re: Kwanini Kikwete alikataa kumleta Ballali?
Kwa sababu aliona ni heri atetee mafisadi waliomuingiza Ikulu kifisadi fisadi kuliko kutetea maslahi ya Watanzania.
Inasemekana wamemtisha kwamba akiwagusa tu basi wataibua mizengwe ya kifisadi yote iliyofanyika hadi yeye akaibuka kama mgombea wa chama cha mafisadi.
Sasa njemba acha iogope maana ina wasi wasi kwamba hata awamu moja inaweza isimalize kama watayaanika hadharani yaliyojiri pale Dodoma.
Kama utakumbuka alimwambia waziri mmoja wa kutoka katika nchi za wafadhili kwamba shilingi 133 billioni zilizokupuliwa BoT na zile nyingine shilingi 155 bilioni (ambazo hadi hii leo hazijachunguzwa na zilichukuliwa na Meremeta) ni pesa za Watanzania na hazikuwa za wafadhili.
Kwa maana nyingine fedha zetu ni halali kuliwa na mafisadi.
Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action
Follow Us Here