Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: DVD ya FMES =FAIL?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 37
    1. #1
      Game Theory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2006
      Posts : 10,054
      Rep Power : 3357
      Likes Received
      246
      Likes Given
      0

      Default DVD ya FMES =FAIL?

      ES alituahidi DVD yapata wiki mbiliz zilizopita...half way through huyu mzaramo akatuambia ohhh nitaiweka kwenye YOUTUBE kisha akabadilsha nyimbo kuwa atampa MKJJ aiweke kwenye KLH news...

      can we confirm kuwa ES naye ni katika JF fail brigade?



    2. #2
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,619
      Rep Power : 46737
      Likes Received
      16717
      Likes Given
      8553

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By GAME THEORY View Post
      ES alituahidi DVD yapata wiki mbiliz zilizopita...half way through huyu mzaramo akatuambia ohhh nitaiweka kwenye YOUTUBE kisha akabadilsha nyimbo kuwa atampa MKJJ aiweke kwenye KLH news...

      can we confirm kuwa ES naye ni katika JF fail brigade?

      Tuliza ball.. hivi mnafikiri kuna watu wameajiriwa kukaa na kukopy na kurusha DVDs... ni vizuri tuulizane kiungwana. Kwani kuna mwajiriwa wa JF au KLH News hapa... Hii sense ya entitlement inatufanya tuonekane kama liberal democrats.. Badala ya kuulizana kiungwana au hata kwa PM kweli mnamuanzishia mtu mada...
      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com

    3. #3
      Steve Dii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2007
      Location : Kihesa - Iringa
      Posts : 6,798
      Rep Power : 3283
      Likes Received
      925
      Likes Given
      2820

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Mimi naomba mmpatie muda wa kuiandaa jamani, uzuri ni kuwa kesha ahidi, huwezi jua bana, labda mambo ya teknolojia ya jinsi ya kututundikia yanaweza kuwa yanamzingua. As long as anayo, basi kuna siku ataileta au kumpatia mtu ailete hapa jamvini, tusianze kum-label ili hali bado yuko nasi hapa na bado hajatamka yaliyomsibu kuhusiana na hili....

      SteveD.



      Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

      Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.



    4. #4
      Pundit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2007
      Posts : 3,941
      Rep Power : 2644
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Tuliza ball.. hivi mnafikiri kuna watu wameajiriwa kukaa na kukopy na kurusha DVDs... ni vizuri tuulizane kiungwana. Kwani kuna mwajiriwa wa JF au KLH News hapa... Hii sense ya entitlement inatufanya tuonekane kama liberal democrats.. Badala ya kuulizana kiungwana au hata kwa PM kweli mnamuanzishia mtu mada...
      Mwanakijiji,

      Tatizo ahadi ni deni, na "Word is Bond"
      Pundit is sitting out Christmas

    5. #5
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,619
      Rep Power : 46737
      Likes Received
      16717
      Likes Given
      8553

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By Pundit View Post
      Mwanakijiji,

      Tatizo ahadi ni deni, na "Word is Bond"
      sasa si unamuuliza mtoa ahadi.. ndio mtu aje na dhihaka.. na ahadi zinavunjwa ndio ulimwengu wa halisia ulivyo.. and the law of entropy applies pia hapa... lakini ahadi haijavunjwa inawezekena imechelewesha au mtu katingwa au vitu ishirini elfu.. kwanini mtu asimuulize kwenye PM kumkumbisha ahadi hiyo? Hivi anajuaje kama bwana FMES hali yake ni nzuri, familia ni nzuri, kazini mambo mswano kiasi cha kuwa comfortable enough kuanza kutuma hizo DVDs. Mimi niliambiwa na mtu aliyempatia hizo DVD tangu mwanzo.. na waliniambia wataniunguzia.. guess what.? Sikuanzisha mada kusuggest kuwa wamefail kwa vile hazijaja when I thought they should have.. hallo?
      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com


    6. #6
      Kuhani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2008
      Posts : 2,985
      Rep Power : 1993
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By Pundit View Post
      Mwanakijiji,

      Tatizo ahadi ni deni, na "Word is Bond"
      Umegundua kwamba Mtanzania ukimwahidi kitu halafu usipotimiza hata hajali?

      Naweza kumwambia rafiki yangu, "e bwana samahani jana nilishindwa kukupigia kama nilivyoahidi..." halafu kabla hujamaliza kumwambia kwa nini ulishindwa anakukatisha, "...no no no, ni sawa tu, najua utakuwa ulitingwa..."

      NO, hujuia kama nilitingwa, ngoja nikueleze kwa nini nilishindwa, huwezi kutitetea kwa kushindwa kutimiza ahadi yangu bila kujua ni kwa nini nilishindwa...

