Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Naomba muongozo wa CHADEMA

    Report Post
    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 92
    1. Sam is offline
      Sam
      #1
      Sam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2006
      Posts : 602
      Rep Power : 788
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Naomba muongozo wa CHADEMA

      Kwa kuwa lengo la kwanza la CHADEMA wakiingia madarakani ni kuitisha mkutano wa Katiba sasa na kwa matazamo wangu nadhani kama hilo ni lengo wa kwanza basi CHADEMA haina sera kwa sasa. Kwa nini nasema hivyo, kwa mfano wananchi wakikataa mfumo wa majimbo kwenye katiba ni kivipi CHADEMA itatekeleza mfumo huo na kwa vile CHADEMA inaamini kuwa huo mfumo utatuletea maendeleo ya haraka sasa ni kivipi itatuletea maendeleo bila mfumo huo? Navyojua mimi sera za vyama vinatokana na katiba iliyopo. Kwenye sera ya utawala CHADEMA wamesema watapunguza mikoa kuwa 10 sasa kama katiba itakayoundwa itasema rais/chama hakitakuwa na mamlaka ya kugawa mikoa, je CHADEMA itakumia udikteta kuunda mikoa 10? Naomba muongozo.


    2. #21
      Mwafrika wa Kike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2007
      Posts : 5,840
      Rep Power : 1779
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By Mtarajiwa View Post
      sasa mwkike huo ndiyo uthibitisho kwamba mimi ccm???
      mnajua tusiongee kiushabiki jamani ccm imejichimbia.nendeni vivijini ndiyo mtajua ccm nani na hao ndiyo wapiga kura wenyewe..
      ndiyo mana mimi nilishaanzisha thread hapa,hawa kina mbowe,lipumba,mrema,mbatia,pro f.baregu nk nk, kwanini kwanza wasianze kugombea ubunge ili waongeze nguvu kule?why urais in the first place hali wakijua wazi kuwa hawatashinda??
      Ukipata sehemu nimekuita ccm hapa kwenye hii thread basi niambie ili nikachunguzwe akili. I care less kama wewe ni ccm au mpinzani. Kuna wana ccm hapa kibao tu na tuko nao kwenye mapambano ya kukomboa nchi yetu.

      Unavyosema kuwa nendeni vijijini unataka nani akufanyie kazi on your behalf? kwa nini usiseme kuwa twendeni vijijini? kwa nini wewe usiwe sehemu ya haya mapambano?
      Well Behaved Women Never Make History

      Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

    3. #22
      Mtarajiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Posts : 443
      Rep Power : 665
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By mwafrika wa kike View Post
      Ukipata sehemu nimekuita ccm hapa kwenye hii thread basi niambie ili nikachunguzwe akili. I care less kama wewe ni ccm au mpinzani. Kuna wana ccm hapa kibao tu na tuko nao kwenye mapambano ya kukomboa nchi yetu.

      Unavyosema kuwa nendeni vijijini unataka nani akufanyie kazi on your behalf? kwa nini usiseme kuwa twendeni vijijini? kwa nini wewe usiwe sehemu ya haya mapambano?
      kwani wewe hujulikani hapa?mtu akikosoa chadema kidogo tu basi balaa!!hao wana ccm kibao unaoshirikiana nao kina nani zaidi ya kuwananga?
      ninaposema nendeni vijijini namaanisha CUF,CHADEMA,TLP nk waende nao wakaweke mizizi huko siyo kusubiri wakati wa chaguzi tu.
      Bahati mbaya siwezi kuwa huko kwa sasa,lakini nilishawahi kuwa muhamasishaji wa vijana katika kampeni ya ubunge ya jamaa mmoja wa upinzani,2005.nway jimbo lilikuwa wazi kabisa lakini jamaa hakushinda kwa mikakati mibovu ya chama chake.Kwahiyo naweza kusema kamchango kangu kali play part fulani siku zile na naamini kama 2010 atakwenda mpinzani makini na ccm wakampitisha yule mzee,basi watang'oka.
      Nadhani unaipata falsafa yangu sasa.Siyo Chadema wala CCM ila siku zote nita support kiongozi makini na siyo hawa waganga njaa!

    4. #23
      Mtarajiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Posts : 443
      Rep Power : 665
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By Lunyungu View Post
      Mtarajiwa I never call people names.Mimi huwa najadili nikiwa nina la kusema .Nikiwa sina nakaa kimya .Sijakuita wewe CCM ila soma tena uone nimeongea nini .Utofauti wa mawazo unatakiwa ili kuwa na kitu kincho eleweka .Lakini wewe unamchukua Prof SAhayo unamtukana nakusema Wapinzani.

      Wapinzani wakisema Rostam Mwizi so CCM ni wezi wanasema no just single out the person . Vipi hapa sisi Watanzania ?

      Kuna mapandikizi yanajulikana na jukumu la vyama vyenye mwelekeo nakukubalika kuwa makini lakini kusema Wapinzani wana njaa nk ni chuki na inakupunguzia heshima .

      Kuna mtu majuzi kasema JF ni kijiwe cha kijinga maeno ya Kariakoo walitaka kumezwa ikabidi nianze usuluhuishi .Ila CCM wanasema sisi ni Kijiwe na baadhi yao kama Kilango Mwakyembe ukiwauliza juu ya JF hata JK anajua tuna nondo kali .Nimekupa mfano tu ili usione nimekuvaa hapana .Nataja ujibu maswali yangu sasa hapo juu tafadhali .

      "Kuna nini ambacho kipo CCM ambacho huwezi kukipata katika Upinzani" ?

      hilo swali lako! Unajua mkuu tunatofautiana padogo sana.Huyu Shayo ni mfano tu na ndiyo upinzani wa tanzania ulivyo.Ubinafsi,unafiki,umamlu ki,mizengwe,kuwekeana vikwazo wao kwa wao nk
      mimi sifurahii maovu yanayofanywa na watu wa ccm.hoja yangu ni kwamba wakati umefika sasa Kwa tanzania kuwa na chama makini kabisa na chenye nguvu za kuweza kuikabili ccm.Siyo huu utitiri usiyo na kichwa wala miguu na kila mtu kugombea urais hali akijua kabisa kuwa hatopata.
      nadhani sasa umenipata!

    5. #24
      Mwafrika wa Kike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2007
      Posts : 5,840
      Rep Power : 1779
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By Mtarajiwa View Post
      kwani wewe hujulikani hapa?mtu akikosoa chadema kidogo tu basi balaa!!hao wana ccm kibao unaoshirikiana nao kina nani zaidi ya kuwananga?
      Wewe unategemea mtu akosoe Chadema au wapinzani bila sababu ya kueleweka kwangu kisha nikae kimya? kama ni hivyo umepotea njia.

      ninaposema nendeni vijijini namaanisha CUF,CHADEMA,TLP nk waende nao wakaweke mizizi huko siyo kusubiri wakati wa chaguzi tu.
      Bahati mbaya siwezi kuwa huko kwa sasa,lakini nilishawahi kuwa muhamasishaji wa vijana katika kampeni ya ubunge ya jamaa mmoja wa upinzani,2005.nway jimbo lilikuwa wazi kabisa lakini jamaa hakushinda kwa mikakati mibovu ya chama chake.
      Kwa hiyo wewe unaacha kufanya kazi kwa vile mtu ulimpigia kampeni alishindwa? Kama huu ndio utendaji kazi wako basi inabidi ukae huko huko uliko maana huwezi joto la jikoni.

      Kwa hiyo Naweza kusema kamchango kangu kali play part fulani siku zile na naamini kama 2010 atakwenda mpinzani makini na ccm wakampitisha yule mzee,basi watang'oka.
      Nadhani unaipata falsafa yangu sasa.Siyo Chadema wala CCM ila siku zote nita support kiongozi makini na siyo hawa waganga njaa!
      So far wewe ndio unaonekana mganga njaa na sidhani kama utetezi wako unahitajika hapa. Vyama vya upinzani vinashinda vijijini kila leo kama hukujua kuwa kigoma na tarime ni vijijini.

      Hayo ya wewe kusubiria wenzako wafanye kazi ndio uje kuwaunga mkono ni uvivu usiofaa kabisa kwenye mapambano dhidi ya mafisadi wa ccm
      Well Behaved Women Never Make History

      Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

    6. #25
      Game Theory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2006
      Posts : 10,054
      Rep Power : 3357
      Likes Received
      246
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA



    7. #26
      Mtarajiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Posts : 443
      Rep Power : 665
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By mwafrika wa kike View Post
      Wewe unategemea mtu akosoe Chadema au wapinzani bila sababu ya kueleweka kwangu kisha nikae kimya? kama ni hivyo umepotea njia.

      Kwahiyo nawe utashambulia hata bila kuwa na sababu ya kueleweka!


      Kwa hiyo wewe unaacha kufanya kazi kwa vile mtu ulimpigia kampeni alishindwa? Kama huu ndio utendaji kazi wako basi inabidi ukae huko huko uliko maana huwezi joto la jikoni.

      sasa kazi gani niliyoacha hiyo?mimi siko tanzania sasa,nimekuja kuongeza nondo huku maboxini.




      So far wewe ndio unaonekana mganga njaa na sidhani kama utetezi wako unahitajika hapa. Vyama vya upinzani vinashinda vijijini kila leo kama hukujua kuwa kigoma na tarime ni vijijini.

      Kifupi nilitumia senti zangu kidogo nilizokuwa nazo na rafiki yangu walau kumuokoa huyu jamaa manake alikuwa apeche alolo na kila siku na ahadi zisizokwisha chama kitanipa hela chama kitanipa hela.Au unataka nianze kuuza silaha???Sasa huko kuganga njaa kuko wapi?Majimbo yote ya tanzania wewe kushinda kigoma na tarime usharidhika,mengine ya nani sasa?CCM?

      Hayo ya wewe kusubiria wenzako wafanye kazi ndio uje kuwaunga mkono ni uvivu usiofaa kabisa kwenye mapambano dhidi ya mafisadi wa ccm
      Nani kafanya kazi nami nikamsubiria niende kumuunga mkono?
      Lakini hata hivyo kama mtu kafanya kazi nzuri kuna kosa gani kuja kumuunga mkono?Kwahiyo kumuunga mkono kwa mfano slaa katika vita ya ufisadi baada ya kutoka na ile list of shame ni dhambi eehhh??

    8. #27
      Mwafrika wa Kike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2007
      Posts : 5,840
      Rep Power : 1779
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By Mtarajiwa View Post
      Nani kafanya kazi nami nikamsubiria niende kumuunga mkono?
      Lakini hata hivyo kama mtu kafanya kazi nzuri kuna kosa gani kuja kumuunga mkono?Kwahiyo kumuunga mkono kwa mfano slaa katika vita ya ufisadi baada ya kutoka na ile list of shame ni dhambi eehhh??
      mhhh...

      jiunge na wapiganaji na sio kuwataka wao kwenda vijijini on your behalf at the same time ukiwaita kuwa wao ni waganga njaa. Na kwa taarifa yako, kama ukileta umbea hapa dhidi ya wapinzani, ukumbuke kuwa sihitaji ruhusa ya yoyote yule kukujibu. Get it?
      Well Behaved Women Never Make History

      Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

    9. #28
      Mtarajiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Posts : 443
      Rep Power : 665
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By mwafrika wa kike View Post
      mhhh...

      jiunge na wapiganaji na sio kuwataka wao kwenda vijijini on your behalf at the same time ukiwaita kuwa wao ni waganga njaa. Na kwa taarifa yako, kama ukileta umbea hapa dhidi ya wapinzani, ukumbuke kuwa sihitaji ruhusa ya yoyote yule kukujibu. Get it?
      mimi siujuwi umbea najua facts tu kwa hiyo usihofu!

    10. #29
      Mwafrika wa Kike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2007
      Posts : 5,840
      Rep Power : 1779
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By Mtarajiwa View Post
      mimi siujuwi umbea najua facts tu kwa hiyo usihofu!
      Asante mkuu kwa kutambua na kusema hili,
      Well Behaved Women Never Make History

      Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

    11. #30
      KadaMpinzani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2007
      Location : Chadema Restaurant
      Posts : 5,011
      Rep Power : 1633
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By Lunyungu View Post
      Kuna ushauri umepewa kwamba ukasome nini ya mwaka 2005.Je umesha soma ama hutaki hadi aje Zitto hapa aseme ndipo uelewe ?

      Kada Mpinzani kumbe upo nilidhani umekufa , ikisemwa Chadema tu unatokeza ? Shame on you hata hoja huwezi kujenga ila ushabiki ?

      Again mmepewa habari na link iko hapo juu kasomeni then mrudi na majibu yenu baada ya kusoma .
      haya, gotcha mzee ! tutaonana mbele ya safari !

    12. #31
      KadaMpinzani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2007
      Location : Chadema Restaurant
      Posts : 5,011
      Rep Power : 1633
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By Mtarajiwa View Post
      mimi siujuwi umbea najua facts tu kwa hiyo usihofu!
      tupo pamoja !

    13. #32
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,553
      Rep Power : 5114
      Likes Received
      2603
      Likes Given
      2287

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      CHADEMA porojo nyingi na hakuna mkakati wowote wa utekelezaji.

      Kila wakati ikija hoja hapa ya sera za CHADEMA utaona viongozi wao wanakuja kutoa thanks tu na hawajibu maswali ambayo wanapaswa kuyajibu.Badala yake wanakuja mashabiki kurefer watu kwa Ilani, Ilani gani unayorefer wana JF wakati viongozi wa CHADEMA wamekaririwa humu wakisema kuwa plan ya kuanzisha majimbo ni plan 0, wanatarajia mijadala izae plan 1 halafu sera kamili itoke baadae! sasa Ilani gani mnayowaambia watu wakasome???

      Huu mjadala ni mojawapo tu ya mifano ya jinsi CHADEMA walivyo na porojo.
      Nimeandika hapa mara nyingi na naendelea kurudia kuwa mchango wa baadhi ya viongozi wa CHADEMA katika kupiga vita ufisadi nchini unastahili kuheshimiwa na kupongezwa, ila CHADEMA kama chama hakiko tayari kuongoza taifa na sera yake kuu ya majimbo ni ndoto ya alinacha.
      "To greed, all nature is insufficient"

    14. #33
      Mwafrika wa Kike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2007
      Posts : 5,840
      Rep Power : 1779
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By zemarcopolo View Post
      CHADEMA porojo nyingi na hakuna mkakati wowote wa utekelezaji.

      Kila wakati ikija hoja hapa ya sera za CHADEMA utaona viongozi wao wanakuja kutoa thanks tu na hawajibu maswali ambayo wanapaswa kuyajibu.Badala yake wanakuja mashabiki kurefer watu kwa Ilani, Ilani gani unayorefer wana JF wakati viongozi wa CHADEMA wamekaririwa humu wakisema kuwa plan ya kuanzisha majimbo ni plan 0, wanatarajia mijadala izae plan 1 halafu sera kamili itoke baadae! sasa Ilani gani mnayowaambia watu wakasome???
      Maswali gani hayo ambayo bado hujayaweka hapa?

      Huu mjadala ni mojawapo tu ya mifano ya jinsi CHADEMA walivyo na porojo.Nimeandika hapa mara nyingi na naendelea kurudia kuwa mchango wa baadhi ya viongozi wa CHADEMA katika kupiga vita ufisadi nchini unastahili kuheshimiwa na kupongezwa, ila CHADEMA kama chama hakiko tayari kuongoza taifa na sera yake kuu ya majimbo ni ndoto ya alinacha.
      Je ni chama gani kiko tayari kuongoza nchi sasa hivi?
      Well Behaved Women Never Make History

      Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

    15. #34
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,553
      Rep Power : 5114
      Likes Received
      2603
      Likes Given
      2287

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By mwafrika wa kike View Post
      Maswali gani hayo ambayo bado hujayaweka hapa?

      Tafadhali angalia post zangu za mwanzo wa mjadala huu.Na swali la msingi la aliyeleta hoja.
      Maswali yote nimeweka hapa mara kadhaa, ila hakuna jibu lililotolewa.Bado sijajua kama watoa majibu hawapo au maswali yenyewe hayana majibu!


      Je ni chama gani kiko tayari kuongoza nchi sasa hivi?

      Naomba uniruhusu kuahirisha jibu la swali hili.Ninalo jibu ila lengo ni kutokutoka nje ya hoja ya msingi. Swali lako linastahili kuwa na thread yake kutokana na uzito wake.
      ..........
      "To greed, all nature is insufficient"

    16. #35
      Mwafrika wa Kike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2007
      Posts : 5,840
      Rep Power : 1779
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By zemarcopolo View Post
      ..........
      Chama gani kiko tayari kuongoza nchi?

