Husseni Mwinyi na priorities za JWTZ - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 9th May 2008, 11:39 AM   #1
Husseni Mwinyi na priorities za JWTZ
Game Theory Game Theory is offline 9th May 2008, 11:39 AM

Kama mjuavyo wanajeshi wetu ambao wengi wao ni kaka zetu, baba zetu, dada zetu na wajomba wetu wamerudi baada ya kumaliza latest military adventure za JK na MEMBE kule Comoros. Mimi na wenzangu wachache humu JF tuliipinga hii vita from day one kwani hatuamini kuwa unaweza kusperad democracy kwa mtutu wa bunduki na pili tulipinga hii vita kwani JK na serikali yake hawakuwa open kuhusu gharama na mandate ya AU achiliambali legality ya hiyo vita yenyewe according to International law.

In short AU haikutoa pesa kwa ajili ya hiyo vita,South Africa ilichomoa kupeleka wanajaeshi wao na bila kusaghau Senegal nao hawakuwa tayari kurisk maisha ya watu wao kwa ajili ya hii vita. Cha ajabu baadhi ya wana JF wamekuwa mstari wa mbele kupinga matumizi mabaya ya fedha za serikali lakini wako kimya kuhusu gharama zilizotumika kule Comoros...huwa wanajua na majibu ahhh AU ilifund the wholeoperation lakini ukiwa uliza AU imeshindwa kununua Helocopter kule DARFUR wamepata wapi pesa za hii vita hupewi jibu sahihi...au ukiwaambia kuwa AU ilishindwa kupata pesa kwa ajili ya Pan African parliament lakini leo serikali yetu inatuongopea kuhusu gharama zote za vita ya Comoros

Sasa kwenye hili japo I was against this idiotic war lakini ningependa tuwatreat hawa wanajeshi wetu kwa Heshima...imeshindikana vipi kufanya PARADE YA KUWAPOKEA hawa wanajeshi? Hussein Mwinyi kashindwa vipi kutupatia taarifa kamili ya hawa wanajeshi wetu ambao badala ya kutumika ndani ya nchi wanasiasa wameamua kuwatumia kuspread democracy nchi za nje hatujaambiwa wangapi walijeruhiwa, wangapi wamekufa, na failures zipi zilitokea na jinsi gani zinawezakuepukika.

Sisemi sensitive military operations details ziwekwe kwenye public domain lakini nadhani Watanzania deserve better than haya mambo yanayofanywa na HUSSEIN MWINYI, JAKAYA KIKWETE na BERNARD MEMBE

Nahisi labda wanajua kuwa watu wengi watauliza maswali ndio maana wanafanya mambo kisiri siri lakini regardless of anyone's views on this illegal invasion of Comoros JWTZ deserve better than this charade ya HUSSEIN MWINYI


Sasa tunaambiwa kuwa wanajeshi zaidi ya 80 walikufa mbagala na uvumi huu inaendelea kwa kasi kubwa...aliko mheshimiwa waizri haijulikani baada ya kuonekana siku mbili tatu...kana kama hiyo haitoshi TPDF na Meja Jenrali MWAMUNYANGE wamegeuzwa kama vile vikaragosi vya kupokea cheki za milioni 6 na tatu kwa ajili ya mbagala

Hivi kweli tumefikia wareduce hawa wanajeshi wetu to this level of kupokea magunia ya maharagwe?

wizara ya ulinzi wana bajeti kubwa tuuu halafu leo tunaambiwa kuwa hawana means za kuallocate mabomu yaliyobaki kule mbagala hivyo wanaagiza kifaa / Hussein Mwinyi anatuambia eti anataka kutumia SETELAITI toka SOUTH AFRICA...sasa tuamini nini?

Mwisho zaidi ndio nini kuwadhalilisha wanajeshi wetu mbele ya wale wazungu kufanya drill mchana kisa tumepewa yale magari mabovu kwenda Darfur

Huyu jamaa(HUSSEIN MWINYI) kwanza sijui kama alishalipa zile pesa za scholarship ya UTURUKI...by the way aliiipata hiyo nafasi wakati DEDI yake tayari ni rais


Last edited by Game Theory; 18th May 2009 at 03:21 AM..

 
Game Theory's Avatar
Game Theory
JF Premium Member
Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100 Points: 6,834,698, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
Join Date: Tue Sep 2006
Posts: 7,285
Thanks: 60
Thanked 425 Times in 178 Posts
Views: 1687
Reply With Quote
  #2  
Old 9th May 2008, 12:21 PM
Mpita Njia Mpita Njia is offline
Mpita Njia has no status.
JF Premium Member
Points: 743,785, Level: 100 Points: 743,785, Level: 100 Points: 743,785, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 3,161
Thanks: 82
Thanked 101 Times in 66 Posts
Rep Power: 29
Mpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enoughMpita Njia will become famous soon enough
Default Re: Husseni Mwinyi na priorities za JWTZ

Kwa taarifa ambazo mimi nilizipata ni kuwa waliporejea hawa wanajeshi, walifanyiwa mapokezi kwa heshima zote za kijeshi pale Airwing. Mwinyi alikuwepo kuwapokea na kwenye taarifa yake alieleza kuwa askari mmoja tu alifariki (sikumbuki jina lake). Huyo askari alifariki wakati wa harakati za kupakua mizigo katika meli, alitumbukia majini na kwa bahati mbaya mwili wake haujapatikana hadi hivi sasa.
Kuhusu suala la gharama, inabidi tuelezwe sawasawa mchango wa AU katika vita hiyo kwa sababu ni kweli inaelezwa kwa maneno tu kuwa Au ndiyo ilifund lakini hakuna anayetoa data kuonyesha ilifund kwa kiasi gani.
Reply With Quote
  #3  
Old 9th May 2008, 12:53 PM
Kibunango's Avatar
Kibunango Kibunango is offline
Kibunango Mapinduzi Daima...! CCM Damu.
JF Senior Expert Member
Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100
Activity: 39% Activity: 39% Activity: 39%
 
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 4,870
Thanks: 351
Thanked 207 Times in 169 Posts
Rep Power: 4033
Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!
Send a message via MSN to Kibunango Send a message via Yahoo to Kibunango
Default Re: Husseni Mwinyi na priorities za JWTZ

GT, kabla ya kuchangia bandiko lako, ningependa kujua kama una chuki binafsi na JK, Membe na Mwinyi?
__________________
Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problems,
But, if you think again, neither does milk."
Vituko Vya Zenj
Reply With Quote
  #4  
Old 9th May 2008, 01:23 PM
Kinyambiss Kinyambiss is online now
Kinyambiss Res Firma Miscetere Nescit
JF Senior Expert Member
Points: 126,703, Level: 100 Points: 126,703, Level: 100 Points: 126,703, Level: 100
Activity: 11% Activity: 11% Activity: 11%
 
Join Date: Sun Dec 2007
Posts: 902
Thanks: 85
Thanked 92 Times in 50 Posts
Rep Power: 27
Kinyambiss will become famous soon enoughKinyambiss will become famous soon enoughKinyambiss will become famous soon enoughKinyambiss will become famous soon enoughKinyambiss will become famous soon enoughKinyambiss will become famous soon enoughKinyambiss will become famous soon enoughKinyambiss will become famous soon enoughKinyambiss will become famous soon enough
Default Re: Husseni Mwinyi na priorities za JWTZ

wewe GT legality ya vita utaipinga vipi wakati the federal government of Comoros ilitoa ruhusa. How was it an illegal invasion? Na kwamfano wahaya au wachaga au wamakonde wangeamua kuvunja sheria and declare independence alafu serikali ikashindwa kuwashuhulikia kungekuwa na tatizo kama tungeomba msaada? Swala la public funds being used to enforce the rule of law in the region in a Short and Relatively cheap way with little human and financial cost halina maovu yoyote in my opinion (subject to any hidden motives of course)... Matumizi mabaya ya fedha tanzania yako in various forms... this is not one of them. Regional stability is of paramount importance
Reply With Quote
  #5  
Old 9th May 2008, 01:27 PM
Kibunango's Avatar
Kibunango Kibunango is offline
Kibunango Mapinduzi Daima...! CCM Damu.
JF Senior Expert Member
Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100
Activity: 39% Activity: 39% Activity: 39%
 
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 4,870
Thanks: 351
Thanked 207 Times in 169 Posts
Rep Power: 4033
Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!
Send a message via MSN to Kibunango Send a message via Yahoo to Kibunango
Lightbulb Re: Husseni Mwinyi na priorities za JWTZ

Quote:
View Post
wewe GT legality ya vita utaipinga vipi wakati the federal government of Comoros ilitoa ruhusa. How was it an illegal invasion? Na kwamfano wahaya au wachaga au wamakonde wangeamua kuvunja sheria and declare independence alafu serikali ikashindwa kuwashuhulikia kungekuwa na tatizo kama tungeomba msaada?
Umesahau kisiwa cha Pemba, ambapo Wazee wa huko wanataka serikali yao, kwa kufananisha na hayo yaliyotokea huko Comoro
__________________
Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problems,
But, if you think again, neither does milk."
Vituko Vya Zenj
Reply With Quote
  #6  
Old 9th May 2008, 02:39 PM
Gaijin Gaijin is online now
Gaijin has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 113,904, Level: 100 Points: 113,904, Level: 100 Points: 113,904, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Tue Aug 2007
Posts: 1,321
Thanks: 23
Thanked 105 Times in 67 Posts
Rep Power: 25
Gaijin will become famous soon enoughGaijin will become famous soon enoughGaijin will become famous soon enoughGaijin will become famous soon enoughGaijin will become famous soon enoughGaijin will become famous soon enoughGaijin will become famous soon enoughGaijin will become famous soon enough
Default Re: Husseni Mwinyi na priorities za JWTZ

kwa maana hiyo kila kitakapotokea instability kwenye region iliyo karibu na Tanzania, tutatoa majshi yetu, na costs zetu kwenda kuleta amani?

kama ni hivyo, kazi ya AU ni nini basi?
Reply With Quote
  #7  
Old 9th May 2008, 03:41 PM
Mwafrika wa Kike Mwafrika wa Kike is offline
Mwafrika wa Kike oun dut schmoutchk
JF Premium Member
Points: 795,495, Level: 100 Points: 795,495, Level: 100 Points: 795,495, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Jul 2007
Posts: 5,840
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 5 Posts
Rep Power: 34
Mwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enough
Default Re: Husseni Mwinyi na priorities za JWTZ

Kwa nini serikali isitoe tamko la nani alilipia vita ya Comoro?
__________________
Well Behaved Women Never Make History

Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation
Reply With Quote
  #8  
Old 9th May 2008, 03:51 PM
think BIG think BIG is offline
think BIG has no status.
Senior Member
Points: 83,140, Level: 100 Points: 83,140, Level: 100 Points: 83,140, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 217
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 22
think BIG will become famous soon enoughthink BIG will become famous soon enoughthink BIG will become famous soon enoughthink BIG will become famous soon enoughthink BIG will become famous soon enoughthink BIG will become famous soon enoughthink BIG will become famous soon enoughthink BIG will become famous soon enough
Default Re: Husseni Mwinyi na priorities za JWTZ

Tujadili suala hili katika picha mbili, Afrika (kama bara) na Tanzania (kama nchi mwanachama). Kwa sasa rais wetu JK ana kofia mbili, moja ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (yaani AU), na pili ndiye rais wa Tanzania yetu (mwanachama wa AU).

Inapotokea kuna matatizo (kama vita, machafuko, ghasia na matatizo mengineyo) katika nchi mwanachama wa AU, AU kama taasisi hufanya tathmini ya kujua nini kifanyike ili kuondokana na matatizo hayo!

Kama ni machafuko ya kisiasa (ubabe wa kiongozi mmojawapo) kama yaliyotokea kule Comoro, AU inachokifanya ni kutuma askari wa kutuliza ghasia na kumuondoa madarakani huyo kiongozi. Ili kufanikisha hilo, inahitaji askari (either wa miguu, angani, au majini), inahitaji magari ya kivita, vifaru, na wakati mwingine hata ndege ya kivita! Pia, inahitaji silaha za aina mbali mbali (kama vile, risasi, mabomu na kadhalika).

Hapa naomba ieleweke kitu kimoja, taasisi hii (AU) haina ndege ya vita, Jiefang, wala kifaru!! Yenyewe ina wataalamu tu wa kufanya tathmini (wengi hawalifahamu hili)!!

Mara baada ya kufanya tathmini na kutuma ripoti kwa watendaji wa juu (Mwenyekiti akiwa mmojawapo, kwa sasa JK), uomba nchi wanachama (wa AU) mwenye uwezo wa ku-provide hayo mahitaji!

Ndipo hapo nchi kama Tanzania hujitokeza na kusema, nita-provide
askari wa miguu - 47
askari wa majini - 12
vifaru - 2 na kadhalika! Na nchi nyingine pia itajitokeza, mpaka hapo yale mahitaji yote yaliyopendekezwa kwenye tathmini yatakapokamilika! Kisha msafara unaanza ...

Kama mnavyoelewa sasa AU (kama taasisi) haina askari wala kifaa chochote cha kivita, kwa hiyo inachokifanya kwa nchi zilizojitolea hivyi vifaa pamoja na askari wake, ni kuwalipa pesa kwa gharama ya kila kifaa (kwa thamani ya sasa ya dukani, i mean brand new!). Kama Tanzania walipeleka Kifaru (kikuu kuu cha mwaka 2001), basi hujakulipwa Kifaru kipya kwa thamani ya bei ya Kifaru kwa leo (2008). Na hii ndio "bonus pekee" inayofanya majeshi mengi ya nchi za Western & Central Africa kuchangamkia inapotokea shughuli kama hii!

Suala la pili ni askari, hawa huwa na mkataba maalunm kwa ajili ya kazi hii, ambao huwa nje ya mkataba wake wa sasa wa kazi na JWTZ! Ambapo sijahamu figure kamili lakini husemekana ni mnono sana!

Sasa tukirudi kwenye mada, Tanzania (kama mwanachama wa AU), kutokana na majeshi yale kufanikiwa, basi inajivunia nchi mwanachama mwenzetu kupata utulivu, na tunasikia sasa wanapanga tarehe ya kufanya uchaguzi wa kidemokrasi (sote tunaamini hili ni jambo zuri). Kwa upande wa JK, yeye kama Mwenyekiti wa AU, may be alikuwa na maono (for the 1st time) kwamba hapa jeshi ni muhimu kuliko mazungumzo yasiyokwisha yaloyokuwa yakisimamiwa na Thabo Mbeki! Na hapa nakuthibitishia JK amezoa heshima nyingi sana dhidi ya Mbeki (alipinga hapo mwanzo kuhusu matumizi ya jeshi ktk suala hili)!

Pili Tanzania kama nchi, nilishapata kuzungumza na "mkuu" mmoja wa jeshi kuhusu suala la kutoa majeshi yetu kwenda kulinda amani, akanieleza masikitiko yake kuwa Tanzania tumezubaa sana tunashindwa kuchangamkia "tenda" hizi, kwani zina manufaa sana kwa upande wa vifaa vya kijeshi (kama nilivyozungumzia "bonus")!! Pili alinieleza askari wa kwenda huko sio shida, kwani wao wenyewe ndio hujitokeza kwa wengi kuomba kwenda (kutokana na "marupurupu" ya shughuli hiyo)! Sasa baada ya shughuli hii, JWTZ inakwenda kupata malipo yake ya vifaa vyote ilivyopeleka Comoro (whether zimeharibia na kuachwa huko comoro au vimerudi na vinaendelea kutumia makambini kwao JWTZ!). Italipwa kwa vifaa vyote!

Kuhusu askari kufa kazini, jamani hakuna kazi isiyo na "ajali kazini"! Na hakuna anayependa hilo litokee, iwe kwenye kazi yeyote! Kwa sasa, sote kama wananchi wa TZ tunatakiwa tutambue mchango waJWTZ na kutoa rambi rambi wa huyo askari mmoja aliyepoteza maisha.

Naomba kuwakilisha.
__________________
Spoon-feeding, in the long run, teaches us nothing but the shape of the spoon. - Edward M Foster
Reply With Quote
  #9  
Old 9th May 2008, 03:52 PM
Gembe's Avatar
Gembe Gembe is offline
Gembe ni mshauri
JF Senior Expert Member
Points: 1,172,087, Level: 100 Points: 1,172,087, Level: 100 Points: 1,172,087, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Tue Sep 2007
Location: kamnyonge
Posts: 2,386
Thanks: 40
Thanked 55 Times in 30 Posts
Rep Power: 67
Gembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the rough
Default Re: Husseni Mwinyi na priorities za JWTZ

Quote:
View Post
Kwa nini serikali isitoe tamko la nani alilipia vita ya Comoro?
Pinda alishalijibu hilo na hata Mkuu wa kaya alishasema,Pesa yote ililipwa na AU.
__________________
As long as I am leader, Our position is not going to change from that of our forefathers. I do not want the responsibility for selling the rights of our children yet unborn
Reply With Quote
  #10  
Old 9th May 2008, 04:17 PM
Mwafrika wa Kike Mwafrika wa Kike is offline
Mwafrika wa Kike oun dut schmoutchk
JF Premium Member
Points: 795,495, Level: 100 Points: 795,495, Level: 100 Points: 795,495, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Jul 2007
Posts: 5,840
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 5 Posts
Rep Power: 34
Mwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enoughMwafrika wa Kike will become famous soon enough
Default Re: Husseni Mwinyi na priorities za JWTZ

Quote:
View Post
Pinda alishalijibu hilo na hata Mkuu wa kaya alishasema,Pesa yote ililipwa na AU.
Kuna ubishi mkubwa katika hili. Kuna report zinaonesha kuwa AU haikulipa hizi pesa.
__________________
Well Behaved Women Never Make History

Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
husseni, jwtz, mwinyi, priorities, za


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 225 11th December 2009 03:53 PM
Mzee Mwinyi awachomekea kizenji! Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 39 20th October 2008 03:00 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 06:49 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com