      LOL!
      ``Nilidhani hapa kwenye JF we are above perceptions and we attempt to search for truth and only truth.´´ Dr.W.Slaa

    7. #7
      KadaMpinzani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2007
      Location : Chadema Restaurant
      Posts : 5,011
      Rep Power : 1634
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      nafikiri pia ni vizuri kumuuliza JK kiungwana na sio kumuanzishia mada/thread ! lol mtumieni barua pepe au barua...mhm!

    8. #8
      Steve Dii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2007
      Location : Kihesa - Iringa
      Posts : 6,798
      Rep Power : 3283
      Likes Received
      925
      Likes Given
      2820

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By Kuhani Mkuu View Post
      Umegundua kwamba Mtanzania ukimwahidi kitu halafu usipotimiza hata hajali?

      Naweza kumwambia rafiki yangu, "e bwana samahani jana nilishindwa kukupigia kama nilivyoahidi..." halafu kabla hujamaliza kumwambia kwa nini ulishindwa anakukatisha, "...no no no, ni sawa tu, najua utakuwa ulitingwa..."

      Anha Anha, ngoja nikueleze kwa nini nilishindwa, huwezi kutitetea kwa kushindwa kutimiza ahadi yangu bila kujua ni kwa nini nilishindwa...

      LOL!
      Kuhani, je utaondoa vipi ile adha ya kumbatiza mtu jina pale atakapojitokeza na kukamilisha ahadi yake, isitoshe ahadi ya kujitolea?!



      Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

      Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.



    9. #9
      KadaMpinzani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2007
      Location : Chadema Restaurant
      Posts : 5,011
      Rep Power : 1634
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By SteveD View Post
      Kuhani, je utaondoa vipi ile adha ya kumbatiza mtu jina pale atakapojitokeza na kukamilisha ahadi yake, isitoshe ahadi ya kujitolea?!
      ahadi ya aina nyingine ni ipi kama sio kujitolea ??

    10. #10
      Kuhani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2008
      Posts : 2,985
      Rep Power : 1993
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      ... inawezekena imechelewesha au mtu katingwa au vitu ishirini elfu.. kwanini mtu asimuulize kwenye PM kumkumbisha ahadi hiyo? Hivi anajuaje kama bwana FMES hali yake ni nzuri, familia ni nzuri, kazini mambo mswano kiasi cha kuwa comfortable enough kuanza kutuma hizo DVDs.
      Yani Mwanakijiji, nilikuwa naandika posti yangu ya hapo juu wakati wewe unatuma hii ya kwako. Halafu umesema yale yale ya kutingwa niliyo kuwa naandika wakati wewe unaposti! LOL!

      Ha haa laaa!

      Kutingwa haku justify kutotimiza ahadi na kunyamaza kimya. Inabidi ufahamishe uliowaahidi kwamba utashindwa kutimiza ahadi, kama ambavyo "ukitingwa" na ugonjwa unamfahamisha bosi kwamba siwezi kuja kazini kama nilivyoahadi kufanya kila asubuhi.

      Huyu ambae unasema hatujui kama ametingwa tumawona hapa akishiriki mijadala kila siku tokea ahadi itolewe!
      ``Nilidhani hapa kwenye JF we are above perceptions and we attempt to search for truth and only truth.´´ Dr.W.Slaa

    11. #11
      Kuhani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2008
      Posts : 2,985
      Rep Power : 1993
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By SteveD View Post
      Kuhani, je utaondoa vipi ile adha ya kumbatiza mtu jina pale atakapojitokeza na kukamilisha ahadi yake, isitoshe ahadi ya kujitolea?!
      Jina gani?

      Kwamba sio mtunza ahadi?

      Ukiahidi kujitolea kuja kunitembelea Jumanne halafu usije, tukakutana Jumatano sehemu husemi kitu chochote, Alhamisi nikakwita wewe sio mtunza ahadi, halafu Ijumaa ndio ukatokea. Unadhani ile sifa mbaya ya kutotunza ahadi niliyokupa Alhamisi umeifuta?
      ``Nilidhani hapa kwenye JF we are above perceptions and we attempt to search for truth and only truth.´´ Dr.W.Slaa

    12. #12
      Steve Dii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2007
      Location : Kihesa - Iringa
      Posts : 6,798
      Rep Power : 3283
      Likes Received
      925
      Likes Given
      2820

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By KadaMpinzani View Post
      ahadi ya aina nyingine ni ipi kama sio kujitolea ??
      Kada, nitatoa mfano, kama ahadi zote hizi mbili ziko sawa then, ahadi zote ni za kujitolea...

      --- sera za CCM kuleta maisha bora kwa kila mwananchi na kupambana na ufisadi kwa miaka yote iliyopo madarakani kama mojawapo ya kupatiwa kura za wananchi ni ahadi isiyo ya kujitolea, ni ahadi ambayo imelipiwa na wananchi kwa kuwapa CCM kura ili wawe madarakani. Wasipotimiza hilo linakuwa deni na hawana haki ya kusema kuwa tulijitolea.

      --- nchi ya Sweden kutamka kuwa itasaidia bajeti ya Taifa kwa mwaka 2009-2010 kwa asilimia 20 kama Serikali ya Tanzania itakuwa imekamilisha mpango wa kueneza umeme nchi nzima au mpango wa kusambaza maji ya bomba nchi nzima kufikia mwisho wa 2008, ni ahadi ya kujitolea isiyo deni, maana kama Sweden wanapata matatizo ya dharura kitaifa hivyo kushindwa kutimiza ahadi yao, Tanzania haiwezi kuidai Sweden kwa kutotimiza ahadi hiyo.... vivyo hivyo, serikali isipotimiza yale masharti iliyopewa, Sweden wanaweza wakaendelea na mpango wao wa kusupport bajeti au wanaweza kukatisha.

      Swali Kada: je, ahadi hizo mbili hapo juu zote ziko sawa, yaani ni za kujitolea?!



      Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

      Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.



    13. #13
      Steve Dii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2007
      Location : Kihesa - Iringa
      Posts : 6,798
      Rep Power : 3283
      Likes Received
      925
      Likes Given
      2820

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By KadaMpinzani View Post
      nafikiri pia ni vizuri kumuuliza JK kiungwana na sio kumuanzishia mada/thread ! lol mtumieni barua pepe au barua...mhm!
      DVD ya FMES = Sera Za CCM Kupitia Chairman Kikwete = (FAIL)?!



      Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

      Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.



    14. #14
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,619
      Rep Power : 46737
      Likes Received
      16717
      Likes Given
      8553

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By Kuhani Mkuu View Post
      Yani Mwanakijiji, nilikuwa naandika posti yangu ya hapo juu wakati wewe unatuma hii ya kwako. Halafu umesema yale yale ya kutingwa niliyo kuwa naandika wakati wewe unaposti! LOL!

      Ha haa laaa!

      Kutingwa haku justify kutotimiza ahadi na kunyamaza kimya. Inabidi ufahamishe uliowaahidi kwamba utashindwa kutimiza ahadi, kama ambavyo "ukitingwa" na ugonjwa unamfahamisha bosi kwamba siwezi kuja kazini kama nilivyoahadi kufanya kila asubuhi.

      Huyu ambae unasema hatujui kama ametingwa tumawona hapa akishiriki mijadala kila siku tokea ahadi itolewe!

      Kuhani.. kuna vitu nimejifunza katika maisha yangu haya mafupi.. la kwanza ni kuwa sayari ya dunia hainizunguki hata kama ningependa sana.

      Pili, maisha hayana haki utakuwa unakatishwa tamaa mara nyingi

      tatu, usiassume vitu bila kufuatilia, jaribu kufuatilia na tafuta chanzo

      nne, kama inabidi kulalamika basi toa nafasi mtu kujieleza na upate kumuelewa kama hutakubali maelezo yake hilo ni jambo jingine..

      tano.. usibatize watu majina tu kwa vile havikuendana na unavyotaka.

      Katika kuandika kwangu kwingi kuna vitu ambavyo sijavifanya hadi sasa; sijawahi kumuita JK jina lolote ambalo si la kwake au siyo cheo chake; Pamoja na mgongano wangu na Lowassa sikuwahi kumbatisha jina lolote lile ambalo si la kwake.. nikitumia kejeli au kebehi vyote navitumia katika majina yao na vyeo vyao. Nikisema kitu kuhusu jambo fulani najaribu kufuatilia kuna usahihi wake na kupata maelezo zaidi badala ya kuchukulia assumption zangu kuwa ni sahihi..

      Na mwisho, nikikosea najirudi kwani huo ndio uungwana na sitarajii kumpendezesha kila mtu. Lakini kama kutingwa watu hutingwa, na naamini ni ubinadamu kuwapa watu nafasi nyingine. Ni kwa sababu hiyo alipojiuzulu Lowassa makala yangu ya kwanza haikuwa ya kushangilia kuanguka kwake kama wengine...

