Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 70
    1. #1
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,326
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      4885
      Likes Given
      5705

      Default Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Kuna watu walinifahamisha wangependa kupata kitabu ama dondoo juu ya kitu hiki. Huenda ukawa mwanzo wa wengi kujua kwa undani nini hasa chanzo cha watu kuweka ngawira katika taifa hili...

      As a tip: Kuna 'mafia' kadhaa toka Tanzania wamelimbiliza fedha nyingi huku. Ni zaidi ya EPA. Kuna siku itafumuka tu, Mungu anipe uhai!


      CONTENTS:
      Chapter 1: Challenges and Threats
      Chapter 2: Switzerland—Alpine Financial Oasis
      Chapter 3: Where to Begin: Opening a Swiss Bank Account
      Chapter 4: Investing through Your Swiss Bank
      Chapter 5: Banking Policies and Regulations
      Chapter 6: The Ultimate Investment Plan
      Chapter 7: Alpine Retreat for Business and Pleasure
      Chapter 8: The Best Alternatives to Switzerland
      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    2. Miaka 50

    3. #41
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By TIMING
      yah, ila kesi kama za babu seya na yule mangi pale moshi ni kazi ya nani?
      Huyo "mangi: simjui wala sijui kesi yake, fafanua.

      Babu Seya, hakimu alikuwa Kikwete? mikanda ya video akifanya ngono na watoto wa shule aliitengeneza Kikwete? na wale watoto wote waliokuwa wanakwenda kutoa ushahidi walitayarishwa na Kikwete?

      Isome hapa hukumu ya Babuseya iliwekwa humu na wewe ukiwa tayari umo JF, ni nini usichokielewa?: http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...-hii-hapa.html

      Usiongee kama punguani, kuwa mkweli.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    4. #42
      WildCard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2008
      Posts : 6,453
      Rep Power : 1979
      Likes Received
      1797
      Likes Given
      59

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By zomba
      Sheria ipi hiyo na wangapi walisamamishwa kwa rushwa kizimbani wakati wa Nyerere? usiandikie mate kama wino unao.
      Nimeeleza hapo jinsi sheria ile ilivyokuwa ikifanya kazi. Chenge angesimamishwa mahakamani akatoa ushahidi wa namna alivyozipata fedha zile. Isingekuwa kazi ya TAKUKURU kama ilivyo sasa kutafuta ushahidi. Wakati wa Mwalimu rushwa za wazi na kubwa kiasi hazikuwepo. Hotuba yake pale Kilimanjaro Hotel ulipata kuisikia? Mnyimeni sifa zote Mwalimu mkitaka lakini hili la kusimamia rasilmali za nchi hana mfanowe.

    5. #43
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By WildCard
      Nimeeleza hapo jinsi sheria ile ilivyokuwa ikifanya kazi. Chenge angesimamishwa mahakamani akatoa ushahidi wa namna alivyozipata fedha zile. Isingekuwa kazi ya TAKUKURU kama ilivyo sasa kutafuta ushahidi. Wakati wa Mwalimu rushwa za wazi na kubwa kiasi hazikuwepo. Hotuba yake pale Kilimanjaro Hotel ulipata kuisikia? Mnyimeni sifa zote Mwalimu mkitaka lakini hili la kusimamia rasilmali za nchi hana mfanowe.
      Hiyo sheria ni ipi? lini ilifutwa na imefutwa na sheria ipi na mbadala kuna sheria ipi? unaongelea sheria halafu unanipa porojo za Kilimanjaro Hoteli? kuwa makini kidogo!
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    6. #44
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By zomba
      Huyo "mangi: simjui wala sijui kesi yake, fafanua.

      Babu Seya, hakimu alikuwa Kikwete? mikanda ya video akifanya ngono na watoto wa shule aliitengeneza Kikwete? na wale watoto wote waliokuwa wanakwenda kutoa ushahidi walitayarishwa na Kikwete?

      Isome hapa hukumu ya Babuseya iliwekwa humu na wewe ukiwa tayari umo JF, ni nini usichokielewa?: http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...-hii-hapa.html

      Usiongee kama punguani, kuwa mkweli.
      kamanda

      mimi ni mtu wa kawaida sana tu, ila mmbeya kweli, ukibanwa kwenye viroja unakimbilia document za public (which we all know hata mlizogawana last week ni za uongo), ukibanwa kwenye ukweli unakimbilia speculations and vitisho

      WANANCHI WA KAWAIDA TUNAONGEZEKA NA KUONGEZA UPEO WA KUSOMA NA KUPATA TAARIFA, HANGAIKENI WEEEEE, KUNA SIKU "DOCTORINGS" ZITATOKA IN SERIES

      Kwani kuna versions ngapi za bajeti analysis ya mwaka uliopita?? au ripoti nyingine nyingi tu hata za mambo madogo yasiyo wala na national security interest??

      Bro.... its porous and let me leave it here, siku hizi hata humu naona ni kudanganyana na decoy za kijinga tu kwa mnasambaza wenyewe halafu badae mnarukana kimanga

      I WISH....

      kwaheri
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    7. #45
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By TIMING
      kamanda

      mimi ni mtu wa kawaida sana tu, ila mmbeya kweli, ukibanwa kwenye viroja unakimbilia document za public (which we all know hata mlizogawana last week ni za uongo), ukibanwa kwenye ukweli unakimbilia speculations and vitisho

      WANANCHI WA KAWAIDA TUNAONGEZEKA NA KUONGEZA UPEO WA KUSOMA NA KUPATA TAARIFA, HANGAIKENI WEEEEE, KUNA SIKU "DOCTORINGS" ZITATOKA IN SERIES

      Kwani kuna versions ngapi za bajeti analysis ya mwaka uliopita?? au ripoti nyingine nyingi tu hata za mambo madogo yasiyo wala na national security interest??

      Bro.... its porous and let me leave it here, siku hizi hata humu naona ni kudanganyana na decoy za kijinga tu kwa mnasambaza wenyewe halafu badae mnarukana kimanga

      I WISH....

      kwaheri
      Umekosa hoja? kwi kwi kwi teh teh teh! Hukumu zote za kesi ni public documents, for your information!
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    8. FemaTV & Radio

    9. #46
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3257
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By zomba
      Kufungwa au kutokungwa sio kazi ya Kikwete, ni kazi ya mhimili wa dola unaoitwa Mahakama. Mimi hapa naongelea anayoyafanya Kikwete.

      Isitoshe, wapo wengi tu, zaidi ya hao watano uwatakao. Kwa kuanzia tu haraka haraka kabla sijaenda mbali nakupa sita, ni mmoja zaidi ya uwatakao, ukitaka nikuongeze wengine sema tu.:hawa wanne: Hawa wawili:
      Hilo kwenye red labda iwe unifahamisha tu, na asante sana, lakini mimi sikulisema.
      Kuhusu hao waliofungwa. nashukuru kwa kuweka "uthibitisho," ndicho nilichotaka kujua - Kodos! Hata hivyo, sioni uhusiano wa hawa waliofungwa mada ya leo - Secrets of Swiss Banking.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    10. #47
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By zomba
      Umekosa hoja? kwi kwi kwi teh teh teh! Hukumu zote za kesi ni public documents, for your information!
      sasa ikawaje wewe kurudi kwenye viroja/..... kwikwikwi...

      note the trend, tunaenda sawa tu, and you know it
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    11. #48
      WildCard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2008
      Posts : 6,453
      Rep Power : 1979
      Likes Received
      1797
      Likes Given
      59

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By zomba
      Hiyo sheria ni ipi? lini ilifutwa na imefutwa na sheria ipi na mbadala kuna sheria ipi? unaongelea sheria halafu unanipa porojo za Kilimanjaro Hoteli? kuwa makini kidogo!
      Unajua PCCB ya sasa sio ile PCB alioianzisha Mwalimu? Hebu fuatilia kwa makini sheria ya Bunge iliyoianzisha Taasisi hii na mabadiliko yake. Hotuba ya Mwalimu Kilimanjaro Hotel ni porojo!? Jifunze kumkataa Mwalimu kama binadamu lakini nguvu ya hoja zake wala hauwezi kukabiliana nazo.

    12. #49
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By WildCard
      Unajua PCCB ya sasa sio ile PCB alioianzisha Mwalimu? Hebu fuatilia kwa makini sheria ya Bunge iliyoianzisha Taasisi hii na mabadiliko yake. Hotuba ya Mwalimu Kilimanjaro Hotel ni porojo!? Jifunze kumkataa Mwalimu kama binadamu lakini nguvu ya hoja zake wala hauwezi kukabiliana nazo.
      Kuwa na nguvu ya hoja haina maana ndio ukweli ina maana ni mpiga porojo wa hali ya juu, unaeweza kumuuzia mueskimo barafu.

      Hicho kitengo cha "anti corruption" cha Maftah? kwi kwi kwi teh teh teh, hiyo aliivunjilia mbali Mwinyi, ilikuwa haina faida yoyote, ndiyo iliifanya rushwa ikithiri.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    13. #50
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By MAMMAMIA
      Hilo kwenye red labda iwe unifahamisha tu, na asante sana, lakini mimi sikulisema.
      Kuhusu hao waliofungwa. nashukuru kwa kuweka "uthibitisho," ndicho nilichotaka kujua - Kodos! Hata hivyo, sioni uhusiano wa hawa waliofungwa mada ya leo - Secrets of Swiss Banking.
      Ukisoma post yangu #13 ukafata na links nilizoweka humo utanielewa nimeanzia wapi kuhusu hii mada ya leo.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    14. #51
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,159
      Rep Power : 24268
      Likes Received
      4671
      Likes Given
      2295

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Invisible, when you becomes visible aisee! this is very crucial mazee!
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    15. #52
      WildCard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2008
      Posts : 6,453
      Rep Power : 1979
      Likes Received
      1797
      Likes Given
      59

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By zomba
      Kuwa na nguvu ya hoja haina maana ndio ukweli ina maana ni mpiga porojo wa hali ya juu, unaeweza kumuuzia mueskimo barafu.

      Hicho kitengo cha "anti corruption" cha Maftah? kwi kwi kwi teh teh teh, hiyo aliivunjilia mbali Mwinyi, ilikuwa haina faida yoyote, ndiyo iliifanya rushwa ikithiri.
      Taasisi hii imevunjwa na kurekebishwa mara nyingi tangu Mwalimu alipoondoka madarakani na hivyo kuifikisha hapo ilipo sasa kama mbunge mmoja alivyosema juzi iko kama vikatuni vile vinavyofungwa kwenye mashamba ya mpunga. JK ndio kaibadili kabisa mwaka 2007 kwa ile Act No. 11/2007 akaipa na jina refu la sasa.

    16. #53
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,397
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Uliona mbali Invisible sasa yanaanza kutumbuka kama usaa
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    17. #54
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By WildCard
      Taasisi hii imevunjwa na kurekebishwa mara nyingi tangu Mwalimu alipoondoka madarakani na hivyo kuifikisha hapo ilipo sasa kama mbunge mmoja alivyosema juzi iko kama vikatuni vile vinavyofungwa kwenye mashamba ya mpunga. JK ndio kaibadili kabisa mwaka 2007 kwa ile Act No. 11/2007 akaipa na jina refu la sasa.
      Na ndio hiyohiyo inayowakamata na kuwafungulia mashtaka wengi sana kwa rushwa kuliko wakati wowote ule. There is always room to improve, lakini mpaka sasa ingawa ni wapya, kama ulivyosema kuanzia 2007 tu, wameshafanya makubwa kuliko wakati wowote wa kabla na wanaendelea.\

      Mimi huwa nawaambia siku zote humu JF, hakuna kingozi aliyefanya mengi mema kama Kikwete kwa nchi hii tena kwa kiwango ambacho hakijafikiwa na Rais yeyote wa kabla yake, na mengine mengi hata ukiwachanganya wote kwa pamoja hawajamfikia ya Kikwete kwa muda mfupi sana.

      Mpande mshuke, ukweli unabaki kuwa ukweli, haubadiliki!
      Topical likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    18. #55
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By zomba
      Na ndio hiyohiyo inayowakamata na kuwafungulia mashtaka wengi sana kwa rushwa kuliko wakati wowote ule. There is always room to improve, lakini mpaka sasa ingawa ni wapya, kama ulivyosema kuanzia 2007 tu, wameshafanya makubwa kuliko wakati wowote wa kabla na wanaendelea.\

      Mimi huwa nawaambia siku zote humu JF, hakuna kingozi aliyefanya mengi mema kama Kikwete kwa nchi hii tena kwa kiwango ambacho hakijafikiwa na Rais yeyote wa kabla yake, na mengine mengi hata ukiwachanganya wote kwa pamoja hawajamfikia ya Kikwete kwa muda mfupi sana.

      Mpande mshuke, ukweli unabaki kuwa ukweli, haubadiliki!
      Wamebakia kusema maneno mengi bila kuonyesha evidence

      Mkuu wanaomchukia JK si kwasababu ya utendaji mbovu per see wako makundi yafuatayo

      a. Wanaosukumwa na hisia kwa kuumizwa e.g. waathirika wa ufisadi hapa utakuta kundi chungu nzima lowassa, mramba, etc

      b. Wanaosukumwa na hisia za udini e.g. chadema, maaskofu hawana sababu ya msingi japo anajipendekeza kwao day and night

      c. Bendara fuata upepo hawa ni wale wasio weza ku-reason wenyewe wanafuata kikundi a na b..
      zomba likes this.
      "Mbowe for Presidency 2015""

    19. #56
      kiliochangu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd February 2012
      Posts : 109
      Rep Power : 386
      Likes Received
      10
      Likes Given
      8

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By zomba
      Nyuzi kama hii ndipo nnapopata fursa ya kumsifu Kikwete, kabla Invisible hajatuwekea humu hiki kitabu, Kikwete kaanza kulifanyia kazi zamani sana na nivyema mpaka leo (2008) elimu imewafikia kina Invisible na wanaanza kuwatanabahisha na wengine, ingawa Invisible yupo miaka miwili nuyma lakini hii ni kazi ya kuendelea na nampongeza kwa kuiunga mkono kwa kutowa elimu kama hii aliyotuwekea.

      Kikwete hii kazi aliianza na kuifanya kwa kubadilisha sheria humu ndani ya nchi zinazohusiana na utoroshaji wa fedha na rushwa, hakuishia hapo akakazania sana kuhusu sheria ya Umoja wa Mataifa itakaruhusu fedha zilizopo nje ya Afrika za Waafrika ziwekwe wazi na kurudishwa ikigundulika hazijapatikana kihalali, hata juzi juzi alilisemea sana alipokuwa Arusha kwenye mkutano wa majaji wa jumuiya madola.

      Alilitilia mkazo pia walipokutana na wakuu wa kuzuia rushwa afrika mashariki.

      Sasa japo tunaona manufaa ya kazi yake, angalau tunajuwa ziko ngapi hapo Uswisi tu na bado zipo nje kwingine kwingi na nyingi tu nna uhakika Kikwete haziachi hizo, kama alivyorudisha fedha za rada na hizi zitarudi tu.

      Hapo ndipo nnapompendea Kikwete, nyie semeni yeye anafanya.

      Kuwakumbusha tu kuwa kazi hii kaianza zamani na leo mna matunda yake nimewawekea links tofauti hapa chini mjikumbushe:

      http://www.google.com/url?sa=t&rct=j...vFP36w&cad=rj a

      Kenya: Kikwete calls for uniform tax system in East Africa

      Zimefichuka » Blog Archive » KIKWETE’S CAMPAIGN AGAINST CORRUPTION PROMISING

      Kikwete on money laundering and corruption - Google Search[+Arusha
      una ubia na JK, au umeajiriwa kwa kazi ya kumsafisha. tangu lini akafukua jambo ambalo wananchi hawajalivalia bango. JK tunamjua vizuri na watu wake wanaeleweka. Acha watu waweke vitu adharani, watanzania wajue ukweli.
      watanzania sio wadanganyika tena.

    20. #57
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,944
      Rep Power : 24143
      Likes Received
      4658
      Likes Given
      2637

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Karibu PANDE FOREST of the DOOMED in advance

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    21. #58
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Quote By kiliochangu
      una ubia na JK, au umeajiriwa kwa kazi ya kumsafisha. tangu lini akafukua jambo ambalo wananchi hawajalivalia bango. JK tunamjua vizuri na watu wake wanaeleweka. Acha watu waweke vitu adharani, watanzania wajue ukweli.
      watanzania sio wadanganyika tena.
      Wewe weka upendavyo na sisi tunaweka mafanikio yake, na hayo huwezi kuyafananisha na Rais mwengine yeyote wa Tanzania wa kabla yake. Huwezi, huwezi, huwezi!

      Nakuuliza swali; wewe upo kundi lipi kati ya makundi aliyoyataja Topical
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    22. #59
      Mahona The Best's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Pole na kazi mkubwa. Mi ni new commer kwenye mada lakini imenigusa saana yan mpaka napata hasira, Naomba nikurudishe nyuma kidogo unajua Tz yetu inaviongoz wanaojua kuongea na wala si kutendea kazi wanachokiongea swala la Epa liko wapi hadi leo? Naomba unikumbushe mkuu.

    23. #60
      Mahona The Best's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Secrets of Swiss Banking - Kitabu

      Duh! nimeamini kuna wa2 hum jf washakula kiapo cha kumstili mweshiwa jk lakini ukweli utabaki palepale, vyama pinzani ndo mwanzo wa kuona wewe ukaanza kuyajua haya baada kuwekwa peupe na vyama pinzani bisha usibishe.

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    Similar Topics

    1. Banking Jobs - How to Succeed in Banking
      By philipi in forum Nafasi za Kazi na Tenda
      Replies: 3
      Last Post: 8th March 2011, 10:58
    2. Replies: 0
      Last Post: 18th January 2011, 14:01
    3. Swiss Banker Spills Secrets to WikiLeaks
      By Zak Malang in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 40
      Last Post: 18th January 2011, 11:24
    4. Islamic Banking-NBC; Sharia banking-Stanbic
      By Zion Daughter in forum Business & Economic Forum
      Replies: 12
      Last Post: 13th June 2010, 17:27

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...