Katika kuadhimisha miaka 47 ya Muungano wa JMT, Kiongozi mmoja na immediate past President, Dr. Amani Karume hakuonekana.
Jee alikuwa wapi (maana hatujasikia kusairi) na inaashiria nini?
Mwenye taarifa atupe.
Katika kuadhimisha miaka 47 ya Muungano wa JMT, Kiongozi mmoja na immediate past President, Dr. Amani Karume hakuonekana.
Jee alikuwa wapi (maana hatujasikia kusairi) na inaashiria nini?
Mwenye taarifa atupe.
Makaimati
Life Goes On
mwache apumzike kwa amani
Hata Mizengo, Mkapa hawakuwepo. Kwa nini JK hakuhutubia kama ilivyo kawaida kwenye sherehe hii?
anakula gambe kichizi jamaa
Alianza utaratibu wa kususia maadhimisho haya siku nyingi kidogo ndo maana hata wakaamua kuyapeleka znz ili wa waplease wa zenji labda bado anaendeleza mgomo baridi
Karume amesafari na imeelezwa na Radio BBC jana jioni. Naye ni binadamu anaweza kuomba udhuru kama mambo yameingiliana na siku ya Muungano lakini zaidi hivi sasa halazimiki kama ilivyo kwa Rais aliyepo madarakani.
sijui ni kwanini au wanaigiza maana tukio kama hili ni la kukosa kweli mbona Mwinyi alikuwepo
huyu jamaa si kuna kipindi alitangazwa kuwa amepata post ya kuwa mwalimu university moja huko marekani, labda yupo huko, maana kwa zanzibar ilivyo ndogo angekuwa pale angejulikana.
mwalimu wa kitu gani kufundisha watu kuiba au kunywa pombe hebu tuweke sawa hapo ndugu...
maana kwa ninavyokua mm huyu jamaa darasa dogo sana sasa sijui amekuwa offerd na univesity gani ambayo itatoa wahitimu bomu
Karume fisadi na moja Tanzania, kuna mambo madogo madogo yanaanza kuja nje, mfano hoteli aliyoijenga kwenye makaburi ya wakristo mweni zanzibar, pia kavunja kijiji cha wabara huko mkoa kazkazini unguja, kilikuwa kinaitwa kibanda ugali, pia akajenga hotel na hekalu.
mnataka ushahidi? nendeni kanisa la anglikana Zanzibar
Follow Us Here