpango mpya ambao Tanzania imeingia chini ya mwamvuli wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.


Mpango huo ni ule uuitwao Economic Partnership Agreement (EPA), mpango ambao unachukua nafasi ya utaratibu wa zamani uliokuwa umeleta pamoja nchi za Carribean, Pacific na Afrika kwa ajili ya kufanya biashara na Ulaya katika kile kinachoitwa Lome Convention.


Sababu ya pili iliyonichochea kuandika makala hii ni matamshi ya Waziri wa Mambo ya Muungano, Dk Hussein Mwinyi wakati akitoa majumuisho ya mambo ambayo yameshapatiwa ufumbuzi katika zile zinazoitwa kuwa ni kero za Muungano.


Wengi wetu tunajua kuwa moja ya kero kubwa, au kero ya msingi na suala zima linalohusu uchumi wan chi moja hii ndani ya mbili lakini pia mgawanyo wa fedha au misaada inayoletwa nchini kupitia utaratibu wa wafadhili iwe ni kwa kuunga mkono bajeti ( budget support) au hata kwa minajili mingineyo yoyote ile.


Kwa muda sasa mgawano wa fedha za wafadhili umekuwa kwa asilimia 4.5 kupelekwa Zanzibar ingawa utaratibu huo umeanza kutekelezwa kwa dhati miaka ya hivi karibuni tu, lakini niliumia pale nilipomsikia Dk Mwinyi akisema, " Suala hilo bado linajadiliwa maana wako wanaosema asilimia hiyo iongezwe na wako wanaosema ipunguzwe..."


Afanaleik Dk. Mwinyi! Suala la kusemwa kuwa asilimia hiyo ipunguzwe nalo pia ni hoja? Hoja kwa vipi ndugu yetu? Lakini kwa sasa tuachie hapo na nakuahidi msomaji wangu tutarudi tena katika hoja dhaifu ya Dk. Mwinyi, maana kwa mawazo yangu hiyo ni hoja yake mwenyewe, kwa kuwa siamini kama inaweza kutolewa na mtu mwingine.


Sasa hoja yangu ya leo ni kuwa wakati umefika kwa Zanzibar kudai fidia ya kupata hasara za kiuchumi au uchumi wake kudumaa kutokana na Tanzania kuingia katika mikataba ya kibiashara ambayo inaitia Zanzibar katika dhiki ya kiuchumi.


Na kwa hivyo wadaiwa wa fidia watakuwa ni Serikali ya Tanzania kwa hasara yote kabla ya kuundwa EAC na baada ya kuundwa EAC kwa kuingia makubaliano ya EPA.


Kama vile EAC inavyotakiwa kujua kuwa Zanzibar ina uchumi wake, bali pia tunajua kuwa nchi mbili hizi zina chumi mbili, mmoja mdogo lakini unaotarajiwa kusimama kwa miguu yake, lakini mwingine mkubwa ambao pamoja na ukubwa wake lakini bado unataka kumegewa kutoka upande wa uchumi mdogo.

Tunajua kuwa upande mmoja tu katika Muungano ndio unaopanga sera za fedha na matumizi (monetary and fiscal policies) na uchumi wa upande mmoja kulazimika kujibana ndani ya sera ambazo hauna sauti nazo na pengine ni miaka ya karibuni tu ndipo kumekuwa na mawasiliano kipindi cha kabla ya bajeti.

Wakati mmoja katika mwaka 1985, wakati wa utawala wa Ali Hassan Mwinyi na Waziri Kiongozi Seif Shariff Hamad bajeti nzima ya Zanzibar iliharibiwa kwa mambo yaliyopitishwa kwenye bajeti ya Serikali ya Muungano na palizuka kasheshe kubwa kwa Zanzibar kudai kufidiwa.


Tanzania imeingia katika soko la pamoja na Jumuiya ya Afrika Mashariki na kukubali sera ya Kodi Sifuri (Zero Tariff) katika wakati muafaka lakini wakati huo huo imeingia katika mpango wa EPA ambao unalenga kuwa na Kodi Sifuri pia kwa bidhaa zitokazo nje na kuingia Zanzibar.


Ingawa hilo litakuja kukamilika baada ya kipindi cha miaka, lakini wataalamu waliokuwapo katika kongomano la uhamasishaji walisema kuwa hilo halitaepukika kabisa na ni bora tu Wazanzibari wakajitayarisha kukosa kodi zitokanazo na bidhaa zinazoingia ndani.


Sasa suala kubwa linalokuja hapo ni vipi Zanzibar itaweza kupona bila ya kupata kodi zitokanazo na bidhaa ziingiazo kupitia bandari yake? Hapo ndipo, paliponichafua maana kulikuwa na jawabu nyingi za mkato mkato, si kutoka kwa washirika wetu kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki lakini hata Watanzania wenzetu.


Mtu hapo atajiuliza kwa vipi Wakenya na Waganda wanahusika katika hili? Kuhusika kwao kunatokana na kuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki wamezungumza kwa pamoja kama kundi la uchumi na kutia saini mkataba kwa pamoja chini ya huo mpango wa EPA ambao unatekeleza utandawazi katika uhalisi wake.Basi walipoulizwa vipi Zanzibar utapoiondoshea kodi za bandari na wakati haina ardhi, haina viwanda wala haina maliasili za kujivunia, jawabu iliyotoka ni kuwa lazima wapanie kujibadilisha ili wawe na viwanda vitavyoshindana kutoa bidhaa, wakuze eneo la kutoa huduma na waingie katika sekta ya intellectual property kwa nguvu zaidi.


