Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: My opinion: CCM fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni

    Report Post
    Page 7 of 7 FirstFirst ... 567
    Results 121 to 135 of 135
    1. #1
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default My opinion: CCM fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni

      Facebook: William Malecela on Saturday, June 4, 2011 at 8:13am

      @ NEW YORK CITY-USA: Nimeshitushwa sana na habari za CCM kuwaita Mapacha Watatu eti kwa mahojiano!, I mean mahojiano ya nini? Wananchi wa hili taifa tumechoshwa sana na hivi viini macho. Ni CCM wenyewe walio-raise the bar kwa kutangaza kujivua magambas na ni CCM iliyotangaza kuwaondoa kwenye NEC yake na CC, as a member of CCM I was incouraged na the news kwamba CCM ipo njiani kuwafukuza chama kabisa, sasa tena tunaposikia habari za mahojiano inaleta utatanishi! Mahojiano ya nini! mbona walishawaweka pembeni kwenye nafasi muhimu sana za ndani ya chama bila mahojiano? I mean sasa ni wakati wa CCM kutangaza kwamba imewafukuza tayari au ikubali kwamba haina huo ubavu!

      - I mean nothing personal, na sio kwamba kufukuzwa kwa hao mapacha watatu kutaondoa matatizo ya wananchi kwa siku moja, lakini tunategemea kwamba wakishavuliwa uanachama wa CCM, ifuatie kuwapeleka kwenye mkono wa SHERIA!. Tanzania tunasumbuliwa sana na tatizo moja tu nalo ni hatuna RESPECT KWA THE RULE OF LAW OF OUR LAND!, ndio maana hata huku majuuuu wengi wetu tunaishi kwa taabu sana maana hatujui kuishi kwa kuheshimu sheria. Hawa mapacha watatu wakikiwapelekwa kwenye sheria, ni kwamba sasa unafungua milango ya wanasiasa wahalifu wote nchini kupelekwa kwenye sheria na wananchi kuanza kuheshimu sheria kwanza za Jamhuri, hatimaye wataheshimu sheria za makazini mpaka sheria za familia majumbani mwao, I mean Wa-Tanzania we are too corrupt tunahitaji kuanzia somewhere na hapa kwenye mapacha watatu ndio penyewe sana, So CCM it is either now, or forget it! and Never!

      - CCM the burden is on us na wakati ni sasa, either tufanye kweli au tunyamaze, lakini habari za mahojiano maana yake ni kwamba somebody is not sure kama hawa waondolewe au la! Tunasema hivi sio tu wafukuzwe chama, isipokuwa wafikishwe kwenye SHERIA, na wengine wote wenye tuhuma za wizi wa mali zetu za umma na kodi zetu wananchi, ninasema mali zao zote zingekua frozen now na serikali, mpaka watakapothibitisha kwamba kwa miaka mitano ya uwaziri mtu unaweza kuwa Billionea na kuanza kusomesha watoto nje, na kununua magari ya kifahari pamoja na kuwa na hisa kila mahali kwenye makampuni makubwa na kujenga majumba ya ajabu. Ni muhimu sana kuwepo na Legal Facts ili haki zao watuhumiwa zisikiukwe, I mean we are not asking for a Mob Justice, au blind Justice! hapana tunataka Fairness Justice!

      - So! CCM the time is up, either wafukuzeni chama SASA hawa Chenge, Rostam na Lowassa, au nyamazeni turudie tulipokuwa siku zote yaani kama kawaida, tusubirie kuwa chama cha Upinzani 2015, kama KANU. Na CCM let me tell you this, siku tutakapoishia kua upande wa pili wa the glass, ndio imetoka haitakuja kurudi tena! Uliza UNIP kule Zambia!

      MUCH RESPECT! & MUNGU AIBRIKI TANZANIA!

      William Malecela @ New York City, US.

    2. Miaka 50

    3. #121
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default

      Quote By W. J. Malecela
      - Duh! loong time ago! ha! ha! ha!

      William.
      Duh!, kweli ni long time, mimi sikuamini yule William niliyemsifia kuwa ni bold , ndiye William yule yule niliyekutana naye Dodoma akipiga magoti kuwanyenyekea kina Lowassa kwa heshima zote katika kubembelezea kura za kula!.

      Sasa Mkuu William umekuja ground zero, kati ya hoja yako ya CCM iwafukuze now or never na hoja yangu kuwa JK na CCM yake si lolote sii chochote dhidi ya mapacha watatu na hana ubavu wa kuwaondoa!, hoja ipi imesimama?.

