Habari iliyoandikwa na gazeti linalomilikiwa na Ridhwani Jamboleo la Jumatatu limeelezea kuwa Dr wa Ukweli anamsingia RZ1 kuwa bilionea wakati yeye ni milionea. MY TAKE: Kwa umeri na kazi anazofanya rz1 umilionea kaupataje? Wadau naomba ufafanuzi
Habari iliyoandikwa na gazeti linalomilikiwa na Ridhwani Jamboleo la Jumatatu limeelezea kuwa Dr wa Ukweli anamsingia RZ1 kuwa bilionea wakati yeye ni milionea. MY TAKE: Kwa umeri na kazi anazofanya rz1 umilionea kaupataje? Wadau naomba ufafanuzi
DOWANS IKIWASHWA , KULIPWA AU KUNUNULIWA FEDHA ZAKE ZITAWANUFAISHA MAFISADI KATIKA UCHAGUZI WA 2015. WAZALENDO TUIPINGE DAIMA
Bullshi.t RZ1 muda wako unahesabika na baba yako
Mtoto wa Gadaffi auwawa
Mubaraka na wanawe washikiliwa
Watoto wa Sadam wauwawa
Hivi wale watoto wa Mobutu wakao wapi? Walikuwa na hela sana wale enzi hizo wakiimbwa na Wenge na Koffi..
amidst the mists and coldest frost, he thrust his fists against the posts, and still insists he sees the ghosts...
Tunataka pia kujua wewe ridhwan hata huo umillionaire umeutoa wapi?
Huyu mtoto mjinga sana yaani kujifanya milionea ndiyo anadhani tutasahau kuhoji kapata wapi hizo fedha. Tena anatumia gazeti lake unajua gharama za mtu kumiliki gazeti la kila siku, huo tu ni mtaji wa bilioni na sasa kanaibuka na wapambe wake kujifanya kamilionea. Huu ni udhalilishaji wa utaifa na kuwafanya watanzania wajinga kama kalivyo kenyewe. Hakuna muda tunakasubiri tu gamba lake halitavuliwa bali litachunwa na damu yake kumwagwa chini
Wangetueleza pia huo umilionea wake unatokana na kumiliki vitu gani..
Fikiria kwa u-makini...!
Jamani yeye ni mtoto wa raisi pengine amekatiwa mapande na wafanyabiashara just as a good will ndo maana anamapesa havo. Kwani kunamtu ambaye maisha yake yote ajawahi kutoa favours kwa mtu fulani kwavile anaweza akapata benefit fulani huko baadaya basi ajitokeze?
Mfano mtoto wa mwalimu shule ya msingi akikuomba tambi zako una mpa kashilingi tano siku hizo ulikuwa unapata tambi nyingine. Siyo kwamba atakusaidia ni kwa vile mtoto wa mwalimu tuu ujui sikugani hataweza kukusaidia
kwishneyyyyyyyyyyyyyyyyy
owwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ii
NCHI IMEUZWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA AAAAA
kigezo gani kinamfanya mtu awe milionea bongo? manake najua karibia mishahara ya wabunge wote ni kama zaidi ya milioni 8 sasa hao wote ni mamilionea au lazima uwe na pesa zaidi yao au kuna double standards mahali
tehteheteheteheteheteheteheteh etegteteeeeeee nchi hii bana. Haya
"Wajumbe kifungu hiki kinaafikiwa........Ndiyooooooo ooooooooooooooooooooo, "Wabunge wa Tanzania!!! !hasa wa CCM
dogo anaweza kuwa yuko sahihi katika kujitetea ....maana anajua akina Bill Gates wanaitwa "millionaires", sasa kama yeye ana utajiri wa kama $70m tu si kiasi cha mboga tu jamani!!!? Maana RA yeye anasema anaweza kumake kama Tsh 180 Billion kwa miezi mitatu na bado hajatangazwa hata huo umillionea! ...weka zako
Nilipanga kuandika hapa jf kuhusu gazet hili.Ni moja ya magazet nisiyoyapaenda hasa kwa kuandika uchochezi.sikufahamu kama gazet hilo ni la rz1.leo nimefahamu.mana ile list ya waandishi wake nillijua ndio wamiliki kumbe wametumwa tu?hakika gazeti hili huandika uchochezi mbaya sana kuliko hata gazet la uhuru.Kwanini waandishi hao kutumika kias hicho?milionea kwani ni hela ndogo hapa bongo?wenzake mbona sio milionea walomaliza nao chuo na shule plae mkwawa?kumbe dr slaa ni mkweli ni mtafiti.
His days are numbered!! every second will count! he can smile now BUT he will sob soon!
"A government that robs Peter to pay Paul can always depend on the support of Paul.." (GB Shaw)
kazipataje hata hizo milioni???
Sidhani kama Riz1 anakesi ya kujadiliwa hapa, sio rahisi kwa mtoto wa rais awe machinga, jamani kila mtu anauhuru wa kufanya kitu chochote na kufanikiwa, hoja hapa iwe kama kuna kesi au taarifa kuwa chanzo cha hela zake ni rushwa basi ieleweke ili tujadili hilo. Tuache chimbachimba zisizo na maana.
Mwanzoni alisema anaweza kueleza namna alivyopata hizo hela!!. Whether he is a millionaire or billionaire jamii inataka kujua amewezaje kupata huo utajiri na kama njia aliyotumia inakubalika ama la!
Follow Us Here