Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

    Report Post
    Results 1 to 20 of 20
    1. #1
      Nyakarungu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st May 2011
      Posts : 209
      Rep Power : 3115
      Likes Received
      122
      Likes Given
      101

      Default Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      Chini ya utawala wa Nguvu yaUmma,
      Nilikwishawaambia "mawe ni mepesi mkononi, ila ni mazito usoni" sasa leo hii imeanza tarime, mfano ni huu kuanzia sasa, na utaendelea kuwatokea viongozi (watawala)wote.
      Mimi ni miongoni mwa vijana tunaoitakia mema jamii yetu ya kitanzania, na kwa sababu hii sina budi kuwapongeza wananchi wa nyamongo kwa yale waliyoyafanya kwa kuwaadhibu hao wawakilishi fake.
      Huu msemo wangu "mawe mepesi mikononi ila mazito usoni", unamaana kuwa, kwa wananchi wenye uchungu, ni rahisi kuyachukua hayo mawe bila kusikia uzito wake, na yatagundulika kuwa ni mazito, pindi yatakapotua usoni mwa mlengwa.
      Natoa onyo kali kwa viongozi( watawala), wanaojitokeza kwenye mikutano ya hadhara na kutamka senteso nyepesi zenye kebehi na zinazoudhi, adhabu yao, itakuwa zaidi ya hii ya nyangw'ine.
      Pia watambue kuwa amani haipo tena tanzania, bali kuna utulivu tu, utulivu huu, ukitibuliwa hata na sisimizi, ni lazima haya ya tarime yatokee, hii ni mara ya pili katika mwezi huu wa tano, kwa tukio la aina hii kutokea, tumeona jinsi lamwai alivyoabishwa kule jimboni kwake kwa kupigwa mawe, je, hii ndio aina ya uwajibishajia wanayoitaka ccm ili wabadilike? basi na sisi wananchi tumegundua kuwa, njia nzuri ya kufikisha ujumbe kwao ni hii, ya kuwachapa mawe mepesi mikononi, na yakitua usoni mwao, yanadhihirisha uzito wake.

      Na sio tu kwa nyambari, ila tukio hili litawafuata wote waliomsaidia kuingia bungeni, akina wasira, mama kabaka wale wote tunaowajua n.k, pia kwa viongozi wengine wenye kejeli, mizaha na dhihaka nao wamo kwenye orodha.

      Nashukuru Bwana mwita waitara aliyekuwa mgombea ubunge Tarime(chadema), hakuwepo kule Tarime, vinginevyo wangemsingizia kuwa yeye kawachochea na kuwatuma watu wakampe kichapo nyang'wine.
      "Chacha Wangwe (Rasta) bado anaishi mioyoni mwa wanatarime, aliowafundisha kuukataa unyanyasaji, uonevu na dhuluma. R.I.P Wangwe"- Nyakarungu-2011.




      KILA MWENYE PUMZI NA APUMUE KWA NGUVU BILA MALIPO.

    2. Study Abroad

    3. #2
      chomete's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 1,056
      Rep Power : 637
      Likes Received
      107
      Likes Given
      0

      Default re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      aisee ile ya nyamongo ni noma hawa ccm watajifunza kwenda tarime kichwa kichwa

    4. #3
      only83's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      ....Haya ni matunda ya kuwa na mzaha kwa mambo ya msingi kwa taifa...Ishu ya madini imepigiwa kelele sana kuwa tunanyonywa watu hawasikii...Huo ni ujumbe tosha kwa JK wenzake....

    5. #4
      TITAN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2010
      Posts : 253
      Rep Power : 477
      Likes Received
      29
      Likes Given
      41

      Default re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      Tutaona mengi sana mpaka ifike 2015.
      A house divided against itself cannot stand.

    6. #5
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11336
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      kaka Nykarungu, yananyotokea tarime kwa sasa ni matunda ambayo serikali dhalimu ya chama cha ccm iliamua kutufanyia , nina mengi ya kuongea ila hasira imenipanda waliokufa pale ni ndugu zetu wakichukua chao ambao mungu aliwapa , kwanini ile dhahabu haikuwekwa hata bukoba? au kigoma hata pemba , Mungu aliwapa hiyo dhahabu pale kwa makusudi maalum, Baririck wakishirikiana na masawe wameuwa wenzetu , pia wapiga kura wetu ambao daiam hawataona jinsi tunavyochukua nchi 2015, ndugu azangu tuwaombee marehemu wa rest in peace
      walichokuwa wanapigania ni haki yao tujikumbushe single ya gadbless lema kuhusu mauaji ya arusha

    7. Miaka 50

    8. #6
      tumaini letu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 253
      Rep Power : 457
      Likes Received
      14
      Likes Given
      1

      Default re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      chacha alimalizwa na cccccc dm acha kuota

    9. #7
      KIBURUDISHO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th March 2011
      Posts : 680
      Rep Power : 548
      Likes Received
      101
      Likes Given
      8

      Default re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      Hivi serikali inapenda kuona watu wakiuwana kutokana na viongozi wasiopenda kuwajibika? Katika sekta zao hivi CDM ndo ilowatuma wananchi wa Mivumoni kuwashambulia wale wavamizi wa aridhi(mabaunsa)kule Tegeta mbona viongozi wabovu ndo watakaoizika tanzania yetu??????????????

    10. #8
      kipindupindu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2010
      Location : puchapucha sokoni
      Posts : 1,031
      Rep Power : 633
      Likes Received
      124
      Likes Given
      91

      Default

      Quote By Nyakarungu
      Chini ya utawala wa Nguvu yaUmma,
      Nilikwishawaambia "mawe ni mepesi mkononi, ila ni mazito usoni" sasa leo hii imeanza tarime, mfano ni huu kuanzia sasa, na utaendelea kuwatokea viongozi (watawala)wote.
      Mimi ni miongoni mwa vijana tunaoitakia mema jamii yetu ya kitanzania, na kwa sababu hii sina budi kuwapongeza wananchi wa nyamongo kwa yale waliyoyafanya kwa kuwaadhibu hao wawakilishi fake.
      Huu msemo wangu "mawe mepesi mikononi ila mazito usoni", unamaana kuwa, kwa wananchi wenye uchungu, ni rahisi kuyachukua hayo mawe bila kusikia uzito wake, na yatagundulika kuwa ni mazito, pindi yatakapotua usoni mwa mlengwa.
      Natoa onyo kali kwa viongozi( watawala), wanaojitokeza kwenye mikutano ya hadhara na kutamka senteso nyepesi zenye kebehi na zinazoudhi, adhabu yao, itakuwa zaidi ya hii ya nyangw'ine.
      Pia watambue kuwa amani haipo tena tanzania, bali kuna utulivu tu, utulivu huu, ukitibuliwa hata na sisimizi, ni lazima haya ya tarime yatokee, hii ni mara ya pili katika mwezi huu wa tano, kwa tukio la aina hii kutokea, tumeona jinsi lamwai alivyoabishwa kule jimboni kwake kwa kupigwa mawe, je, hii ndio aina ya uwajibishajia wanayoitaka ccm ili wabadilike? basi na sisi wananchi tumegundua kuwa, njia nzuri ya kufikisha ujumbe kwao ni hii, ya kuwachapa mawe mepesi mikononi, na yakitua usoni mwao, yanadhihirisha uzito wake.

      Na sio tu kwa nyambari, ila tukio hili litawafuata wote waliomsaidia kuingia bungeni, akina wasira, mama kabaka wale wote tunaowajua n.k, pia kwa viongozi wengine wenye kejeli, mizaha na dhihaka nao wamo kwenye orodha.

      Nashukuru Bwana mwita waitara aliyekuwa mgombea ubunge Tarime(chadema), hakuwepo kule Tarime, vinginevyo wangemsingizia kuwa yeye kawachochea na kuwatuma watu wakampe kichapo nyang'wine.
      "Chacha Wangwe (Rasta) bado anaishi mioyoni mwa wanatarime, aliowafundisha kuukataa unyanyasaji, uonevu na dhuluma. R.I.P Wangwe"- Nyakarungu-2011.




      KILA MWENYE PUMZI NA APUMUE KWA NGUVU BILA MALIPO.
      songa mbere mura!

    11. #9
      mashikolomageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2010
      Location : Dar es Salaam, Tanzania
      Posts : 1,444
      Rep Power : 764
      Likes Received
      144
      Likes Given
      130

      Default re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      Kuna mtu mmoja kwenye ccm aliwaambia wakija hao wazomeeni wambie hatutaki sasa leo yamewakuta wao wanyewe, Bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi
      msaragambo and Makene like this.

    12. #10
      Nyakarungu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st May 2011
      Posts : 209
      Rep Power : 3115
      Likes Received
      122
      Likes Given
      101

      Default re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      Na huu ni unabii,
      Endapo jk hataacha unafiki wa kujifanya hajui yanayotendeka kichinchini, na endapo ataendelea kuwasingizia wasaidizi wake kuwa ni wavivu, na kuwa wanamdanganya, basi atazijutia hizi dakika chache alizonazo za kujisafisha na kuwatumikia watanzania.
      Endapo serikali haitakuwa na msimamo kusimamia na kutekeleza vipaumbele vyake, na kama itaendelea kuendesha nchi eti kwa kuangalia na kufuata upepo wa siasa unavyovyuma,na ikasahau sera na vipau mbele vyake, basi ijiandae na tukio kubwa la kihisitoria litakaloikumba.

      MANENO HAYA HAYATAANGUKA CHINI

    13. #11
      Mbwazoba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th May 2011
      Posts : 93
      Rep Power : 425
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      Kwani huyu nyamabri amelazwa wpi na huyu ndiye ugonjwa wa kuhara eegh? Au ndiye yule magahambuni........>????

    14. #12
      Arafat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2009
      Posts : 2,372
      Rep Power : 961
      Likes Received
      583
      Likes Given
      576

      Default re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      Mhmm time will tell! Tarime nasikia mliwai kudai mna nchni yenu! msije mkawa ndiko mnakoelekea tena, swali kwanini mlipoteza hilo jimbo kirahisi hivyo tena kwa mtu hasiye na hata abcd.. za siasa??

      Mkisha poteza jimbo ni bora mkubali na mjifunze kutokana na makosa yenu siyo mjiandae kuunda nchni yenu! Hamwezi kunishawishi hata siku kwa tatizo la kujitakia labda mje na ushahidi kuwa mliibiwa kura lakini pia sidhani wala siamini maana mbona hawakuwaibia wakatika wa Chacha na Mara baada ya kufariki Chacha!

      Mi ni mingoni mwa watu ambao siwaelewi katika hili ingawa nyie mnaliona ni la ufahari. Bora watu wajue hii ni siasa na si vita kama hawa ndugu zetu wanavyotaka iwe vita! Naamini matumizi ya nguvu yanaweza kutumika lakini kama majibu yote yakishindikana, bado kuna jibu la sanduku la kura kuweni na Busara mtumie hiyo njia.
      Siku tutakapoacha kuwa mashabiki wa wanasiasa ndio siku hatua ya kwanza ya kujikomboa itakapo anza

    15. #13
      Mbwazoba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th May 2011
      Posts : 93
      Rep Power : 425
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      Quote By Arafat
      Mhmm time will tell! Tarime nasikia mliwai kudai mna nchni yenu! msije mkawa ndiko mnakoelekea tena, swali kwanini mlipoteza hilo jimbo kirahisi hivyo tena kwa mtu hasiye na hata abcd.. za siasa??

      Mkisha poteza jimbo ni bora mkubali na mjifunze kutokana na makosa yenu siyo mjiandae kuunda nchni yenu! Hamwezi kunishawishi hata siku kwa tatizo la kujitakia labda mje na ushahidi kuwa mliibiwa kura lakini pia sidhani wala siamini maana mbona hawakuwaibia wakatika wa Chacha na Mara baada ya kufariki Chacha!


      Mi ni mingoni mwa watu ambao siwaelewi katika hili ingawa nyie mnaliona ni la ufahari. Bora watu wajue hii ni siasa na si vita kama hawa ndugu zetu wanavyotaka iwe vita! Naamini matumizi ya nguvu yanaweza kutumika lakini kama majibu yote yakishindikana, bado kuna jibu la sanduku la kura kuweni na Busara mtumie hiyo njia.
      Hujaeleweka kabisaaa MURAAH!!!!!!!!!! hebu njoo tarime ufanye mkutano pale town na utoe kahotuba kako, labda watakuelewa!!!!1

    16. #14
      Nyakarungu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st May 2011
      Posts : 209
      Rep Power : 3115
      Likes Received
      122
      Likes Given
      101

      Default re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      Quote By Arafat
      Mhmm time will tell! Tarime nasikia mliwai kudai mna nchni yenu! msije mkawa ndiko mnakoelekea tena, swali kwanini mlipoteza hilo jimbo kirahisi hivyo tena kwa mtu hasiye na hata abcd.. za siasa??

      Mkisha poteza jimbo ni bora mkubali na mjifunze kutokana na makosa yenu siyo mjiandae kuunda nchni yenu! Hamwezi kunishawishi hata siku kwa tatizo la kujitakia labda mje na ushahidi kuwa mliibiwa kura lakini pia sidhani wala siamini maana mbona hawakuwaibia wakatika wa Chacha na Mara baada ya kufariki Chacha!

      Mi ni mingoni mwa watu ambao siwaelewi katika hili ingawa nyie mnaliona ni la ufahari. Bora watu wajue hii ni siasa na si vita kama hawa ndugu zetu wanavyotaka iwe vita! Naamini matumizi ya nguvu yanaweza kutumika lakini kama majibu yote yakishindikana, bado kuna jibu la sanduku la kura kuweni na Busara mtumie hiyo njia.
      je umefuatilia kuhusu wizi wa kura za tarime na ukabaini haukufanyika? je unajua chochote kuhusu kesi inayoendelea kati ya nyambari na waitara? ndugu yangu fuatilia mambo kabla hujakurupuka!!!!

    17. #15
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      ' mawe ni mepesi mkono lakini mazito usoni' mwisho wa kunukuu.anayebisha amuulize nyangwine maana yule wa Muleba uwenda ameshasaau uzito wake.muraaaa tz bado mmeibeba begani kwa ushujaa wenu.

    18. #16
      Nyakarungu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st May 2011
      Posts : 209
      Rep Power : 3115
      Likes Received
      122
      Likes Given
      101

      Default re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      Quote By Leonard Robert
      ' mawe ni mepesi mkono lakini mazito usoni' mwisho wa kunukuu.anayebisha amuulize nyangwine maana yule wa Muleba uwenda ameshasaau uzito wake.muraaaa tz bado mmeibeba begani kwa ushujaa wenu.
      ni kweli, nyangwine anautambua uzito wa mawe yanapotua usoni, hata ikipita miaka 100 hawezi kuusahau uzito huo.
      Na kama alivyowahi kutoa vitisho vya kuzuia mikutano ya chadema, akidai kuwa cdm haina nafasi yoyote trm eti zaid sana itachochea vurugu.
      SASA HIYO KAULI YAKE INAMRUDIA YEYE MWENYEWE.

    19. #17
      Mbwazoba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th May 2011
      Posts : 93
      Rep Power : 425
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      nyakarungu,


      navutiwa na hiyo misemo yako, nimependa hii ya mawe basi wewe na vijana wenzako mnatakiwa muonyeshe njia, mungu awape nguvu na uzima tuioe kesho yenu.

    20. #18
      Mwanakili90's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 1,553
      Rep Power : 751
      Likes Received
      201
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Nyakarungu
      Na huu ni unabii,
      Endapo jk hataacha unafiki wa kujifanya hajui yanayotendeka kichinchini, na endapo ataendelea kuwasingizia wasaidizi wake kuwa ni wavivu, na kuwa wanamdanganya, basi atazijutia hizi dakika chache alizonazo za kujisafisha na kuwatumikia watanzania.
      Endapo serikali haitakuwa na msimamo kusimamia na kutekeleza vipaumbele vyake, na kama itaendelea kuendesha nchi eti kwa kuangalia na kufuata upepo wa siasa unavyovyuma,na ikasahau sera na vipau mbele vyake, basi ijiandae na tukio kubwa la kihisitoria litakaloikumba.

      MANENO HAYA HAYATAANGUKA CHINI
      Aimen.

    21. #19
      trachomatis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Location : Dar es Salaam,Tanzania.
      Posts : 3,460
      Rep Power : 1094
      Likes Received
      484
      Likes Given
      235

      Default Re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      Chacha Wangwe alikuwa kiboko! Bungeni aliwahi kuita kondoms-majeneza ! Hotuba ilivunja rekodi.. Ipo kwenye hansard za Bunge!

    22. #20
      Ng`wanakidiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2009
      Posts : 1,126
      Rep Power : 739
      Likes Received
      216
      Likes Given
      395

      Default Re: Chacha Wangwe (Rasta) yupo hai

      Wadau mie sijui lolote, mtu anaweza kuiweka ilikuwaje?

    23. FemaTV & Radio

    Similar Topics

    1. CDM, nani alimuua Chacha Wangwe?
      By KAUMZA in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 18
      Last Post: 30th March 2011, 12:30
    2. Kifo cha Chacha Wangwe kilipangwa?
      By Capitalist in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 5
      Last Post: 23rd February 2011, 21:29
    3. Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake
      By Invisible in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 2821
      Last Post: 5th September 2009, 17:31
    4. Tarime wamkumbuka Chacha Zakayo Wangwe
      By TUNTEMEKE in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 6
      Last Post: 4th August 2009, 11:48

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...