      Kama unataka maswali yako yajibiwe haraka haraka, basi jibu yale ambayo unaweza kujibu hapa.

      Narudia tena kwa lugha rahisi... chama gani kiko tayari kuongoza nchi?
      Well Behaved Women Never Make History

      Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

    17. #36
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,553
      Rep Power : 5114
      Likes Received
      2603
      Likes Given
      2287

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Naona jinsi unavyoenjoy kutoka nje ya mjadala, hilo la chama mimi sitoligusa na wala simsukumi mtu kujibu swali langu.

      Swali langu litajibiwa na watu wanatambua kuwa ni jukumu lao kujibu swali hilo ili kuuza sera za chama chao. Kama hawatafanya hivyo sitawasukuma kwa sababu mimi nimeuliza hilo swali kwa manufaa ya wana JF wote na si manufaa binafsi hivyo basi kuniadhibu kwa kutokujibu swali hilo hakuniathiri mimi tu bali pia chama kilichobuni hiyo sera na wana JF wengine wenye kutaka majibu.

      kuhusu chama kinachoweza kuongoza nchi naomba nikuahidi kuwa sitaligusia kwenye thread hii.Thread yake inakuja.
      "To greed, all nature is insufficient"

    18. #37
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,553
      Rep Power : 5114
      Likes Received
      2603
      Likes Given
      2287

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Mjadala wa chama kinachoweza kuongoza nchi ni mkubwa.
      I admit that I have "my answer" lakini siko tayari kwa debate.
      "To greed, all nature is insufficient"

    19. #38
      Mwafrika wa Kike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2007
      Posts : 5,840
      Rep Power : 1779
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By zemarcopolo View Post
      Naona jinsi unavyoenjoy kutoka nje ya mjadala, hilo la chama mimi sitoligusa na wala simsukumi mtu kujibu swali langu.

      Swali langu litajibiwa na watu wanatambua kuwa ni jukumu lao kujibu swali hilo ili kuuza sera za chama chao. Kama hawatafanya hivyo sitawasukuma kwa sababu mimi nimeuliza hilo swali kwa manufaa ya wana JF wote na si manufaa binafsi hivyo basi kuniadhibu kwa kutokujibu swali hilo hakuniathiri mimi tu bali pia chama kilichobuni hiyo sera na wana JF wengine wenye kutaka majibu.

      kuhusu chama kinachoweza kuongoza nchi naomba nikuahidi kuwa sitaligusia kwenye thread hii.Thread yake inakuja.
      wewe ndio inaonekana porojo zimekujaa kuliko hao chadema unaodai hapa kuwa wana porojo. Kama mtu unaweza kusema kuwa kuna chama hakiko tayari kuongoza nchi na bado ukawa huna alternative basi ujue kuwa umejaa porojo tu na hauko serious.
      Well Behaved Women Never Make History

      Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

    20. #39
      Mwafrika wa Kike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2007
      Posts : 5,840
      Rep Power : 1779
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By zemarcopolo View Post
      Mjadala wa chama kinachoweza kuongoza nchi ni mkubwa.
      I admit that I have "my answer" lakini siko tayari kwa debate.
      hizi ndizo naita porojo mimi.
      Well Behaved Women Never Make History

      Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

    21. #40
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,553
      Rep Power : 5114
      Likes Received
      2603
      Likes Given
      2287

      Default Re: Naomba muongozo wa CHADEMA

      Quote By mwafrika wa kike View Post
      hizi ndizo naita porojo mimi.
      Unaona jinsi tunavyoenda nje ya topic? Hiki ndio ninachojitahidi kuepuka.
      "To greed, all nature is insufficient"

    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Naomba muongozo hili ni tusi?
      By NG'ADA in forum JF Chit-Chat
      Replies: 26
      Last Post: 14th October 2011, 13:09
    2. Naomba muongozo wako mkuu..p'se...!!
      By figganigga in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 19
      Last Post: 18th September 2011, 01:08
    3. Spika Anapovunja Kanuni; NAOMBA MUONGOZO!
      By Amoeba in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 5
      Last Post: 17th June 2011, 22:18
    4. Naomba muongozo kuhusa MBA
      By AMARIDONG in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 24
      Last Post: 11th June 2011, 08:52

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...