Wakuu nimezunguka kwa wauza magazeti wa hapa ubungo na mwenge lakini wote wameniambia gazeti la Raia Mwema halijatoka. Je ni kweli halijatoka au watu wamelinunua lote? Je kuna mtu yeyote anayejua linapatikana wapi?
Wakuu nimezunguka kwa wauza magazeti wa hapa ubungo na mwenge lakini wote wameniambia gazeti la Raia Mwema halijatoka. Je ni kweli halijatoka au watu wamelinunua lote? Je kuna mtu yeyote anayejua linapatikana wapi?
Nilisikia jana wanatangaza kwamba linatoka kesho alhamisi badala ya leo jumatano ili kuwapa wasomaji wake nafasi na uchambuzi wa yale yote yalityotokea leo kwenye kikao cha bajeti.
kuna thread kama hii na majibu yalishatoka kama hayo hapo juu.
linasubiria bajeti litatoka kesho
Thread closed!
Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.
nimeipenda signature yako
Hivi gazeti linaotoka kulingana na matukio tu au linafuata ratiba yake.........kama kuna jambo la dharura linatoa makala maalumu..............it only in TZ u see this kind of nonsense............
John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"
John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."
Follow Us Here