      Si umekuja na jee sasa si umeyaona mwenyewe?. Jee utaendelea kuling'ang'ania jahazi linalokwenda mrama hadi uzame nalo, ama uko tayari kuwa bold enough kusinama nawe uhesabiwe?.
      Saint Ivuga likes this.

    4. #122
      Manager's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2011
      Posts : 452
      Rep Power : 499
      Likes Received
      61
      Likes Given
      362

      Default Re: My opinion: Ccm fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni!

      Quote By Ta Muganyizi
      Kaka leo umekuwa objective ndugu yangu more that you have ever said. Hongera sana na safi saaaaaana.
      Hata mie nimeshangaa, jamaa kazindukia wapi sijui?

    5. #123
      KIM KARDASH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 4,252
      Rep Power : 0
      Likes Received
      564
      Likes Given
      55

      Default Re: My opinion: CCM fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni

      Quote By W. J. Malecela
      Facebook: William Malecela on Saturday, June 4, 2011 at 8:13am

      @ NEW YORK CITY-USA: Nimeshitushwa sana na habari za CCM kuwaita Mapacha Watatu eti kwa mahojiano!, I mean mahojiano ya nini? Wananchi wa hili taifa tumechoshwa sana na hivi viini macho. Ni CCM wenyewe walio-raise the bar kwa kutangaza kujivua magambas na ni CCM iliyotangaza kuwaondoa kwenye NEC yake na CC, as a member of CCM I was incouraged na the news kwamba CCM ipo njiani kuwafukuza chama kabisa, sasa tena tunaposikia habari za mahojiano inaleta utatanishi! Mahojiano ya nini! mbona walishawaweka pembeni kwenye nafasi muhimu sana za ndani ya chama bila mahojiano? I mean sasa ni wakati wa CCM kutangaza kwamba imewafukuza tayari au ikubali kwamba haina huo ubavu!

      - I mean nothing personal, na sio kwamba kufukuzwa kwa hao mapacha watatu kutaondoa matatizo ya wananchi kwa siku moja, lakini tunategemea kwamba wakishavuliwa uanachama wa CCM, ifuatie kuwapeleka kwenye mkono wa SHERIA!. Tanzania tunasumbuliwa sana na tatizo moja tu nalo ni hatuna RESPECT KWA THE RULE OF LAW OF OUR LAND!, ndio maana hata huku majuuuu wengi wetu tunaishi kwa taabu sana maana hatujui kuishi kwa kuheshimu sheria. Hawa mapacha watatu wakikiwapelekwa kwenye sheria, ni kwamba sasa unafungua milango ya wanasiasa wahalifu wote nchini kupelekwa kwenye sheria na wananchi kuanza kuheshimu sheria kwanza za Jamhuri, hatimaye wataheshimu sheria za makazini mpaka sheria za familia majumbani mwao, I mean Wa-Tanzania we are too corrupt tunahitaji kuanzia somewhere na hapa kwenye mapacha watatu ndio penyewe sana, So CCM it is either now, or forget it! and Never!

      - CCM the burden is on us na wakati ni sasa, either tufanye kweli au tunyamaze, lakini habari za mahojiano maana yake ni kwamba somebody is not sure kama hawa waondolewe au la! Tunasema hivi sio tu wafukuzwe chama, isipokuwa wafikishwe kwenye SHERIA, na wengine wote wenye tuhuma za wizi wa mali zetu za umma na kodi zetu wananchi, ninasema mali zao zote zingekua frozen now na serikali, mpaka watakapothibitisha kwamba kwa miaka mitano ya uwaziri mtu unaweza kuwa Billionea na kuanza kusomesha watoto nje, na kununua magari ya kifahari pamoja na kuwa na hisa kila mahali kwenye makampuni makubwa na kujenga majumba ya ajabu. Ni muhimu sana kuwepo na Legal Facts ili haki zao watuhumiwa zisikiukwe, I mean we are not asking for a Mob Justice, au blind Justice! hapana tunataka Fairness Justice!

      - So! CCM the time is up, either wafukuzeni chama SASA hawa Chenge, Rostam na Lowassa, au nyamazeni turudie tulipokuwa siku zote yaani kama kawaida, tusubirie kuwa chama cha Upinzani 2015, kama KANU. Na CCM let me tell you this, siku tutakapoishia kua upande wa pili wa the glass, ndio imetoka haitakuja kurudi tena! Uliza UNIP kule Zambia!

      MUCH RESPECT! & MUNGU AIBRIKI TANZANIA!

      William Malecela @ New York City, US.
      Naunga mkono hoja,vua gamba,vua gwanda, vaa uzalendo tusonge mbele habari ndio hiyo.

    6. 911
      #124
      911's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Posts : 494
      Rep Power : 646
      Likes Received
      51
      Likes Given
      304

      Default Re: My opinion: CCM fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni

      One year later.mapacha bado wanadunda ndani ya CCM isipokuwa yule aliyetangaza kuachana na siasa uchwala!!mahakamani!?Dont even go there!

    7. #125
      Malipo kwamungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 280
      Rep Power : 419
      Likes Received
      41
      Likes Given
      70

      Default Re: My opinion: CCM fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni

      Wee Willy!! Sikutegemea huu uzi utoke kwako! Chezea mapacha watatu!!

    8. FemaTV & Radio

    9. #126
      BUBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Location : KIMANZICHANA
      Posts : 629
      Rep Power : 558
      Likes Received
      170
      Likes Given
      174

      Default Re: My opinion: CCM fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni

      PASCO what do you mean hapa? Kwamba Mapacha3 wameshinda na hivyo wanaogopwa na viongozi wote wa CCM, au una maana kuwa viongozi na mapacha3 lao moja japokuwa sisi wa nje tunapigwa changa la macho? AU una maana JK na viongozi wa cciyenu wameondoa hoja ya kuwafukuza kwa ajili ya woga?.

      Suala la Wiliam nadhani kwa sehemu mimi ninampenda jinsi anavyochanganya mambo! Sometimes anakuwa radical (bila sababu zilizowazi) but in some cases he remains objective! Ni rahisi kufahamu upande upi anaangukia kulingana na upepo, but hoja zake nyingine kama alipoanzisha uzi huu ni nzito sana, na ni wana sisiyenu wachache wanaweza kuandika kwa uwazi namna hii. Hongera wiliyamu! QUOTE=Pasco;3959807]Duh!, kweli ni long time, mimi sikuamini yule William niliyemsifia kuwa ni bold , ndiye William yule yule niliyekutana naye Dodoma akipiga magoti kuwanyenyekea kina Lowassa kwa heshima zote katika kubembelezea kura za kula!.

      Sasa Mkuu William umekuja ground zero, kati ya hoja yako ya CCM iwafukuze now or never na hoja yangu kuwa JK na CCM yake si lolote sii chochote dhidi ya mapacha watatu na hana ubavu wa kuwaondoa!, hoja ipi imesimama?.

      Si umekuja na jee sasa si umeyaona mwenyewe?. Jee utaendelea kuling'ang'ania jahazi linalokwenda mrama hadi uzame nalo, ama uko tayari kuwa bold enough kusinama nawe uhesabiwe?.[/QUOTE]
      Pasco likes this.

    10. #127
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default Re: My opinion: CCM fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni

      Quote By Pasco
      Duh!, kweli ni long time, mimi sikuamini yule William niliyemsifia kuwa ni bold , ndiye William yule yule niliyekutana naye Dodoma akipiga magoti kuwanyenyekea kina Lowassa kwa heshima zote katika kubembelezea kura za kula!.

      Sasa Mkuu William umekuja ground zero, kati ya hoja yako ya CCM iwafukuze now or never na hoja yangu kuwa JK na CCM yake si lolote sii chochote dhidi ya mapacha watatu na hana ubavu wa kuwaondoa!, hoja ipi imesimama?.

      Si umekuja na jee sasa si umeyaona mwenyewe?. Jee utaendelea kuling'ang'ania jahazi linalokwenda mrama hadi uzame nalo, ama uko tayari kuwa bold enough kusinama nawe uhesabiwe?.
      - Pasco siasa ni hoja sio ugomvi wala uadui, kwamba nnilipigia magoti anybody ni exaggerations, niliomba kura na kwa vile Lowassa ni mbunge na yeye nilimuomba kura, vipi ulitaka nianze kumrushia ngumi huku ninamuomba kura ndio ungenioan shujaa? hoja zingine hizi bana inafurahisha sana!!


      William.
      Pasco likes this.

    11. #128
      luvcyna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2009
      Posts : 533
      Rep Power : 628
      Likes Received
      194
      Likes Given
      258

      Default Re: My opinion: CCM fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni

      no sio upigane ngumi willy simamia hoja yako wala usiache isinzie,. kumzungumzia mtu namna hii ulivyomuelezea kwenye hii thread tayari kunaweka utafauti wa kisiasa baina yako na yeye, hivyo basi swala la kumuomba kura halikuwa la ulazima,ungelimwacha mwenyewe aamue kukupa kama anaona unafaa... hiyo ilikuwa ni sawa kwa kanisa kuomba sadaka ya jambazi/muuaji anayejulikana tena wazi kabisa
      Pasco likes this.

    12. #129
      Kalumbesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : Shamba
      Posts : 864
      Rep Power : 603
      Likes Received
      266
      Likes Given
      120

      Default Re: My opinion: CCM fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni

      William thread hii ulianzisha tarehe 4/06/2011 leo ni tarehe 01/06/2012. Bado siku tatu utimie mwaka mmoja tangu wewe uhimize magamba wawafukuze mapacha watatu,Mkajinadi kwa kusema Mnavua gamba,Nape akapuliza tarumbeta na kujinadi kwamba yeye ni kiboko ya mafisadi,hadi leo hii hakuna kitu.Rostam alijiondoa tu ili kuendeleza biashara zake na akawaeleza kabisa hataki tena siasa zenu uchwara,hivyo ilionekana dhahiri hakujiuzulu kwa kufuata shinikizo lenu ambalo halikuwepo kwani kama CCM ilikuwa na nia kweli ya kuwafukuza kulikuwa hakuna haja ya kuwaambia eti wajiondoe wenyewe tena eti baada ya siku 90 za nini? WIZI MTUPU!.Cha ajabu bado hadi leo mnaendelea kupiga makelele ya kuisifu CCM hivi mna uelewa kweli ndugu zangu? mngekuwa waungwana si mngeona hii ni failure na kujiondoa CCM.chama kimekuwa cha mzaha mzaha tu maneno mengi vitendo negative. Anyway endeleeni kukumbatia upuuzi huu sisi ndio tunafurahi maana failure ya CCM ni failure ya mafisadi na ni success kwa chadema na wananchi wa Tanzania. hata maiti yangu haitakubali ku i support CCM
      Pasco likes this.
      The ballot is stronger than the bullet - Abraham Lincoln

    13. #130
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,677
      Rep Power : 10167
      Likes Received
      5655
      Likes Given
      12666

      Default Re: My opinion: Ccm fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni!

      Quote By mmakonde
      Hawa ndio financiers wa CCM na fisadi MKONO.
      Alikuwa dodoma huyu kaona kila kitu
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    14. #131
      speechwriter's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 114
      Rep Power : 421
      Likes Received
      35
      Likes Given
      38

      Default Re: My opinion: CCM fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni

      msimamo wako uko pale pale au umebadilika?

    15. #132
      Synthesizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th February 2010
      Posts : 808
      Rep Power : 714
      Likes Received
      368
      Likes Given
      32

      Default Re: My opinion: Ccm fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni!

      Quote By W. J. Malecela
      - Ukitaka kumua nyoka unaanzia kichwani kwanza! hawa mapacha watatu ndio hasa kichwa cha nyoka na magambas!

      William @ NYC, USA.
      William, William, William! Mbona unataka kuwa msahaulifu kiasi hiki? CCM gani chini ya Uenyekiti wa JK inaweza kuwa na ubavu wa kuwafukuza uanachama Lowasa, Rostam na Chenge?

      • Umesahau kwamba katika kupeleka form kugombea uraisi huko nyuma JK alikodi ndege kwenda Dodoma pamoja na Lowasa?
      • Umesahau kwamba katika kumteua Lowasa kuwa PM, pamoja na kupingwa na viongozi wengine, JK alisema hakukutana na Lowasa barabarani?
      • Umesahau kwamba katika mtandao wa JK kuwania uraisi, Rostam alikuwa ndiye mkusanyaji na mweka hazina wa fedha toka ndani na nje ya nchi (mataifa ya kiarabu), kinyume na sheria?
      • Umesahau kwamba katika mambo mengi ya kupindisha sheria kwa manufaa ya kina JK Chenge ndiye aliyekuwa Mwanasheria Mkuu?
      • Umesahau kwamba Lowasa aliongea wazi kwamba kwa lile la Richmond ikiwa angeweka mambo hadharani hata JK asingesimama?


      Na pengine kikubwa unachosahau ni kwamba hawa mapacha watatu leo JK akiidhinisha kufukuzwa kwao, wanaweza kumuumbua kwa namna ambayo haijawahi kutokea raisi kuumbuliwa! Watafunguka kwa vyombo vya habari vya ndani na nje kwa namna ambayo haijawahi kutokea, scandal kama za Watergate zitakuwa ni cha mtoto kabisaaa!

      Kuwafukuza uanachama mapacha watatu ni kuwaweka katika position ya kuwa na "nothing to lose" kwa jinsi ambavyo watakavyotoboa yale madhambi yote aliyofanya JK huko nyuma. Atakaye-lose hapa ni JK. Na nakwambia wazi, JK akiamua kusimamia mkutano wa kuwafukuza uanachama, itabidi aijiandae kuwa "impeached" kwa jinsi ambavyo watamuanika. Labda akawapigie magoti kwamba wasimuumbue anafanya hivyo kukiokoa chama. Suala ni kwamba, watakubali chama kiokolewe kwa wao kutolewa kafara?

      Umewahi kujiuliza kwa nini Sitta yuko so bold kuisema serikali yake mwenyewe, na bado anadumu katika baraza la mawaziri?

      Suala ni kwamba katika uongozi wake JK ameji-compromise mno, ameji-expose kushambuliwa, na hii imechangia sana kumfanya awe so permissive, au kwa watu wanavyoona, kuwa dhaifu katika maamuzi (exposure to blackmail). JK anapotabasamu akikemea rushwa za uchaguzi si bure. Hana freedom of speech kukemea rushwa ya uchaguzi, kwa kuwa anapofanya hivyo, kuna watu katika audience anayoi-address wanamuangalia kwa jicho la kusema "hata wewe unasema hayo?".

      Ni rahisi sana kuona kwa nini suala la kuwavua magamba lilikwama - ni suala tu la yale magamba kumwambia JK "we lose - you lose brother" na kumfunga kinywa JK.

      Kwa hiyo suala sio CCM hapa, suala ni kama JK atakubali madhambi yake ya huko nyuma kuanikwa hadharani, kufikia kiasi aachie uraisi kwa aibu kubwa.

      Kwa hiyo basi, CCM iko mtegoni sana hapa. Je, wawafukuze mapacha watatu, na ku-risk hao mapacha kufunguka juu ya JK na kumuumbua, au wayaache magamba ili kutozusha tafrani juu ya raisi wa CCM aliyepo madarakani? Either way, CCM inaweza ku-lose big time na kuwapa Chadema nchi on a silver platter; both options are devils any president would be very uncomfortable with.

      Kati ya devils hawa wawili, wewe ungekuwa JK, ungechagua yupi? Ni wazi sivyo? Kwamba kutowafukuza mapacha is the lesser devil of the two.
      Gulioni likes this.

    16. #133
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,466
      Rep Power : 19781
      Likes Received
      4294
      Likes Given
      1229

      Default Re: My opinion: CCM fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni

      Hivi bado msimamo huu unao?

    17. #134
      Albedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Posts : 4,978
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      1076
      Likes Given
      555

      Default Re: My opinion: CCM fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni

      Mapacha Watatu Vipi?
      "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


    18. #135
      maishamema's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th January 2013
      Posts : 14
      Rep Power : 321
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Re: My opinion: CCM fukuzeni mapacha watatu sasa au nyamazeni

      Sioni kama tatizo la ccm ni watu watatu,fikiri upya kwa maana wengi wanafahamika hujawataja na mengine mengi yata ibuka utafunga mdomo mwenyewe,tafuta chanzo cha hayo yote.

    Page 7 of 7 FirstFirst ... 567

    Similar Topics

    1. My Opinion: Kati ya hawa watatu LAZIMA mmoja awe rais 2015
      By Luteni in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 124
      Last Post: 7th May 2012, 13:58
    2. CCM ikiwatimua ‘mapacha watatu’ tutawapokea-AFP
      By issenye in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 16th June 2011, 15:37
    3. UVCCM vs MAPACHA WATATU
      By Quicklime in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 4th June 2011, 00:00
    4. Mapacha Watatu....
      By Shinto in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 20
      Last Post: 23rd May 2011, 17:13
    5. Mapacha watatu na 'eat more'
      By 'The Choosen' in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 1
      Last Post: 20th May 2011, 14:12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...