Muungano na kero zake: Tuuvunje? - Page 101 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


View Poll Results: TUVUNJE MUUNGANO?
Ndio 164 66.13%
Hapana 85 34.27%
Sijui 0 0%
Multiple Choice Poll. Voters: 248. You may not vote on this poll

Reply
 
LinkBack Thread Tools Rating: Thread Rating: 3 votes, 5.00 average. Display Modes
Old 26th June 2006, 08:41 PM  
Muungano na kero zake: Tuuvunje?
Sam Sam is offline 26th June 2006, 08:41 PM
Rating: (3 votes - 5.00 average)

Nimevumilia vya kutosha nikidhani kama kuna mtu anayekerwa na fumbuzi wa matatizo ya muungano yaliyotolea kwenye kikao cha pamoja kati ya Mh. Lowassa na Mh. Nahodha.

Kitu kinachonitisha ni kwamba yale mambo waliowaamulia wananchi yatapelekwa bungeni october kwa ajili ya "constitutional reforms".
Kwa upande wangu sikubaliana na ufumbuzi waliofikia kwa 100%
Check this out:

1) mineral and oil exploration be co-opted into the national debate on the future of the political federation.

-debate is good but mineral and oil exploration should not be political.

2)Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) should have an equal number of representatives from either side.

-Equal number kwa vigezo gani? Idadi ya watu? Tuelezene mlivyokuja na hiyo soultion equal number of people.

3)consultant on the distribution of wealth generated through mining and oil extraction be hired to advise the Union government on how it can be shared equitably.

-Please kama ni hivyo na huo muungano hatuutaki. For what?

4)It was decided that 50 per cent of the income would be used to finance the operations of the authority and the other 50 per cent be distributed on the basis of 60 per cent for the Mainland and 40 per cent for Zanzibar.

-Hivi hizo hesabu mnafanyaje? How did you come up with 60%, ardhi, watu,?????

Najua watanzania hawataki kuongelea muungano wakiogopa mizimu ya Mwalimu. Kwa upande wangu kuna mambo mawili tu hapa ambayo yanaweza kuleta ufumbuzi wa kudumu kwanza kuuvunja muungana na Zanzibar ikawa nchi kama ilivyo Kenya na tutaendelea kushirikian nao kama tunavyoshirikiana na Kenya, au Zanzibar uwe mkoa. zanzibar kuna watu wasiozidi 3 mil wakati mkoa wa Dar tu una watu 4 mil. Hapo utajiuliza ni kivitu tugawane nusu kwa nusu?

Kama watu hamtaki kuongela hili sual basi mwezi October linaingia kwenye katiba.



Mkataba wa makubaliano ya kuanzisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukisainiwa mwaka 1964.

Mkataba wenyewe (uliosainiwa) umeambatanishwa kama attachment.

Attached Files
File Type: zip Muungano_1964.zip (25.5 KB, 125 views)


Last edited by Silencer; 29th January 2010 at 08:50 PM.. Reason: Title from Tuvunje Muungano to new one!

Sam
JF Senior Expert Member
Points: 872,991, Level: 100 Points: 872,991, Level: 100 Points: 872,991, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue Jun 2006
Posts: 595
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 2 Posts
Views: 116282
Reply With Quote
The Following 2 Users Say Thank You to Sam For This Useful Post:
Mdondoaji (15th February 2010), Recta (28th January 2010)
  #1001  
Old 4th April 2008, 11:28 AM
Mtu wa Pwani's Avatar
Mtu wa Pwani Mtu wa Pwani is offline
Mtu wa Pwani Si Kila Kin'garacho ni dhahabu
JF Senior Expert Member
Points: 917,691, Level: 100 Points: 917,691, Level: 100 Points: 917,691, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Dec 2006
Posts: 2,861
Thanks: 6
Thanked 8 Times in 7 Posts
Rep Power: 28
Mtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enough
Default Re: Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Ipinduliwe?

Quote:
View Post
Mhhhh!!!!!!!!!!!!
Nashauri wakristo woooote hii kazi ya kupindua wawaachie waislamu kwani hata serikali yenyewe imejaa waislamu au siyo wakulu?

Hakuna haja ya mkristo kushiriki hapo.tutahamia bara woooote wakati wakipindua pindu.

pindua pindu pindu pinduuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
POLE MBAGUZI WA KIDINI NA USHINDWE NA ULEGEEE


MZEE KARUME ALIPOSEMA MAPINDUZI DAIMA, HAMAANISHI WATU WAPINDUANE KWA SILAHA.


BALI MAPINDUZI YA KIFIKRA NA KULETA MAENDELEO MSIPOTESHE MAANA HALISI YA MAPINDUZI DAIMA
__________________
Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown
Reply With Quote
  #1002  
Old 4th April 2008, 01:07 PM
Ndivyo Ilivyo Ndivyo Ilivyo is offline
Ndivyo Ilivyo has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 79,322, Level: 100 Points: 79,322, Level: 100 Points: 79,322, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 250
Thanks: 1
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
Ndivyo Ilivyo will become famous soon enoughNdivyo Ilivyo will become famous soon enoughNdivyo Ilivyo will become famous soon enoughNdivyo Ilivyo will become famous soon enoughNdivyo Ilivyo will become famous soon enoughNdivyo Ilivyo will become famous soon enoughNdivyo Ilivyo will become famous soon enoughNdivyo Ilivyo will become famous soon enough
Default Re: Maalim Seif wa CUF aenda Ulaya kuishitaki CCM

Quote:
View Post
CUF waende popote kushitaki na wataonekana wajinga na mahayawani wa kutupwa. Ni ukosefu wa mawazo kwa kuwa na ubongo ulioganda.
Waende watakapo kuishitaki CCM, na kama haitoshi huko Ulaya na America basi waende kwa waarabu pia.
Kimsingi nakubaliana na wewe. Na hii siyo kama ni mshabiki au mpenzi wa CCM. Nina mawazo pia kuwa CCM sio wanaotufaa. Mimi nafikiri Znz sasa wanahitaji alternative political forces. Chama mbadala ambacho kitapambana na vimbwanga vya CCM, na udhaifu wa CUF, Chama kitakachoongoza mapambano ya kweli ya kizazi cha leo katika kuwakomboa kweli wa-zanzibari na kuwaletea umoja wao. sio mashairi ya CUF na CCM, wote wana fikra na mawazo mgando.
Reply With Quote
  #1003  
Old 4th April 2008, 03:25 PM
Mtu wa Pwani's Avatar
Mtu wa Pwani Mtu wa Pwani is offline
Mtu wa Pwani Si Kila Kin'garacho ni dhahabu
JF Senior Expert Member
Points: 917,691, Level: 100 Points: 917,691, Level: 100 Points: 917,691, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Dec 2006
Posts: 2,861
Thanks: 6
Thanked 8 Times in 7 Posts
Rep Power: 28
Mtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enoughMtu wa Pwani will become famous soon enough
Default Re: Maalim Seif wa CUF aenda Ulaya kuishitaki CCM

Quote:
View Post
Kimsingi nakubaliana na wewe. Na hii siyo kama ni mshabiki au mpenzi wa CCM. Nina mawazo pia kuwa CCM sio wanaotufaa. Mimi nafikiri Znz sasa wanahitaji alternative political forces. Chama mbadala ambacho kitapambana na vimbwanga vya CCM, na udhaifu wa CUF, Chama kitakachoongoza mapambano ya kweli ya kizazi cha leo katika kuwakomboa kweli wa-zanzibari na kuwaletea umoja wao. sio mashairi ya CUF na CCM, wote wana fikra na mawazo mgando.
mkuu nnaona kama vile kiko chama kule kinaitwa JAHAZI ASILIA hakiwezi kuwa alternative ?

nnamkumbuka kulikuwa nakijana anaitea kitole aligombea urais miaka ya nyuma kijana smart sana
__________________
Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown
Reply With Quote
  #1004  
Old 4th April 2008, 03:38 PM
Mugishagwe Mugishagwe is offline
Mugishagwe has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 382,729, Level: 100 Points: 382,729, Level: 100 Points: 382,729, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Fri Apr 2006
Posts: 345
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 24
Mugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enough
Default Re: Maalim Seif wa CUF aenda Ulaya kuishitaki CCM

Quote:
View Post
Niliongea suala hili katika thread moja na watu wameshafuta kama kawaida yao.Vyama hivi ninanipa shaka kubwa sansa kama wakipewa waongoze nchi sababu watatuletea mambo ya Neo colonoalism.kuna chama kimoja cha kikabila huwa wanapata pesa toka Ujerumani ili waongoze shughuli zao.CUF sijui zinatoka wapi.CUF-Zanzibar kuwa watu makini ila kwa hapa Bara,Upinzani Bado sana labda wajipange kwa miaka kama 50 huku wakisaidiwa na waandishi wa habari ila kama siyo hivyo bado sana..sana sana CHADEMA,hakina viongozi na kimejaa watu wabinafsi tu(Mawazo Binafsi)
Mataifa ya Nje tumeyachoka na tunahitajki kufanya maamuzi sie wenyewe.Matokeo ya kuzikaribisha nci za magharibi ni kuchochea uharibifu wa Amani.

Gembe wewe ni mmoja wa wachache sana nina penda kusoma michango yao .Leo naona unajishusha hadhi kwa kusema kuna chama cha Kikabila na uongo wa kupata pesa Ujerumani .Kama ni misaada kwa Chadema basi huwa wanapata sana UK na si Ujerumani .Kama unaona Zitto kwenda huko mara kwa mara basi huwa na mambo yake binafsi na si kwa Chadema .Kwanza chama cha kikabila kwa kivipi ?CCM yenu ni Chama kweli cha watu wote wa Tanzania na hasa baada ya Mwalimu ?
__________________
Hizi ni zama za ukweli na uwazi lakini 2 + 2 = 24"Benjamin William Mkapa"
Reply With Quote
  #1005  
Old 4th April 2008, 03:40 PM
Mugishagwe Mugishagwe is offline
Mugishagwe has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 382,729, Level: 100 Points: 382,729, Level: 100 Points: 382,729, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Fri Apr 2006
Posts: 345
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 24
Mugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enoughMugishagwe will become famous soon enough
Default Re: Maalim Seif wa CUF aenda Ulaya kuishitaki CCM

Quote:
View Post
Kimsingi nakubaliana na wewe. Na hii siyo kama ni mshabiki au mpenzi wa CCM. Nina mawazo pia kuwa CCM sio wanaotufaa. Mimi nafikiri Znz sasa wanahitaji alternative political forces. Chama mbadala ambacho kitapambana na vimbwanga vya CCM, na udhaifu wa CUF, Chama kitakachoongoza mapambano ya kweli ya kizazi cha leo katika kuwakomboa kweli wa-zanzibari na kuwaletea umoja wao. sio mashairi ya CUF na CCM, wote wana fikra na mawazo mgando.
Ndivyo unaweza kuutaja udhaifu wa CUF ?
__________________
Hizi ni zama za ukweli na uwazi lakini 2 + 2 = 24"Benjamin William Mkapa"
Reply With Quote
  #1006  
Old 4th April 2008, 03:43 PM
mukombosi mukombosi is offline
mukombosi has no status.
Senior Member
Points: 83,396, Level: 100 Points: 83,396, Level: 100 Points: 83,396, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Mar 2008
Posts: 52
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
mukombosi will become famous soon enoughmukombosi will become famous soon enoughmukombosi will become famous soon enoughmukombosi will become famous soon enoughmukombosi will become famous soon enoughmukombosi will become famous soon enoughmukombosi will become famous soon enoughmukombosi will become famous soon enough
Default Re: Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Ipinduliwe?

Mtu wa Pwani:
Nakuuliza tena una uhakika mimi ni mbaguzi wa kidini?
Hivi kwanini viongozi wa vyama na serikali ya hapa zanzibar wooote ni waislamu?Hili limefanyika na waislamu,then unaacha kukemea ushenzi huu,na kuniita mimi mbaguzi wa kidini.
Hivi huwa unakaa na kufikiria kabla ya kukosoa watu?hivi ni kwanini mnapinga politics za BUSH zidi ya waislamu wenzenu huko uarabuni?so mnataka na sisi tuwaachie wakristo wenzetu waingie ktk gharama zisizo na maslahi kwao?embu nikuulize wewe mnafiki,wakristo watafaidika vipi na kuisaidia serikali ya zanzibar?wakati hata mjumbe wa shina mkristo hapa zenj hakuna.
Naomba ujicheck kwanza,usitake tufunue na yasiyofunuliwa hapa.
Reply With Quote
  #1007  
Old 4th April 2008, 03:50 PM
Bikirembwe's Avatar
Bikirembwe Bikirembwe is offline
Bikirembwe Bikizee
Senior Member
Points: 89,924, Level: 100 Points: 89,924, Level: 100 Points: 89,924, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Feb 2008
Location: Gingingi
Posts: 243
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
Bikirembwe will become famous soon enoughBikirembwe will become famous soon enoughBikirembwe will become famous soon enoughBikirembwe will become famous soon enoughBikirembwe will become famous soon enoughBikirembwe will become famous soon enoughBikirembwe will become famous soon enoughBikirembwe will become famous soon enough
Default Re: Maalim Seif wa CUF aenda Ulaya kuishitaki CCM

