Muungano na kero zake: Tuuvunje? - Page 11 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


View Poll Results: TUVUNJE MUUNGANO?
Ndio 164 66.13%
Hapana 85 34.27%
Sijui 0 0%
Multiple Choice Poll. Voters: 248. You may not vote on this poll

Reply
 
LinkBack Thread Tools Rating: Thread Rating: 3 votes, 5.00 average. Display Modes
Old 26th June 2006, 08:41 PM  
Muungano na kero zake: Tuuvunje?
Sam Sam is offline 26th June 2006, 08:41 PM
Rating: (3 votes - 5.00 average)

Nimevumilia vya kutosha nikidhani kama kuna mtu anayekerwa na fumbuzi wa matatizo ya muungano yaliyotolea kwenye kikao cha pamoja kati ya Mh. Lowassa na Mh. Nahodha.

Kitu kinachonitisha ni kwamba yale mambo waliowaamulia wananchi yatapelekwa bungeni october kwa ajili ya "constitutional reforms".
Kwa upande wangu sikubaliana na ufumbuzi waliofikia kwa 100%
Check this out:

1) mineral and oil exploration be co-opted into the national debate on the future of the political federation.

-debate is good but mineral and oil exploration should not be political.

2)Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) should have an equal number of representatives from either side.

-Equal number kwa vigezo gani? Idadi ya watu? Tuelezene mlivyokuja na hiyo soultion equal number of people.

3)consultant on the distribution of wealth generated through mining and oil extraction be hired to advise the Union government on how it can be shared equitably.

-Please kama ni hivyo na huo muungano hatuutaki. For what?

4)It was decided that 50 per cent of the income would be used to finance the operations of the authority and the other 50 per cent be distributed on the basis of 60 per cent for the Mainland and 40 per cent for Zanzibar.

-Hivi hizo hesabu mnafanyaje? How did you come up with 60%, ardhi, watu,?????

Najua watanzania hawataki kuongelea muungano wakiogopa mizimu ya Mwalimu. Kwa upande wangu kuna mambo mawili tu hapa ambayo yanaweza kuleta ufumbuzi wa kudumu kwanza kuuvunja muungana na Zanzibar ikawa nchi kama ilivyo Kenya na tutaendelea kushirikian nao kama tunavyoshirikiana na Kenya, au Zanzibar uwe mkoa. zanzibar kuna watu wasiozidi 3 mil wakati mkoa wa Dar tu una watu 4 mil. Hapo utajiuliza ni kivitu tugawane nusu kwa nusu?

Kama watu hamtaki kuongela hili sual basi mwezi October linaingia kwenye katiba.



Mkataba wa makubaliano ya kuanzisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukisainiwa mwaka 1964.

Mkataba wenyewe (uliosainiwa) umeambatanishwa kama attachment.

Attached Files
File Type: zip Muungano_1964.zip (25.5 KB, 125 views)


Last edited by Silencer; 29th January 2010 at 08:50 PM.. Reason: Title from Tuvunje Muungano to new one!

Sam
JF Senior Expert Member
Points: 872,991, Level: 100 Points: 872,991, Level: 100 Points: 872,991, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue Jun 2006
Posts: 595
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 2 Posts
Views: 116281
Reply With Quote
The Following 2 Users Say Thank You to Sam For This Useful Post:
Mdondoaji (15th February 2010), Recta (28th January 2010)
  #101  
Old 14th April 2007, 08:31 AM
Jembajemba's Avatar
Jembajemba Jembajemba is offline
Jembajemba has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 210,035, Level: 100 Points: 210,035, Level: 100 Points: 210,035, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sat Feb 2007
Posts: 670
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 25
Jembajemba will become famous soon enoughJembajemba will become famous soon enoughJembajemba will become famous soon enoughJembajemba will become famous soon enoughJembajemba will become famous soon enoughJembajemba will become famous soon enoughJembajemba will become famous soon enoughJembajemba will become famous soon enough
Default

Mhandisi;

Hili suali nadhani wangelipelekewa CUF wenyewe walijibu
Reply With Quote
  #102  
Old 29th April 2007, 07:02 PM
Gigo Gigo is offline
Gigo free
Banned
Points: 209,653, Level: 100 Points: 209,653, Level: 100 Points: 209,653, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Aug 2006
Posts: 473
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Gigo will become famous soon enoughGigo will become famous soon enoughGigo will become famous soon enoughGigo will become famous soon enoughGigo will become famous soon enoughGigo will become famous soon enoughGigo will become famous soon enoughGigo will become famous soon enough
Lightbulb

Babu yangu!! 73..ame sema Kuvunja muungano Ni AIBU!!

Turekebishe Tu..pale Tuanpo ona haifai..
Lakini Kuuvunja- Ni Kushindwa Kujitawala....
Nafikiri kila Kitu kikiwa nisirikali...Basi hatuta fika...
Kuna kitu ambacho watu wanapenda kukifahamu...

sort of Questions Of trust!!

Ukweli ndio utakao amua kwa sababu uongo ndio unao taka kuuvunja muungano...
Reply With Quote
  #103  
Old 29th April 2007, 08:15 PM
Mtu wa Pwani's Avatar
Mtu wa Pwani Mtu wa Pwani is offline
Mtu wa Pwani Si Kila Kin'garacho ni dhahabu
JF Senior Expert Member
Points: 917,691, Level: 100 Points: 917,691, Level: 100 Points: 917,691, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Dec 2006
Posts: 2,861
Thanks: 6
Thanked 8 Times in 7 Posts
Rep Power: 28
Mtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enough
Default

Gigo
Jee Kuna Utayari Wa Kutosha Kuliweka Suala Hili Wazi Lijadiliwe, Just Kuna Ushkaji Tu.

Mficha Maradhi Mauti Yatamuumbua
Reply With Quote
  #104  
Old 29th April 2007, 08:18 PM
Jasusi Jasusi is offline
Jasusi is a truth seeker
JF Premium Member
Points: 279,364, Level: 100 Points: 279,364, Level: 100 Points: 279,364, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
 
Join Date: Fri May 2006
Posts: 4,192
Thanks: 1,149
Thanked 636 Times in 320 Posts
Rep Power: 32
Jasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enough
Default

Mtumwitu,
Toa hoja tuizungumzie. Bwana Engineer, kupeleka umeme Pemba ndio uwekezaji ninaouzungumzia. Tupeleke umeme, tujenge barabara na miundombinu mingineneyo pamoja na kurahisisha usafiri, malalamiko ya Wapemba yatapungua.
Reply With Quote
  #105  
Old 29th April 2007, 08:25 PM
Mtu wa Pwani's Avatar
Mtu wa Pwani Mtu wa Pwani is offline
Mtu wa Pwani Si Kila Kin'garacho ni dhahabu
JF Senior Expert Member
Points: 917,691, Level: 100 Points: 917,691, Level: 100 Points: 917,691, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Dec 2006
Posts: 2,861
Thanks: 6
Thanked 8 Times in 7 Posts
Rep Power: 28
Mtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enough
Default

Malalamiko Tuliyaoredheshan I Mengi
Mfano Kwa Nini Elimu Ya Juu Ni Ya Muungano Lkn Toka Tupate Uhuru Imeshikiliwa Na Upande Mmoja Tu?
Viongozi Wote Upande Mmoja Kiasi Ambacho Huoni Sura Ya Kimuungano
Hata Nafasi Za Juu Zanzibar Tunabaniwa
Reply With Quote
  #106  
Old 29th April 2007, 08:37 PM
Jasusi Jasusi is offline
Jasusi is a truth seeker
JF Premium Member
Points: 279,364, Level: 100 Points: 279,364, Level: 100 Points: 279,364, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
 
Join Date: Fri May 2006
Posts: 4,192
Thanks: 1,149
Thanked 636 Times in 320 Posts
Rep Power: 32
Jasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enough
Default

Mtumwitu,
Ingawa suala la elimu ya juu ni la mwungano zingatia kwamba Tanzania bara ina idadi kubwa zaidi ya raia kulinganisha na Zanzibar. Hapa hatuwezi kuwa sawa kwa sawa. Bara tuna watu millioni 34 na uchwea wakati Zanzibar millioni mbili hawafiki. Na katika suala la uongozi hatuwezi kuwa nusu kwa nusu kwa mantiki hiyo ya upande mmoja kuwa na idadi kubwa zaidi. Lakini Mwalimu alijitahidi. Hata Mwinyi aliletwa bara na Mwalimu kwa ushauri wa Marehemu Babu. Kuhusu nafasi za juu Zanzibar, kama mwungano umewabana basi hiyo si haki. Mkilalamikia hilo nitakuwa upande wenu.
Reply With Quote
  #107  
Old 29th April 2007, 08:46 PM
Mtu wa Pwani's Avatar
Mtu wa Pwani Mtu wa Pwani is offline
Mtu wa Pwani Si Kila Kin'garacho ni dhahabu
JF Senior Expert Member
Points: 917,691, Level: 100 Points: 917,691, Level: 100 Points: 917,691, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Dec 2006
Posts: 2,861
Thanks: 6
Thanked 8 Times in 7 Posts
Rep Power: 28
Mtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enough
Default

Jasusi
Sasa Unaona Ni Fair Pale Wizarani, Tokea Waziri Hadi Maofisa Wote Kuwa Ni Upande Mmoja?

Kodi Ya Mikopo Wapo Wazanzibar Pale Au Kwa Kuwa Ni Kidogo?

Halafu Hebu Nielemishe Standard Hii Pia Ndio Inavyofanyiwa Rwanda Na Burundi Kwenye Eac? Nnakusudia Mabo Ya Muungano Nchi Kwa Nchi Inaenda Na Idadi Ya Watu? Au Hapa Tu Tanzania
?????////
Reply With Quote
  #108  
Old 29th April 2007, 08:51 PM
Jasusi Jasusi is offline
Jasusi is a truth seeker
JF Premium Member
Points: 279,364, Level: 100 Points: 279,364, Level: 100 Points: 279,364, Level: 100
Activity: 19% Activity: 19% Activity: 19%
 
Join Date: Fri May 2006
Posts: 4,192
Thanks: 1,149
Thanked 636 Times in 320 Posts
Rep Power: 32
Jasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enoughJasusi will become famous soon enough
Default

Mtumwitu,
Sijasema ni fair. Kuna wakati waziri mdogo wa elimu alikuwa Mzanzibari. Haya ni mambo tunayoweza kuyazungumzia katika ufuatiliaji wa kero za mwungano wetu. Kuhusu Rwanda na Burundi mimi nadhani wanachotaka zaidi katika mwungano ni kulinda maslahi yao--unajua hawa ni landlocked. Wanategemea Tanzania na Kenya kwa bidhaa zinazoingia kutoka nje. Wao sidhani watajali sana mambo ya uwiano wa madaraka etc. At least ndiyo impression ninayopata kutoka kwa Wanyarwanda na Warundi niliozungumza nao.
Reply With Quote
  #109  
Old 29th April 2007, 09:02 PM
Mtu wa Pwani's Avatar
Mtu wa Pwani Mtu wa Pwani is offline
Mtu wa Pwani Si Kila Kin'garacho ni dhahabu
JF Senior Expert Member
Points: 917,691, Level: 100 Points: 917,691, Level: 100 Points: 917,691, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Dec 2006
Posts: 2,861
Thanks: 6
Thanked 8 Times in 7 Posts
Rep Power: 28
Mtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enough
Default

ndio nikauliza jee serikali iko tayari kweli kuzungumzia suala hili kwa uwazi?
Reply With Quote
  #110  
Old 29th April 2007, 09:04 PM
Mtu wa Pwani's Avatar
Mtu wa Pwani Mtu wa Pwani is offline
Mtu wa Pwani Si Kila Kin'garacho ni dhahabu
JF Senior Expert Member
Points: 917,691, Level: 100 Points: 917,691, Level: 100 Points: 917,691, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Dec 2006
Posts: 2,861
Thanks: 6
Thanked 8 Times in 7 Posts
Rep Power: 28
Mtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enough
Default

wakuu wa vikosi vyote vya ulinzi toka tuanzishe muungano kumekamatwa na tanganyika.

wakuu wajeshi polisi na kwengineko au ndio yale yasemwayo tumemuondoa mkoloni mweupe na kumpelekea nchi mkoloni mweusi?

jee unajua kuwa wazanzibari kwa kuona tunaonewa humuita muasisi wa mapinduzi ni dalali?
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
1, anaingilia, barua, bye, kama, kero, kuhusu, mafuta, mambo, mtazamo, muundo, muungano, ngambo, othman, pro, tanganyika, tumechoka, tushachoka, tuuvunje, unaopendelea, vikaragosi, vol, waachieni, waachiwe, waamue, wanayosema, wazanzibari, wenyewe, wenzenu, wetu, zake, zanzibar


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Tukumbuke Zamani: Historia Ya Taifa Letu Katika Picha Field Marshall ES Jamii Photos 1261 6th January 2010 03:40 PM
Hotuba ya Seif Shariff! JokaKuu Jukwaa la Siasa 131 11th December 2009 04:12 PM
Katiba ya Tanzania: Ilivyo na mapendekezo ya mabadiliko mzeewabusara Jukwaa la Siasa 489 6th November 2009 07:09 AM
Waziri Khatib akana kuwa na nyaraka kuhusu Muungano Mdondoaji Jukwaa la Siasa 9 15th October 2009 10:13 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 04:51 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com

You Rated this Thread: