Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 33
    1. #1
      Membe for 2015's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th March 2011
      Posts : 37
      Rep Power : 423
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      Habari iliyoandikwa na gazeti linalomilikiwa na Ridhwani Jamboleo la Jumatatu limeelezea kuwa Dr wa Ukweli anamsingia RZ1 kuwa bilionea wakati yeye ni milionea. MY TAKE: Kwa umeri na kazi anazofanya rz1 umilionea kaupataje? Wadau naomba ufafanuzi
      Sungurampole likes this.
      DOWANS IKIWASHWA , KULIPWA AU KUNUNULIWA FEDHA ZAKE ZITAWANUFAISHA MAFISADI KATIKA UCHAGUZI WA 2015. WAZALENDO TUIPINGE DAIMA

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      King of Kings's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2010
      Location : KWA MBAYUWAYU
      Posts : 3,765
      Rep Power : 1221
      Likes Received
      430
      Likes Given
      821

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      Bullshi.t RZ1 muda wako unahesabika na baba yako
      mgaza2001 and LAT like this.

    4. #3
      Marytina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 4,870
      Rep Power : 1430
      Likes Received
      888
      Likes Given
      274

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      Mtoto wa Gadaffi auwawa
      Mubaraka na wanawe washikiliwa
      Watoto wa Sadam wauwawa

    5. #4
      Limbani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Kisiwani
      Posts : 1,227
      Rep Power : 820
      Likes Received
      255
      Likes Given
      63

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      Hivi wale watoto wa Mobutu wakao wapi? Walikuwa na hela sana wale enzi hizo wakiimbwa na Wenge na Koffi..
      amidst the mists and coldest frost, he thrust his fists against the posts, and still insists he sees the ghosts...

    6. LAT
      #5
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1499
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      Quote By merytina
      Mtoto wa Gadaffi auwawa
      Mubaraka na wanawe washikiliwa
      Watoto wa Sadam wauwawa
      Osama na mwanawe Hamza wauwawa
      "Esprit de Corps"

    7. Miaka 50

    8. LAT
      #6
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1499
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      Quote By Limbani
      Hivi wale watoto wa Mobutu wakao wapi? Walikuwa na hela sana wale enzi hizo wakiimbwa na Wenge na Koffi..
      Kongolo Mobutu Seseseko Kuku wa Zabanga .....
      "Esprit de Corps"

    9. #7
      Msarendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2011
      Location : Rich Forever.
      Posts : 2,531
      Rep Power : 927
      Likes Received
      322
      Likes Given
      7

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      Tunataka pia kujua wewe ridhwan hata huo umillionaire umeutoa wapi?

    10. #8
      MVUA GAMBA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 102
      Rep Power : 431
      Likes Received
      54
      Likes Given
      0

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      Huyu mtoto mjinga sana yaani kujifanya milionea ndiyo anadhani tutasahau kuhoji kapata wapi hizo fedha. Tena anatumia gazeti lake unajua gharama za mtu kumiliki gazeti la kila siku, huo tu ni mtaji wa bilioni na sasa kanaibuka na wapambe wake kujifanya kamilionea. Huu ni udhalilishaji wa utaifa na kuwafanya watanzania wajinga kama kalivyo kenyewe. Hakuna muda tunakasubiri tu gamba lake halitavuliwa bali litachunwa na damu yake kumwagwa chini

    11. Iza
      #9
      Iza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2009
      Location : palipo na Internet
      Posts : 1,642
      Rep Power : 857
      Likes Received
      233
      Likes Given
      368

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      Wangetueleza pia huo umilionea wake unatokana na kumiliki vitu gani..
      Fikiria kwa u-makini...!

    12. #10
      Anfaal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2010
      Posts : 1,157
      Rep Power : 723
      Likes Received
      102
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By Iza
      Wangetueleza pia huo umilionea wake unatokana na kumiliki vitu gani..
      <br />
      <br />
      kuna haja ya kupima akili za baadhi ya watu hapa. Kwani umilionea unaanzia kwenye ngapi? Tena pesa yenyewe ni Tsh. Ingekuwa umilionea kwenye dollar tungezungumza. Hii inanikumbusha enzi za utoto mtu akiwa na dola haijalishi dola ngapi basi huyo ni tajiri.

    13. #11
      i411's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2011
      Location : iworld
      Posts : 713
      Rep Power : 556
      Likes Received
      99
      Likes Given
      103

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      Jamani yeye ni mtoto wa raisi pengine amekatiwa mapande na wafanyabiashara just as a good will ndo maana anamapesa havo. Kwani kunamtu ambaye maisha yake yote ajawahi kutoa favours kwa mtu fulani kwavile anaweza akapata benefit fulani huko baadaya basi ajitokeze?
      Mfano mtoto wa mwalimu shule ya msingi akikuomba tambi zako una mpa kashilingi tano siku hizo ulikuwa unapata tambi nyingine. Siyo kwamba atakusaidia ni kwa vile mtoto wa mwalimu tuu ujui sikugani hataweza kukusaidia

    14. #12
      Pasco_jr_ngumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 1,548
      Rep Power : 702
      Likes Received
      185
      Likes Given
      42

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      kwishneyyyyyyyyyyyyyyyyy
      owwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ii

      NCHI IMEUZWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA AAAAA

    15. #13
      i411's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2011
      Location : iworld
      Posts : 713
      Rep Power : 556
      Likes Received
      99
      Likes Given
      103

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      kigezo gani kinamfanya mtu awe milionea bongo? manake najua karibia mishahara ya wabunge wote ni kama zaidi ya milioni 8 sasa hao wote ni mamilionea au lazima uwe na pesa zaidi yao au kuna double standards mahali

    16. #14
      Ta Muganyizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Kashasha
      Posts : 2,768
      Rep Power : 989
      Likes Received
      956
      Likes Given
      1465

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      tehteheteheteheteheteheteheteh etegteteeeeeee nchi hii bana. Haya
      "Wajumbe kifungu hiki kinaafikiwa........Ndiyooooooo ooooooooooooooooooooo, "Wabunge wa Tanzania!!! !hasa wa CCM

    17. #15
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,579
      Rep Power : 781
      Likes Received
      415
      Likes Given
      484

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      Quote By Anfaal
      <br />
      <br />
      kuna haja ya kupima akili za baadhi ya watu hapa. Kwani umilionea unaanzia kwenye ngapi? Tena pesa yenyewe ni Tsh. Ingekuwa umilionea kwenye dollar tungezungumza. Hii inanikumbusha enzi za utoto mtu akiwa na dola haijalishi dola ngapi basi huyo ni tajiri.
      dogo anaweza kuwa yuko sahihi katika kujitetea ....maana anajua akina Bill Gates wanaitwa "millionaires", sasa kama yeye ana utajiri wa kama $70m tu si kiasi cha mboga tu jamani!!!? Maana RA yeye anasema anaweza kumake kama Tsh 180 Billion kwa miezi mitatu na bado hajatangazwa hata huo umillionea! ...weka zako

    18. #16
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 531
      Rep Power : 10616
      Likes Received
      153
      Likes Given
      119

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      Nilipanga kuandika hapa jf kuhusu gazet hili.Ni moja ya magazet nisiyoyapaenda hasa kwa kuandika uchochezi.sikufahamu kama gazet hilo ni la rz1.leo nimefahamu.mana ile list ya waandishi wake nillijua ndio wamiliki kumbe wametumwa tu?hakika gazeti hili huandika uchochezi mbaya sana kuliko hata gazet la uhuru.Kwanini waandishi hao kutumika kias hicho?milionea kwani ni hela ndogo hapa bongo?wenzake mbona sio milionea walomaliza nao chuo na shule plae mkwawa?kumbe dr slaa ni mkweli ni mtafiti.

    19. #17
      LoyalTzCitizen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2010
      Location : Lashkar Gah, Helmand
      Posts : 1,539
      Rep Power : 763
      Likes Received
      157
      Likes Given
      147

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      His days are numbered!! every second will count! he can smile now BUT he will sob soon!
      "A government that robs Peter to pay Paul can always depend on the support of Paul.." (GB Shaw)


    20. #18
      harakati83's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th August 2010
      Posts : 53
      Rep Power : 457
      Likes Received
      4
      Likes Given
      17

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      kazipataje hata hizo milioni???

    21. #19
      Anold's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 727
      Rep Power : 608
      Likes Received
      74
      Likes Given
      26

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      Quote By Ngalikivembu
      Nilipanga kuandika hapa jf kuhusu gazet hili.Ni moja ya magazet nisiyoyapaenda hasa kwa kuandika uchochezi.sikufahamu kama gazet hilo ni la rz1.leo nimefahamu.mana ile list ya waandishi wake nillijua ndio wamiliki kumbe wametumwa tu?hakika gazeti hili huandika uchochezi mbaya sana kuliko hata gazet la uhuru.Kwanini waandishi hao kutumika kias hicho?milionea kwani ni hela ndogo hapa bongo?wenzake mbona sio milionea walomaliza nao chuo na shule plae mkwawa?kumbe dr slaa ni mkweli ni mtafiti.
      Sidhani kama Riz1 anakesi ya kujadiliwa hapa, sio rahisi kwa mtoto wa rais awe machinga, jamani kila mtu anauhuru wa kufanya kitu chochote na kufanikiwa, hoja hapa iwe kama kuna kesi au taarifa kuwa chanzo cha hela zake ni rushwa basi ieleweke ili tujadili hilo. Tuache chimbachimba zisizo na maana.

    22. #20
      taffu69's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2007
      Posts : 1,205
      Rep Power : 867
      Likes Received
      230
      Likes Given
      153

      Default Re: Ridhwani sio Bilionea ni Milionea tu

      Mwanzoni alisema anaweza kueleza namna alivyopata hizo hela!!. Whether he is a millionaire or billionaire jamii inataka kujua amewezaje kupata huo utajiri na kama njia aliyotumia inakubalika ama la!

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. milionea
      By Kamaka in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 8
      Last Post: 1st March 2012, 10:21
    2. apongezwa kwa kuwa milionea
      By Lukansola in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 3
      Last Post: 23rd November 2011, 18:48
    3. Kuwa milionea inaanzia sh. Ngapi?
      By Mhoja in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 21
      Last Post: 16th October 2011, 08:12
    4. milionea
      By sugi in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 21
      Last Post: 5th June 2011, 21:28
    5. Cheza ubahatike na uwe milionea
      By BABA JUICE in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 15th March 2011, 06:28

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...