Quote:
View Post
Kimsingi nakubaliana na wewe. Na hii siyo kama ni mshabiki au mpenzi wa CCM. Nina mawazo pia kuwa CCM sio wanaotufaa. Mimi nafikiri Znz sasa wanahitaji alternative political forces. Chama mbadala ambacho kitapambana na vimbwanga vya CCM, na udhaifu wa CUF, Chama kitakachoongoza mapambano ya kweli ya kizazi cha leo katika kuwakomboa kweli wa-zanzibari na kuwaletea umoja wao. sio mashairi ya CUF na CCM, wote wana fikra na mawazo mgando.
Quote:
View Post
Ndivyo unaweza kuutaja udhaifu wa CUF ?
Ndugu yetu huyo muachie tu kama ukisoma post zake zote zinazohusu mgogoro wa Znz utajua yuko upande gani ingawa katika hii alianza kwa kujishuku na kujipapatua kuwa si mshabiki Chi Chi Emu - tufanyeje ndio demokrasia na moja katika vigezo vyake ni kuvumiliana.

Tusubiri pengine atakupa huo udhaifu kama si kushambulia viongozi binafsi.
__________________
It is easy to open a shop, but hard to keep it open
Reply With Quote
  #1008  
Old 4th April 2008, 04:01 PM
Hussein Abdallah Hussein Abdallah is offline
Hussein Abdallah has no status.
Senior Member
Points: 109,340, Level: 100 Points: 109,340, Level: 100 Points: 109,340, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Oct 2006
Posts: 94
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 24
Hussein Abdallah will become famous soon enoughHussein Abdallah will become famous soon enoughHussein Abdallah will become famous soon enoughHussein Abdallah will become famous soon enoughHussein Abdallah will become famous soon enoughHussein Abdallah will become famous soon enoughHussein Abdallah will become famous soon enoughHussein Abdallah will become famous soon enough
Default Re: Maalim Seif wa CUF aenda Ulaya kuishitaki CCM

Quote:
View Post
Ndugu yetu huyo muachie tu kama ukisoma post zake zote zinazohusu mgogoro wa Znz utajua yuko upande gani ingawa katika hii alianza kwa kujishuku na kujipapatua kuwa si mshabiki Chi Chi Emu - tufanyeje ndio demokrasia na moja katika vigezo vyake ni kuvumiliana.

Tusubiri pengine atakupa huo udhaifu kama si kushambulia viongozi binafsi.
Watu wanafanya unazi kabisa .Nashangaa wanaishindwa kuona kwamba Seif had a trip planned prior NEC ya Butiama .Lakini pia mnalaumu sana kwamba Arudi kwa wananchi kuishitako CCM .Wamesha fanya tayari na kusema wanajitoa mlitaka ashitaki mara ngapi ? CCM wanasema shauri lirudi kwa wananchi mbona wakati wanaiba kura nan kutangaza matokeo kwa nguvu hawawashirikishi wananchi ?
__________________
CCM ni kama kokoro lililovua samaki, makakara , konono, na matope yote ya ziwani-Julius K . Nyerere.
Reply With Quote
  #1009  
Old 4th April 2008, 04:24 PM
Bikirembwe's Avatar
Bikirembwe Bikirembwe is offline
Bikirembwe Bikizee
Senior Member
Points: 89,924, Level: 100 Points: 89,924, Level: 100 Points: 89,924, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Feb 2008
Location: Gingingi
Posts: 243
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
Bikirembwe will become famous soon enoughBikirembwe will become famous soon enoughBikirembwe will become famous soon enoughBikirembwe will become famous soon enoughBikirembwe will become famous soon enoughBikirembwe will become famous soon enoughBikirembwe will become famous soon enoughBikirembwe will become famous soon enough
Default Re: Maalim Seif wa CUF aenda Ulaya kuishitaki CCM

Quote:
View Post
Watu wanafanya unazi kabisa .Nashangaa wanaishindwa kuona kwamba Seif had a trip planned prior NEC ya Butiama .Lakini pia mnalaumu sana kwamba Arudi kwa wananchi kuishitako CCM .Wamesha fanya tayari na kusema wanajitoa mlitaka ashitaki mara ngapi ? CCM wanasema shauri lirudi kwa wananchi mbona wakati wanaiba kura nan kutangaza matokeo kwa nguvu hawawashirikishi wananchi ?
Maneno yako swadakta kabisa lakini wengine ndio ni mashabiki hata uwambie nini hawasikii - ama mimi CCM hata wanambie Mungu mmoja siwaamini lazima niwaulize Mungu yupi isijeikawa Lata.
__________________
It is easy to open a shop, but hard to keep it open
Reply With Quote
  #1010  
Old 4th April 2008, 04:58 PM
Mushobozi's Avatar
Mushobozi Mushobozi is offline
Mushobozi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 166,787, Level: 100 Points: 166,787, Level: 100 Points: 166,787, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Aug 2007
Location: Buzwagi
Posts: 405
Thanks: 3
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
Mushobozi will become famous soon enoughMushobozi will become famous soon enoughMushobozi will become famous soon enoughMushobozi will become famous soon enoughMushobozi will become famous soon enoughMushobozi will become famous soon enoughMushobozi will become famous soon enoughMushobozi will become famous soon enough
Default Re: Maalim Seif wa CUF aenda Ulaya kuishitaki CCM

Quote:
View Post
Nilishawahi kusema Maalimu Seif ni miongoni kwa Threats za Muafaka Zanzibar.

Kwa kuwa anatamani ashike madaraka hata kwa siku mbili!!! That is ngangari bwana.

Huko Nyuma nilishawahi kumlinganisha na Marehemu. Jonas Savimbi... ambaye alivyoondoka tu... it took hardly less than 10 days... vita ya miaka zaidi ya 25 ya Angola ikaisha...Ingawa siku zote tuliambia tatizo ilikuwa la chama chake cha UNITA, kumbe ilikuwa yeye mwenyewe Savimbi.

Na leo hii Maalimu Seif akisema siasa basi, au hagombei tena, au uongozi wa siasa basi... Muafaka Zanzibar utapatikana same day/week/month or maximum same year. Kwani Tatizo sio CUF, tatizo ni Maalim Seif mwenyewe.

Kumbukeni munkari wake ulivyopungua alivyoanza kupewa mafao ya Waziri Kiongozi mstaafu...

na mimi nilishasema kuwa Maalim sio kitu. ni kama sadamu Hussein. watu wengi walimuonya Marekani kuwa ukimuondoa Sadam na watoto wake wawili, sio jibu la matatizo. jibu lake ni kuangalia mzizi mzima. ila marekani alikataa. sasa ona yanayotokea Iraq.
__________________
NI HERI NIISHI KAMA BINADAMU ASIYERIDHIKA
KULIKO KUISHI KAMA NGURUWE ALIYERIDHIKA



Though pressed and crooked against walls
I will die fighting back
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
1, anaingilia, barua, bye, kama, kero, kuhusu, mafuta, mambo, mtazamo, muundo, muungano, ngambo, othman, pro, tanganyika, tumechoka, tushachoka, tuuvunje, unaopendelea, vikaragosi, vol, waachieni, waachiwe, waamue, wanayosema, wazanzibari, wenyewe, wenzenu, wetu, zake, zanzibar


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Tukumbuke Zamani: Historia Ya Taifa Letu Katika Picha Field Marshall ES Jamii Photos 1261 6th January 2010 03:40 PM
Hotuba ya Seif Shariff! JokaKuu Jukwaa la Siasa 131 11th December 2009 04:12 PM
Katiba ya Tanzania: Ilivyo na mapendekezo ya mabadiliko mzeewabusara Jukwaa la Siasa 489 6th November 2009 07:09 AM
Waziri Khatib akana kuwa na nyaraka kuhusu Muungano Mdondoaji Jukwaa la Siasa 9 15th October 2009 10:13 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 05:48 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com

You Rated this Thread: