Muungano na kero zake: Tuuvunje? - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


View Poll Results: TUVUNJE MUUNGANO?
Ndio 164 66.13%
Hapana 85 34.27%
Sijui 0 0%
Multiple Choice Poll. Voters: 248. You may not vote on this poll

Reply
 
LinkBack Thread Tools Rating: Thread Rating: 3 votes, 5.00 average. Display Modes
Old 26th June 2006, 08:41 PM  
Muungano na kero zake: Tuuvunje?
Sam Sam is offline 26th June 2006, 08:41 PM
Rating: (3 votes - 5.00 average)

Nimevumilia vya kutosha nikidhani kama kuna mtu anayekerwa na fumbuzi wa matatizo ya muungano yaliyotolea kwenye kikao cha pamoja kati ya Mh. Lowassa na Mh. Nahodha.

Kitu kinachonitisha ni kwamba yale mambo waliowaamulia wananchi yatapelekwa bungeni october kwa ajili ya "constitutional reforms".
Kwa upande wangu sikubaliana na ufumbuzi waliofikia kwa 100%
Check this out:

1) mineral and oil exploration be co-opted into the national debate on the future of the political federation.

-debate is good but mineral and oil exploration should not be political.

2)Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) should have an equal number of representatives from either side.

-Equal number kwa vigezo gani? Idadi ya watu? Tuelezene mlivyokuja na hiyo soultion equal number of people.

3)consultant on the distribution of wealth generated through mining and oil extraction be hired to advise the Union government on how it can be shared equitably.

-Please kama ni hivyo na huo muungano hatuutaki. For what?

4)It was decided that 50 per cent of the income would be used to finance the operations of the authority and the other 50 per cent be distributed on the basis of 60 per cent for the Mainland and 40 per cent for Zanzibar.

-Hivi hizo hesabu mnafanyaje? How did you come up with 60%, ardhi, watu,?????

Najua watanzania hawataki kuongelea muungano wakiogopa mizimu ya Mwalimu. Kwa upande wangu kuna mambo mawili tu hapa ambayo yanaweza kuleta ufumbuzi wa kudumu kwanza kuuvunja muungana na Zanzibar ikawa nchi kama ilivyo Kenya na tutaendelea kushirikian nao kama tunavyoshirikiana na Kenya, au Zanzibar uwe mkoa. zanzibar kuna watu wasiozidi 3 mil wakati mkoa wa Dar tu una watu 4 mil. Hapo utajiuliza ni kivitu tugawane nusu kwa nusu?

Kama watu hamtaki kuongela hili sual basi mwezi October linaingia kwenye katiba.



Mkataba wa makubaliano ya kuanzisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukisainiwa mwaka 1964.

Mkataba wenyewe (uliosainiwa) umeambatanishwa kama attachment.

Attached Files
File Type: zip Muungano_1964.zip (25.5 KB, 125 views)


Last edited by Silencer; 29th January 2010 at 08:50 PM.. Reason: Title from Tuvunje Muungano to new one!

Sam
JF Senior Expert Member
Points: 872,991, Level: 100 Points: 872,991, Level: 100 Points: 872,991, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue Jun 2006
Posts: 595
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 2 Posts
Views: 116282
Reply With Quote
The Following 2 Users Say Thank You to Sam For This Useful Post:
Mdondoaji (15th February 2010), Recta (28th January 2010)
  #21  
Old 2nd December 2006, 02:31 PM
Game Theory's Avatar
Game Theory Game Theory is offline
Game Theory has no status.
JF Premium Member
Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 7,285
Thanks: 60
Thanked 426 Times in 179 Posts
Rep Power: 19
Game Theory is an unknown quantity at this point
Default

sasa mbona mnajichanganya nyie si ndio mliokuwa mkikataa wasijiunge na OIC na wao wanaona kuwa hiyo ni haki yao vile vile walipotaka kurekebisha katiba yao wakakataliwa sasa inamaana kuwa hakuna way out...
Reply With Quote
  #22  
Old 2nd December 2006, 04:40 PM
quarz quarz is offline
quarz has no status.
Senior Member
Points: 221,179, Level: 100 Points: 221,179, Level: 100 Points: 221,179, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Sep 2006
Posts: 145
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 24
quarz will become famous soon enoughquarz will become famous soon enoughquarz will become famous soon enoughquarz will become famous soon enoughquarz will become famous soon enoughquarz will become famous soon enoughquarz will become famous soon enoughquarz will become famous soon enough
Default

kuvunja muungano ni mawazo finyu sana, kama alivyosema MZEE ES, muungano unahisotria yake, ni kielelezo cha ukombozi wa mtu mweusi dhidi ya ubaguzi wa waarabu,
tutaendelea kukilinda kisiwa kile kwa nguvu zote.
pia tunawapongeza viongozi wetu kwa kuziingiza rwanda na burundi kwenye jumuiya ya afrika mashariki, it is a positive move na lazima utendelee mpaka africa yote iwe kitu kimoja.
aluta continue.
Reply With Quote
  #23  
Old 21st December 2006, 05:30 PM
muta muta is offline
muta has no status.
Junior Member
Points: 79,839, Level: 100 Points: 79,839, Level: 100 Points: 79,839, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Dec 2006
Posts: 8
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
muta will become famous soon enoughmuta will become famous soon enoughmuta will become famous soon enoughmuta will become famous soon enoughmuta will become famous soon enoughmuta will become famous soon enoughmuta will become famous soon enoughmuta will become famous soon enough
Default

swala la zanzibar ni bom linalo subili kupasuka,sababu za nyerere kufanya muhungano kwa sasa hazipo tena moja wapo ikiwa ni ulinzi. zanzibar lazima tuachane nayo.ina matatizo mengi sana .kwanza vizazi cha sasa cha wazanzibar kinapotea wengi wapo canada ,uk ,usa,nk.nchi imeuzwa kwa waitaliano.baada ya miaka 40 zanzibar itakuwa kama palestina wazawa watakuwa awana ardhi watabakia kurusha mawe. kuhusu maalim seif ni tatizo kwa wazanzibar jamaa huyu ni ccm tena wa nguvu ameweza kuisaidia ccm mpaka leo bila kugundurika na wana caf.utaona wakati wa kampein maneno mengi kwa mfano mara hii hatukubali,jino kwa jino 'ngangari,tukishindwa hatuondoki.vitisho tu .matokeo yakitoka utaona anasema wanakafu rudi nyumbani niachieni mie ,basi huyu bwana akisha vuta cheki yake kwa kikwete anasuri miaka mingine mitano awafeck tena wapemba.
Reply With Quote
  #24  
Old 22nd December 2006, 01:59 PM
Ole's Avatar
Ole Ole is offline
Ole Just watching...
JF Senior Expert Member
Points: 280,360, Level: 100 Points: 280,360, Level: 100 Points: 280,360, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sat Dec 2006
Posts: 950
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 25
Ole will become famous soon enoughOle will become famous soon enoughOle will become famous soon enoughOle will become famous soon enoughOle will become famous soon enoughOle will become famous soon enoughOle will become famous soon enoughOle will become famous soon enough
Default

Zanzibarians ni watu wa ajabu, wana rais wao na wanapanga mikakati yao wenyewe. kama wameshindwa kuwa na amani kiasi cha watu laki kumi wataweza kweli kuhimili misukosuko ya kimataifa?

Mimi kwa maoni yangu binafsi kama Zanzibar hawataki huu muungano basi bora uvunjike hatuwezi kila siku kusikia hadithi ileile ambayo haina kichwa wala mkia.
Reply With Quote
  #25  
Old 2nd January 2007, 11:50 PM
Kibunango's Avatar
Kibunango Kibunango is offline
Kibunango Mapinduzi Daima...! CCM Damu.
JF Senior Expert Member
Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100
Activity: 39% Activity: 39% Activity: 39%
 
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 4,870
Thanks: 351
Thanked 207 Times in 169 Posts
Rep Power: 4033
Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!
Send a message via MSN to Kibunango Send a message via Yahoo to Kibunango
Default

Suta Bandiko Hili Wewe Unaejitia Ndie M....
__________________
Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problems,
But, if you think again, neither does milk."
Vituko Vya Zenj
Reply With Quote
  #26  
Old 2nd January 2007, 11:55 PM
Lunyungu Lunyungu is offline
Lunyungu Kisu Kikali Mno
JF Senior Expert Member
Points: 1,697,655, Level: 100 Points: 1,697,655, Level: 100 Points: 1,697,655, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Dec 2006
Location: Malampaka
Posts: 4,706
Thanks: 1
Thanked 205 Times in 111 Posts
Rep Power: 33
Lunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enough
Default

