Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 115
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,488
      Rep Power : 46707
      Likes Received
      16316
      Likes Given
      8395

      Default KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      "Tulikokuwa tunaenda siko, tumeamua kugeuka" - hayo ni baadhi ya maneno ya Mhe. Anne Kilango Malecela akizungumza na KLH News siku chache zilizopita akielezea mabadiliko ya wabunge wa CCM linapokuja suala la kulinda maslahi ya Taifa.

      Kati ya mambo ambayo anayazungumzia ni pamoja na hali ya kisiasa nchini, kifo cha Ballali, kwanini wabunge wa CCM walikuwa wanaitetea serikali yao hata ilipokuwa inaharibu, kwanini anaamini Kikwete ni kweli anataka mabadiliko na masuala mengine kemkem.

      Mahojiano yangu hayo na Mhe. Anne Kilango Malecela (CCM - Same Mashariki) yatarushwa siku ya Ijumaa kupitia KLH News International na pia tunatarajia yataweza kusomwa kwenye mojawapo ya magazeti ambayo yamekubali kutupa nafasi.

      Mimi niko impressed na watu mara chache sana.. this is one of those times.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mama Mdogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2007
      Posts : 1,347
      Rep Power : 856
      Likes Received
      663
      Likes Given
      72

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      ......Mahojiano yangu hayo na Mhe. Anne Kilango Malecela (CCM - Same Mashariki) yatarushwa siku ya Ijumaa kupitia KLH News International na pia tunatarajia yataweza kusomwa kwenye mojawapo ya magazeti ambayo yamekubali kutupa nafasi.

      Mimi niko impressed na watu mara chache sana.. this is one of those times.
      Bravo kaka Mwanakijiji, tunasubiri kwa hamu kusikiliza mahojiano yako na Mhe. Anne Kilango Malecela (Mbunge wa CCM - Same Mashariki) ili tuchambue contents na kuelewa mawazo yake yanavyooana na hatima ya nchi yetu katika hizi zama za UFISADI na WIZI ULIOKITHIRI. Mungu Ibariki Tanzania.

    4. #3
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 18,931
      Rep Power : 9474
      Likes Received
      3052
      Likes Given
      1192

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      HUyu mama mm namkubali sana ni mama wa shoka anapigana kiume sana tena anawatoa kamasi wanaume wengi sana ambao kila kitu wao ni ndio mzee huyu mama kwake yeye NO anajali masirahi ya TAIFA anapigania wanyonge...tupo nae.
      Watu wengi iwa tunajiuliza watu kama hawa wapiganaji kwa nn JK hawaiti kwenye balaza la mawaziri???ni watendaji wazuri sana kama Sendeka ni watu wanao lia na MAFISADI lakini JK hawaiti au hawateui kabisa kuwa mawaziri ina maana akiwateua watakuwa mwiba kwake???

    5. #4
      Zanaki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2006
      Location : Nyasirori
      Posts : 616
      Rep Power : 851
      Likes Received
      55
      Likes Given
      106

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      MKJJ....cheki PM yako

    6. #5
      Msesewe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Posts : 110
      Rep Power : 627
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Akiwaita kwenye baraza na wao watafungwa midomo. sii unajua kuna kiapo kuwa sitatoa siri za baraza la mawaziri. Mimi naona abaki kama alivyo aweze kuwa mwiba kwa serekali. Namkubali sana mama Malechela kwa kweli.

      Mawazo yangu. Wanawake wajifunze kutoka kwake, kama wanataka huo usawa wa 50/50 mwaka 2010 basi tuanhitaji wanawake kama hao sio kubebwaaa tuu hadi wengine wanaanza kuwa na hisia kuwa wanachukuliwa na wakubwa. Kwa nini na wao wasipigane kama huyu mama? kwa nini wabebwe? halafu sioni hata cha maana wanachofanya huko bungeni

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Field Marshall ES's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 27th April 2006
      Posts : 13,740
      Rep Power : 0
      Likes Received
      329
      Likes Given
      208

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Mkuu Wangu MMJ,

      Tupo ukurasa mmoja hapo, bravo maana sasa JF tunakaribia kuliongoza taifa kwa information, tukiendelea kama tulipo sasa basi very soon JF hatutakuwa na mpinzani kwenye national level,

      Kwa sababu now we are almost there, yaani national heshima mbele mkuu! maana mpaka huyu mama kukubali kuja huku, sio mchezo mkuu Salute mkuu!

    9. #7
      Ibambasi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th July 2007
      Location : Iponyamakalai - Isungang'holo
      Posts : 724
      Rep Power : 753
      Likes Received
      118
      Likes Given
      762

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!


      KLH News,JF,Dr. Slaa,Zitto Kabwe,Hamad Rashid,Tundu Lissu...na sasa Anne Kilango,Kimaro,Ole Sendeka,Mwakyembe&the Richmond Team...chachu ya mabadiliko kueleka Tanzania mpya?...well that's what I believe...

    10. #8
      Uhuru-T's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 29th May 2008
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Bravo all Wana JamiiForums with constructive criticism, positive thinking and active roles in spearheading the changes, mchakamchaka, nina imani tutafika &Inshallah Mwenyezi Mungu atakuwa upande wetu & Tutashinda ni suala la muda tu. Naam udharimu ulishamili kwa muda na ukatamalaki lakini ni muda wa ukweli, haki na nguvu ya umma kushinda, ilikuwa ni kujidanganya tu kuwa a bunch of suckers will prevail for long, ni kuwa tu hatukuwa organised na waka-capitalise on that for so long, sasa uwezo wa kufichua taarifa na ku-share information tutautumia & tunautumia kwa makini sana zaidi ya wao wanavyofikiria na matokea yatakuwa yakushangaza sana kwao kadri muda unavyokwenda. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika, Ushindi uko njiani.

    11. #9
      Mwafrika wa Kike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2007
      Posts : 5,840
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Women rule....

      nani anabisha sasa...... kwi kwi kwi kwi ....
      Well Behaved Women Never Make History

      Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

    12. #10
      WildCard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2008
      Posts : 6,453
      Rep Power : 1978
      Likes Received
      1797
      Likes Given
      59

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Nadhani moja ya maswali uliomuuliza mama AKM ni hili; Tanzania ya JSM ingekuwaje na yeye kama "First Lady"?

    13. #11
      Geeque's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2007
      Posts : 855
      Rep Power : 777
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Huyu mama ni mmoja kati ya wabunge wachache wa CCM ninaowakubali. Hongera Mwanakijiji kwa kufanya nae interview. Huyu mama anawafanya baadhi ya madokta na maprofesa yaliyojazana kule bungeni kupitia CCM kama kindergarten vile kielimu, kwa kuchanganua hoja na kusimamia maslahi ya nchi.
      Check out EastAfricanTube at eastafricantube.com and Bongo Radio at bongoradio.com

    14. #12
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,488
      Rep Power : 46707
      Likes Received
      16316
      Likes Given
      8395

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Quote By Zanaki
      MKJJ....cheki PM yako
      Nimekupata Zanaki.. let me work on it that is deep .... t!
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    15. #13
      Maverick's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th May 2008
      Posts : 309
      Rep Power : 621
      Likes Received
      9
      Likes Given
      6

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      "Tulikokuwa tunaenda siko, tumeamua kugeuka"
      Je maneno haya ni dhati au ya wale ambao hawakupata kipande cha keki?

    16. #14
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,488
      Rep Power : 46707
      Likes Received
      16316
      Likes Given
      8395

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Quote By WildCard
      Nadhani moja ya maswali uliomuuliza mama AKM ni hili; Tanzania ya JSM ingekuwaje na yeye kama "First Lady"?
      for you to find out....
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    17. #15
      Mwafrika wa Kike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2007
      Posts : 5,840
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Quote By Maverick
      Je maneno haya ni dhati au ya wale ambao hawakupata kipande cha keki?
      kama ni ya ambao hawakupata kipande cha keki inafanya tofauti gani?
      Well Behaved Women Never Make History

      Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

    18. #16
      Maverick's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th May 2008
      Posts : 309
      Rep Power : 621
      Likes Received
      9
      Likes Given
      6

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Quote By mwafrika wa kike
      kama ni ya ambao hawakupata kipande cha keki inafanya tofauti gani?
      Kuna tofauti. Kama ni ya wale waliokosa kipande cha keki, akishapatiwa wanakaa kimya ,kwa mfano, Mzee wa mabomu alipopata mkopo kuanzisha kiwanda cha kusindika nyama Rukwa.
      Tunachohitaji ni dhamira za dhati na uchungu wa kweli katika kutetea maslahi ya nchi hii.

    19. #17
      Mwafrika wa Kike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2007
      Posts : 5,840
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Quote By Maverick
      Kuna tofauti. Kama ni ya wale waliokosa kipande cha keki, akishapatiwa wanakaa kimya ,kwa mfano, Mzee wa mabomu alipopata mkopo kuanzisha kiwanda cha kusindika nyama Rukwa.
      Tunachohitaji ni dhamira za dhati na uchungu wa kweli katika kutetea maslahi ya nchi hii.
      hiyo dhamira ya dhati unaipima vipi? kuna wengine hawana hicho kipande cha keki lakini bado wamekaa kimya tu wakisubiria zamu yao kufika.

      Mama Malecela anafanya kazi yake bila kujali kuwa JK anaweza kufanya uteuzi muda wowote. NI uzembe kusema kuwa kwa vile mzee wa mabomu alitulia basi wote watatulia wakipata keki.
      Well Behaved Women Never Make History

      Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

    20. #18
      Maverick's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th May 2008
      Posts : 309
      Rep Power : 621
      Likes Received
      9
      Likes Given
      6

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Quote By mwafrika wa kike
      hiyo dhamira ya dhati unaipima vipi? kuna wengine hawana hicho kipande cha keki lakini bado wamekaa kimya tu wakisubiria zamu yao kufika.

      Mama Malecela anafanya kazi yake bila kujali kuwa JK anaweza kufanya uteuzi muda wowote. NI uzembe kusema kuwa kwa vile mzee wa mabomu alitulia basi wote watatulia wakipata keki.
      Time will tell. Nadhani tulipe muda hili, tutakuja kujua upande upi wa ukuta alioko huyu mama.
      Kwa kuongeza tu, nakubaliana na wewe, jitihada anazoonyesha ni mwanzo mzuri "regardless of" dhamira yake.

    21. #19
      Mwafrika wa Kike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2007
      Posts : 5,840
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Quote By Maverick
      Time will tell. Nadhani tulipe muda hili, tutakuja kujua upande upi wa ukuta alioko huyu mama.
      Kwa kuongeza tu, nakubaliana na wewe, jitihada anazoonyesha ni mwanzo mzuri "regardless of" dhamira yake.
      Naona unataka kuwa sheikh yahya hapa kwa kusoma nyota na future za watu.
      Hiyo dhamira ya mama Malecela wewe umeijua na umeipima vipi?
      Well Behaved Women Never Make History

      Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

    22. #20
      Maverick's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th May 2008
      Posts : 309
      Rep Power : 621
      Likes Received
      9
      Likes Given
      6

      Default Re: KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!

      Quote By mwafrika wa kike
      Naona unataka kuwa sheikh yahya hapa kwa kusoma nyota na future za watu.
      Hiyo dhamira ya mama Malecela wewe umeijua na umeipima vipi?
      Haya tuelezee wewe ambaye unayeijua.

    23. Study Abroad
    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. A vote of confidence for Mama Anne-Kilango Malecela
      By Mwafrika wa Kike in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 128
      Last Post: 24th April 2012, 14:16
    2. Hongera mh Anne Kilango Malecela
      By OkSIR in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 31
      Last Post: 20th June 2011, 01:41
    3. Huko kwa mama Malecela (Anne Kilango) Vipi?
      By Jibaba Bonge in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 0
      Last Post: 29th July 2010, 16:40
    4. Mh. Anne Kilango Malecela analalamika nini?
      By Andrew Nyerere in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 22nd June 2010, 21:08
    5. EYE SPY: Viva Anne Kilango Malecela!
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 11
      Last Post: 22nd June 2008, 20:00

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...