jamani kuna habari zimezagaa kwenye mtandao kwamba Naibu waziri wetu ni tapeli na ni "kihiyo", kwamba elimu aliyoandika kwenye CV si ya kweli, sasa hili mie linanitatiza.
Tuhuma ni hizi:
http://www.midweeksun.co.bw/1882175951645.html
CV yake ni hii:
http://www.parliament.go.tz/bunge/Mp...5-2010&fpkey=3 76&vusername=GUEST%22)
Je ni habari za kweli kwa mliopo huko TZ au mnao mfahamu?

Reply With Quote



Follow Us Here