Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape na mafisadi wa CHADEMA

    Report Post
    Page 4 of 10 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 189
    1. #1
      Speaker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Posts : 6,177
      Rep Power : 4565
      Likes Received
      2003
      Likes Given
      5093

      Default Nape na mafisadi wa CHADEMA

      Kuna taarifa kua Nape nnnayuye atatoa list ya mafisadi ndani ya chadema,..
      naomba mwenye updates atupatie huko aliko,...

      update:
      inasemekana kumbe alicho ongelea chenyewe ni kile kile cha siku zote,...
      huyu mkuu atatueleza zaidi kilicho jili

      Quote By Miya
      Kaongelea hayo hayo maununuz wa magar chakavu na mshahara mil.7.wa dr.slaa
      na huyu anareport hivi:

      Quote By hoyce
      Amesema tu kwamba mshahara wa dk. Slaa ni ufisadi kwa sababu ni mkubwa. Pia kwamba CDM wanatumia fedha nyingi kwenye maandamano ambazo zingesaidia kuwaondolea wananchi umasikini
      Huyu ndio msemaji wa CCM au kuna mwingine tumngoje?
      Henge and jouneGwalu like this.
      Mjinga mpe cheo...


    2. #61
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 4,026
      Rep Power : 1453
      Likes Received
      1538
      Likes Given
      1649

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu,Polisi waingilia K

      Hii ipelekwe jukwaa la jokes...coz inachekesha!!maisha yamemgonga..anabaki kuweweseka usiku ..lol,CCM kweli tiamajitiamaji...
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    3. #62
      GAZETI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2011
      Location : ILALA
      Posts : 1,656
      Rep Power : 1313
      Likes Received
      654
      Likes Given
      1190

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu,Polisi waingilia K

      Samahani mi naomba unifahamishe huyu Nape ni nani? Namsikia kwa mbali sana sijamtilia maanani naomba ufafanuzi, Ana uhusiano na Moses Mnauye?

    4. #63
      Kichakoro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th September 2008
      Location : Brondby Strand
      Posts : 552
      Rep Power : 748
      Likes Received
      132
      Likes Given
      141

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu,Polisi waingilia K

      mbona ni ----- tu ambao makamba alishasema siku nyingi na majibu yake alipata....... Hakuna mpya zaidi ya kufanya vurugu na uvunjifu wa amani kwa hasira zenu kama za jogoo anajiona kwenye kioo na kuanza kupigana na taswira yake mwenyewe hadi kufa.

      Polei ccm pole wanavyowafanya Chedema
      Pole ccm pole wanavyowavua magamba
      pole ccm pole wanavyowakimbia wanachama wenu
      pole ccm pole, mnavyokataliwa na umma
      pole ccm pole mnavyowavutisha bangi vijana
      Pole ccm pole ......

      Mimi ningekuwa NAPE ningetumia wasaa huu kujijenga kuanzisha chama
      maana utapata vijana wengi sana lakini sio ndani ya CCM FIKIRIA SANA

    5. #64
      JACADUOGO2.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2010
      Posts : 782
      Rep Power : 588
      Likes Received
      184
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu,Polisi waingilia K

      Pole Nape, CCM na Wanasingida. Mmekwishaaaa....!!

    6. #65
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,680
      Rep Power : 2119
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      1601

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu,Polisi waingilia K

      Kama kawaida manachakachua hata ukweli tu watoto wa mafisadi!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders


    7. #66
      hoyce's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 492
      Rep Power : 537
      Likes Received
      107
      Likes Given
      1

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu,Polisi waingilia K

      Unategemea nini stend ya zamani? kwa wauni. Tuhuma hizo binafsi hazinihusu kama Mtanzania. Wewe niambie kwa kutokuwa na ndoa sh gapi za umma zimepotea. Kwani ameongeza umaskini wa watanzania?

    8. #67
      nyundo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th April 2007
      Posts : 102
      Rep Power : 643
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By hoyce
      Unategemea nini stend ya zamani? kwa wauni. Tuhuma hizo binafsi hazinihusu kama Mtanzania. Wewe niambie kwa kutokuwa na ndoa sh gapi za umma zimepotea. Kwani ameongeza umaskini wa watanzania?
      padre hawowi bwana eh, kwani yy Nape hajui au basi tu?

    9. #68
      Tympa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th March 2011
      Posts : 99
      Rep Power : 437
      Likes Received
      25
      Likes Given
      393

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu,Polisi waingilia K

      nilijua atatoa list ya mafisadi kutoka chadema kama ilivyofahamika awali, kumbe anaendelea kuongea pumba!. NAPE, nipo pembeni nashuhudia jinsi unavyojiua kisiasa. kwa pumba unazotoa, usitegemee kushika(kwa idhini ya wazalendo) nyadhifa nyingine yoyote kubwa katika nchi hii.

    10. #69
      Horseshoe Arch's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2009
      Location : Block A
      Posts : 1,316
      Rep Power : 770
      Likes Received
      171
      Likes Given
      39

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu,Polisi waingilia K

      Nape ni nani?...ni nani? Kwanini kachagua mahali pasipo na tumaini tena la maisha?
      We are what we think. With our thoughts we make the world.

    11. #70
      Mbwazoba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th May 2011
      Posts : 93
      Rep Power : 429
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu,Polisi waingilia K

      mmmhhh haya nape......amefanikiwa kuwanunua vijana wa pale utemini na utegi hahahahahaaaaaaaaaa!!!!!!!!

      kwa hilo lazima apandishwe cheo.

      na huyo aliyesema akikosana na majirani anahisi kuandamana ni zuzu no. 1

      alipewa hoja mavi ya kuropoka...anaitwa nani na anafaida gani ndani ya cdm, alidhani akija cdm atapewa maposho na makanga?????

    12. #71
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,896
      Rep Power : 22566
      Likes Received
      6515
      Likes Given
      2929

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu,Polisi waingilia K

      Baba wa huyu kijana Nape alikuwa na busara sana akiwa serikalini, japokuwa ilikuwa enzi ya chama kimoja!...na inasemekana kuwa ndiye aliyetunga wimbo maarufu wa "Tanzania Tanzania, Nakupenda kwa Moyo Wote"!
      Nashangaa kwanini huyu mwanae hajarithi kitu toka kwa babaye!
      Ni bora ya Yusufu MAKAMBA kuliko mwanataarabu na kiduku huyu!
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    13. #72
      VIKWAZO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Location : Ukonga (uk)
      Posts : 1,611
      Rep Power : 749
      Likes Received
      457
      Likes Given
      398

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu!

      hicho kitu cha hatari ni nini?
      watanzania tunanunuliwa vibaya, wewe ulala una weweseka kasababu ya bendera ya chama furani, kwani hiyo sina nguo tu, au hizo za ccm zinatoka wapi?
      au zimeombewa/swaliwa na watu furani?

      Quote By Mlengo wa Kati
      Mji wa Singida leo ulitekwa na CCM ndani ya Stendi ya Zamani ambapo Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa -CCM Nape Nnauye alitoa tuhuma mbali mbali zinazofanywa na Viongozi wakuu wa CHADEMA ndani ya Chama hicho na Kuelezea kuwa Viongozi hawa kwanza waangalie usafi wa Nyumba yao badala ya Kujinadi kwa usafi nje!
      Jumla ya Wanachama 153 walirudisha Kadi za CHADEMA na bendera 87 za CHADEMA zilirudishwa! Ni pale mmoja wa walio rudisha bendera na Kadi za CHADEMA kukiri kuwa tangu ajiunge na CHADEMA amekuwa akiweweseka usiku na kujihisi ana ishi na kitu cha hatari ndani ya maisha yake kwani hata akigombana na majirani zake basi anajihisi kuandamana! Aliwavunja mbavu watu kwa kusema Chadema ni Chama cha Wahuni ambao hata Katibu wao Mkuu akiamanisha Dr Slaa hajaoa hadi leo na kusema kama mtu familia inamshinda kuishi na mwanamke ni ajabu kwa wanao mfuata kwani kwa Mila za Kiafirika Slaa bado anatakiwa asipewe siri za mambo ya nyumba hadi pale atakapo kua na kujitambua na kuoa!
      Baada ya Mkutano huo vijana walizagaa mitaani na kuanza kushusha bendera zote za CHADEMA na kuharibu kila kitu chenye nembo ya CHADEMA. Kutokana na Uvunjifu huo wa amani polisi waliingilia kati na kuna vijana walikamatwa na hadi jioni walikua wameshikiliwa na polisi. Mkutano huu uliendelea huku kukiwa na mvua kubwa Mkoani Singida! Nape amesema Vijana wana haki ya kulinda Taifa na amani ya Nchi yao na kuendelea kuichagua CCM!
      ----> nchi yetu ni ya vimemo

    14. #73
      MENDE JEURI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2011
      Posts : 175
      Rep Power : 450
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu,Polisi waingilia K

      Tupe raha mukubwa, mwaga na picha ili walugaluga waumie zaidi

    15. #74
      Tympa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th March 2011
      Posts : 99
      Rep Power : 437
      Likes Received
      25
      Likes Given
      393

      Default Re: Nape nnauye kushindwa kueleza kuhusu ufisadi wa chadema kama alivyoahidi, je si kujichanya mweny

      NAPE anajitahidi kujikuna upele mwilini mwake juu Gamba alilovaa. huu ni mwanzo wa ni wa mbio zake(kwa kasi ya ajabu) za kujimaliza kisiasa. Kwa akiri ya kawaida utagundua kuwa nape ni mwanasiasa mwenye mawazo mafupi sana,na ni mwongeaji sana. Watu wa namna hii hupotea haraka sana kwenye ulingo wa siasa.

    16. #75
      maandamano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,080
      Rep Power : 636
      Likes Received
      359
      Likes Given
      944

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu,Polisi waingilia K

      sasa hivi kaacha kuwaongelea akina lowassa sababu kastuka kikwete kamuingiza mkenge,yeye anapayuka lazima wafukuzwe mwenzie jk anakutana nao na kupiga story,..sasa hivi atapotea,walimwekea mtego akaingia,..cdm hawaezi kulumbana na mtoto mdogo...mikutano yake watu wanaendaga kweli??au ndio malori,khanga na pilau
      Women are not allowed to attend school. You can be jailed for owning a television. A man can be jailed in Afghanistan if his beard is not long enough.George W.Bush,2001

    17. #76
      VIKWAZO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Location : Ukonga (uk)
      Posts : 1,611
      Rep Power : 749
      Likes Received
      457
      Likes Given
      398

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu!

      mbona polisi hawajatumia risasi kwa hao wafanya fujo au kwa sababu walitumwa na NAPE,
      kwanza kelele zake za kina RACHEL zimefikia wapi?
      au alikuwa hajui nani mwenye chama na nani kamfanikisha mkuu wakaya kuingia magogoni?
      EL na JK ni two brother wa muda mrefu sasa NAPE nawezaje kufanya kazi na JK hali anaugomvi na EL?
      huyu dogo mnafiki njaa ndio inamsumbua!!!!!!!!!
      yeye ccm ilimsomesha INDIA sisi wametuibia hela ya kodi, alipe fadhila lakini hakuna wa kumsikiliza

      Quote By Mlengo wa Kati
      Mji wa Singida leo ulitekwa na CCM ndani ya Stendi ya Zamani ambapo Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa -CCM Nape Nnauye alitoa tuhuma mbali mbali zinazofanywa na Viongozi wakuu wa CHADEMA ndani ya Chama hicho na Kuelezea kuwa Viongozi hawa kwanza waangalie usafi wa Nyumba yao badala ya Kujinadi kwa usafi nje!
      Jumla ya Wanachama 153 walirudisha Kadi za CHADEMA na bendera 87 za CHADEMA zilirudishwa! Ni pale mmoja wa walio rudisha bendera na Kadi za CHADEMA kukiri kuwa tangu ajiunge na CHADEMA amekuwa akiweweseka usiku na kujihisi ana ishi na kitu cha hatari ndani ya maisha yake kwani hata akigombana na majirani zake basi anajihisi kuandamana! Aliwavunja mbavu watu kwa kusema Chadema ni Chama cha Wahuni ambao hata Katibu wao Mkuu akiamanisha Dr Slaa hajaoa hadi leo na kusema kama mtu familia inamshinda kuishi na mwanamke ni ajabu kwa wanao mfuata kwani kwa Mila za Kiafirika Slaa bado anatakiwa asipewe siri za mambo ya nyumba hadi pale atakapo kua na kujitambua na kuoa!
      Baada ya Mkutano huo vijana walizagaa mitaani na kuanza kushusha bendera zote za CHADEMA na kuharibu kila kitu chenye nembo ya CHADEMA. Kutokana na Uvunjifu huo wa amani polisi waliingilia kati na kuna vijana walikamatwa na hadi jioni walikua wameshikiliwa na polisi. Mkutano huu uliendelea huku kukiwa na mvua kubwa Mkoani Singida! Nape amesema Vijana wana haki ya kulinda Taifa na amani ya Nchi yao na kuendelea kuichagua CCM!
      ----> nchi yetu ni ya vimemo

    18. #77
      The Prophet's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 682
      Rep Power : 554
      Likes Received
      94
      Likes Given
      16

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu,Polisi waingilia K

      hongera nape.

      naona watafuta ngeu kwa bei chee
      The Prophet ndiye Jerusalem.

    19. #78
      MAYOO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th February 2011
      Posts : 175
      Rep Power : 458
      Likes Received
      20
      Likes Given
      15

      Default Re: Nape Aimaliza CHADEMA Singida,Bendera za CHADEMA za shushwa mitaani kwa nguvu,Polisi waingilia K

      Kinachonifurahisha ni kuwa ccm hiv sasa wamebaki kujibu hoja za cdm tu. Yaan badala ya cdm kuwa wapinzan kwa kupangua hoja za chama tawala mambo yamekuwa viceversa. Huyo nape msimlaum hilo ni debe tupu haliachi .............

    20. #79
      Ipi dot com's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th March 2011
      Posts : 231
      Rep Power : 463
      Likes Received
      26
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Mlengo wa Kati
      Mji wa Singida leo ulitekwa na CCM ndani ya Stendi ya Zamani ambapo Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa -CCM Nape Nnauye alitoa tuhuma mbali mbali zinazofanywa na Viongozi wakuu wa CHADEMA ndani ya Chama hicho na Kuelezea kuwa Viongozi hawa kwanza waangalie usafi wa Nyumba yao badala ya Kujinadi kwa usafi nje!
      Jumla ya Wanachama 153 walirudisha Kadi za CHADEMA na bendera 87 za CHADEMA zilirudishwa! Ni pale mmoja wa walio rudisha bendera na Kadi za CHADEMA kukiri kuwa tangu ajiunge na CHADEMA amekuwa akiweweseka usiku na kujihisi ana ishi na kitu cha hatari ndani ya maisha yake kwani hata akigombana na majirani zake basi anajihisi kuandamana! Aliwavunja mbavu watu kwa kusema Chadema ni Chama cha Wahuni ambao hata Katibu wao Mkuu akiamanisha Dr Slaa hajaoa hadi leo na kusema kama mtu familia inamshinda kuishi na mwanamke ni ajabu kwa wanao mfuata kwani kwa Mila za Kiafirika Slaa bado anatakiwa asipewe siri za mambo ya nyumba hadi pale atakapo kua na kujitambua na kuoa!
      Baada ya Mkutano huo vijana walizagaa mitaani na kuanza kushusha bendera zote za CHADEMA na kuharibu kila kitu chenye nembo ya CHADEMA. Kutokana na Uvunjifu huo wa amani polisi waliingilia kati na kuna vijana walikamatwa na hadi jioni walikua wameshikiliwa na polisi. Mkutano huu uliendelea huku kukiwa na mvua kubwa Mkoani Singida! Nape amesema Vijana wana haki ya kulinda Taifa na amani ya Nchi yao na kuendelea kuichagua CCM!
      jamani siielewi hii mada,mimi si mwama cdm,lakini anachokiandika huyu mtu simwelewi kabisaaa.1 kadi zimerudishwa 150 na bendera 87 ina maana katika kila wanachama wawili wa chadema mmoja ana bendera??kweli?
      Halafu nape kaongea nini kuhusu hali mbaya kwa wananchi? Anatusaidiaje? Mambo ya ndoa yanatusaidiaje sisi? Angalia habari ya kuirusha hewani.
      Henge likes this.

    21. #80
      LordJustice1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Posts : 2,069
      Rep Power : 2304
      Likes Received
      410
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By Tympa
      nilijua atatoa list ya mafisadi kutoka chadema kama ilivyofahamika awali, kumbe anaendelea kuongea pumba!. NAPE, nipo pembeni nashuhudia jinsi unavyojiua kisiasa. kwa pumba unazotoa, usitegemee kushika(kwa idhini ya wazalendo) nyadhifa nyingine yoyote kubwa katika nchi hii.
      Hivi siku 90 walizopewa magamba hazijaisha tu?

    Page 4 of 10 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Nape, ndoto zako za kuwang'oa MAFISADI hazitatimia
      By Mohamedi Mtoi in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 13
      Last Post: 11th July 2011, 11:59
    2. Nape kabala ya kutafuta mafisadi chadema malizana na wa ccm kwanza.
      By Advocate Jasha in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 6
      Last Post: 13th May 2011, 13:54
    3. Replies: 11
      Last Post: 12th May 2011, 19:42
    4. nape asema mafisadi wamepewa barua
      By bwakea in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 17
      Last Post: 12th May 2011, 13:34
    5. Tetesi: Nape nnauye kanunuliwa na mafisadi??
      By Pdidy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 22
      Last Post: 20th July 2009, 01:02

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...