Hivi kasoro za Muungano ni zipi ambazo hazisemwi hapa ? Na zitarekebishwa lini na nani ?
Reply With Quote
  #27  
Old 3rd January 2007, 12:17 AM
Kibunango's Avatar
Kibunango Kibunango is offline
Kibunango Mapinduzi Daima...! CCM Damu.
JF Senior Expert Member
Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100
Activity: 39% Activity: 39% Activity: 39%
 
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 4,870
Thanks: 351
Thanked 207 Times in 169 Posts
Rep Power: 4033
Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!
Send a message via MSN to Kibunango Send a message via Yahoo to Kibunango
Default

Hili sio bandiko
__________________
Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problems,
But, if you think again, neither does milk."
Vituko Vya Zenj
Reply With Quote
  #28  
Old 3rd January 2007, 12:18 AM
Kibunango's Avatar
Kibunango Kibunango is offline
Kibunango Mapinduzi Daima...! CCM Damu.
JF Senior Expert Member
Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100
Activity: 39% Activity: 39% Activity: 39%
 
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 4,870
Thanks: 351
Thanked 207 Times in 169 Posts
Rep Power: 4033
Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!
Send a message via MSN to Kibunango Send a message via Yahoo to Kibunango
Default

Watz Bara wote wasiofika Zenj ni Washamba tu....
__________________
Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problems,
But, if you think again, neither does milk."
Vituko Vya Zenj
Reply With Quote
  #29  
Old 3rd January 2007, 07:03 AM
Game Theory's Avatar
Game Theory Game Theory is offline
Game Theory has no status.
JF Premium Member
Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 7,285
Thanks: 60
Thanked 426 Times in 179 Posts
Rep Power: 19
Game Theory is an unknown quantity at this point
Default

Jaman Mbona Wazenji Hawaji Humu?
Reply With Quote
  #30  
Old 3rd January 2007, 09:09 PM
Tabasamu Tabasamu is offline
Tabasamu has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 88,547, Level: 100 Points: 88,547, Level: 100 Points: 88,547, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Nov 2006
Posts: 279
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 24
Tabasamu will become famous soon enoughTabasamu will become famous soon enoughTabasamu will become famous soon enoughTabasamu will become famous soon enoughTabasamu will become famous soon enoughTabasamu will become famous soon enoughTabasamu will become famous soon enoughTabasamu will become famous soon enough
Default

Quote:
View Post
Hivi kasoro za Muungano ni zipi ambazo hazisemwi hapa ? Na zitarekebishwa lini na nani ?
Swali zuri sana hili ndugu Lunyugu.
Kila mara tunaambiwa kero za Muungano, Rais mwenyewe kaunda Wizara kushughulikia masuala ya Muungano (bila shaka kero) lakini hata siku moja hakuna nayetwambia kero hizo ni zipi. Muungano una kero moja tu nayo ni baadhi ya Wazanzibari wanaodhani nje ya bara maisha yatakuwa peponi. Muungano hauwei kuvunjika kwa sababu yeyote iwayo sana sana Zanzibar itaja kuwa mkoa kama hawataridhika na autonomy waliyo nayo. Haya ya undugu na weusi sijui kucha za Waarabu ni bay the way tu zaidi ni Uchumi. Ingekuwa shauri ya undugu kwa nini hatukuungana na Kenya, ambako kote kuna Wajaluo na Wamasai? Au Malawi na Msumbiji kwa Wamanda na Wamakonde?
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
1, anaingilia, barua, bye, kama, kero, kuhusu, mafuta, mambo, mtazamo, muundo, muungano, ngambo, othman, pro, tanganyika, tumechoka, tushachoka, tuuvunje, unaopendelea, vikaragosi, vol, waachieni, waachiwe, waamue, wanayosema, wazanzibari, wenyewe, wenzenu, wetu, zake, zanzibar


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Tukumbuke Zamani: Historia Ya Taifa Letu Katika Picha Field Marshall ES Jamii Photos 1261 6th January 2010 03:40 PM
Hotuba ya Seif Shariff! JokaKuu Jukwaa la Siasa 131 11th December 2009 04:12 PM
Katiba ya Tanzania: Ilivyo na mapendekezo ya mabadiliko mzeewabusara Jukwaa la Siasa 489 6th November 2009 07:09 AM
Waziri Khatib akana kuwa na nyaraka kuhusu Muungano Mdondoaji Jukwaa la Siasa 9 15th October 2009 10:13 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 05:41 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com

You Rated this Thread: