Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: TOL Gases Limited inaliwa wenye hisa zenu....

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      Tuntui's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default TOL Gases Limited inaliwa wenye hisa zenu....

      Niliweke wazi kwenu kampuni ya gas ya tanzania TOL Gases LTD iliyoko pugu road imekuwa shamba la bibi kwa muda mrefu na hii yote inasababishwa na Uongozi mbove chini mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi Mr. H.Temu, huyu jamaa amekuwa akifanya kila kitu kama anavyotaka .juzi katangaza nafasi za kazi kwa ma director watu tumeenda kufanya interview kumbe tayari nafasi zote wamepewa wakenya, wanahisa mnalalamika kampuni haipati faida wakati wakenya 4 wanalipwa 500mil kwa mwaka hii kwa sababu MD analipwa 20mil, na madirector 10mil kila mmoja wakati ukiuliza kazi zao ni utumbo mtupu huyo MD kajaza wakenya wenzie na anafanya finita za kufukuza waswahili wote subirini muone.Mr Temu amefanya fitina mpaka mzee Anorld akajiuzulu kisa kampuni ilishaanza kupunguza hasara.

      Kuna wabongo mainjia wa ukweli pale TOL wenye elimu ya kweli na uzoefu ndio maana unaona ile mitambo mpaka leo inafanya kazi lakini mishaahara yao ni aibu wanalipwa sio zaidi ya 3m kwa mwezi, pale watu wanaajiliwa kwa memo naomba Uhamiaji muhamie pale muone vituko wahindi na wakenya .

      Napata tabu kupata uwezo wa mwenyekiti wa Board waswahili amkeni ile kampuni hawezi kupata hasara mnaliwa....................... ....................WENYE HISA KATAENI UPUUZI

      NAWASIRISHA
      MIMI MWENYE HISA ZILIZOCHOKA --TUNTU

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Silly's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : nku-nyumba-nde
      Posts : 186
      Rep Power : 470
      Likes Received
      20
      Likes Given
      13

      Default Re: Tol gases limited inaliwa wenye hisa zenu ..............

      Sio hiyo tu mbona hizi zinazoitwa multi - national zote zina wageni wanaitwa ma-expat ambao wanafanya manegerial job za kawaida ambazo hazihitaji any special skills, wapo hata mafundi wengi tu wa kihindi, kifilipino kwenye migodi na bigger industries ambao wapo kwa ajili ya kujiendeleza wenyewe at the expense of locals, hao jamaa wa uhamiaji wakitoka hapo TOL wafanye ziara kwenye haya makampuni na wasiishie tu kwa ma HR wetu kwa sababu ndio wanasifika kwa short-cuts,
      mimi nipo mining napo mchezo ni ule ule wapo ma expat drivers, drillers, operator, supervisors, very foolish in deed...nao wana zaidi ya miaka mitatu..ina maana wabongo ni bongo lala kiasi kwamba wameshindwa kujifunza kutoka kwao so ina justify kuwepo kwao muda kama huo....

    4. #3
      MJINI CHAI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2010
      Location : INAPOPATIKANA CHAI
      Posts : 371
      Rep Power : 502
      Likes Received
      25
      Likes Given
      32

      Default Re: Tol gases limited inaliwa wenye hisa zenu ..............

      Pole Mkuu, jana tu wametimua wafanyakazi zaidi ya 27 bila sababu yeyote............Lakini TOL Gases LTD ilionyesha tangu mwanzo kuwa ingefika hapo ilipo kwani Uongozi wa mwanzo walimwachisha kazi kijana mmoja ambae alikuwa ROHO ya kiwanda..........Kuanzia hapo wiki moja baadae menejimenti ikafukuzwa kazi........miezi mitatu mkurugezi akasitaafu..........takribani miezi sita mkurugezi mpya akaachishwa kazi.......Wakaja sasa wakenya lakini bado hapajatulia......Damu ya Mwana KONDOO ilimwagwa kwa mtindo huo nadhani hatabaki mtu wazawa wote wataondolewa.......Wanawadanga nya Viongozi ya kuwa eti MTAMBO WA KUZALISHA GESI ni Mkubwa hivyo uuzwe awnunue Mdogo kulingana na Mahitaji wakati Gesi haitoshi kwa kutoweka miundo mizuri ya kuuza gesi tu kuna mikoa mpaka leo wanachome na kuwatoza wateja wao kwa kila sentimita waliyochomea kwa sababu gasi hakuna.........Tuna nini waTZ?.............Serikali iko wapi..........?

      Ningekuwa mimi ningewaita wafanyakazi wote wa zamani kubadilishana mawazo bila kujali nini kilitokea.......


      MATUNDA YA L. MASHA Mbunge wa zamani NYAMAGANA
      HILI=NDIYO...HILI=SIYO, LAKINI WAKATI UKIFIKA UKWELI UTAJULIKANA TU.

    5. #4
      Godwine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2010
      Location : dar
      Posts : 1,317
      Rep Power : 742
      Likes Received
      217
      Likes Given
      124

      Default Re: Tol gases limited inaliwa wenye hisa zenu ..............

      tatizo liko kwa wenye hisa kutojua nguvu yao kisheria na kuchekacheka na kutowawajibisha viongozi wao, ngoja muibiwe mpaka mtapojanjaluka

    6. #5
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,571
      Rep Power : 5617
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2283

      Default Re: TOL Gases Limited inaliwa wenye hisa zenu....

      nikipita hili jukwaa lazima nipate hasira.....

    7. Miaka 50

    8. #6
      mdawi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th March 2012
      Posts : 20
      Rep Power : 366
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By MJINI CHAI
      Pole Mkuu, jana tu wametimua wafanyakazi zaidi ya 27 bila sababu yeyote............Lakini TOL Gases LTD ilionyesha tangu mwanzo kuwa ingefika hapo ilipo kwani Uongozi wa mwanzo walimwachisha kazi kijana mmoja ambae alikuwa ROHO ya kiwanda..........Kuanzia hapo wiki moja baadae menejimenti ikafukuzwa kazi........miezi mitatu mkurugezi akasitaafu..........takribani miezi sita mkurugezi mpya akaachishwa kazi.......Wakaja sasa wakenya lakini bado hapajatulia......Damu ya Mwana KONDOO ilimwagwa kwa mtindo huo nadhani hatabaki mtu wazawa wote wataondolewa.......Wanawadanga nya Viongozi ya kuwa eti MTAMBO WA KUZALISHA GESI ni Mkubwa hivyo uuzwe awnunue Mdogo kulingana na Mahitaji wakati Gesi haitoshi kwa kutoweka miundo mizuri ya kuuza gesi tu kuna mikoa mpaka leo wanachome na kuwatoza wateja wao kwa kila sentimita waliyochomea kwa sababu gasi hakuna.........Tuna nini waTZ?.............Serikali iko wapi..........?

      Ningekuwa mimi ningewaita wafanyakazi wote wa zamani kubadilishana mawazo bila kujali nini kilitokea.......


      MATUNDA YA L. MASHA Mbunge wa zamani NYAMAGANA
      Nakubaliana nawe Mjini Chai, mimi ni mteja mkubwa saaana wa TOL ila nafikiria kutafuta supplier mwingine wa Gas, kuna Mainjinia Vichwa wametolewa kwa ajili ya FITNA na Majungu mfano G. Lyatuu alikuwa production Manager, A. Magai alikuwa Fundi Mkuu Mzee Matilya woote hawa ni vifaa wameamua kuleta wakenya na kuwaacha wazawa, nawaonea huruma wao walio na hisa pale.
      Immigration/Labour tafadhalini okoeni hili taifa linaangamia kwa kukosa MAARIFA Jamani.

      Any way mi napita kwa aliye na muda apite pale TOL awaulizie hao waliotajwa hapo juu ndio watakubaliana nami.

      Nawasilisha

    Similar Topics

    1. Wenye Hisa za NICOL wameliwa au...?
      By Ikena in forum Business & Economic Forum
      Replies: 242
      Last Post: 14th August 2012, 14:02
    2. Wenye mitandao mnatukera na meseji zenu za matangazo
      By Ulimakafu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 60
      Last Post: 27th November 2011, 13:54
    3. Replies: 12
      Last Post: 16th October 2011, 15:50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...