      Ndio maana kamwe sitaanzisha mada ya kumgusa mwanachama yoyote hapa kwa namna yoyote ya kumfanya awe duni, sitombatiza mtu jina lolote la kebehi au kejeli, na wala katika kupingana kwangu sitatumia hoja za nguvu. Sasa tuko tofauti naelewa..

      so ambao mnajisikia mmesalitiwa, kwamba mioyo yenu imevunjwa kwa sababu "ahadi haikutimizwa" na wale ambao kwa namna moja wanaona kuwa "wameachwa solemba" naomba mgangamale tu mjipe moyo na msikate tamaa. Tumkumbushe ndugu yetu FMES kuhusu ahadi yake hiyo na tusimuone kafail kwa vile we didn't get what we wanted when we wanted tit.....
      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com

    15. #15
      Mtanzania's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2006
      Location : UK
      Posts : 5,300
      Rep Power : 5575
      Likes Received
      294
      Likes Given
      79

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Tuliza ball.. hivi mnafikiri kuna watu wameajiriwa kukaa na kukopy na kurusha DVDs... ni vizuri tuulizane kiungwana. Kwani kuna mwajiriwa wa JF au KLH News hapa... Hii sense ya entitlement inatufanya tuonekane kama liberal democrats.. Badala ya kuulizana kiungwana au hata kwa PM kweli mnamuanzishia mtu mada...
      Mwanakijiji,

      Lakini ukiahidi si ni lazima utimize? Bora kukaa kimya kuliko kutoa ahadi ambazo huwezi kuzitimiza.

      Mkuu FMES, timiza ahadi yako mkuu.

    16. #16
      Kafara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2007
      Posts : 1,051
      Rep Power : 841
      Likes Received
      25
      Likes Given
      12

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      naamini sio vibaya kumkumbusha mtoa ahadi kuhusu ahadi
      aliyoitoa. tatizo linakuja maneno gani yanatumika katika huko
      kukumbusha. na hili la kubatizana majina nadhani imezidi kuliko.

    17. Dua is offline
      Dua
      #17
      Dua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2006
      Posts : 3,534
      Rep Power : 1369
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By GAME THEORY View Post
      25/05/2008

      how long did it take kujua kama MEMBE ana chukua huu mradi wa ID cards? nilileta taarifa in January...magazeti yetu yakaja kucopy na kupaste ..ila wao waliamua kwenda more deep

      sasa whats so difficult na hili la daraja..i only requested 14 days kuanzia kesho
      Quote By Dua View Post


      Under pressure!
      Quote By GAME THEORY View Post
      nilitoa siku 14 lakini ningependa kuwafahamisha kuwa inawezekana kabisa zikawa chini ya siku 5

      stay tuned
      Well if you want to be purer than pure you better be pure. DVD kutoka kwa FMES na thread imeanzishwa lakini GT bado anasuasua kama utingo wa dala2. Karibu kwa GT's theory.
      Dua la kuku halimpati mwewe

    18. #18
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,048
      Rep Power : 2571
      Likes Received
      794
      Likes Given
      29

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By GAME THEORY View Post
      ES alituahidi DVD yapata wiki mbiliz zilizopita...half way through huyu mzaramo akatuambia ohhh nitaiweka kwenye YOUTUBE kisha akabadilsha nyimbo kuwa atampa MKJJ aiweke kwenye KLH news...

      can we confirm kuwa ES naye ni katika JF fail brigade?

      Kama ka fail basi uko naye draw maana uliwahi kuleta uzushi hapa na uka fail mwishowe yeye hadi sasa hakuna neno la kizushi wala mtu kupinga aliyo yasema .Mpe muda

    19. #19
      YournameisMINE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2007
      Location : Peramiho
      Posts : 3,794
      Rep Power : 1159
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By GAME THEORY View Post
      ES alituahidi DVD yapata wiki mbiliz zilizopita...half way through huyu mzaramo akatuambia ohhh nitaiweka kwenye YOUTUBE kisha akabadilsha nyimbo kuwa atampa MKJJ aiweke kwenye KLH news...

      can we confirm kuwa ES naye ni katika JF fail brigade?

      GT,
      uchokozi huo....friday yote hii unataka kumwaribia weekend mwenzio!! ushindwe na ulegee.....GT, worst person of the dayyyyyyy.

    20. #20
      KadaMpinzani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2007
      Location : Chadema Restaurant
      Posts : 5,011
      Rep Power : 1634
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: DVD ya FMES =FAIL?

      Quote By Lunyungu View Post
      Kama ka fail basi uko naye draw maana uliwahi kuleta uzushi hapa na uka fail mwishowe yeye hadi sasa hakuna neno la kizushi wala mtu kupinga aliyo yasema .Mpe muda
      ni vizuri ungeanzisha thread yako nyingine na wewe ya kumkumbusha, na sio kuja kudandia na kuvuruga watu wanachoongea... siku nyingine kama vipi usichangie tu !

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 27
      Last Post: 5th November 2011, 14:42
    2. Fashion Fail!
      By Ilulu in forum Jamii Photos
      Replies: 5
      Last Post: 12th April 2011, 13:59
    3. fail to install OS
      By Kampton in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 7
      Last Post: 8th April 2009, 10:22

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...