Sasa hapo jamani ndio kimesemwa nini? Yaani Zanzibar ijitahidi kujenga viwanda ambavyo vitaweza kuingiza bidhaa Ulaya, iingie katika sekta ya huduma hadi makampuni yake kushindana Ulaya na ichukulie mfano wa karafuu na zao hili lisajiliwe kuwa la asili ya Zanzibar na kama litaongezwa thamani (any value adding) iwe ni mamlaka ya Zanzibar ndiyo ichukue uamuzi huo.


Kisha wataalamu wetu wakatutolea mifano wa nchi masikini za magharibi hapo nyuma kidogo Ureno, Uhispania na Uturuki zilivyoweza kujigeuza na mifano ya Ulaya ya Mashariki akina Romania, Czech na nyinginezo. Jamani wataalamu wetu, nchi hizo mnazifananishaje na Zanzibar , kwa lipi au kwa kipi? Kwa ardhi, kwa viwanda, kwa elimu au kwa taaluma? Hivi wataalamu wetu hawajui au hawataki kusema kuwa misaada na mipango mikubwa ilitekelezwa ili kupelekea mabadiliko katika nchi hizo, ambazo zilikuwa tayari zimelengwa kukaribishwa uanachama wa EU pana zaidi?


Hivi wataalamu wetu wanashindwa vipi kushauri kuwa uchumi wa Zanzibar lazima upate msukumo maalum? Kwamba Zanzibar isiwachwe kupigania rasilimali zile zile na kwa wafadhili wale wale ambao Tanzania inajipeleka mbele hata kwa mambo yasiyo ya Muungano lakini inavaa koti la Muungano?

Je, wataalamu wetu hawangeweza kushauri kuwa Bodi ya Mapato ya Tanzania (TRA) isikusanye kodi Zanzibar kwa miaka 10 ijayo ili fedha zinazoingia kupitia kodi ziunde mfuko maalum wa ujenzi wa Zanzibar ( Special Fund for Zanzibar Reconstruction) na fedha hizo zikawa ni sehemu ya fidia?
Au wataalamu wetu kuishauri Serikali ya Tanzania na halikadhalika Jumuiya ya Afrika Mashariki ikawa na wazo kuu la kuifanya Zanzibar kuwa ni sehemu maalum na ya uchumi maalum (Special Economic Zone) kama vile China ilivyofanya kwa baadhi ya maeneo yake?
Professa Issa Shivji aliwahi kusema kuwa kama Tanzania ingetaka in'gare kiuchumi basi haikuwa na njia zaidi ya kuimarisha uchumi wa Zanzibar uwe ni dirisha lake la kuonyeshea mafanikio. Lakini hilo halikufanywa na hakuna nia ya kulifanya.
Serikali ya Muungano haijawahi kuwa na nia, wanaojua vyenginevyo wanisamehe, kuifanya Zanzibar kwa vitendo kuwa ni dirisha la kuonyesha mafanikio. Sio vitu vya kushitukiza na kimoja kukitekeleza leo na kingine mtondogoo.
Ndipo nikasema nimekereka sana na maneno ya Dk Mwinyi aliyesema ati, kuna hoja ya kutaka kuijadili asilimia 4.5 ambayo inapata Zanzibar kama gawio la misaada na hisa za Benki Kuu. Itakuwa vipi hoja iwe kiwango hicho kipunguzwe? Ikiwa hoja ni kuwa hiyo 4.5% Zanzibar haistahili kupata, kwani kuna lipi lilobadilika na je Zanzibar imekuwa ndogo zaidi na imekuwa na mahitaji madogo zaidi?


Hoja yangu kwa leo ni kuwa Serikali ya Muungano inafanya maamuzi kwa niaba ya Zanzibar na maamuzi mengine ambayo yanaathari kubwa ya kiuchumi kwa Zanzibar. Na Zanzibar hiyo hiyo inatarajiwa ishindane kiuchumi ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.


Fikra zangu ni kuwa Zanzibar ifidiwe na Serikali ya Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki au kwa maneno mengine taasisi hizo mbili ziwe na mipango maalumu ya kuisaidia Zanzibar.


Kama nchi za visiwa zitazama kwa kuongezeka joto duniani na kina cha maji kuongezeka, basi Zanzibar itazama mapema kwa kitanzi cha kiuchumi, ikiwa mfumo wa ?Kodi Sifuri? utatekelezwa bila ya Zanzibar kutayarishwa.

+255 777 4300 22

www.eternaltourszanzibar.net

jumbamaro.blogspot.com
__________________
Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
1, anaingilia, barua, bye, kama, kero, kuhusu, mafuta, mambo, mtazamo, muundo, muungano, ngambo, othman, pro, tanganyika, tumechoka, tushachoka, tuuvunje, unaopendelea, vikaragosi, vol, waachieni, waachiwe, waamue, wanayosema, wazanzibari, wenyewe, wenzenu, wetu, zake, zanzibar


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Tukumbuke Zamani: Historia Ya Taifa Letu Katika Picha Field Marshall ES Jamii Photos 1261 6th January 2010 03:40 PM
Hotuba ya Seif Shariff! JokaKuu Jukwaa la Siasa 131 11th December 2009 04:12 PM
Katiba ya Tanzania: Ilivyo na mapendekezo ya mabadiliko mzeewabusara Jukwaa la Siasa 489 6th November 2009 07:09 AM
Waziri Khatib akana kuwa na nyaraka kuhusu Muungano Mdondoaji Jukwaa la Siasa 9 15th October 2009 10:13 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 03:13 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com

You Rated this Thread: